Allah amrehem sheikh yahya Hosea Amefariki mwezi wa tatu 2021
@mamafatuma1383 жыл бұрын
Ameen thuma Ameen
@alishaban153233 жыл бұрын
ALLAH akulipeni kheri kwa Kazi nzito munayoifanya namuomba ALLAH akufanyieni wepesi kwa kila hatua
@princessafrash87573 жыл бұрын
I proud to be a Muslim wallah, Today Tomorrow And forever I will proud to Muslim Alhamndullah
@omarnkeshimana50073 жыл бұрын
Mazinge nakupenda sana Allahu Akujaalie kufia katika laaa ilaaha ila LLAHU MUHAMMADU RRASUULU LLAAHI na Allahu Akujaalie umri afia rizki baraka na nguvu zakutangaza dini ya Allahu
@nusurakajubu87855 жыл бұрын
Najivunia kuwa mwisilamu Alhamdullilah
@saadyusuph51364 жыл бұрын
MTOto ni mtoto tu
@mudkhamis30784 жыл бұрын
Haya mm pia
@fubub35954 жыл бұрын
Basi amna shida, ata mimi ba juvunia kuwa mukristu , sio njo kusema mbiguni tumeisha ingiya.
@salehjuma973 жыл бұрын
Mungu anazaliwa na mja wake hii kwel jaman
@salehjuma973 жыл бұрын
Acheni kupelekw pelekw nynyi someni mujuwe ukwel ao wachungaji wenu wapo kimaslahi zaid yaan wapo kw ajili ya pesa tu.
@kibibimwanamvuamohammadmoh98237 жыл бұрын
Allahu akbar.......Allah akulipeni khery nyingi masheikh wetu wapendwa kwa kazi mnayoifanya, wapeni dawaah mpaka qiyama in shaa Allah
@mohdkhamis4913 жыл бұрын
Sheikh mazinge allah akupe hatima njema!
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
Ameen
@tawhidislam44184 жыл бұрын
Sheikh Mazinge Allah akupe nguvu yaku hubiri naku silimisha watu na akujalie Ljanaa Firdaous Amin In Shaa Allah
@khuwailatnassor85217 жыл бұрын
yesu c mungu wala c mwana wa mungu bali ni mjumbe alieletwa n.a. mungu
@mohamedkigwehe37144 жыл бұрын
Upo sahihi kabisa
@hamza899454 жыл бұрын
Khuwailat Nassor vp
@frankjohn85704 жыл бұрын
Kusinge kuepo na haja ya kutumia ngavu na gharama kupinga Yesu si Mungu kama ingekua si Mungu,hata mfalme Herode alihangaika sana na kutumia gharama kutafuta kujua Yesu azaliwa wapi na waliokwenda kumuona mtoto walimsujudia mtoto si wazazi mana aliepaswa kusujudiwa ni Mungu si binadam na jeshi lilikuepo
@issafaquedalaura82794 жыл бұрын
Ya Allah ,Namu
@tawhidislam44184 жыл бұрын
dada et Allah peke ake ndio Mungu wa christo wame potea
@jainaboman89524 жыл бұрын
Mashallah shekhe allah akulinde najivunia kuwa muislam
@tinivanny75627 жыл бұрын
hahahaha Mazinge umetisha Ma sha Allah
@sadasaid68207 жыл бұрын
Masharaha mazinge
@abdillahiomari83947 жыл бұрын
MASHAALAAH DINI YA MWENYEZI MUNGU AMETUPAA SISI HATUNA BUDII KUIFATAA
@salamabahati34092 жыл бұрын
Alhamdhulillah am a ☪️ inshaAllah Allah awaongoze wakristo
@adamualiy45994 жыл бұрын
Wangapi tunashukul kuzaliwa kwenye wislamu laik bc
@blessedanwarammaar68844 жыл бұрын
Alhamdulillah for being a muslim...
@elizawallace29714 жыл бұрын
Hata wachawi wanashukuru kuzaliwa ktk uchawi
@aishaomary80834 жыл бұрын
Maaashallah
@hajikakola72424 жыл бұрын
Wachungaji wao wakokimaslai wanajua fika wakonjia yaupotofu
@tawhidislam44184 жыл бұрын
Alhamdulillah nime zaliwa mu islamu iyo pekeake ni Rehma ya Allah kwangu
@FitFazal3 жыл бұрын
Proud to be Muslim! Alhamdulillah!!!
@hafsandk93063 жыл бұрын
I want to meet him so bad Allahuma barik Dr Mazinge
@hamisimwagarashi9501 Жыл бұрын
Kadhaalika najivunia kua muislamu Alhamdulillah naomba nife ndani ya uislamu Aamiin
@bashitemakonda15407 жыл бұрын
Allahu'Akbar..
@ayunramadhan31044 жыл бұрын
2020 bado naisikiliza raha sana kuwa Muslim from Oman hom kondoa
@loolaa17834 жыл бұрын
Njoleee nkasu
@ayunramadhan31044 жыл бұрын
@@loolaa1783 kansu vii wee
@paulwanyama80967 жыл бұрын
Waeleweshe wakristo wapate kuelewa..
@shambadrudinshamshudin85123 жыл бұрын
..
@tatujuma69207 жыл бұрын
makafiri hawaelewi...pongezi masheikh wetu kwa kutuelimisha zaidi
@ibnmambo77375 жыл бұрын
Tatu Juma hongra tatu
@abdimfinanga41084 жыл бұрын
matony
@joyceleons89163 жыл бұрын
Maana ya kafir ni nin usimwite mwenzio jina ambalo ukiambiwa unachukia
@sabrinasoko4023 жыл бұрын
Maana yakafiri asiye mkubali mungu na mungu hafananishi na chochote... Mungu hazai Wala hazalishi kwaio kafiri ni wakristo pamoja na dini zingine zinazo abudu binadamu ambae yesu na sanamu ama mnyama huyo kafiri Sasa wewe kafiri
@brunomsofe5563 жыл бұрын
Soma mathayo 17.5 utapata jibu zur tu kama yesu ni nani @ tatu juma
@mwanashazinga95386 жыл бұрын
sitojutia hata siku mmoja kua muisilamu.. alhamdhulilah
@rubbenndege43794 жыл бұрын
Hakika kama utabakia kuwa muislam lazima utajutia tu
@salehjuma973 жыл бұрын
Hawez kujutia coz uislamu ndio dini ya haki(hhhhhh eti mungu kazaliwa)
@sabrikhvuai23273 жыл бұрын
@@rubbenndege4379 000000 mpaka motoni
@sabrikhvuai23273 жыл бұрын
@@rubbenndege4379 wewe kweli ndege utachomwa ndani ya moto wa jahannama
Subhanallah ALLAH atulinde na ukafir na vizazi vyet ALLAH anasema wanataka kuizima nuru ya ALLAH lakin wapi sie tunamuamini kwa ghaibu na yesu tunamuamini kua mtume sasa na nyinyi munao sema yesu ni mungu mulimuona au mulikuwep alipo sema kua yeye ni mungu hamuwezi kuizima nuru ya ALLAH subhanahu wataala ALLAH akuhifadh na atupe mwisho mwema na nyinyi akuongozen
@amnesaid43023 жыл бұрын
Amen inshallah
@hashimjombaa61295 жыл бұрын
Napendaga anavyo soma shee hamidu
@muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын
Kinyogoli kamaliza kesi...Mungu akubariki ..
@wizebiligetwaziri55403 жыл бұрын
Uchache wa elimu mnasoma mahandiko nusunusu alafu mnajenga hoja kubwa yesu ndie mungu akuna awezae kwenda kwababa bila kupitia kwangu full stop
Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa nyie wakirsto hamfunuki vichwa na hamtofunuka vichwa mpk kitacmama kiama
@Awatee3 жыл бұрын
@@dadiyanka8223 ALLAH awaongoze kwa Rehma zake
@ashsabubakar39913 жыл бұрын
@@Awateeدء
@nyimbozawokovuzote74082 жыл бұрын
Nilipokuwa mtoto, nilisema kama mtoto, niliwaza kama mtoto, nilifikiri kama mtoto. Nilipokuwa mtu mzima niliacha mambo ya kitoto. 1 Wakorinto 13 : 11.
@maherzain6153 жыл бұрын
Subhanallah.yaani mwamshindanisha mungu na kiumbe chake yesu.kuwa kiumbe ndio mungu.aliemuumba sie.
@daudyussuf81802 жыл бұрын
Inna lillah wainna ilyahi rajiun inshallah Allah amujalie pepo yake
@nyimbozawokovuzote74082 жыл бұрын
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli. Yohana 4 : 24. Lazima tuongozwe na Roho wa Bwana ilituelewe mambo ya Mungu.
@issaabdallah76604 ай бұрын
Unapoambiwa mungu ni roho maana yake roho haionekani kwahiyo hata mungu haonekani
@antonymartial16583 жыл бұрын
Mazinge kazi nzuri kabisa. Asalaam aleikum
@MoherZO3 жыл бұрын
Kwa mujibu wa pastor bible inajibadilisha Mara yasema yesu ni mungu Mara ya sema yesu ana Mungu wake...kitabu cha kujichanganya
@SukainaShujaa6 күн бұрын
Kweli
@bintmarmar43235 жыл бұрын
huyu pastor ananichekesha asema yy Qur ani ana istahazi lakini haiiamini inn shaa Allah iko siku utàiamini
@mudkhamis30784 жыл бұрын
Aamin
@nasseradel97843 жыл бұрын
Uislamu dini ya haki Allah atupe mwisho mwema inshaallah
@muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын
Wakristo wawanataka kumuona Allah ndo wamuabudu....kama maneno ya Mungu yanaeza pasua milima je ukimuona Mungu siutakufa
@mussamahmouud89444 жыл бұрын
Mungu nimmoja tu Allah wenginewote walobakia vikaragosi 🤲 Allah turehem duniani na Akhera amiin.
@eyasitiayubu62713 жыл бұрын
Watu niwabishi yesu mungu duu
@heyumi23403 жыл бұрын
Alhamdullillah Alhamdullillah kuzaliwa Muslim
@abdallahmsengi26323 жыл бұрын
Mashaallah sijutii kuzaliwa katika uislam
@samanthaali8735 жыл бұрын
Masha Allah
@abisairobert50983 жыл бұрын
I'm proud to be Christian
@salamabahati34092 жыл бұрын
Yesu ni mtume wa Mungu sio Mungu
@JeanMuzaliwa-bs6qh9 ай бұрын
even me too!
@allyabdallah43573 жыл бұрын
Ujanja ujanja tuu daa kweli ni mtihani sana
@ahmadimpili54566 жыл бұрын
Kinyogoli, mola akujaalie mwisho mwema.
@AbfullahiMuhammad Жыл бұрын
Nipenda.kaziyaku
@shakilashak33374 жыл бұрын
Niwabishi san ila wanakubali walipo ambiwa wanyosha mikono wakaacha..Waislamu tulinde imani zet Allah awanusur nawatoe katka upofu inshaallah 🙏🙏🙏🙏
Suali kwa wakristo hapo kwa Time 57:55 Petro wa Kwanza. 3:18minutes kama Yesu ni Mungu, ni mungu yupi aliyepandisha Roho ya Yesu?
@brunomsofe5563 жыл бұрын
Huyu ni mwanangu mwanangu mpendwa wang ninay pendezwa nae msikilizen yey mathayo 17.5 mwenyez anasema Haya maneno
@nelsonsalumuclovis7533 жыл бұрын
Najivunia Sana kuwa mkristo
@katibamaulid2864 жыл бұрын
Allah akupe ziada za kheri
@wilberchannel53463 жыл бұрын
Mazinge swali zako za kitoto roho wa Mungu na akuonekanie ili uweze kuelewa.Kuna waislamu walionekaniwa na yesu kisha wakaokoka
@muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын
Weeeee!!!!!
@nyimbozawokovuzote74082 жыл бұрын
Mtu ambaye hana Roho wa Mungu hawezi kupokea mambo yanayotoka kwa Roho wa Mungu kwa sababu mambo hayo ni upuuzi kwake; na hawezi kuyaelewa kwa kuwa hayo yanaeleweka tu kwa msaada wa Roho. 15 Mtu wa kiroho anao uwezo wa kupima kila kitu, lakini yeye hapimwi na mtu. 1 Wakorinto 2 : 14, 15-15,16
@mudkhamis30784 жыл бұрын
Yani kila kitu kipo wazi vo lkn wanajifanya hawaelewi eti, dahh yani nakaa nikiwashangaa sna, hakika dini yakweli ni uislam pekee nusuruni nafsi zenu akhera ni azabu juu ya azabu kwa walomuasi mungu nakujitoa akili hakuna kuonelewa huruma
@yussufebrazzy6404 жыл бұрын
Masha Allah mazinge
@muhidinally37535 жыл бұрын
Hii ni hatari huyo Mwalimu wa Kikristo ni mweupe mno. Inaonekana hajui chochote
@bilalissack75734 жыл бұрын
Mazinga n mwalimu na nusu
@khalidwalid95147 жыл бұрын
Allah akbar
@lewismwanzia34797 жыл бұрын
lau wakenya tungeifanya mihadhara mingi kama watanzania bila shaka elimu ya dini tungeipata sana, kumbe ukristo ni mpakwa mafuta Ndio maana yake Sii dini, isitoshe kila yesu alichokifanya ni cha kiislamu tu! mathalan kufanya sala misikitini, kufunga ramadhani, kuvaa kanzu, wanawake kujisitiri, na kadhalika...
@rskiabdala48686 жыл бұрын
Uo nd ukweli ulivo
@frankjohn85705 жыл бұрын
Lewis Mwanzia kweli ingesaidia watu kumpenda mungu au kumkataa kwanguvu zao zote mana kamailivyo ni kweli kristo ni mpakwa mafuta NDIPOSA TWANENA. YESU KRISTO MPAKWA MAFUTA WA MUNGU HII NI TANGU KUWEKWA MISINGI YA ULIMWENGU. NA. BAADA YA YOTE HATASASA YESU YUPO MBINGUNI. NA ATARUDI KUUHUKUMU ULIMWENGU. KWAVILE NI MPAKWA MAFUTA WA MUNGU NAE KWAVILE HAKUPENDA KUUCHUKUA UTUKUFU WA BABAYAKE AKAITWA JINA LAKE. YESU AMBALO NI JINA LA BABAYAKE ILI KILA ATAKALOLIFANYA IWE UTUKUFU WA MUNGU AMBAE NDIE MWENYE JINA KUU LIPITALO YOTE(YESU) YOHANA 17:17 tena bwana YESU hakutenda jambo kwa nafsi yake Bali ya babaye, hakuna jambo gumu LA kumshinda Mungu, kama aliongea kijitini vipi ashindwe kuongea ndani ya mwanadamu,tatizo LA wengi ni ugumu wa moyo
@mudkhamis30784 жыл бұрын
@@frankjohn8570 umeskiliza vizur lkn yaliyozunguzwa naona hujaelewa kumbe, kuwa mwislam kwafaida yko tunaokenda si siosehem ya masiraha, ni azabu juu ya azabu
@mudkhamis30784 жыл бұрын
Lewis Mwanzia hua ndoukweli, dini ya haki na yakweli ni uislam pekee tu asikubabaishe mtu wewete, inusuru nafsi yko kwakuwa muislam kabla hujatangulia mbele ya haki
@AbdulAbdul-pr9qe4 жыл бұрын
@@frankjohn8570 mbona kila comment yako inaonyesha kwamba kuna Mungu na yesu alafu bado unashikilia kuwa yesu ni Mungu?
@rashidjumamohamed34374 жыл бұрын
Maa Shaa Allahu
@farajibuteta62583 жыл бұрын
My favorite yahaya hiyo bibble ameikalili yote
@user-bi4um8cn2u3 жыл бұрын
YAALLAH. Mpe. Elimu. Zaidi. Shekhe. Mazinge.
@muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын
Roho yake ikahuishwa swali yy ndo Mungu aloihuisha Nani...
@EMMANUEL-jw4kt4 жыл бұрын
Waislamu hamna wanachojua
@muhaadan69013 жыл бұрын
MAA SHAA ALLAH MSOMAJI YA MUISLAMUUU
@daudyussuf81802 жыл бұрын
Dinii ya haki mbele ya mwenyezi mungu ni uislam
@JeanMuzaliwa-bs6qh9 ай бұрын
nipeye andiko ndani ya qu'ran inasema dini ya kweli ni islam!
@SukainaShujaa6 күн бұрын
Ipo
@husnamiraj92523 жыл бұрын
Najivunia kuzaliwa kwenyedini ya kweli
@JeanMuzaliwa-bs6qh9 ай бұрын
dini ya kweli ya wapi?unajivunia dini ya majini,nyie mungu wenu yuko makkah ndani ya sanduku ambalo ni jiwe jeusi!
@zedimohamed80333 жыл бұрын
Amen yarabi
@ahmadamigeyo39293 жыл бұрын
Takbiiiiiiiiiiir
@athanaserazaro65173 жыл бұрын
Wangapi tunashukuru kuzaliwa wakrsto
@alimaalima60167 жыл бұрын
swadaqta mashekhe wetu
@rilkabuya65193 жыл бұрын
Mungu amrahamu shekh wetu yahya
@husnamiraj92523 жыл бұрын
Mungu ajazaa wa ajazaliwa ivyo yesu co mungu
@allyabdallah43573 жыл бұрын
Subhanallah kweli huu ni msiba mkubwa Sana yani hawa jamaa kweli wana shida sana
@mrshinezamil30327 жыл бұрын
hatari mazinge
@munirashughuli72243 жыл бұрын
Uislam rahaaa tu
@msalabanreko70014 жыл бұрын
Jaman fata iman yako usiangalie imani ya mwenzako nan utamkosea mungu bure
@mikyfosikama87522 жыл бұрын
Wallah uislam raha jamani
@mkimbiziboy3 жыл бұрын
Taqibiluuuuu
@munasumai66694 жыл бұрын
Mkirsto mbishi sjui walilishwa nn Subhanallah.
@Awatee3 жыл бұрын
Msiba huu ALLAH anasema ktk suratul Baqarah katika nyoyo zao kuna maradh huzidishiwa maradhi ALLAH atuongoze nao awanyooshe njia ilionyooka kwa Rehma zake
@MUSTAFAMWINYI-be5dc3 ай бұрын
Aisee marehemu Yahya alikuwa kiboko.Amehifadhi maandiko kwa ufasaha.
@aminalukotera53004 жыл бұрын
allhamdullih kua muislam
@nostusmchilo56453 жыл бұрын
Lichochezi hili muda wote udini mumeishiwa vya kufanya mulize ponda kilicho mkuta