KOMANDO ALIYETAKA KUMPINDUA NYERERE AJULIKANA:ANGEMPIGA RISASI/VITA VYA UGANDA/NI SIRI NZITO.PART3

  Рет қаралды 25,965

Dar24 Media

Dar24 Media

Күн бұрын

Пікірлер: 58
@LezilayKaijage-z6t
@LezilayKaijage-z6t Жыл бұрын
Alikuwa anatoka Butiama sio Kenya na walitaka kumuulia kanisani St Peter
@leonardchabruma2377
@leonardchabruma2377 2 ай бұрын
Aiseee this guy knows something
@msemakweli5938
@msemakweli5938 Жыл бұрын
Anajaribu kutengeneza Historia ambayo ajaifanyia utafiti wa Kina ,kwanza sio kweli mwaka 1992 hapakuwapo jaribio la mapinduzi ya kumtoa Nyerere ,kwa sababu mwaka 1992 mwalimu alikuwa hayupo madarakani,
@BarakaMsukuma-g1q
@BarakaMsukuma-g1q 25 күн бұрын
82 siyo 92
@LezilayKaijage-z6t
@LezilayKaijage-z6t Жыл бұрын
Walitaka kumuulia kanisani st Peter oysterbay sio airpot.hii ni historia kuwa makini.
@msemakweli5938
@msemakweli5938 16 күн бұрын
kabisa lazima awe makini katika historia ,tukio lilitaka kutokea kanisani St.Peters pale oysterbay sio uwanja wa ndege. kuna tax driver alihusika katika kutoa kutoa taarifa .
@emanuelmaraki9758
@emanuelmaraki9758 10 ай бұрын
Broo nakubali sana sana unaongea ukweli Sasa hivi Dunia imebadilika ukweli unatakiwa sio uongo umetawalaa
@eliufoom6195
@eliufoom6195 Жыл бұрын
Yuko vizuri sana shida ni hapo kwenye kuamini mizimu tu ndio panaponikera
@valentinernestkavishe7297
@valentinernestkavishe7297 9 ай бұрын
Iyo ndo dini ya kweli Africa, yani kuamini kwenye ukristo au uslam ni sawa na mtu aliyeajiriwa, kumwamini mungu ni sawa na mtu aliyejiajiri! Sasa maamuzi ni yako , kujiajiri au kuajiriwa, kumbukumbu dini tumeletewa
@elinisafibabarita
@elinisafibabarita 8 ай бұрын
@@valentinernestkavishe7297 Ila weweee🤣🤣🤣 haya bana. Duh
@luzigakapande6921
@luzigakapande6921 8 ай бұрын
Rip Makufuli
@geraldtarimo3210
@geraldtarimo3210 Жыл бұрын
Uko sahihi sn, atakaekupinga ni mpuuzi
@minabw7301
@minabw7301 Жыл бұрын
Story zake sio sahihi kihivyooo. Mwenye story za uhakika kuhusu maswala hayo ni mzee Peter Bwimbo yupo hai miaka 94 na akili timamu. Mzee anaishi Dar as salaam na ndie alikua mlinzi mkuu wa mwalimu Nyerere na ndiye aliyemlinda na kumficha katika matukio hayo. Kitabu chake kinaitwa Mlinzi mkuu wa mwalimu Nyerere Kiki Amazon , Google
@minabw7301
@minabw7301 Жыл бұрын
Huyu anadhani watu waliokuwepo wakati huo walishakufa wote kwahiyo anabwabwaja utumbo. Well, some are still alive. Huyu si anajidai anajua sana usalama wa Taifa sasa aeleze lile gorofa la Uhamiaji pale kurasini original owner alikua nani? Na gorofa la pili yake wanapoishi mapadri au wakatoliki nani original owner wa Ile ngome? Na magorofa ya mitaa Ile nani original owners? Anajitia mjuaji
@MorganMwaipyana-tz9vc
@MorganMwaipyana-tz9vc Жыл бұрын
Hajui chochote
@davidpaschal778
@davidpaschal778 Жыл бұрын
Istoria yeke takusoma ila r.I.p magu
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 5 ай бұрын
Kwatanzania nikiongozi gani ametengenezwa
@luzigakapande6921
@luzigakapande6921 8 ай бұрын
Alikuwa hatuki Kenya alikuwa anatoka Butiama. Historical zenu zinapotosha watu fanyeni utafiti Kwanza
@jkifutu7936
@jkifutu7936 Жыл бұрын
Kaka na kuelewa sana vp naweza je kupata vitabu vyako kununua mie nipo south Africa 🇿🇦
@leonardchabruma2377
@leonardchabruma2377 2 ай бұрын
Very funny guy
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 5 ай бұрын
Yamipaka sawa nimekuelewa
@Mfundo272
@Mfundo272 Жыл бұрын
Bro hii story yako tafuta walioona live wakupe details, unapenda. Hadithi lakini huna details za ukweli, tutafute tukupe details za ukweli
@MakaoSimba-d4t
@MakaoSimba-d4t Жыл бұрын
Kwahiyo hata mafunzo ya kijeshi tulipewa n a jeshi la Nigeri
@aloycekayanja1756
@aloycekayanja1756 7 ай бұрын
Hapo kibiti umendanganya jeshi yaani jwtz,Sio kweli waulize walio kwenda kwabahati Mambo hayo hayana mda mrefu waliohusika wapi!
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 Жыл бұрын
Huyu kijana Ni mwongo . Hajui historia ya Jambo analolizumgumzia
@minabw7301
@minabw7301 Жыл бұрын
Yap! mwache ajichanganye tu ataingi 18 za watu. Ukweli wa historia hizi pata kwa Mzee Peter Bwimbo yupo hai na akili timamu miaka 94. Mzee anaishi jijini Dar na ndio aliyekua mlinzi mkuu wa mwalimu Nyerere na vilevile mzee Bwimbo Ana mji mkoa wa Mara silaha ya Bunda kijiji cha kisorya uliza kwa Bwimbo utaonyeshwa na Bwimbo ni nani
@rayahamisi118
@rayahamisi118 9 ай бұрын
Mtani wangu upo sahihi
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 Жыл бұрын
Amekosea ila nadhani anamaanisha mwaka 1982 sio 92
@simonitolya8029
@simonitolya8029 6 ай бұрын
Yes,upon sahihi,,92 Mwalimu hakuwa madarakani
@Andres-qt6kp
@Andres-qt6kp Жыл бұрын
Hajakariri vizuri historian lazima iheshimiwe kwa ukweli wa historia yenyewe Raisi Ally Hassan Mwinyi 1992 hakuwahi kupata jaribio lolote
@hamischilinga6706
@hamischilinga6706 Жыл бұрын
Nadhani alikusudia 1982
@charlesmapunda2002
@charlesmapunda2002 Жыл бұрын
Ni makosa ya matamshi Ila Kuna sehemu kasema 82
@josephmaleckela9904
@josephmaleckela9904 9 ай бұрын
Dah ! Huyu kijana mtupu mnooo ! Hajui historia yeyote ile ! Ni vurugu tupu !!
@josephmwise3177
@josephmwise3177 Жыл бұрын
Ilikuwa mwaka 92 au 82 ? Najua unayasoma jitahidi kutunza kumbukumbu, mwaka 92 Raisi alikuwa Mwinyi.
@kinigarm8239
@kinigarm8239 Жыл бұрын
Any person not any people.
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 Жыл бұрын
We ni nani vilee ivi Mambo yote unayajua
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 Жыл бұрын
Mwl Nyerere alitaka kupinduliwa mwaka 1983 na siyo 1992 chimba tena upate uhakika Maelezo yako ni mazuri
@victorlashikoni-ji3js
@victorlashikoni-ji3js 6 ай бұрын
Mwongo wewe Mohamed Tamimu hakuwa Commando
@jeromejosia-zp7gr
@jeromejosia-zp7gr Жыл бұрын
Naweza kupata kitabu
@saxannjo6173
@saxannjo6173 Жыл бұрын
TAFUTENI WATU SAHIHI WA KUWAHOJI HISTORIA YA NCHI HII,,,, sio mtu kasimuliwa huko, na nyie mnamuita kusimulia alivosimuliwa
@selemanmcharazo
@selemanmcharazo Жыл бұрын
Danganya mbumbu wenzako wasiojua historia ya kweli.
@haidarishemahonge9357
@haidarishemahonge9357 Жыл бұрын
Sometime jamaa Anakuja alafu kama vile namkataa fran hv...nikisoma comments ...Mnao jua vema ...Embu Mkaombe nafas kama hz...Mtupe sis wa miaka 84 ..tutaamin wap?
@minabw7301
@minabw7301 Жыл бұрын
Mlinzi mkuu wa mwalimu Nyerere yupo hai Ana miaka 94 yupo jijini Daressalaam na akili timamu na Ana kitabu kinaitwa mwalimu mkuu wa mwalimu Nyerere Kiko google, Amazon. Mzee Peter D. M. Bwimbo, mzee black belt na ndio aliyemficha mwalimu kwahiyo hakuna risasi ingeweza mpata mwalimu nyerere.
@saxannjo6173
@saxannjo6173 Жыл бұрын
Anatoaje historia nyeti hivyo za kiUsalama???Kama lengo la serikali lilikua ni kuziHide, yy kapata wap kibali cha kuziToa???? HAMUONI KAMA MNAMPONZA?
@dahlainismail6837
@dahlainismail6837 Жыл бұрын
Tupe madini mkuu ututoe matogotogo
@saxannjo6173
@saxannjo6173 Жыл бұрын
kwanza anaonekana ana chuki na RAISI WETU WA WANYONGE, The Late JPM, MSIMLETE HAPA HUYU MJINGA
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 9 ай бұрын
Hiyo si yy tu watu wote waliopoteza watu wao ktk utawala wake wa kiimla hawampendi
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 Жыл бұрын
Dupa unachukua madini kwa mshuwa yerico mabadiliko yanakuja
@jamirually893
@jamirually893 Жыл бұрын
Miaka mitano ya jpm ndo idara zilifanya kaz vzuri ww kumbe una chuki mshenz hapo umeharibu ujui chochote
@venanceassey7909
@venanceassey7909 Жыл бұрын
Ni mwaka 1982
@wilbatnyato4679
@wilbatnyato4679 Жыл бұрын
Zilipata uoga sio kupata uimara
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 9 ай бұрын
Hazikufanya kazi vizuri bali ziliharibu kazi kwa kuuwa uwa watu ovyo
@Marjeby
@Marjeby Жыл бұрын
We jamaa una matanizo na upwani na uislam?mie nakuna kama unapiga story tu tena story za upande mmoja tu but you don't have any proof so it's hard for reasonable man to believe your story bna kwendraaa huko
@cosmasmwaitete5004
@cosmasmwaitete5004 11 ай бұрын
Mshapigwa nyie
@cosmasmwaitete5004
@cosmasmwaitete5004 11 ай бұрын
Poleni sana
@selemanmcharazo
@selemanmcharazo Жыл бұрын
Dar 24 ndo watu kama Hawa mnawaleta studio hawana pointi wajinga eti unazungumza udini acha kupotosha umma waislam wamepigania uhuru wa nchi hili hata Nyerere mwenyewe alikiri Hilo miongoni mean hotuba zake we huna unachojua unaleta habari za mo setung dikteta wa china acha kuchambua wewe.
@bekabakari7394
@bekabakari7394 Жыл бұрын
Tamimu alitokea tanga
An Unknown Ending💪
00:49
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 58 МЛН
Spongebob ate Patrick 😱 #meme #spongebob #gmod
00:15
Mr. LoLo
Рет қаралды 20 МЛН
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 48 МЛН
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 11 МЛН
Siri Nzito ya Azimio la Arusha, Ugomvi wa Kambona na Nyerere Yafichuka
26:18
An Unknown Ending💪
00:49
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 58 МЛН