Gwajima ambaee akukukbarii Basii mchawii,,,😅😅😅,,mungu azidii kuaa na wewee
@NeemaEdwin-s4d4 күн бұрын
Ameeen
@AmiriAbdallah-g5x5 күн бұрын
Asante askof Gwajima. Mm nakupa sifa asilimia mia. Hii kitu inauma watu kutekwa na kuuwawa halafu wanasema maandamano ni haramu. Kwasababu wao familia zao ziko salama. Sasa sisi tutaandamana tu Km mbwai bwai tu.
@julianamakonda50862 күн бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@lengaimollel97509 күн бұрын
Hapa namkumbuka Afande Muhammed Kirumira aliwahi kusema, na namnukuu "Ukisema ukweli utakufa na ukinyamaza utakufa, bora useme ukweli hata ukifa ujumbe utabaki kwa watu"
@upendoeliya93294 күн бұрын
Huyo Mohamed alishakufa au yuko hai?? Alikuwa nani?? Plse
@mustaphalee53572 күн бұрын
Kirumira ni Askari kutoka Uganda na ameuwawa toke 2018
@DanielAlbinus-hr5nz3 күн бұрын
Naomba.gwajima.rudi.chadema
@ceciliamagalabajimmy43915 күн бұрын
Mmmmmmmmh umenena Askofu Gwajima. Na Mungu akubariki. Amen 🙏
@gilbertburasixbert25693 күн бұрын
You are very smart pastor
@MagrethJoseph-u8k3 күн бұрын
Ee mungu msimamie mtumishii wako mana maandiko yanasema tunaangamia kwakukosa maarifa tufungue macho mtumishii wa Mungu
@GilbertGombeye5 күн бұрын
Hongera Gwajima watete watanzania wanaisha wanatekwa sana hawataki kupingwa
@ednakessy5636Күн бұрын
Huyu ni kiongozi sahihi kabisaaaaaa kwenye ukweli pasemwe ukweli haijalisi nafasi uliyonayo
@JumaKikotoКүн бұрын
Sasa inatakiwa wewe ukayaseme bungeni usiyaseme kanisa kayaseme huko acha ubabaishaji inatakiwa uonge mambo ya mungu sio siasa ndugu yangu
@JaphethMbasaRobert15 сағат бұрын
Ukweli hauchagui pakusemea. Bibilia imesema pata ukweli na uwehuru. Pilato aliambiwa na wayahudi " usipomuuwa huyu wewe sio rafiki wa kaisari" ( yesu) . Siku zote ukweli unawaxhukiza watu.
asante gwajima mungu akubariki sema watu wapone japo hawataki kupingwa
@PoulMononi5 күн бұрын
Mtu wa mungu ni mtu wa mungu ume tu fumbua macho!
@user-ei9xd4qs7o2 күн бұрын
Mm ni muislamu raki ameniiiiiiiiii point bro!
@DorcasPaul-t7m2 күн бұрын
Unamsimamoo wa ajabu baba Mungu simamia kusudi lako mwaka 2025
@janemwaipopo5 күн бұрын
Aminaaaaaa Mtumishi wa Mungu Sema kweli baba Hats Kama upo CCM lkn Una hofu ya Mungu ndani yako Bwana Yesu Akukumbuke Zaidi na Zaidi🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@Zablonchalres5 күн бұрын
Gwajima we love you soo much
@LucasMponda-k1r5 күн бұрын
Gwaj boy huyo znapigwa kwanza hahahaa
@rehmahamishamismkande43484 күн бұрын
Mungu atuweke tuone mpka mwisho wa haya maneno
@NabiihonestLohay2 күн бұрын
Mungu aisaidie Tanzania 🇹🇿 tunakoenda sio kuzuri hata kidgo hilo uwe nalo akilini Mungu akuongoze katika safari yako
@VeronicaJoseph-h6h3 күн бұрын
Sema baba MUNGU akutetee
@AsafuJoas4 күн бұрын
Unafaa kuwa president pastor
@mr.yahzadochuno79145 күн бұрын
I love gwajima ♥️
@ChristmasMaheri5 күн бұрын
Watekaji wameshindwa katika jina la Yesu,Haleluya......❤
@KaburuKimath-eu5nf5 күн бұрын
Gwajima hongera mi nahamia kanisani kwako katoliki naondoka hata korona ulitupaga SoMo ubarikiwe
@mrworkfireteachertheboyful92365 күн бұрын
Hizi ni siku za mwisho tujipange sawa sawa maombi sana mifugo sana &mikesha sana
@GodfreyOsward5 күн бұрын
@@mrworkfireteachertheboyful9236 Uvumi wa siku za mwisho ni kupumbaza walimwengu. Ile mwaka wa 2000. Tulisema siku za mwisho na computer zingezimika sio na Dunia kusimama? Jibu ilikuwa program ya Y2K. Dunia haikufika mwisho. Yesu kwa kuepuka unafiki wa binadamu alisema hajui hiyo siku. Angesema tarehe tungetenda dhambia , tujua siku lini tungekimbia kutubu. Umwisho wa binadamu ni WA kila saa na dakika. Wakati Dunia ikimbia sisi tunajilisha upepo. AI inakuja kuchukua nafasi za watu. AI sasa inatumika kutafiti na kuwa mbadala wa binadamu katika kazi. Africa tunaambiana siku za mwisho?. Sio miaka mingi kila kitu miguu juu kichwa chini miguu juu. Hapa Africa tuko kwenye ujinga tuu. Na ujinga pia upo kwenye tunavyo angalia maandiko.
@costerpwamtaa71985 күн бұрын
Acha akili mgando matatizo hayatatuliwi kwa maombi
@josamjoel20795 күн бұрын
@@costerpwamtaa7198yanatatuliwa na nn??
@sikapendinakapenda41702 күн бұрын
Huyu hafai kwenye Uwanja wa Siasa . Bado ana Chuki na fulani ila anatumia jukwaa la Dini kunadi hisia zake za zamani. Kiuhalisia ni Mchadema na Mdini, pia anayo chuki Mama ila hajapata hoja ya nguvu bado . Udini unasumbua sana nchi hii.
@JacquelineMahumbe11 сағат бұрын
Angetekwa baba Yako ungesema hiv
@joycegeorge-mf5kn3 сағат бұрын
Mpumbavu mmoja
@AbrahamSekuze3 күн бұрын
Mashehe kwa kweli mna njaa sana ndugu zangu hoja zenu ni mpaka mpewe posho
@NkomanyileMkapa3 күн бұрын
Acha uchochezi usiokuwa na maama hapo mashehe wameingia vipi? Acha uchochezi . Tena deal na GWAJINA achana na viongozi wa dini ya kiislam
@EstherSamwel-vk4wbКүн бұрын
Ni kudeal nao tuuu kwa viongozi wa kiislam cio watu alaaaaa
@MarkoLukumay5 күн бұрын
Pastor hakika umenibariki sana
@JohnsonElias-m7u3 күн бұрын
Mungu akulinde sana mchungaji
@talentshow20243 күн бұрын
Gwajima uliwahi kupigia kelele kutekwa ikaishaa.. Umenikumbusha sana Gwajima
@WILSONKIZA3 күн бұрын
Ubarikiwe na bwana endelea kutufungua macho
@mrworkfireteachertheboyful92365 күн бұрын
Hata me naona watu wakubwa hao mnaosema wahaki ndio watu wabaya
@ReubenRaymond-zh4yw3 күн бұрын
Jaman jaman jaman hali sasa ni tafrani! Kwa mwendo huu, tutashindwa kuwaamini watendaji hao, watakaotuonyesha vitmbulisho au hati fulani, kwn hatutomjua nani ni nani!
@safiasuleiman-t9d5 күн бұрын
Huyu kiumbe na nusu hapana chezea 🎉🎉🎉🎉
@JescaProsper-k8c3 сағат бұрын
Mungu akupganie,askfu gwajima
@MussaBakar-p2p5 күн бұрын
Mungu akubariki sementi nyie wakuu
@salehalsharji9505 күн бұрын
Duh yazamani sana. Tangu makonda alikuwa mkowa wa dar
@priscillatumwesige45255 күн бұрын
Uko sahihi ya zamani Sana enzi za akina marehemu Ruge Studio
@mwigarleysaid54065 күн бұрын
Lakini inaleta maana
@monicamwita78654 күн бұрын
Haina shida
@sethmdj3 күн бұрын
Alikuwa hajawa mwanasiasa, tena wa CCM. Aseme tena ujumbe huo kwa matukio yanayoendelea sasa
@priscillatumwesige45252 күн бұрын
@@sethmdj kwa kweli enzi hizo Alikuwa anafichua Mambo mengi.Kwa Sasa mmm Mie naoita.
@shinshiwapili-n4l15 сағат бұрын
Nimeipendahi
@JumanneMgeta-p3l2 күн бұрын
MUNGU akulinde sana na akupe maisha marefu hakika umetufumbua maana tulikuwatumefumbwa
@Saum-o1w3 күн бұрын
Mungu atusimamie Tanzania 🇹🇿 yetu tunaipenda ila tupo pabaya sna
@mr.yahzadochuno79145 күн бұрын
Tanzania sio nchi ya amani kama ilivyokuwa inajulikana 💔😭
@SangaliPower5 күн бұрын
Ni kisiwa cha uvumilivu au vip 😂 nashukuru na enjoy maisha Zambia napatamani Tz nyumbani ntasrud tu
@ShazminahKihela4 күн бұрын
Aijawai kuwa na amani kama wanavyo waambiaga wanasiasa wa ccm, atujaifikia ata zimbabwe kwa amani, Namibia , Botswana na nyenginezo kibao Tanzania ni nchi yenye Raia waoga sana.
@NeemaEdwin-s4d4 күн бұрын
Ww unaacho unasubi nn c uondoke@@ShazminahKihela
@gowekogoweko58035 күн бұрын
HAYA MAFUNDISHO YA MGWAJIMA NI MAKUBWA SANA HONGERA MCHUNGAJI. WEWE NI JASIRI HAKIKA
@shakiru-y7g3 күн бұрын
uko sawa mtumishi Gwajima
@JohnGidamarang5 күн бұрын
Mungu aku linde na uwe kiongozi badae
@Zablonchalres5 күн бұрын
Eeeeeee Mungu wa mbinguni ameanza kujibu.kama wasiposikiliza maneno ya watumishi wa Mungu hii sasa imekwisha.wataumbuka vibaya sana
@JOSEPHKAJORO5 күн бұрын
Hongera sana askofu.hiyo ndiyo inatakiwa.
@awezayekyando22032 күн бұрын
Jamani Mungu akubariki wewe Ni sauti ya mtu aliaye nyikani Mungu akulinde
@MjumbeAgano15 сағат бұрын
Ni Mjumbe wa agano pekee ndiye aliyekusudiwa kumaliza matatizo yote ya binadamu KWA NENO LA WAKATI HUU WA HABARI NJEMA YA UFALME WA MUNGU HAPA DUNIANI JITAHIDI KUINGIA KWENYE UFALME UEPUKANE NA DHIKI KUU INAYOUJILIA ULIMWENGU WOTE.
@Emmanuel-b4g1n5 күн бұрын
Nafuatilia nikiwa Mombasa Kenya,kanisa tusimame kwa maombi hizi ni siku za mwisho.🇰🇪🙏
@salimmbilu45244 күн бұрын
Masheikh acheni uchawa tuungane kwahili
@RamadhaniKitala-gx6wc5 күн бұрын
Wana Fanya hivi ukichukuliwa na mapolisi wanakuweka chumba Cha peke yako familia wakienda kituo Cha polisi majibu yao wanakufungulia chumba Cha wote wafungwa na kuwaita majina umeona hakuna kumbe yupo chumba Cha peke yako kesho wanakuhamishia gereza nyingine 😢😢
@MariaMgeni-r7d3 күн бұрын
Sema sema baba
@ROSECHARO-x5r3 күн бұрын
Tz imekua kenya sasa kenya tumezoea watu watekwa sana kenya
@TeclaJackson5 күн бұрын
Nakupenda bure baba angu
@BlankaPhilipo2 күн бұрын
Kwel nchi imekua ngumu na wanaletewa wale wathubutu kusema ukwel . Ila wataua na wao watakufa tu ziwa la moto linawasubir bba Mungu atasema nao
@HusseinJumaa-b4e4 күн бұрын
Ukweli mtupu jamani Mimi siomkirto lakini namfuatilia sana gwajima
@w40583 күн бұрын
Kusema kweli katika kutetea hakutaki dini kinachotakiwa ni ukweli haki uadilifu
Hubiri injili achana na siasa mshika mawili moja humponyoka
@hassanathumani42785 сағат бұрын
Kwanini msifanye maombi ya kuteketeza hao watekaji Mungu apite nao na huyo ambae hataki kukosolewa
@leonardramiye82076 күн бұрын
Barikiwa saana asikofu
@ShadowScreamStudio5 күн бұрын
Amkeni watanzania hii Kiki tuu..viongozi Lao ni mojaa tu
@ABuuIbrahimMTENJE4 күн бұрын
Natafit "kama uwongo vilee"@@ShadowScreamStudio
@AbdillahSalimu2 күн бұрын
Hili tatizo la kutekwa na kupotezwa raia wa Tanzania lilikwepo tango enzi ya utawala wa nyerere.. hao viongozi wa serekali iliyopo madarakani wanaufahamu huo mchezo vizuri kabisaa na walasio siri. Kama kunamtu anabisha ajaribu kurudisha kumbukumbu kipindi cha utawala wa marehemu sokoine kifochake kilitokeaje na nininisababu kiundani zaidi.. mimi binafsi nawezakusema hao polis wanajua matukio yote ya utekaji yanayo endelea .. ila mimi naami IPO siku itafika watatafuta mahali pakujificha na itawagharimu vilevile kama wale ndugu zetu Walio wapoteza😭😭😭😭
@BetherNyato3 күн бұрын
We sio mtumishi wa Mungu huwezi kutumia SILAHA kwani Yesu hajawai shindwa km Yesu akishindwa HAUPO rohoni japokua utekaji ni laana ni zaidi ya dhambi
@adrianomaulaga15993 күн бұрын
Unaelewa unachoongea kweli wana wa Israel wamepigana sana vita kuelekea nchi ya ahadi haujui
@nurumohammed13103 күн бұрын
Nawe kama huelewi kaa kimya
@nurumohammed13103 күн бұрын
Mtumishi ww
@happyhaule671Күн бұрын
Hahahahahahaj 😂😂😂😂😂
@RoseBsuaКүн бұрын
Safisha hayo masikio Yana mawimbi ,sauti inakatakata .
@AyubuChacha-u6u2 күн бұрын
Gwajima ngombea urais haraka iwesekanavyo maana msema haki ni mpenzi wa sema ukweli ila saidia hii nchi nakuomba kuwa uchukuwe fomu haraka ya kugombee mungu akulinde na kukubaliki sana.
@jackliny-n2o2 сағат бұрын
asante gwajima wambie wapone
@RestitutaNjau-k8x5 күн бұрын
Jamani nakukumbuka kuuawa kwa mzee Kibao
@felixmsengi10845 күн бұрын
Nakukubali mtumishi was MUNGU, MUNGU AKULINDE NA AKUPE HEKIMA
@wastarayasini376111 сағат бұрын
Asante mtumishi sema ukweli
@Gaynor12344 күн бұрын
Nakupenda sana mtumishi wa Mungu kwa kweli zako. Mungu akufiche na Damu iliyomwagika pale Msalabani.
@gilbertburasixbert25693 күн бұрын
Kweli hadharaniiii
@user-sy5lx7el4z5 күн бұрын
Kamrudisha kwa kazi iyo kumbe
@GiftBatista-p2e5 күн бұрын
Wahubiri hawanabudi kuizungumzia siasa, kama ilivyokuwa kutoka kwa waonaji manabii kwenda kwa wafalme.
@rahabnkya82762 күн бұрын
Jamani Jamani jamani! Ghafla unashikwa butwaaa ikikujia hiyo Hali na mungu akiruhusu pia! Uuuuuwui.
@IbrahimJoel-ks8nj2 күн бұрын
Ukitaka kumkomesha mwafilika sili zake zote zipfiche kwenye vitabu Sasa coment zote hizo zanini mbona hayo aliaongea kipindi chamwenda zake
@emmanuelshilagi330222 минут бұрын
KWELI KABISA HUKO USHIROMBO PIA HAPA MJINI WAMETEKA MCHUNGAJI YAANI WIKI ILIYOPITA NDANI YA MWEZI HUU / 9/ 2024 ametekwa leo ana juma moja alitekwa alihamis ya wiki iliyopita
@happyhaule671Күн бұрын
😂😂😂😂 huyu mbaba ana kiti chake kwa moyo wangu
@WiliamKabonda3 сағат бұрын
Gwajima unaangamia roho mtakatofu anakuacha hivyo umebakia kuchonganisha tu watu
@MwajumaMsimuwilliam5 сағат бұрын
AMEEN AMEEN
@EzekieliMbwambo5 күн бұрын
Tumuombe mungu atusaidi Kwan haya sio maish
@JosephLuvanga2 күн бұрын
Katika watumishi nilio kuwa nawakubali kwa kuikemea serikali mojawapo ni Gwajima, toka alivojiunga na ccm nilikosa Imani nae
@jaredayiera32792 күн бұрын
16/09/2024 Mithali 29:2 wenye haki wakiwa kw mamlaka Watu hufuraiii zaidi bali Mtu muovu atawalapo watu wanahumia. Nikiwa Washington DC states of America.pole Tanzania
@janetchinga6955 күн бұрын
Ufe ukiwa namyaka 200 ❤❤❤
@alfredhadson4 күн бұрын
Amen
@raymondmushi90193 күн бұрын
Mchungaji halisi na mkweli
@ShazminahKihela4 күн бұрын
Bila kupepesa Watekaji ni Serikali na hii inatokana kutokufatwa utaratibu wa kumkamata mtu kisheria, kitambulisho pekee akitoshi bila kumuonesha warranti ya kumkamata au kumsachi mtu nyumbani kwake. Binadamu sio kuku umfate umkamate tu zifatwe sheria.
@mathewsmbwagha81235 күн бұрын
Mchungaji mbona Unaongea yazamani yalele ayaishagi tu samehe tu mbona mnatufundisha wenyewe kuwa tuwetunasamehe kisasi siokizuri.
@elishampoki8751Күн бұрын
Halii hii inatisha Tanzania ilikuwa ni nchi inayotegemewa na mataifa jilani na Dunia nzima ,nani alieloga nchi Yetu Tanzania ,
@vanessastafford6426Күн бұрын
Hata akikuonyesha kitambulisho mwambie akupe barua ya wito. Halafu waambie utaenda mwenyewe.
@brightonpeter10343 күн бұрын
Amen pastor
@consolatanjau27885 күн бұрын
Watekaji watashindwa katika jina la YESU na walegee
@OthumankibabiKocho2 күн бұрын
Wapalaze mzee
@Deocratiasmushi5 күн бұрын
Baba askof mung u akubarik akuzidishie ma is ha. Hap watekaj was hind we kea kina LA yesu
@davidrweyemamu9383 күн бұрын
Waambie wasikie ukweli huu.
@saidmajeba97914 күн бұрын
Huyu baba Mungu aendelee kumlinda Huongea ukweli,hanyenyekei mtu
@yohanamtunduruyohanamtundu658510 сағат бұрын
Tuna taka sasa bungeni Awasemee watanzania
@VailethMaivaji-p1o5 күн бұрын
upo mimbaranitangaze Yesu c siasa,watu wamekuja Kuna mioyo Yao wamuone Yesu we unaleta siasa kanisani hizo roho unataka nani awatie moyo
@stellahwilfred57624 күн бұрын
Ahsante MUNGU wa Rehema.. Watumishi wameanza kuongea
@jaredayiera32792 күн бұрын
16/09/2024 Pastor Gwajima...Watekaji ni ni Vigogo ktk chama cha CCM. Wambie ukweli