Huyo mama karume kaongea wapi sasa nyie nao mizinguo
@GibsonNtamamilo2 ай бұрын
Magoma yuko sahihi tunazugwa na ushindi. Bodi ya Wazamini imepewa fedha. Haiwezekani wakaingia mikataba ya kimangungo kuanzia miaka 5 Hadi 10, wakati watani wetu hawazidi miaka 3. Kuhusu kwenda mahakamani anakuwa na hoja nzito. Asikilzwe, Jezi zimetoka 25,000/= mpaka 70,000/= huku gawio la timu ni 1,300/= tu.
@maclaudismail66062 ай бұрын
Kamnunue.chama kwa bukujero ya jezi 😂😂
@FrankMpole-r7u2 ай бұрын
@@maclaudismail6606😂😂😂
@eliyaraphael2 ай бұрын
Wewe ni kolo,,,, huna lolote na Magoma hapati kitu pale kuwa mpole
@SaidiMkome-qq7hy2 ай бұрын
Mama karume gani uyo😁😁🏃🏃🏃
@robertphilip3852 ай бұрын
Mke wa rais wa kwanza wa zanzibar
@RabeccaAdam2 ай бұрын
Hogera sana mama
@MayleenDonaldharris2 ай бұрын
Magoma nakupendaa
@jeremiahcharles60272 ай бұрын
Hoja kwa hoja ,,leta hoja😁
@MayleenDonaldharris2 ай бұрын
Nyoooo, mtajibeba Babu Mzee anaongea ukweli
@AshrafuJuma-l3l2 ай бұрын
Katobwe uko kumamayo Koro wewe hiii yanga kubwa kuriko bibi yako
@ibrahimmseti2 ай бұрын
Wazee kama hawa hawafai. Itangazwe wazi kuwa siyo mwanachama. Ijulikane,ili hata akikutana na" Gen Z " wa Yanga
@AllDesigningTZ2 ай бұрын
Chanel hii ni ya hovyo
@chemstry4092 ай бұрын
Kabla ya kuruka agana na nyonga.... 😂😂😂😂😂
@JudyUrio-zy7ri2 ай бұрын
Asante dada nyie ndio wenye yanga
@sundaysHassan2 ай бұрын
kwahiyo huyo ndio mama karume?
@warakawayohana28962 ай бұрын
Watu kama Magoma wanatakiwa sana watu wasijisahau kupiga hela
@MajaliwaJuma-c5g2 ай бұрын
Anasumbuliwa nanjaa
@MajaliwaJuma-c5g2 ай бұрын
❤
@EliasNtejile2 ай бұрын
Njaa inaumbua utu wa mtu
@amanmalima9402 ай бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@charlesmwasi76462 ай бұрын
Unaokoka duniani???
@ShukruMakoko2 ай бұрын
Huyu mama karume niwakufoji
@AmosKayega2 ай бұрын
We mama magoma Yuko sahihi
@AminaTanzania2 ай бұрын
Ongea mama etuu
@MayleenDonaldharris2 ай бұрын
Washenzi nyieeeeeee😛😝😜🤪
@MohdAliHaji2 ай бұрын
Sasa mbona anashinda kesi
@kalebphilip34262 ай бұрын
Shkamoo magoma,umewapa adabu Hawa migongo waz
@yakobokuzenza68372 ай бұрын
Kuma la mama yako
@chandeyusufu95702 ай бұрын
Njaaa mbaya kweli
@bsmonline84822 ай бұрын
😂😂😂😂 Eti huenda ana Katiba yake nyumbani
@GibsonNtamamilo2 ай бұрын
Mungu ndiye anajua kitakachokuja hapo baadaye. Kama yuko sahihi tutashuhudia issue fulani kwa Yanga😂😂😂
@زيتونتنزانيا2 ай бұрын
Yanı ndugu nikwamba magoma anataka kəsi na vigogo wa serikali maq kawashtaki kinamwiguru tarıma mama karume saşa magoma anaringia nini😅😅😅😅
@mohammedgulamali88492 ай бұрын
Huwezi mama huyu kasema ukweli.. na mapenzi na yanga.
@stevensosipita2 ай бұрын
ACHUKULIWE HATUA KALI ZA KISHERIA NA AFUNGWE ILI IWE MFANO KWA WENGINE..
@FilipoBahava2 ай бұрын
Amezoea tunaomba Serikali imwadabishe ni mzee OVYO
@eliudmugendi96192 ай бұрын
Issue ni kuwa anachosema ni sahihi ama sio sahihi
@DanielSinavangi2 ай бұрын
Asant mama kwakutufumbua macho.ukweli tumeupata Sasa kagoma kaingia chakike sana
@madarakamarumbo61022 ай бұрын
Sasa huyo ni mama Karume? Huyo ni Siza Lyimo
@ErickSingano-o8r2 ай бұрын
Ss sio watoto msicheze na akili zetu ulikua wapi hukumu ina mwaka sasa leo ndo mzee aonekane mbaya achen hizo kaen myamalize
@damianmcba95252 ай бұрын
Hukumu ina mwaka mbona club aijui kama kuna hukumu mpaka mwezi uliopita wamefatilia wenyewe baada ya kusikia tetesi? Hiyo mahakama aijui yanga inapatikana Wapi? Kwa nini awakuhitumia club hiyo hukumu? Mzee njaa tu sijui km ushamskia akiongea utajua ni njaa tu,, Yanga taasisi kubwa nenda kaungane na huyo Magoma uhone km kitatokea chochote """
@CharlesLutandula-y3c2 ай бұрын
Yeye amesema mpelekeni ahakamani
@OsmanSiame-ou8ty2 ай бұрын
Mshenzi sn huyo babu
@bsmonline84822 ай бұрын
Huyu mama eti hapa Magoma hela hapati
@mnolamanyendi49562 ай бұрын
Musimtishe mzee magoma asikilizwe
@dismasfabian21222 ай бұрын
Cc tunataka furaha hayo mengine mnayajua ninyi
@papykatoziking23952 ай бұрын
Mzee ni njaa iyo yanga msaidiyeni mjengeeni nyumba nzuri basi atatuliya
@OS-pf6op2 ай бұрын
Hakuna kumjengea chohote! Hata banda la tope!
@robertphilip3852 ай бұрын
Waliomtuma wamjengee
@EliasNtejile2 ай бұрын
Alikuwa wapi kujega alipokuwa kiongozi wa tawi
@robertphilip3852 ай бұрын
@@EliasNtejile hela zake alikua amefungia kwenye flaiz
@HadijaKiwambu2 ай бұрын
Anataka ajengewe nyumba angoje nyumba ya mwisho ajengewe ye nyau mtu mkubwa onvo
@AbshirMubaarack2 ай бұрын
Magoma pa1 na hii Media iliyoppst jina la Mama Karume wote wachkuliwe hatua za kinidhamu.Mama Karume ni Mtu Mkubwa jmn
@salimalaquimane30772 ай бұрын
Tuonyeshen nyumban kwake uyo mzee
@AbrahamMMcharo2 ай бұрын
Mama Karume tafadhali muadabishe huyu mtu,katumwa huyu kutuvuruga. Si kuadabishwa TU hata bakora apewe za kutosha. Zee zimaa LINAKERAAA. Likapige migoma huko huko!!!
@julianajeremiah43532 ай бұрын
Acha hawanyosheeee
@RashidRajab-oz5ec2 ай бұрын
Sasa si mko na mwana sheria nendeni mahakamani mka mcahalange ukweli ujulikane tu c kila mtu Ana haki
Magoma.mfukuzeni yanga.kwa usalama wake amechokoza.taasisi kubwa
@jeremiahcharles60272 ай бұрын
Team ,imeuzwa ,ila wanajificha kwenye mafanikio
@MohamediSleyum2 ай бұрын
Kazi ipo hapo yani hatuelewi nani mbaya kati ya wote waloshtaki
@zee-ow2wr2 ай бұрын
Mbona hatoi hoja anachamba huyu mama?? Magoma kama ameghushi hzo saini s sheria zipo? Mamlaka zpo mumpeleke akafungwe?? Bas ni kwl kuna ktu hapa yanga? Na ww mwnye page uchwara huyo ndy mama karume? JINGA SANA
@agreykayombo14662 ай бұрын
Tunahitaji kauli ya Mama Karume sio huyu
@MohamedyHuseni2 ай бұрын
Mohamedy ally
@sylvestercameo62632 ай бұрын
Mi ni mwanachama niko Mwanza nina machungu sana na huyu zumbukuku....
@muhamedjaffar56532 ай бұрын
Utuliv wa aina gani .achen8 kutetea wapigaji.magoma kaongea facts tupu.
@eliyaraphael2 ай бұрын
Katika walio comment wote ww ndo umecomment Utumbo , kati ya Injinia na Magoma MPIGAJI nani hapo kama magoma anasema yeye anataka awe anapewa pesa kdg na wakati anakwambia ada ya uanachama halipi Sasa MPIGAJI nani au we kolo unataka Yanga ipolomoke Ili Upate urahisi Bado miaka mingne minne mbele ndo uwe bingwa
@mohdkhatib2232 ай бұрын
Wewe ni kolo ndio maana unamtetea magoma
@muhamedjaffar56532 ай бұрын
@@eliyaraphael ubingwa mnachukua kwa bahasha na marefa na kudhamin team sita .ilo sina shake mtachukua kwa kua wazee wa tigo pesa .
@ALBERTNyemba-uk3fr2 ай бұрын
Kwann msimfute uwanachama shida ni nini???
@MawazoKitumbo2 ай бұрын
Magoma asikilizwe Yuko sahii muache kumnyonga,mnyonge mnyonge I ila mpenz hak
@SafinaDanieli2 ай бұрын
Ww ni kolo
@DELAVEGA-c5x2 ай бұрын
Magoma anawapiga mande mamaee😂😂
@muhamedjaffar56532 ай бұрын
Mahakama sio wapumbav wamejiridhisha wakaona yuko sahihi.na uyu dada anachochea ugomvi kwenye maelezo yake.magoma komalia kwenye haki wataelewa tuu badae
@hamadihamisiambale89432 ай бұрын
Huyo mzee ni magoma moto njaa yamsumbua
@jumannemagawa50952 ай бұрын
Yani hata picha yake kuoona tu popote inaleta hasira sana kwa upuuzi alio ufanya.
@ALLYHMHANDO2 ай бұрын
Magoma. Onvo
@CharlesLutandula-y3c2 ай бұрын
Mpenihakiyake
@EliasNtejile2 ай бұрын
Mama nakuomba umsamehe Bure Mzee magoma.Kwani njaa hupoteza utu wa mtu hasa ukiwa mvivu wa kufikiria.
@kassidpandu8662 ай бұрын
Mzee Magoma ana kitu na ana maono ya mbali wacha Awashitaki hamkuwa na Nidhamu nyie
@GabrielMyinga2 ай бұрын
Wazee wangu wa yanga nawaheshim Sana na Nina waamini kwani magoma yy ni nani mpaka achafue hali ya hewa yanga huyo tunamkabidhi kwa wazee wa yanga wamalizane nae.
@KhalfanNuhu2 ай бұрын
Magoma fala tu njaa inampa tabu
@SultanSuleiman-qf7cx2 ай бұрын
Huyu Mama yupo na akili sana Yani YANGA Ina watu sana
@nicholauskilosa53362 ай бұрын
Atafungwa kama pelemende
@DELAVEGA-c5x2 ай бұрын
Kadange huko poch manyoya Kwan unafikir mkimua magoma ndo uhai wake mnaongezewa nyinyi Kila mtu ardhi inamsubiri nyoko ww 😂et ndo unaenda kwenye uzee si bib kabisa dooh hutak kuzeeka leta Hilo bunyanga tulisolobeke ukuni mamaee
@DamianMasawe2 ай бұрын
Mama karume yupo wapi hapa
@andrewmuya72122 ай бұрын
Habari sio sahihi na kichwa Chako Cha habariAcheni uongo online tv
@VictorAlchard2 ай бұрын
Magoma yuko sahii😂
@edwardmizambwa2372 ай бұрын
Mama huyu anachochea uadui utakao leta madhara makubwa sana kwa mashabiki. Mahakama, kwenye wabobezi wa sheria wameona Eng amekosea. Eng anaona ugumu gani kukaa na hao wazee wskaongea kama mahakama ilivyotaka? Sema tu Magona kalikamua jipu mapema, ila lipo.
@robertphilip3852 ай бұрын
Peka usimba huko umbea tu unakusumbua mbona nyee mlimkataa Mzee Hamisi kilomoni? Na mka muua Mzee wa watu
@mutakagoza47592 ай бұрын
Majinga ya makolo yanaangaika
@bullekisimikwe38522 ай бұрын
Kumbe Magoma bwabwa eee
@GilbertGombeye2 ай бұрын
Magoma anapenda vita aende ukrein huyo si mwanachama huyo
Nyinyi Yanga hamjielewi aliefoji sahihi sio Magoma bali kunamtu ambae ndie aliesema anawawakilisha wadaiwa wengine na sio, mimi nipotayari kuweka dau lolote kama Magoma ataguswa kwa fojari.
@BahatiO2 ай бұрын
Gen z malizaneni na huyo babu jamani shabiki wa yanga kutoka 🇰🇪
@mohamedymkopi58872 ай бұрын
ieleweke kuwa magoma siyo aliesambaza izo taharuki waulizwe hao walipokwenda kuchukua file mahakamani wakati kess haiwahusu then kuanza kusambaza habr hz mtandaoni… ye wala hakuusika straight 🎉