Wewe sasa inatakikana tukuite DR MANYAU NYAU INTERNATIONAL umefungua ofisi Marekani,Canada,UK na China hiyo si kitu rahisi....kuna watu hapo wanae ma degree lakini hata kupata tu visa ya kwenda nchi hizo ni shida kwao mnyenzi mungu amekubariki Alhamdullilah
@sharifuteacher50254 ай бұрын
Namuonea huruma kwakeli dah allh amnusuru in Sha allh
@raymondrafael34904 ай бұрын
Ameyakanyaga lisemwalo lipo hata majirani wanakaa wanagombana kisa mipaka ya viwanja
@joshuamshange5355Ай бұрын
Safi kabisa kaka umesema ukweli kabisa
@umaima11784 ай бұрын
Kweli kaka manyau hakuna kitu kizuri kama kukaa vizuri kama majirani
@abdulikilala59024 ай бұрын
Mganga mm nakukubali sana hongera sana unaongea ukweli
@SadaSuleiman-gz7ys4 ай бұрын
❤❤tunakupenda sana kwa kazi
@user-fd8ce8ct2m4 ай бұрын
Asante sana kazi nyema
@SenetaKilaka4 ай бұрын
Taz aende jera na apate bwana Ili akome kunyanyasa watu😂
@ChristopherBenedict-w6v4 ай бұрын
Nyau kama nyau umepigaje hapo😢😢😢
@husseinhamisi46224 ай бұрын
jamani tumuogope mungu jamani
@user-fd8ce8ct2m4 ай бұрын
Mashaallah mungu akuźidishiye unaongea kweli police wanarudisha njuma
@abbiecox14 ай бұрын
ila uliwahi kumpiga mwanajeshi Mil 200+ kidogo akutoe roho mpaka ulipolipa ndio ukanusurika. Alikufikisha mahakamani
@user-ng9bn3jj3x4 ай бұрын
Tatizo ni kuua yule mwingine ni muuaji
@jeremiahblazio47814 ай бұрын
Asante
@davidrweyemamu9384 ай бұрын
Ndugu mwandishi kwanza pongezi sana kwa ufuatiliaji wako huu, lakini ukisikiliza analytically kama mwandishi utagundua chuki aliyo nayo huyo mganga! Manyaunyau alimfuata yule kijana si kwa ushauri bali kumchimba mkwara maana kweli kabwana mdogo kalikuwa kanawaponda adharani hivyo alichukizwa na hilo kwahiyo hili tukio lina uwezekano mkubwa kuwepo mkono wake huyu ndugu! Baada ya dust kusettle nenda kawahoji majirani mmoja mmoja kwa usiri watakwambia ukweli wa ugomvi wao hao watu wawili! Polisi hawafichagi uovu mkubwa kama huu wa mauaji huyo mkenya asingeuawa taarifa zake zisienee nchi nzima.
@ZAWADINGEWE4 ай бұрын
Homgera MKUU manyau nyau upo vzr sn.naomba nambaako Dr
@ChibiDayo-bt7sk4 ай бұрын
Sawa Sawa 🙏
@omanoman20444 ай бұрын
Hawa wote ni washirikina mungu awatandike hakuna chamwema hap
Unampenda Mganga wa KIENYEJI (Mshirikina ) kwa Ajili ya Allah ???? Sub'haana Allah
@YusufLubangula-yn6tq3 ай бұрын
Hii midia naipendaga sana Haipepesi
@emmanuelthomas10784 ай бұрын
Iran vs Israel 🙄🙄Nyau Boy 🔥🔥🔥🔥🔥
@JudithTwibonisye4 ай бұрын
Jamani Mungu anachukia Tunapo abudu Miungu mingine .tuache kumuabudu shetani kupitia kuamini watumishi wake ambao ni waganga
@malikamohammed66414 ай бұрын
Taz Bora umekimbia na uje Kenya mana tutakufanyia mandamano Kisha tutakupeleka Venezuela naumia mkenya wetu kafa mumenyamaza 😢
@SmilingCityMap-xb9md4 ай бұрын
Kampuni moja vitengo tofauti mwajili mmoja shetani au kesi ya ngedele ipelekwe Kwa nyani utapata majibu yake hapo
@danieljoseph16104 ай бұрын
Yule dogo hawezi kufanya huo ujinga! Mimi nina uhakika kazidiwa tu na maadui zake kimadawa ili kumtoa barabarani, pia na majirani saingine ni vichomi wanaweza kukuwekea maneno ya majungu! Ila hio ni changamoto tu, atarudi tu! Kama kweli hajahuska kwa chochote, ataachiwa tu! Ukute ye ndo kavamiwa!
Hiyo mbaya sana, usiombe uchukiwe na watu wanao kuzunguka hatar hiyo
@Bashitetako4 ай бұрын
Mh huyu jamaa muongo kwamba marekani hawakupeleki police 😂umefungua office USA na uko tz 😂
@hassansaid38334 ай бұрын
Weee mapaka paka kimbunga amepigaje hapo kwa Taz 😅😅
@athumaniamiri8804 ай бұрын
😅😅😅
@mwanaidisimoni794 ай бұрын
Raia wana hasira alafu mzee wa hovyo kanunua ugomvi duh😂
@kadiakirua76214 ай бұрын
😂😂😂 bongo raha sana!!!!
@YAHAYAMTOO4 ай бұрын
Uko powa dokta kitambo nakuelewaa
@maxmiliankoga27114 ай бұрын
Many au nyau Upo mbona kimyaa
@raymondrafael34904 ай бұрын
Hahaha ndo marekani kaka
@ZainaFatma4 ай бұрын
Umenichekesha tu manyau nyau eti tasnia 😂😂😂
@Bashitetako4 ай бұрын
Ni tasnia si niusanii tu 😅
@iamdavism41634 ай бұрын
Nae mganga ana muomba mwenyezi Mungu 😂
@bonintajiri39584 ай бұрын
Okoka ndugu yangu mfwete Yesu kristo mtumikie yeye
@user-fd8ce8ct2m4 ай бұрын
Nikweli sadakta
@user-vn7dl9mz4f4 ай бұрын
Brother mambo vp ntumie namba Yako kitambo mno
@ElizabethDeusi-sx8di4 ай бұрын
Akuna chuki bwana manyau nyau anasema kweri
@user-ig8nh1en6w4 ай бұрын
Umeongea point bro
@ZamZam-mk4xu4 ай бұрын
Ukweli kabisaa nguvu anapata wapi
@Nailaty5644 ай бұрын
Hata kama mna tofauti zenu kiubinadam haifai kufurahia matatizo ya mwenzako na halitokuwa mnalo litaka biidhini llah ukweli utajulikana Taz hana roho yakufikia kuua
@FarajiChande-wv5hd4 ай бұрын
Pole dada bwanako ameyatimba uko jiandae kukaa heda 🤣🤣🤣
@prezgal88694 ай бұрын
@@FarajiChande-wv5hd😂😂😂
@kilogreekachananawatuwasio40544 ай бұрын
WAWE ANASEMA KILA SIKU UPO KATIKA FULAA KUBWA SANA KUTOKANA NA TATIZO LA HUYU MGANGA MWENZAKO LEO UNASIKITIKA NINI????😂😂😂
@teddytemu28974 ай бұрын
Mbona hamna sauti aa
@BenedictaMagantg4 ай бұрын
Kuua mtu ni.mbaya sana sana Mmefanya vibaya sana.
@Nailaty5644 ай бұрын
Huyu manyau nyau ndo muhusika WA kila kitu Tazi hawezi kuua
@anushkabarvat39244 ай бұрын
Duuh i feel sorry for taz g mh
@kalimbomwero89434 ай бұрын
Zako ni chuki na wivu tu and I feel someone is behind this not taz
@tolatz68274 ай бұрын
huyu manyanyau nilishawah kupanga kwenye frem zake mtu poa sana
@hawaa3414 ай бұрын
Kimemlaba huyo ashapotea tyr
@user-ou9wu4lm3e4 ай бұрын
Umeonge vizuri sana sana kabisa
@Maalim_Samatta4 ай бұрын
Watu tumeinvestment😂😂😂 manyaunyau
@mwanaibrahim24444 ай бұрын
sifatu kutaka Kiki juu ya kiki
@BakariSalum-j6b4 ай бұрын
umepiga nyukriya nyau
@MrishoSamueli4 ай бұрын
Hiindiofaida ya kusoma uganga Kwa waganga wakubwa lazima uwenahekoma kama manyau Nyau yupo ok
@user-tb1qg4bp3s4 ай бұрын
Nawaona2 watu wanavojihami et wanampongeza kisa kasema mizimuyakemikali 😂😂😂😂😂 mungu kakataa ushilikina
@rosehappy23954 ай бұрын
Ila nyau nyau 😅😅
@HusseinChegu4 ай бұрын
Umeongea point kumbe unajielewa manyaunyau
@user-fd8ce8ct2m4 ай бұрын
Sio uganga tu ujisifu tu mpaka una msahau mungu
@user-fd8ce8ct2m4 ай бұрын
Hana vya kujitetea
@AyubuMsindo4 ай бұрын
Mbnanyumba kma choo kweli tz kakuzdsana
@Bashitetako4 ай бұрын
Mie nakutukana we tapeli
@anushkabarvat39244 ай бұрын
Je kama sii taz kafanya hivyo jamani
@mbikamtanganaki4 ай бұрын
Siyo yeye mmemtengenezea bomu mtaumbuka tu
@allywaziry64194 ай бұрын
Inawezekanaje na majirani wanatoa shuhuda
@muuhviva2414 ай бұрын
Wewe ujui kitu tulia
@alfredvilakazi7854 ай бұрын
Utakuja lini south Africa nyau
@jasminmdimi60594 ай бұрын
Kweli uyu ni mkongwe. Manyaunyau nimemsikia toka niko binti mdogo. Uyu ni fundi bwana.
@MwajabuSalehe-yr8ij4 ай бұрын
𝓾𝓷𝓪𝓹𝓪𝓽𝓲𝓴𝓪𝓷𝓪 𝔀𝓪𝓹𝓲
@KhalifaIddy4 ай бұрын
Mbona kama jamaa alikua anakuumiza kichwa sana maana unaonekana unamkandamiza sana
@Dareaziz4 ай бұрын
Manyau nyau anaongea kwa utulivu
@saidsalum16784 ай бұрын
Huyu abanwe Kuna kitu kimejificha
@hafsamnenga19424 ай бұрын
Haswaaaaaaaaaaaaa
@abubakarimussa19554 ай бұрын
Acheni ujinga ninyi watu munaomuona manyau kama anakosea jishikilieni ninyi
@Hamy11094 ай бұрын
Wanaosema yule muuaji anachukiwa kwa mafanikio, hivi wanajua maana ya mafanikio!? Bakhera anachukiwa? Mo Dewji? Gharib wa GSM? Je hawa wanachukiwa? 😂 Yule atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria na wala hakuna mtu anamchukia tapeli yule.
@usher_bambi944 ай бұрын
Hv ni majozi ama majonzi😅😅😅😅
@JacquilineNoah4 ай бұрын
Nyokooo😂😂😂😂😂😂
@Maalim_Samatta4 ай бұрын
😂😂 majonzi sio majozi Tatizo elimu . Mfano anasema watu tumeinvestment😂😂 ndo nini sasa. Si angesema watu tume invest. Most of witch doctors are not educated.
@raymondrafael34904 ай бұрын
Na nyumba yake iko hatiani kubomolewa
@abdulikilala59024 ай бұрын
Mganga unaongea vizury
@rehmastyle44464 ай бұрын
Mshukiwa wa kwanza ni wewe
@misomisomisoji77224 ай бұрын
Vyama vyenu vya kichawi viko vingapi?
@abubakarmustwafa-lg8fe4 ай бұрын
20,Nyie vyenu vya wapumbavu vingapi vile?
@mohammedmahara23394 ай бұрын
😂😅😂😢
@Maalim_Samatta4 ай бұрын
Boya wewe, nani alokwambia ni vyama vya kichawi. Hebu kakojoe ulale.
@regnardelmengird52114 ай бұрын
Nyie nyooote ni mafuckers 😂😂
@misomisomisoji77224 ай бұрын
@@Maalim_Samatta Mimi siongei na wasenge
@officialsharifa4 ай бұрын
Sidhani kama Taz angeweza kuua ni watu wachache wanajaribu kumchafua.
@hafsamnenga19424 ай бұрын
Mchexo tu huwezi kuua ukaweka mtuu barazañi kwako
@hafsamnenga19424 ай бұрын
Mchexo tu huwezi kuua ukaweka mtuu barazañi kwako
@AllyShaban-ms7ot4 ай бұрын
Mjinga ww
@Bashitetako4 ай бұрын
Mh huyu jamaa muongo kwamba marekani hawakupeleki police 😂umefungua office USA na uko tz 😂