Manshallah hongereni mungu awaalinde na ndoa yenu 🙏🙏
@lilianmungure83742 ай бұрын
Ila Manara Mungu akusaidie sana,unasifia mkeo badae unamwacha,acha tabia ya kuoa na kuacha Mungu hapendi hiyo tabia,Nawaombea maisha mazuri Mungu awatunze
@MaryamAdam-nc7ho2 ай бұрын
Mungu awabaliki muishi muda mlefu sn napenda hivyo nawapenda sn Alla kalim
@esthernekoye-ly5cx2 ай бұрын
Mbona kama zai anafanana na yammi
@ukhutfatumah11542 ай бұрын
. Mashaallah Allah azid kuwapa masikilizano katika safali yenu hii
@fatmaabdallah77092 ай бұрын
Mwenzangu na mie ungekuwa unaandika speech kwenye karatasi shogangu ila leo umenifurahisha umekaa haswa kama mke mashaallah!
@angelaminde12472 ай бұрын
❤❤❤❤hongera sana
@jamilaathumani54812 ай бұрын
Mashalah..mara nyingi majina ya herufi ya z ni waaminifu na wanawivu Sana na wakipenda wanapenda kwel..napia herufi ya z wanabahati Sana yakuolewa
@neemanziku54032 ай бұрын
Manar wake zako wote huwa unawasifia ivovo
@DeoSeme-qe9qq2 ай бұрын
Hongereni,Msisikilize maneno ya walimwengu Pendaneni saaaaana❤❤❤❤❤❤❤
@salomewandya72572 ай бұрын
❤❤❤
@RisasiRisasi-uj8fk2 ай бұрын
Hajji anazungumza ukweli uliopo,yakibadilila atasema,mimi nimempenda sana haji,yupo muwazi
@Zainabumsafiri2 ай бұрын
Mashallah mung awalinde ktk kila wakat awaepushe na husda na hasdi❤❤
@Malangalusaede2 ай бұрын
God bless
@AminaJuma-r4y2 ай бұрын
Mkiachana hutaebdelea kuwa meneja wake😂😂
@nishaabdula50152 ай бұрын
Manara atadumu na uyu mke kwa sababu zai hn mappepe na sio muongeaji sn
@sskondopoleani96162 ай бұрын
Bakiza MANENO, hukawiii KUGEUKA
@RahelSimon-bm8tm2 ай бұрын
Nasubiri siku niko gerezani nipate sifa zangu
@hafsasaid96662 ай бұрын
In shaallah kwauwezo wa Allah mtadum kifo tu kitawatenganisha
@zainabzain34342 ай бұрын
Inshaaallah
@SaudaKhamisi-vb8uv2 ай бұрын
Hongera sna
@frankmichael4112 ай бұрын
Jezi yangu nitumie
@HhBbh-tn5uh2 ай бұрын
Huna lolote na yule mwengine ulimsifia kupita maelezo😮😮😮😮😮
@teddymutani8562 ай бұрын
Yani manara anapendaga hadi anaoza unaeza kuta huyo anayempend yy hata moyoni hayumo angepunguza kupenda kwa kuonesha wazi ndo maana huea eanamyenda
@SuuhPrecious2 ай бұрын
Huyuu zay anakupenda xanaaaaaaaa mwanamke mwenye wivu nimapenz
@aishahasan77222 ай бұрын
Hata Rubby alimsifia hivohivo lkn wapiii😢😢,, achakujimaliza Hajji hukawii kubadilika😂😂😂
@SesiliaTemu2 ай бұрын
Mpaka leo anampenda Ruby mimi nampenda Ruby ni mtulivu ,
@SuleimanKhdija2 ай бұрын
Kweli haji huu wapii
@uwimana65332 ай бұрын
Anaweza kuampole akawahana heshima namume japo haji anamapungufu yake 😂😂
@uwimana65332 ай бұрын
Hongera sana 😂😂😂
@ChritinaMasenga2 ай бұрын
Ukipata kujaliwa ,na kuheshimiwa na mtoto wa ma mkwe ushukuru,maana Pesa inatafutwa lakini faraja inapatikana kwa mtu,deka zai wangu,tulia na ndoa yako mama.
@rehemafeysali44442 ай бұрын
God bless ❤
@LindaMbilinyi-n3n2 ай бұрын
Km kawaida yko bugati kupongeza kunaendana na kuchamba😂😂😂😂😂😂
@ChristinaOnditi-el3xo2 ай бұрын
😂😂 hapo kwenye muda zai badilika, ila kwenye wivu nimependa zai zidisha, tonge Hilo upokonywe tonge mdomoni😂😂😂
@SuleimanKhdija2 ай бұрын
Basi haji usijimalizi ukisifia saana unaharibu
@verobecamfipa86552 ай бұрын
Hajui kama vina muda
@SuleimanKhdija2 ай бұрын
@@verobecamfipa8655 kwakweli
@aiaiomar56232 ай бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉
@EmmanuelJeremiah-r2s2 ай бұрын
Kuwa na akba ya maneno uta zalilika hawa viumbe hawajawah aminika bro
@saidasaid58552 ай бұрын
Aibu kwa kweli eti mtoto wa kiswahiki😂😂😂na masimango ya kuchomekea😂😂😂eti ulaya mara kumi😂😂😂
@ZainabAbdullah-bc6pu2 ай бұрын
Sisi letu jicho😂
@jamilaathumani54812 ай бұрын
Ila sijapenda swala la kumsema mkeo kuwa anamadhaifu sijapenda...apo kwel kuhusu yanga nimependa...usipokuwa yanga kwel juha🤣🤣🤣🤣Aya majuha mpooo??
@issazalala49072 ай бұрын
Kaka ongea kidogo tu 😂 wana wake Hawa someki atakupga tukio ohooo
@leaherasto9292 ай бұрын
Zai katoboa
@radicaemmyradia2 ай бұрын
Wambea wakuweka hayo maneno kesho tujuane🤣🤣🤣
@jacquelinelukumay95352 ай бұрын
Utulie sasa
@salama11132 ай бұрын
Kikiumana hayo maneno utayakataa hukusema ww😂😂😂😂
@maryammohd87172 ай бұрын
Mashaallah
@FatumaHassan-l5g2 ай бұрын
😅😂😂😂
@FortunataMasigati2 ай бұрын
😂😂😂😂
@juliennenzeyimana32742 ай бұрын
Tunasubiri muachane fimbo iri mpiga mwenzako naweye itakupiga tu