Follow Us On: INSTAGRAM: / miladu_tv FACEBOOK: / babdeo miladu/ TIKTOK: www.tiktok.com... KZbin: / @babdeomiladu
Пікірлер: 384
@lawrenceoctavian27409 ай бұрын
Inapendeza mbele za wanadamu na mbele za Mungu ndugu wakikaa pamoja
@esterstaphord51848 ай бұрын
Na kwa umojaa 😅
@emmanuelpetertruegospelcha3331Ай бұрын
Wajua maana ya ndugu
@crisponorbeth80015 күн бұрын
Hakika
@lucaskashimwita63868 ай бұрын
Kwa kweli Uislamu naupenda sana. Nilipofika Dar es Salaam niliishi na ndugu zetu wa waislam hakika nilipata ukalimu sana. Mungu ubariki uislam
@Chimamy52428 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Makakulaya8 ай бұрын
😂😂😂😂uslamu ni dini la kishetani
@idiidi-rq5gk7 ай бұрын
Shetan n we mwenyewe
@fredducaunt7 ай бұрын
@@idiidi-rq5gk mashetan yashaanza kuamka 😂😂
@MACHOYATAI-jk6fu5 ай бұрын
Unasubili nini kajiunge na mashetani
@ibel4lf9 ай бұрын
Nasoma comment za watu wenye kutafuta shari pasi na shari 😮
@johaneskiiza1508 ай бұрын
Tanzania nakupenda sana nchi yangu tunahishi kwa kuheshimiana safi sana wazee wa BAKWATA
@expert58989 ай бұрын
Ufalme wa Mungu ukishuka watu wote wanakuwa wamoja maana Mungu wao ni mmoja.
@deograciakashaigili59738 ай бұрын
Hakika! Raha sana!
@Tandalesse4 ай бұрын
Ila huyo MUNGU siyo Yesu.
@MiriusEliudi4 ай бұрын
@@Tandalesse Yesu aliwakosea nini?😂😂😂
@soothingrelaxationsounds74612 ай бұрын
Haswaaaaa
@amilyabdu1563Ай бұрын
@@MiriusEliudiJibu Kwanza Alichouliza
@NuruBeth-hu1ym4 ай бұрын
Napenda mafundisho ya pastor❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@shaffihsiraji31419 ай бұрын
Wanaomponda huyu Mchungaji hawajui hata kitu chochote kwenye Dini 😁
@ChrisantEmanuely279 ай бұрын
Apo kakosea wapi
@SalamaAkilimali-ly3bu8 ай бұрын
Kashaalikwa tayari
@gaudencekanut9027 ай бұрын
Weee unaejua uko wap tukuoneee??
@shaffihsiraji31417 ай бұрын
@@gaudencekanut902 Sibishani na wanawake huna la kunambia wewe
@shamteabdala54245 ай бұрын
@rweyemamurweyemamu6809 ай бұрын
Unakuta anayeongelea mambo ya udini ana machafu kibao na pengine ana demu mkristo😂😂😂 lkn sasa kujifanya anaijua dini,mbinguni unaenda weye na roho yako mpendwa utahesabiwa mema uloyafanya kwa wenzako,uwepo wako Dunian umetenda nini,watu wangapi umewasaidia waenende kwenye njia njema,ayo ndo mambo ya msingi,achaneni na udini
@hawanassoro46079 ай бұрын
Sahihi kabisa udini hauna maana ss ni wanadamu tunayoelewana tukae pamoja tuyajenge mbora wetu anajua muumba wetu tu.
@hawanassoro46079 ай бұрын
Sahihi kabisa udini hauna maana ss ni wanadamu tunayoelewana tukae pamoja tuyajenge mbora wetu anajua muumba wetu tu.
@HusnaSalum-p1qАй бұрын
Sana kasema kweli Mungu anaangalia matendo
@nurdizzotz443713 күн бұрын
Akuna binaadam alie kamilika kwanza inatakiwa ulitambueilo
@ummahmed33548 ай бұрын
Allah bless and guide you mch Hananja... mtu wa ukweli... we love you
@gadielshedaffa33339 ай бұрын
Siku ya kusimama hukumuni kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake! Kwa sasa kinachotakiwa ni kuishi kwa umoja na furaha bila kubaguan! Siku ukifa ndip utajua ulichochagua hapa duniani kama kilikuwa sahihi au la! Je ukifa utaenda wapi???
@danielmateso2522Ай бұрын
ukifa unayarudia mavumbi yaani unakuwa hutambui chochote the usubili ufufuo kama ulishika amri za mungu na imani ya yesu utafufuliwa ufuguo wa kwanza wa watakatifu na kama unapuuza amri za mungu bas utafufuliwa ufufuo wa pili wa waovu.
@Sibohoro-z5m9 ай бұрын
Hananja hana baya mzee wangu
@dapinitiative24518 ай бұрын
Tumefurahi Sana kumuona much. Wetu kujumuika na Ndugu zetu waislam! Tumefurahi Sana Sana Sana, hakika ametuwakilisha vyema. Tuishi Kwa Upendo, Mungu wetu sote!
@henritamshai49159 ай бұрын
Huwa nafikiria ni muislamu pongezi mseto huu wa mawaidha ya kidini.mungu atujalie heri duniani
@MiwagoTz2 ай бұрын
Huwa namfuatilia sana maongezi yake huwa anachekesha huku akifikisha ujumbe,nikipenzi cha watu,Hongereni viongozi wa Dini kwa umoja wenu wa Dini zote kuwa kitu kimoja hapa Tanzania lazima hiwe na Amani kwani Amani inaanzia kwenye Upendo ndani ya Dini Zetu kupendana na hapa tunaona mchungaji amealikwa.Mungu ibariki Tanzania na watu wake aminaa.
@engisack96108 ай бұрын
Tatizo la waisilamu wana udini mwingi sana na ubaguzi" wakati Mungu nimmoja
@alhajisingano65908 ай бұрын
Hakuna ubaguzi sisi tupo kwenye nyie mpo kwenye Batil Mola tunayemuabudu nyinyi sio mnayemuabudu nyinyi wala hakuna umoja, zisikuchanganye hizo kanzu na vilemba hapo hao wote ni Mashekh wa Bidaa tu (wazushi)
@NuruSultani-ws1ny2 ай бұрын
Kma ubaguz upo hananja ni muislam au ondoa upuuz uliojazwa katika akili yako mwehu ww
@emmanuelmchomvu26769 ай бұрын
Yaan waislam mnachuki, mwngne hta msikitini haendi ila roho mbya
@alhajisingano65908 ай бұрын
Na tunawachukia hasaa sio siri bal kuwachukia nyie kwetu n ibada
@evertheobald18114 ай бұрын
Hakuna mbingu hapo
@WinnieJvic2 ай бұрын
@@alhajisingano6590 😂😂😂😂😂 eti ibada
@faudhiasalum72799 ай бұрын
😂😂😂😂😂Ila waslmu 😂😂😂😂😂😂😂wana nipaga raha mimi siyo kwa comment hizo 😂😂😂alf wenyew wakrsto hata awana mda na sisis😂😂😂ila sisi uwiiiiiiiiiiii 😂😂😂😂😂😂😂😂nachek kama mazuri vile kumbe 😢😢
@ibnhassan99809 ай бұрын
Hicho ndicho chama cha B..
@NaomiSolomon-cj7hr9 ай бұрын
❤❤❤Ndo ushangae
@rehemamapuga57894 ай бұрын
Nmekupenda bureeee
@SalumuAlly-d9q2 ай бұрын
Uislam raha sana
@NYOKAONLINE71569 ай бұрын
Allah atupe mwisho mwema
@gwakisasimon148 ай бұрын
wewe unaye sema asilimu ili imanishe nini toa kitu cha kujenga sio kubomoa ndio maana watu wanasema shule muhimu usikimbie umande mzee yani kaa ukijuwa mungu apendezwi na dini zetu kwa sababu zina unafki kusengenyana mungu hayupo sehemu yenye dhambi kaa ukijua mungu anapenda jambo moja tu matendo mema kumuelekea yeye na kumwabudu kwa roho na kweli na kusimama kwenye wito uliopangiwa ukiwa mtu wa kulukaluka uwezi kumpata mungu sehemu yako itakuwa jehanamu tu nawapenda wote wanaomwabudu mwenyezi mungu maana neno lake halitaludi bure ila wale wanaoabudu mizimu masanamu tusiwachukie kama tuna upendo alioagiza mungu tunatakiwa kuwaombea mungu awashushie baraka zake na neema wamjue mungu wa kweli .waislamu na wakristo mungu awape maisha ya kumsifu na kumwabudu kwa roho na kweli sio unafki mtazameni mungu msitazame dini zenu ni nzuri kwa sababu sinamwabudu mwenyezi mungu kila mtu aeshimu hekalu la mwenzie mungu awabariki nyote amina
@D-Man.B-Free9 ай бұрын
Aliposema wake 1000 nikakumbuka Mazinge😊
@ellsonmkonyi13199 ай бұрын
Daah mungu atusaidie sana na viongozi wa dini zote msikubali kuwaingiza waumini wote kwenye njia mungu asiyoipenda
@HusnaSalum-p1qАй бұрын
Hapo yale yasiyo jitambua ndiyo yanaleta chochezi
@alexcostantine67328 ай бұрын
Mungu awabariki kwa umoja huo YESU anakuja jihusishe
@athumanimtajih9 ай бұрын
Sasa unawalaumu masheikh kwan huyo Hananja katukana mtu au kasema baya gan,kiufup Waislam wa kileo hatuna maneno ya ushawishi wa mtu asiye muislamu kuvutiwa nasi,tumejawa na itikadi na utimu wa masheikh
@enockdanstan17859 ай бұрын
Waisilamu watu...wa Shari, comments zenu, sio za kujenga, haziendani kama watu wa Mungu
@danielsamuel12782 ай бұрын
Huyu mzee nampenda sana sana sana mimi ni muislam ila huyu mzee nasoma mengi sana kwake na hii ndio Tanzania ninayo ipenda ❤❤❤❤
@muksinimbaruku123320 күн бұрын
Muslim Daniel Samuel dah!
@egfridmkoba47672 ай бұрын
Mwenyezi Mungu aendelee kutuwekea mkono wake tuendelee kuishi kama ndugu wa baba na mama mmoja.
@ModestSichone-el2du9 ай бұрын
Kwanza anakili kwanini asifrai kwakua viongozi wadini zote wamekutana wanachanganua mema na mabaya Sasa unasikia oooo waisilamu wenzangu muwe makini Sasa umakini Gani pumbavu wewe muchamungu sio dini mwemba
@allysimu68569 ай бұрын
Silimu basi mchungaji walwahi umependeza Sana kuwa shene
@nestarnestar45209 ай бұрын
Mimi maisha yangu siwez kuja kua muislamu, ndugu zangu natamani mngekua mnajua kama navojua mm khx huu uislaum, kwanza kabla hajawaza kua waislam muwe mnajaribu kuwauliza waislam viongozi kwann wanatumia kiarabu aslimia nyingi kuliko Kiswahili, kwasabb Weng hawajui kiarabu, Kwenye uislaum kunashida nyingi hata maiti bado anashida nyingi anavotobolewa na ndo maana anazikwa haraka haraka
@hamidayusuph46089 ай бұрын
Anatobolewa tena! Hamna kitu kama hicho ndugu.
@nestarnestar45209 ай бұрын
@@hamidayusuph4608 Nyie mait mnamuandaa VP kama hamtoboi? We unaekataa utakua hujui ukitaka kujua nachokisena kasome vitabu nyenu vinavoongea marehe na na jinx ya kumuandaa kwenda kumsitiri
@Evance159 ай бұрын
@@nestarnestar4520hujui chochote kuhusu uislamu kaa kimya sawa usiongelee vazi usilolivaa kwamaana hulijui hata kidogo🙏🙏🙏
@alhajisingano65908 ай бұрын
Wewe hujitambui
@sharomdguda8 ай бұрын
Dunia hii omba tu mungu lkn bado haujafika mwisho unaweza kujikuta siku Moja wewe unakuwa muislam . Husijiapize 2
@HusseinKhoja-e1y6 ай бұрын
Mimi ni muislamu lakini napenda huu mchungaji Kwa manenyo ya hekima
@pharmtech_1Ай бұрын
Naelimisha Nashauri Natibu na kufwatilia maendeleo ya afya yako KARIBU TUJIFUNZE WOTE
@pharmtech_1Ай бұрын
Naelimisha Nashauri Natibu na kufwatilia maendeleo ya afya yako KARIBU TUJIFUNZE WOTE
@thomaswilbert64319 ай бұрын
😅😂hamjawahi kuwa furaha ya kweli kama waliopata leo mashehe wenu kwa mchungaji mcheshi duniani
@emanuelwilliam16077 ай бұрын
Its beautiful TANZANIA LOVELY LOVELY SANA 💕
@hanspop69619 ай бұрын
Hekima nyingi Huyu🤣🤣
@hassanbakari45259 ай бұрын
MI SIO MKRISTU ILA NAMPENDA SANA HUYO MCHUNGAJI,,NOMA SANA
@omarikhalifa94139 ай бұрын
Unampendaje kafiri?
@idrisalimapema25399 ай бұрын
@@omarikhalifa9413hahahha
@hassanbakari45259 ай бұрын
SIPENDI UDINI WAKE,,NAPENDA AKILI YAKE.
@lulanjamd38869 ай бұрын
@@omarikhalifa9413Kafili mama yako
@abeidmobile9 ай бұрын
Ukiona unampenda mtu anayechukiwa na Allah ktk kufru yake nasi na wewe unachukiwa na Allah!!!
@MyName-wd8cp9 ай бұрын
Bakwata sio dini ni taasisi, so msiwalaumu. Uislamu hauna taasisi.
@amanmalima9402 ай бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@danielsamuel12782 ай бұрын
Sisi hatutaki kuokoka ,tulikuokoka tumboni .yesu ni mtume wetu kama watume wengine .
@EL-SHADDAI-c4p20 күн бұрын
Nakushukulu tanzania Amani yako imenilea
@muddybreezy45959 ай бұрын
Kwnn usiwe muislam mchungaj mbna unapendeza
@jeapaultchikuru77269 ай бұрын
Kwa sbb sio Haki yenu ni Haki ya wakristo kaja hapo sikwamapenzi yake kafwata mkwanja
@nestarnestar45209 ай бұрын
We awe na majini mchungaji wetu
@manasendubula-zn8fl4 ай бұрын
Mtabaki mnaumana meno waumini lakini watumishi wa dini zote wakikutana ni AMANI tuu. 🤝🤝
@abujamalaalghammawiy74708 ай бұрын
Maasha Allah tabaaraka Allah, jamaa anakwepa munakasha, na anakwepa mpaka mahojiano na chombo cha habari, eti kwa sababu ni watu wa bidaa, wakati huo huo masalafi wanatumia youtube, facebook, twitter, instagram, vyote hivi ni vya makafiri, lakini hawaachi kuvitumia 😂
@EmmanuelMalando2 ай бұрын
Acha ubaguzinallah apendi
@CollinsngasalaGhambi9 ай бұрын
Kuna watu awapendi khali kama hii😢😢 viongozi kucheka pamoja japo ata mara Moja kwa mwaka 😂😂😂
@HousenAhmadi2 ай бұрын
Sote ni ndugu , emwenyezi mungu udumishe udugu huu na utuepushe na shetani wabaya , inshallah 🙏
@Tandalesse4 ай бұрын
Yaani anamtukana Nabii Sulayman(Alayh Salaam) kwa kumtuhumu uzinifu ya kwamba alikuwa na wake(wives) 700 na "nyumba ndogo(ilegal women a.k.a side chicks for ilegal sex)" halafu Masheikh wanacheka?. WALLAH huu ni mtihani kwa "Masheikh wa kisasa".
@NuruAlly-pd3kc4 ай бұрын
Ckiliz vzr hajamtukana amesemaj mke mmoja anakuchangany wakat Suleiman alikuwa na wake weng unakulupuka tu bila kuckiliz ukaelewa maana
@alhajisingano65908 ай бұрын
Hakuna ubaguzi sisi tupo kwenye nyie mpo kwenye Batil Mola tunayemuabudu nyinyi sio mnayemuabudu nyinyi wala hakuna umoja, Yaa Ma'asharal kuffaar: Zisikuchanganyeni hizo kanzu na vilemba hapo hao wote ni Mashekh wa Bidaa tu (wazushi)
@samwelingasa163816 күн бұрын
We kiongozi wako wa dini shehe mkuu yuko peace tu we dini imekujaza chuki zaidi kuliko Kumjua Mungu
@SophiaSimba-uq8ct16 күн бұрын
@alhajj acha chuki za kidini
@doricekisaaka16997 ай бұрын
😂😂😂😂Hana njaa mbavu zangu
@young_brother272 ай бұрын
Mbona waislamu mna chuki sana na Wakristo ?
@abubakarymaulidy56818 ай бұрын
Amefurahisha watu sana lkn pia ujumbe wake mnono sana tuuchukueni jamni
@yohanamchomvuАй бұрын
Huyo hananja msenge tu kumbe ndiyo mana alikuwa anaponda ukristo kumbe muislam kuma tuokuone tena ukija
@yohanamchomvuАй бұрын
Hatupendi unafki baki na kiarabu chako wewe ni wa kupigwa makofi na kuchomwa moto sio mkristo ww kofia kama ganda la chungwa utarisishwa uchawi na waislam hio Njia sio
@-kagerayetubw9jx7 ай бұрын
Maisha ya huyu mchungaji na himani yake naipenda sana
@joharially295016 күн бұрын
Mimi mkristo ila nacho wakubali waislam shehee akiwa mskitini akikosea kujubiri muumini unaweza mrekebisha lakini kwa wakristo marufuku kuuliza swali kanisani
@DeoMbilinyi2 ай бұрын
Na mimi nimependa kwa mwaliko huu Ameen
@IdrissaKaoneka6 ай бұрын
hata sikumoja haiwezekani umoja ambao Allah haukubal
@SophiaSimba-uq8ct16 күн бұрын
Usimsingizie mungu nyie ndy mnafanya dini hinakuwa ngumu,
@halson8272 ай бұрын
Dunia ilitakiwa iwe hivi....!
@benjaminngatunga39314 ай бұрын
Mungu awalinde viongoz wote wa dini
@christinapeter713114 күн бұрын
Wewe mchungaji unanifurahisha sana lkn Dawa inaingia
@HaruneryАй бұрын
dini mseto masufi mjiandae kwa ALLAH
@nolascomugalula60983 ай бұрын
Hakika waislamu wana upendo sana
@lucasngotta994610 күн бұрын
Hakika haya ya kukaa na kutafakari pamoja watu wa imani tofauti ndo mambo tunayoyataka katika Tanzania yetu
@JudieMyolaАй бұрын
Utakuta watu wanagomban Kisa ukristo na uislam
@hamsikrasheedi17967 ай бұрын
hananja huna baya mungu akubar sana ❤
@mirajiyombe16019 ай бұрын
Allah atuongoze
@rajabumaziku98573 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂
@abdallahmwanga57922 ай бұрын
Ni mtu makini sana aisee....😂😂😂😂
@Yanamwisho10 күн бұрын
Nimecheka kwa maneno ya huyu mchungaji
@MarthaJohn-jb1nr9 ай бұрын
Wasilamu kama wasilamu sasa na comments zao 😂😂😂😂
@andrew29468Ай бұрын
TANZANIA NI MOJA NASI NI WAMOJA,TUSITENGANE
@PanchoValentino-wh7wt2 ай бұрын
Mungu wetu anataka Upendo Na Aman
@fortyyellu99719 ай бұрын
Kapendesa alivyovaa kufia hananja...😂😂😂
@PULKERIAIZIDORY27 күн бұрын
Huyu mchungaji yuko vizuri mno
@HassanMakondaАй бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🤲🤲🤲 hakuna kama 🇹🇿
@meddyblack635315 күн бұрын
Nimependa sana hii moment dini siyo vitaaa
@ElisiMtagwa20 күн бұрын
Msema kweli no mpezi was mungu
@Mwl_Sanga3 ай бұрын
Amani ndo kitu tulichonacho Tanzania, maeneo mengine mkristo ni adui mkubwa Kwa waislam
@rajabodhuman13009 ай бұрын
Mtu hawi muislamu kwa kupendezwa mavazi au muonekano wakiislama au kuongeya kiarabu bali nikwaku ukubali uislamu kwa moyo na kwa matendo yote aliyo amrisha Allah na mitumewe
@maulidipazi67709 ай бұрын
Namavazi pia .ukiambiwa vaa vazi la kiislam utavaa nini
@back2homemusic8448 ай бұрын
Hakuna vazi la kiislamu... Kuna mavazi ya kiarabu, kwahiyo uisilamu ni uarabu? Kwamba hakuna waarabu wakristo? @@maulidipazi6770
@jamalsamma34579 ай бұрын
Barakallahu fih
@mailacamillius9 ай бұрын
😂Hekima
@deograciakashaigili59738 ай бұрын
Huko ulikotoa mifano kuna kipindi wakristo walifuatiliwa sana na kuchoma kanisa. Umesahau Mchungaji? Watubu hapo kwanza!
@mainguali60463 ай бұрын
Mungu amjalie Pastor Hananja asilimu
@patricksebastian35933 ай бұрын
Hayo ndio mawazo ya hovyo.
@rubenibernald61382 ай бұрын
Achaa bangiii unamanisha Hana mungu bwege weweee
@jescarwegoshola17542 ай бұрын
😅😅😅
@VictoriaCharles-r6yАй бұрын
Kwa hoja ip aslim
@BetraminoKayage20 күн бұрын
Hawatakuja radhi Mayahud na Manasara mpaka mfuate Mila zao hakuna uhalali i ya kuchanganya khaki na Batili
@SophiaSimba-uq8ct16 күн бұрын
Batil batil kumbuka dini zimeletwa na waarabu na wazungu jitambue
@RightAlphred9 ай бұрын
Inapendeza sana ndg kukaa pamoja kama hii❤❤❤
@issakawaya83159 ай бұрын
Amependeza
@ZAMYLFILM8 ай бұрын
Nakupenda sana Hananj Allah akujaalie uwe muislam usife katika giza
@EzekielDebora-cd2ib8 ай бұрын
Wewe ndo usife ktk Giza
@SophiaSimba-uq8ct16 күн бұрын
Tena jinga la kwanza, we utakufa kwenye taa ubaguzi wa dini mbaya, hakuna dini ya haki we mshezi SS wote tunaabudu Kwa mungu mmoja
@EmanuelShija-id1sw2 ай бұрын
Hananja unafaa Kila sehemu
@josephosborne3072Ай бұрын
Nampenda sana huy pastor wa kweli...hajawah kuikana injili hapa kaanza tu na biblia,saf sana
@LordrichMnandi-e6wАй бұрын
wabilahi taufiki 😂😂😂😂😂😂
@MonicaMjataАй бұрын
Nmemipenda mnooo waislam
@Selemanjohn-se1el5 ай бұрын
tatizo nduguzetu wana ubaguzisana awapendi kujumuika nadinizngne huwaita kafiri
@sharfasephu29 күн бұрын
Mchungaj honger 😂😂😂
@errydeo8865Ай бұрын
Hiki kitu alijijengea sana JPM pia,huyu mama snakibomoa
@JodigitaltzАй бұрын
Kila mtu na mtazamo wako
@panyatozy93019 ай бұрын
Sisi wote niwababa mmoja tuache ubaguzi mbona hata rais hayat johni magufuli alikuwa anaigia msikitini hata samua hivyo2 acheni ubaguz angalien wote tunazikwa chini
@AllyRamadhan-cw8we28 күн бұрын
Unafiki sana dini za kisasa!
@JodigitaltzАй бұрын
Tatizo anachekesha sana
@mfalmekaitaba24255 ай бұрын
Diamond kwenda kwenye Tamasha la waikristo ni gumzo ila huyu kuja huku swaafiii hawalalami