Рет қаралды 31,538
GWM (Gangster With Matatizo) ni kundi lilikokuwa linaundwa kwa ushirikiano wa wasanii wawili ambao ni KR na D Chief.
Mnamo mwaka 2000 waliachia albamu yao ya kwanza iliyokwenda kwa jina la Mikosi.
Baadhi ya Nyimbo zilizopatikana katika albamu hiyo ni kama ifuafavyo;
👉 Yamenikuta ft Mr II(Sugu)
👉 Bwana Kidevu ft G Solo & Mc Steave
👉 Mguu Nje Mguu Ndani ft Balozi Dolla Soul
👉 Kipe Kitu
👉 Mikosi ft Drez
👉 Mwenye Nyumba ft Drez
👉 Machizi Wangu ft Sloughter
.......
DISCLAIMER:
No copyright infringement intended.
I do not own the audio in this video. They belong to their rightful owners.