Nitakuwa na furaha pale nitakapo muona hajji manara kurudi yanga! Yaliyo pita si ndwele na tugange yanayo kuja, na mwomba rais wa TFF wafute adhabu ya manara na tuna mtaka arudi mzigoni na siku ya mwananchi tu mwone
ndio yanga oyeeeeeeeeee 😁😁😁😁😁 ndo mambo yotee zungumzia tulipo.
@abdisalim790011 ай бұрын
Masuali ya kweli hutaki kuzungumzia ila kwa matusi unaizungumzia,endelea tu kubaki na vilaza wenzio
@dicksonmakunenge4614 Жыл бұрын
Uliwakaririsha na bado wamekariri mpaka leo kweli uliwafanya mambumbumbu na wanafiata yako uliyowadanganya
@victornyese90092 ай бұрын
Manara peke yake ndio anjua history ya mpira Tanzania hii
@amisamaurid18822 ай бұрын
Huyu ndo msemaji asiye poa Haji manara nikama ndimu kwenye chai ya moto yupo na maharage yaliyopoa yupo na mtamkoma xana
@AdamSaffi2113 ай бұрын
Hana kitu huyo Haji, mbwa koko, mwizi mkubwa huyo
@philipshija3651 Жыл бұрын
Kuna makombe mengi TU Yanga na Simba SC zimeshinda. Mfano Kombe la Mayor wa Kampala Yanga ilitwaa 1978 Kombe la Jengo Kombe la Mayor wa Dar es salaam mwanzoni mwa miaka ya 1970s(Hayati mstahiki Omar Londo,nk) Kwa kifupi ni kwamba Yanga ni Bingwa wa nchi yetu Kwa maana zote(Bara, Muungano) Mara 29, Pia ni Bingwa Afrika Mashariki na Kati mara 5(Siku hizi kagame Cup) Simba SC ni bingwa wa Soccer nchi yetu (Kwa maana zote)mara 22 Bingwa Afrika Mashariki na Kati mara 6. Hapo kwenye Mataji ya ubingwa jumla ya Yanga ni 29+5=34 Simba SC ni 22+6=28 Makombe ya FA (yamepitia majina kama Nyerere Cup nk) Takwimu zake mnazo. Woote wawili wamefanikiwa ingawa Yanga inayo mengi zaidi.
@abdulimpingo61562 жыл бұрын
manara ana akiri uyo
@Gadafionlinetv2 жыл бұрын
Bugati ni manara Na manara ni bugati
@morganallan3835 Жыл бұрын
We Manara unaongez kama nani?
@anordpactina8572 жыл бұрын
Unaongea hadi unajing'ata mdomo kweli pesa hatari sana
@godfreykebu79352 жыл бұрын
Manara anatapatapa huyo mchana yanga ucku simba huyo ni mwoongo njaa zinamsumbua mwambie ahesabu hata ng'ombe
@iddothmani42492 жыл бұрын
Nyie njaa mbaya 😁😁
@honoratakimara6362 жыл бұрын
Sana
@e-mzambuli66472 жыл бұрын
Manara baraaaa
@bakarmohd92952 жыл бұрын
Aljununu fununu wazimu uko wa namna nyingi
@athumanmfangavu73202 жыл бұрын
Huyo ndio manala
@cettyamandus29292 жыл бұрын
Nyie uyo chizi tu amedauka
@marysaimon22132 жыл бұрын
Iyo jezi kali hatar
@piusmwakyembe45452 жыл бұрын
Umebanwa kazi kuongea uongo huna lolote
@neemamwasomola8663 Жыл бұрын
Wajambishe hao
@kenethlutala80532 жыл бұрын
Mweuyo
@geophureysamsoni5033 Жыл бұрын
Wewe madenge degedege
@jordankikoti10452 жыл бұрын
Njia ya mwongo nifupi
@hashyaminata1712 жыл бұрын
Bdo xhem
@cettyamandus29292 жыл бұрын
Shoga was mayeele
@rossmaryphases85092 жыл бұрын
Bugat
@hizzomaplan14092 жыл бұрын
Kwani mdomoni amejing'ata meno
@fikirikulwafikiri28952 жыл бұрын
Nimeamini ww manala nimunjwa wahakili je wakati unawambia wa Tanzania kua simba ndoyo timu yenye makombe mengi kuliko timu yeyote Tanzania ulikua umekatwa kichwa au ulikuwa umevuta bangi kwa ilo inatosha kukutambua kwamba ww ni mwehu ulie vaa nguo munafiki mkubwa una hata aibu nazambi zako
@swalehesalim96302 жыл бұрын
Acha kutaja bangi kwenye vitu vya kijinga bac😂😂
@KINYOTA_MEDIA_OG2 жыл бұрын
Mtoto wa halamu ndivo anavokuaga japo sio wote we jiulize mama mwafrica baba mwafrica mtoto mzungu kosa nila nani ?
@songoroali48692 жыл бұрын
Acha upumbavu wewe mwenye haramu unamkosao mungu umejiumba
@hajisoud46122 жыл бұрын
Aliekwambia manala mama ake mzung nan
@hajisoud46122 жыл бұрын
Acha uboya ww uhalamu unaujua ww
@asaaomar50002 жыл бұрын
Naww pia nimtoto waharam mtoto wahalali hamwambii mwenzie maneno hayo
@khamisnassor58332 жыл бұрын
Kweli shoga anakuwa hana aibu yaani mtu akikuita shoga bora upigane tu huyu keshapita mpaka ushoga
@ruqayyahmohammed31882 жыл бұрын
Hemka muhim mtu anatetea ugal wake Natafuta hela pengne nihasira yakukosa ajira
@sharifumasokola53832 жыл бұрын
Ata wewe shoga maana umekukaa mpaka unaamua kuwapachika na wengine