Askofu Josephat Gwajima leo amezindua Kampeni za Ubunge anaouwania kwenye Jimbo la Kawe ambapo alisimama mbele ya Wakazi wa Kawe eneo la Bunju Dar es salaam na kunadi sera zake kwenye hizi dakika 4.
Пікірлер: 207
@uhaitanzania16204 жыл бұрын
Askofu Gwajima, Mungu akutangulie. Amen
@rithamalyagili31304 жыл бұрын
Mungu akutangulie tunakuhitaji Sana jimbo lakawe gwajima
@yahyamkone56014 жыл бұрын
Kazi imeanza piga kazi kakaa gwaji
@japhetdaud37814 жыл бұрын
Gwajima mbunge huyoooo 👍 mbunge
@abelsabibi28094 жыл бұрын
Bishop Gwajima is the right person to vote for,I wish ningekuwa mkazi wa jimbo la Kawe jamani.Watu wa Kawe mbarikiwe sana
@zawadikayaula76834 жыл бұрын
Kwa bahati mbaya gwajima watu wa kawa hatumtaki hata kumuona, muongo, tapeli wa kidini, tunajua huo wote ni uongo
@fredkyara32784 жыл бұрын
Gwajma. Big up. Dhamira yako. Inajionyesha. Inataman maendeleo. Kama Magufuli.
@michaelluhumbika59244 жыл бұрын
@@zawadikayaula7683 ok kumbe ww uko kawa basi acha wakawe wamchaguwe
@michaelkatigula57934 жыл бұрын
Nakubali sauti ya mamlaka , baba Mungu Yuko upande wako chadema njia zao lazima ziwe Giza na uterez
@evansmlalo40494 жыл бұрын
Askofu aliyechanganyikiwa anawataja wafu hadharani. Eti Bi Kidude. Bado utachanganyikiwa sana. Mungu hapendagi watu wanafiki, Mungu hapendi mtu anayemshuhudia binadamu mwenzake uongo, Anaechukua riziki ya mwenzake. Utaanguka vibaya sana maana umepewa kugombea hilo jimbo kwa rushwa.
@noonelike63824 жыл бұрын
Aisee mpeni kura za kutosha huyu jamaa... Kwanza hana njaa ya pesa... Nadhani anatafuta njia ya kuzitumia kwa maendeleo ya wakazi wa Jimbo la kawe.... Big up gwajima 🙌🙌🙌
@samwel-pr8yw4 жыл бұрын
Daaah!!!,kweli Gwajiboy ugolo umepitia puani aisee ni mwendo wa chafyaaaa tuuu.
@eliarichard92184 жыл бұрын
Nice Mzee wangu Gwajima natamani ufike huko Bungeni kuna vitu natamani vika geuzwe na wewe kwa SAA hii utakayo pata nafasi.
@isaackmwakalobo29194 жыл бұрын
Viva gwajima, waooo
@adamumarwa83074 жыл бұрын
Leo unaipaka mafuta inagoma nakupa pole yesu umeisha muacha Hata kusalimia unaanza na salamu ya waisilamu utakufa kesho pole sana
@juliusakilimali97604 жыл бұрын
Unaesema Birmingham iko Uingereza tu Pole!! Nikushauri tu kwa upendo wa Mungu, Kabla hujasema kitu fanya utafiti kwanza! Ukweli ni kwamba Askofu yuko sahihi! Birmingham, Alabama USA!! Soma hiyo!!
@elochoyakobo78094 жыл бұрын
Hata Marekani kuna Birmingham bro iko alabama
@chafumirro56174 жыл бұрын
Halima mdee byebyee
@hassanovajunior69724 жыл бұрын
YULE TOMBOY THIS TIME KAKUTANA NA KISIKI CHA MPINGO AFU GWAJIBOY SERA ZAKE SINAPENYA ATARI NAUWONA USHINDI KWA GWAJIBOY ASUBUHI KWEUPEEE😁😁😁😁💪💪💪💪💪💪
@highzacknnko40024 жыл бұрын
Tom boy anazingua kamanda eangu
@profkelvinlyatuu8634 жыл бұрын
We Ni wakike wew
@laurentraphael54704 жыл бұрын
Kawe kitaeleweka. Kawe kwa Gwajima this time.
@zawadikayaula76834 жыл бұрын
Hayo maneno tulisikia tangu kura za maoni, ya kawaida sasa
@aminahussein54184 жыл бұрын
🤣🤣💪💪ngwaji boy mapema sana baona anachukua
@emmanuelkazungu73824 жыл бұрын
Kama kweli unayosema yatatimia,basi mwenyezi mungu na akuongoze
@hassanovajunior69724 жыл бұрын
Hizi ndio SERA sasa sio yule sago kufoka tu😂😂😂😂
@highzacknnko40024 жыл бұрын
Yaaani jamaa ni jembe
@zawadikayaula76834 жыл бұрын
Namshauri atulie madhamahuni na kondoo wake akisikia njaa anajilia mdogo mdogo! Siasa ngumu jamani!
@minskbelarus72554 жыл бұрын
Upele umepata mkunaji 😅😅😅😅😅😅 Mzee wa ANFIFIRO. Bye bye Bi KIDUDE.
@mgoledaudi60514 жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅🙌
@queenbhanji72234 жыл бұрын
😂😂amfifiro hatak mchezo na kawe
@msafirimondestkutokamwakit1344 жыл бұрын
Unakazi ya mungu nzuri unaona haikutoshi
@masihikalokora174 жыл бұрын
Hii ndo ya Mungu sasa
@seifmketo24214 жыл бұрын
Ww lini ulitosheka
@noelilyatuu81294 жыл бұрын
Kazi ya MUNGU Imemshinda
@bensonbenezeth4 жыл бұрын
Kawe mmepata chombo, mshindwe kukitumia
@kayembesaidi99494 жыл бұрын
Ccm oyeeeeeeee
@goldensneeper69294 жыл бұрын
Safi
@eabdabdallah26614 жыл бұрын
Kutoka Bwana Asifiwe mpk ccm hoyeeee, hii ndiyo transformation ya Mtu aliyeachwa na Mungu
@marthacosmas89164 жыл бұрын
kabisa
@ntandumathayo32574 жыл бұрын
Mungu atusaidie yani dareslam yote inawatu milion 6 lakini gwaji boy atotoa ajira milioni 8 yani serikali imeajiri jumla ya wafanyakazi wasiozid milion 3 lakini gwajima Boy atajiri milion 8 kawe inamaana mpaka waliozikwa kawe wataajiriwa
@mzeewavibedr.40324 жыл бұрын
Kusema kweli Gwajima ni jembe
@kaundasutikaunda77694 жыл бұрын
Hahaha Askofu Gwajima noma.
@officialmartin44324 жыл бұрын
Umeshasaau ulivyo kamatwa na makonda leo eti ccm angalia mbele
@shamimhayat76374 жыл бұрын
Tukikuchagua utengeneze barabara za mitaa na udumishe usalama na usafi
@zawadikayaula76834 жыл бұрын
Tapeli hilo
@michaelluhumbika59244 жыл бұрын
@@zawadikayaula7683 alikutapeli hapo chini au mtoto wakike jalibu kuwa msili basi
@zawadikayaula76834 жыл бұрын
@@michaelluhumbika5924 wewe ni mmoja kati ya misukule aliyo ifufuwa, utaelewa nini?
@michaelluhumbika59244 жыл бұрын
@@zawadikayaula7683 kauze mbele huko au soko limehalibika unawatafuta kwanguvu
@zawadikayaula76834 жыл бұрын
@@michaelluhumbika5924 sasa matusi yanini? Mwenzako nasema ukweli! Sianafufua misukule? Au ameacha!
@elizabetwello61144 жыл бұрын
Kupenya penya et ayaaaaa
@mauthamani4 жыл бұрын
Gwajima anaongea Kama mzee wa mboyoyo.
@danielmoses22444 жыл бұрын
Miaka 10 yuleeee wa iringa hamkumwambia chochote na anagombea tena MKAMWAMBIE pia
@mduduemmanuel45854 жыл бұрын
Amfifiro😄😄😄
@yassiniferuzi28674 жыл бұрын
Chai Jaba Mdee Ashindwe na alegee domo kama Kibifu cha Komoni aende akauze Dengelua Tegeta
@deogratiusdominick88824 жыл бұрын
Mmmmhhhhh kweli mshika mawili moja sijui litaenda wap
@raphaelsamwel26404 жыл бұрын
Mahubiri! Toa mapepo!!!
@officialmartin44324 жыл бұрын
Mbunge ni Halima mdee
@rithamalyagili31304 жыл бұрын
Mbezi juu Kwa londa barabara mbovu tusaidie itengenezwe ili hats daradara nabajaji zipite
@ibrahimharuna43624 жыл бұрын
Hapana asee Kama anahubiri vile amenikumbusha somo la historia kumjua Karl peters na David livingstone kwa kwa picha za kuchorwa kwa mkono,KAWE KUWEN MAKINI NA HAYA MAUBIRI AMBAYO YAWEZEKANA MKAISHI NAYO KWA MIAKA MITANO NA WAKATI HUO JUU YA MWAMBA HUU NITALIJENGA..............
Ni sahihi ibada njema uanzia nyumbani 1...kama umetoka nyumbani bila kusari na kumshukuru mungu akutangulie UTAPATA MAKWAZO MENGI NJIANI THEN UTASHINDWA KUYATATUA COZ UKUMTANGULIZA MUNGU 2..... Kama umtoka umekasilishwa nyumbani na mkeo UTOKUWA SAWA IBADANI 3...Unavo ambiwa ibada njema uanzia nyumbani maana yake FURAHA UTAYO IPATA KANISANI AU MSIKITINI iwe pia au ianzie nyumbani kwako . .......ivo naamini umenielewa na umepatapata maana ya ibada njema uanzia nyumbani.......ila kila MTU ataeleza anavo jua Mimi uelewa wangu umeishia hivo
@joshuamkunda19814 жыл бұрын
vita yako si kuuumbua kwani vya kaisali mpeni kaisali na vya mungu mpeni mungu
@elishachenya53414 жыл бұрын
Mbunge🙄😳🙄🤔🤔🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@samwelalex84174 жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌
@frankmnale19004 жыл бұрын
GwajiBoy .....anafanya maigizo upande wa Bw Yesu....sasa ni yeye na waganga usiku kucha.
@josephgadau89134 жыл бұрын
Madale hakuna maji kwani tokea uhuru Ccm walikuwa wapi?
@Lahyzeecrucial4 жыл бұрын
Na Huyo Halima Mdee anaewakilisha alikuwa wapi siku zote hajalishuhulikia hilo.?
@subirangoleka65724 жыл бұрын
Madale Sasa mumetewa utatuzi wenu MCHAGUENI, huyo mwenyewe ni budget tosha
@michaelluhumbika59244 жыл бұрын
Kwahiyo lilikuwa linaongozwa na ccm mbona unajifokea mwenyewe
@samwelinangole25094 жыл бұрын
Umekatakusema ukweli kwenyeneno lá mungu unaenda kusema uongo umekuwa shetani kwasasa bb unam ww
@mataamiry67204 жыл бұрын
Kumbe ulikuwa unawaibia watumishi wako tu we msanii tu
@OmanOman-sm6dv4 жыл бұрын
Ubunge umeingiliwa😂😂
@leverimlaki56674 жыл бұрын
Kaka na kanisa pia limeingiliwa
@deogratiuskweka84884 жыл бұрын
😂😂😂
@masihikalokora174 жыл бұрын
Kwenye corona ata wake mliwakimbia Gwajima ndo baba lao
@seifmketo24214 жыл бұрын
Ulitaka kuingiliwa ww
@OmanOman-sm6dv4 жыл бұрын
@@seifmketo2421 nilitaka aingiliwe baba yako
@majaliwamsigwa39744 жыл бұрын
Naamini wajumvbe walikupa kura mbili Mtumishi wa ufufuo na uzima,mafuta na maji
@paulmadundo80844 жыл бұрын
naona DJ anampigia askofu singeli background huko, rozi muhando/qaswida hazikuwepo kwenye play list yake au ccm mda wote wanawaza ushetwani tu????. Askofu alishasema ametumwa na Mungu agombee nafasi hiyo kwa makusudi maalumu..sasa unapata wapi ujasiri na jeuri ya kucheza singeli DJ??? epuka laana kabla kampeni kuisha
@cyrusmagata94634 жыл бұрын
Kazi kanisa kahaba eti mchungaji ni mwanasiasa 😭 hii dunia sina la kuongeza
@abellutonja45894 жыл бұрын
Msigwa sio mchungaji
@cyrusmagata94634 жыл бұрын
@@hassanovajunior6972 matusi ni ya nini brother MUNGU akusamehe
@laurentraphael54704 жыл бұрын
Kawe ilipaswa kuwa na huyu mtu longtime.
@moseslee32774 жыл бұрын
Kweli mtumishi umekosea njia rudi kaendeleze kanisa lako huku huna chako
@wilsonmichael11564 жыл бұрын
Hapa Gwaji kapita jmn daah! Kura zote za kawe ni zake hahahahaaa....! Ananifurahisha jmn
@erickmsigwa884 жыл бұрын
Matusi uache 🐶
@mcctz36724 жыл бұрын
Wewe huwezi kuwa mbunge ,wewe ni msaliti tu
@ratifasalumu40214 жыл бұрын
Uwhiii mbona Kama unahubir
@njikuhr18754 жыл бұрын
Waislam mkumbuke kauli yake. Msihisahau kauli yake. Misikiti itageuzwa kuwa madarasa. Wana kawe uraisi mpeni magu. Ubunge pigeni chini uyo
@rinovarthiliwi13144 жыл бұрын
Watanzania lazima mjitambue kuwa CCM wanatumia nguvu za wananchi kujitengenezea jina. Walipa kodi ni Watanzania na wanapolipa kodi hawailipi CCM wanalipa Serekali. Utekelezaji wa miradi ya maendeleo inafanyika kwa kufuata maagizo ya MBUNGE wa jimbo. Hakuna mradi wa jimbo unafanyika bila MBUNGE wa jimbo kuwa na taarifa au kuiagiza Serekali. Hiyo tabia ya CCM ya kuwadanganya Watanzania kuwa wamefanya miradi ya maendeleo waache kabisa. CCM wenyewe kisheria wanatakiwa wakaguliwe kwani wamekuwa na tabia ya kutumia fedha za Serekali kisa tu Mwenyekiti wa chama chao ndio Rais wa nchi. Kodi za Watanzania zinatumika hovyo kwenye kazi za chama cha CCM kwa kuwa wao ndio wameshikilia mpini na Watanzania Makali. Watanzania msikubali hotuba za wana CCM bila kuhoji maswali. Mkiwauliza maswali magumu CCM hawana majibu. Watanzania chagueni wabunge Jasiri wa CHADEMA wanaojua kuihoji Serekali hawa CCM waoga hawatamhoji Magufuli. Askofu mzinifu na hufau kuwa kiongozi wa Siasa. Kama unabaka Kanisani huku mtaani itakuwaje. Lissu ndiye Rais wa Tanzania 2020/2025 mbunge wa CCM hatumhitaji. CCM walikuwa wanatoa miradi yao kwa upendeleo lazima tuwatoe madarakani kwa hiari mkigomea Ikulu tunawatumia G10 na G20.
@kilingahamissi67344 жыл бұрын
Imeisha hiyo,
@barackhuncho24324 жыл бұрын
Oooooh.... Oooooh...oooh
@themessengertz12374 жыл бұрын
Kama Anahubiri ha ha ahaaa haya Sasa
@zakarialugwisha14024 жыл бұрын
Nooooooumaaa gwajiboy
@renatusboniphace58124 жыл бұрын
Tumeanza kufokewa
@reaganlyimo62594 жыл бұрын
Duh
@ikulunimahalipatakatifu76424 жыл бұрын
Bora Mchungaji Gwajima anaongea mikakat ya wananchii siyo wale muda wote wanaogea kugoma na fujo bungeni, mfano wakati wa corona , Hawa ni wapinga maendeleo, ...ni watetezi wa Mafisadi na mabeberu, ni vibaraka.. twende na wazalendo team JPM , hachana na Hawa wapiga deal..
@ephraimkalanje71054 жыл бұрын
Sababu za kugoma na kususia bunge zinajulikana! Wenye akili wanafahamu! Wengi wape, sawa, lakini wachache wasikilizwe! Kwetu wachache hawasikilizwi; sana sana hubezwa na kukejeliwa japo wawe na hoja nzuri. Na wachache hao wamechangia mengi tu ya kufanya nchi iende sawa! Na watawala wametumia mawazo mengi tu kujirekebisha! Wachache kuondoka bungeni si uovu wala udhaifu; ni alama ya kuwaonyesha walio wengi kuwa hwakubaliani na mambo ambayo wanayapitisha; ambayo kwa mtazamo wao wanaona hayana tija kwa taifa! Wabunge ni wawakilishi wa wananchi na wasimamizi wa utendaji wa serkali! Bunge la Ndiyooo! Ndiyooo! Ndiyooo!...laweza kisiwe na tija sana kwa maendeleo ya watu!
@ntandumathayo32574 жыл бұрын
Huna akili ivi mtu anakwambia atatengeneza ajira milion 8 za wanakawe wakati wanakawe wenyewe ukiwahesabu hadi watoto wanaonyonya na ambao hawajazaliwa ambao ni mimba tu ukichua jumla yao hawazidi milion 2 lijinga tu wewe hii ndio umeona mikakati ccm mlishafeli kawe subiri bi kidude akiamshe
@barakafrank18264 жыл бұрын
katulie kanisanii bhana we na ubunge wapi na wapi unadhani huyo mdee ni bashitee
@mybabyarchive21044 жыл бұрын
Gwajima umepanic
@amedemassae46414 жыл бұрын
Siasa imevamiwa
@ibrahimharuna43624 жыл бұрын
Anajisahau anadjan Yuko kanisani kudanganya waumini wake Sasa kaingia kitaa Cha WATOTO wa kihuni wenye uelewa na experience ya hali ya juu sana ya JIMBO LA KAWE,namshaur asijisahau kuwa hiyo ni KINO NDO NII.
@godlovemasamakibatandu20924 жыл бұрын
ukiona kanisa linaanza kufuata ya dunia,ujue hakuna kitu hapo,utaperi umekuwa kizazi hiki,shetani kajigeuza kanisani na kuwa malaika wa nuru.kanisa lote wamekuwa ccm?jambo la ajabu sana hata mkiwa familia moja mtapishana mtazamo,leo kanisa la kibiashara kama hilo? believe me hapo hakuna mungu ila kuna mitaji ya gwajima
@danielonyango72344 жыл бұрын
Mzee wa kupenyapenya huwa unapenya kwenye vingi 😁😁😁
@noelilyatuu81294 жыл бұрын
Hahahahaha
@mainaimma11144 жыл бұрын
Makongo juu ata amzungumzii barabara
@hamisiizadini39384 жыл бұрын
Acha unafiki wewe sio mtumishi wa mungu... Fisadi unaibia kondoo na kuwala kabisa
@amanihamisiwajiingainawaum66914 жыл бұрын
We ni mhubiri unatoa Sera kama unaombea watu ubunge haukufai Sasa
@georgemwapela16544 жыл бұрын
Hawajalipwa na Nani???
@justinekashiriririka86904 жыл бұрын
Uzinzi vip utauzibiti vip
@gangmore90914 жыл бұрын
Njoo muone mbweni y zanzibar
@ibrahimuayubu48434 жыл бұрын
Wewe ilitakiwa uuboleshe uchungaji wko tu ubunge haukufai
@johnyty4984 жыл бұрын
Jamaa anabwajaja kama yupo kanisan
@cyprianshayo40444 жыл бұрын
LAANA INAKUTAFUNAAAAAAAAAAA
@ratifasalumu40214 жыл бұрын
Naona wajumbe hawakuwa naimani naww sasa wanainchi tutakupa kula moja tu
@joshuamkunda19814 жыл бұрын
dini na siasi katu haviendani tosheka.
@saidali63864 жыл бұрын
gwajima huna mipango janja janja tu
@seifmketo24214 жыл бұрын
Mbona weye mwenye mipango hujagombea
@noelilyatuu81294 жыл бұрын
Hana jipya
@massoudsultan39264 жыл бұрын
WAJUMBE HAWANA LAWAMA KITI KIMEPOTEA
@noelilyatuu81294 жыл бұрын
Sana tu
@polepolemgentz57844 жыл бұрын
Leo unakatakakacheo kadogo
@issakapemba61154 жыл бұрын
Hakuna kitu hapo
@chujulee254 жыл бұрын
Nikiwa mbunge nyeto mtaishi ulaya
@daudyusufu66664 жыл бұрын
Unajidanganya
@temkezatv43814 жыл бұрын
"Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@ratifasalumu40214 жыл бұрын
Bunge bila upinzani nisawa na hamnakitu tunataka upnzani uwepo na maendeleo yawepo
@zakarialugwisha14024 жыл бұрын
Tunatamani uje buchosa
@asmanmwaliyego49544 жыл бұрын
Acha tamaa wewe nimchaw SIO mchungaji unataka vyeo had kumi wewe niyuda
@danielspatrick86114 жыл бұрын
Hao watu wote ni waumini wa kanisa lake hakuna mwana Kawe hapo wote ni waumini ambao makazi yao ni gongo la mboto
@masihikalokora174 жыл бұрын
Basi kama wote ni wahumini hao basi Gwajima ni mtu hatari kwa ushawishi
@danielspatrick86114 жыл бұрын
@@masihikalokora17 Leo kulikuwa na gari 23 (Heicher) zimebeba watu kupeleka kwenye mkutano
@mkamariamstaarabu49314 жыл бұрын
Hahahahaha dah sio poa
@festuschunya70674 жыл бұрын
Wewe ni mvamizi ndio.
@hktztv65194 жыл бұрын
TUNDULISU aibua ufisadi unaofanywa na CCM AMTAJA NA MAREHEM MH. MKAPA 👇👇👇👇👇👇 kzbin.info/www/bejne/boaThXiLg7Wgotk
@hassanovajunior69724 жыл бұрын
Mavi wewe
@samsonyemmanuel51604 жыл бұрын
Ubunge kiukweli huwezi kuupata mbele ya Mdee hilo nikwambie ukweli Mzee
@japhetjames97764 жыл бұрын
Huyu nae hajuw siasa anaonge sana
@ellythoby.18594 жыл бұрын
Sasa alitakiwa afanyaje😂😂😂 siasa ni porojo na io ndo porojo yenyewe sasa
@danieljulius47084 жыл бұрын
Siasa ni kuandika???
@festochimulimuli82294 жыл бұрын
Gwajima Ana taka kulinda Malizake Ndio mana Anataka Ubunge Tazama Ujionee Apa Usisau Ku subscriber kzbin.info/www/bejne/jIeagWhsl8-Mfq8
@joshuamkunda19814 жыл бұрын
hebu niache comend yangu hapa nikiwa hai kifupi sikupendi kaaaaaabisa sijui damu tu au sauti yako na matendo yako
@faustinilymo11564 жыл бұрын
hahahahahahaha mmesahau kauli yake alisemaga yeye nizaidi ya rais sasa ubunge tena iyooo vepiiiiiiiii hafu mwanaume habishani na demuuuuuuuuuuuu tatizoooo iloooo
@tulizosteven31934 жыл бұрын
Halima nakuombea upite
@masihikalokora174 жыл бұрын
Apite wapi
@tulizosteven31934 жыл бұрын
Anakopitaga
@annamulungu28764 жыл бұрын
Halima hapiti ng'o. Mtasubiri sana😂😂
@tulizosteven31934 жыл бұрын
Sijakuita
@minskbelarus72554 жыл бұрын
@@tulizosteven3193 TULIA dawa iingie. Usisahau MATUSI🙄🙄🙄🙄
@paulinagaudenci60914 жыл бұрын
Mdee oyeeeeeeee
@hassanovajunior69724 жыл бұрын
Mavi YAKO
@rashidyishika22764 жыл бұрын
Mbn watu wachache mnoo
@emmanuellnason69974 жыл бұрын
Nais jmbo frani
@ramadhanmwandambotuntufye59724 жыл бұрын
Watu wachacheeeeeeeeeee
@masihikalokora174 жыл бұрын
Kama unavyoona kwa uchache na maisha yako yawe na uchache