Amen 🙌 Na kutazama kwenye you tube nikiwa nchi ya kenya...... Napenda sana mahubiri yako ❤❤
@PaulKyamba2 ай бұрын
Napokea habari Njema Kwa jina la Yesu
@lostanguvila77612 ай бұрын
napokea habari njema ktk jina la YESU KRISTO aliye hai kwenye kila eneo la maisha yetu
@wahidakisingo35882 ай бұрын
Amen
@christinafabian16382 ай бұрын
Napokea habari njema kwenye maisha yangu nakupenda sana babayangu
@areenkasongo55682 ай бұрын
Amen napokea habar njema Kwa jina la yesu kristo
@user-yc4jc3pn6h2 ай бұрын
Amen apostle napokea habari njema in the name of jesus
@kaboberdo2272 ай бұрын
Tunaombea watanzania wauone uzuri na utajiri ulioko Tanzania kuliko ulaya, Sisi tunauna kutoka Sweden. Tumekimbia uongozi usiojali wana nchi, njo tofauti na ulaya. Siku hizi habari ni kwamba hata wazungu watatamani kuja Tanzania na DRC kama tunavyo tamani kwenda ulaya. Kwa sababu ya baraka na maendeleo mazuri ya Afrika, hasa Tanzania na DRCongo. Amen.
@kaboberdo2272 ай бұрын
Nakusikiza kutoka Sweden. Amen kwa habari hii njema.