Nasaha kwa tapeli anaetumia jina la Sheikh Othman Maalim kudanganya watu ||Ustadh Haji Upepo

  Рет қаралды 19,088

Haji Upepo Online tv

Haji Upepo Online tv

Күн бұрын

Пікірлер: 153
@abdulkarimsalum356
@abdulkarimsalum356 7 ай бұрын
Umefanya kazi kubwa sana shekh
@AliBadru-r2f
@AliBadru-r2f 7 ай бұрын
Tunashukuru sana ya Ustadth Upepo. Kazi na mitihani unaupotoshaji mwingi
@AbdulSwamad-t2e
@AbdulSwamad-t2e 7 ай бұрын
Mungu akupe kila lenye kheri inshaallah maalim umeokowa umma wa kiislam
@minaziparasu9074
@minaziparasu9074 7 ай бұрын
Mashaallah Allah azid kukubainisha waovu wanaochafua dini ili uwabainishe ktk jamii kwa kuulinda uislamu
@ednamachocho3059
@ednamachocho3059 7 ай бұрын
Ustadh Jaza yako utaikuta kwa Allah. Kazi hiyo ni kubwa sana. Ni wengi wangepotoshwa
@abdulkarimsalum356
@abdulkarimsalum356 7 ай бұрын
Tena kazi ya Uhodari unahtaji pongezi nyingi sana umeokoa umma mkubwa sana
@IbrahimHaruna-v8p
@IbrahimHaruna-v8p 6 ай бұрын
Allah akujaze kheri shekh
@aminaabdulghanim8256
@aminaabdulghanim8256 5 ай бұрын
Jazakallahu kheir sheikh kumuanika
@Fahad-ew4fn
@Fahad-ew4fn 6 ай бұрын
Allah atuongoze kwakweli mana mtihani huoo kwakweli
@TalibMsham
@TalibMsham 7 ай бұрын
Ahsantee alhabyby wangu nakupeenda sana Alhajj kwa kutuelimisha jambo hili. Asante.
@asiateacher
@asiateacher 7 ай бұрын
جزاك الله خيرا يا أستاذي
@aliymurid4433
@aliymurid4433 7 ай бұрын
Hahahahaha. Fani ya thanawi. Umenifurahisha Sana maaalim
@SaidIssa-tq3yv
@SaidIssa-tq3yv 7 ай бұрын
Shukran sheikh Haji. Usichoke kuwakosoa Hawa majahili wa zama hizi.
@istambulahmed6664
@istambulahmed6664 6 ай бұрын
شكرا وجزاك الله خيرا وبارك الله فيك
@balkisamisi2131
@balkisamisi2131 5 ай бұрын
Barakallahufik
@AbdallahAbuuhafsah
@AbdallahAbuuhafsah 7 ай бұрын
mashaAllah shekh keep it ip
@OthmanAmour-i6e
@OthmanAmour-i6e 7 ай бұрын
Duh! Huu mtihan kweli faailu anamfanya maf-uul na maf-uul anamfanya faailu hili balaaa😢😢😢😢 mungu atuongoze.
@sleemhamoud4394
@sleemhamoud4394 7 ай бұрын
Itakuwa mwanafunzi wa Mohd BACHU mwalim Chengu na mwanafunzi ndio hio
@ednamachocho3059
@ednamachocho3059 7 ай бұрын
Huu ni mtihani mkubwa sana sana
@kassimkipande1858
@kassimkipande1858 7 ай бұрын
Mwenyezi mungu akubaliki sana shekhe wetu
@abdulkarimsalum356
@abdulkarimsalum356 7 ай бұрын
kaz uloifnya imeleta matunda. imempunguza upepo wakibri kajua kuomba radhi. hongera sana asnte kw kutusaidia ulezi
@hassankhalid3308
@hassankhalid3308 7 ай бұрын
جزاك الله خير
@thamani5842
@thamani5842 7 ай бұрын
Jazakallahulkheir Sheikh
@abdulkarimsalum356
@abdulkarimsalum356 7 ай бұрын
Hahah nmecheka sanaaaaaaa
@Fahad-ew4fn
@Fahad-ew4fn 6 ай бұрын
Allah atuongize kwakweli mana mtihani huoo
@rashidmalengwe6776
@rashidmalengwe6776 7 ай бұрын
allah atakulipa shekhe kwa kumuonya mpotoshaj
@NassorKhamis-l6r
@NassorKhamis-l6r 5 ай бұрын
Mashallah
@khalidabas252
@khalidabas252 7 ай бұрын
Ustadh haji kwny hili jambo la tiba asilimia kubwa hao mashehe wake wanatutapeli sanaa hasa wazanzibar. Allah atuongoze
@lacroquetalacroqueta6813
@lacroquetalacroqueta6813 7 ай бұрын
MashaaAllah
@sulekhan7119
@sulekhan7119 7 ай бұрын
😂😂😂Njaa kali
@AbubakaliShabani
@AbubakaliShabani 7 ай бұрын
Asalam alyikum warahmatullahi wabalakatu shekhe wangu naomba uniunge ktk magrup yako ya darasa za kusoma
@AutoCarimo
@AutoCarimo 7 ай бұрын
Vijana wenzango kazi
@AimanHazar-k5o
@AimanHazar-k5o Ай бұрын
Nyei kila kitu watu hawajui
@suleimanrashid8495
@suleimanrashid8495 7 ай бұрын
TCRA tunaomba ifungwe hii channel ya huyo jamaa
@MiishHassan-qm1et
@MiishHassan-qm1et 7 ай бұрын
Ama tumrippti ndio ifungiwe haraka🥱😂😂
@generalchannelgapuli7055
@generalchannelgapuli7055 2 ай бұрын
Almuhim ni ujumbe
@YahyaAli-o9z
@YahyaAli-o9z 7 ай бұрын
Asslm alykm akhii fiillah hii style ulokuj nay ww so mzr Wala sikatk tabia ya wema waliotangulia kwanza kinachonichukiza mm kwako ni haya maneno unayo andk ktk maudhui Zak ungejarb kutumia maneno mazr
@mudrickbachan2442
@mudrickbachan2442 7 ай бұрын
duuh mtihani huu mwalimu
@AimanHazar-k5o
@AimanHazar-k5o Ай бұрын
Wewe uko Zanzibar au pemba...kwenda chaina...au napel...au kwenda... Jamaica... mbona utawakusesha wengi...
@AimanHazar-k5o
@AimanHazar-k5o Ай бұрын
Nyinyi mnasubiri MTU akishaanzisha mada.. ndio munajifanya munarekebisha.umma
@generalchannelgapuli7055
@generalchannelgapuli7055 2 ай бұрын
و ما حكم إمام مثل ذلك رجل
@AlbaloshiAlbaloshi-f1w
@AlbaloshiAlbaloshi-f1w 7 ай бұрын
Achukuliwe atuwa Kali kabisa asije aka upoteza Ummaa , kwa ajili ya Allah fanyeni haraka wepesi
@wazirimwanyoka7949
@wazirimwanyoka7949 7 ай бұрын
Doh
@dancanmusakhionganyo4270
@dancanmusakhionganyo4270 7 ай бұрын
😢😢😢
@alijuma9951
@alijuma9951 7 ай бұрын
Mtihani
@CLEVERBOY004-cr5cc
@CLEVERBOY004-cr5cc 7 ай бұрын
Ustadh haji ushawahi kuwa na darsa mskiti wa Hawaii?
@YakubuMursali
@YakubuMursali 7 ай бұрын
Kazi ipo
@abdulkarimsalum356
@abdulkarimsalum356 7 ай бұрын
Tunatakiwa tupate mafunzo jamani tusilazmishe kutafta umaarufu wakat hatuna elimu
@PongwaHamdu
@PongwaHamdu 7 ай бұрын
Mhh mtihan kwa kwl
@mussamtupa
@mussamtupa 7 ай бұрын
Zamani ilikua huwezi kusimama mbele za watu mpaka Shekh alie kusomesha ajilidhishe kama unaweza Hiyo kama haitoshi atatafuta shekh mwengine akusikilize akijiridhish ndipo uruhusiwe kusema Hata ukitunga kitambu lazima kipitiwe na mshekh mbalimbali Kisha ndipo unarusiwa kuki toa mbele za watu Sasa hivi hayo hayapo
@SaidRuhamba
@SaidRuhamba 7 ай бұрын
Allah akulipe umetuelimisha sote Amin.
@mussaissa6796
@mussaissa6796 7 ай бұрын
WANACHUONI WANA SHIDA SANA,YAANI SHEIKH UTHMANI MAALIM JINA LAKE LINACHAFULIWA KIASI HIKI!! INA MAANA MTU ASIYEMJUA SHEIKH UTHMANI MAALIM HALAFU AKAAMBIWA HUYU NI MWANAFUNZI WAKE, BILA SHAKA ATADHANI KUWA NA HUYO SHEIKH WAKE ATAKUWA HIVI HIVI ALIVYO MWANAFUNZI WAKE.
@furahajacqueline1339
@furahajacqueline1339 7 ай бұрын
Mjini shulen wajameni😂😂😂ili mradi mkono wend ki nywani😂😂Allah atuongoz 😊
@nouraynaasheikhunkabir3749
@nouraynaasheikhunkabir3749 7 ай бұрын
Nimemsikia akisema ذالك kwa tanwiin , dhaalikan 😂😂 Maa shaa Allah jamaa anajua hadi hajui tenaa😂😂
@hassanally446
@hassanally446 7 ай бұрын
Kweli kabisa shehe
@badrudiniabdulkarim1059
@badrudiniabdulkarim1059 7 ай бұрын
Ustadhi Hajj mimi ni mtupu ila huyu kazidi😂😂😂 hayo makosa ya kinahau hapo hata mwanafunzi wangu hakosei hivyo😂😂😂😂😂
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 7 ай бұрын
Hajji upepo ana raana za kutukana wanazuoni wakubwa utubu kabla hujafikiwa na malaku lmautti mr.upe po umetafuta kiki duniani umesahau kesho kuna akhera
@mwanamutemi
@mwanamutemi 7 ай бұрын
wajua aana ya LAANA ? wewe ni msanii ? Upepo anatafuta kiki gani hapa ?si lazima uandike kama huna cha kujulisha Umma,unajiaziri
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 7 ай бұрын
@@mwanamutemi raana kuwa mbali na rehma ya Allah hasa atawatukanaje maulamaa wakubwa na mtume alisema wanazuoni katika warithi wa mitume hata kama wanakosea unawsema kwa adabu lakini huyu anawatukana wanazuoni wakubwa atakuwa karibu na allah sasa unavyo dhani lazima uwe mbali na rehma za Allah unamtukana mwanazuoni anavuta bangi hata kiarabu chenyeww akijui vzr hata kiting'a kitabu kimoja hajawahi tunga ummah ukamjuwa kama kuna hajji upepo raana kukaambali na rehema za Allah nyama ya wanazuoni haramu ww unaowatukana siutakosa razi za Allah
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 7 ай бұрын
@@mwanamutemi unawwtukana wanazuoni wanavuta bangi na kitabu huna hata kimoja ulichoandika hata ulimwengu kujuwa kama kunamtu anaitwa hajji upepo unawwtukana wanazuoni na kuwasema vibaya utakosaje raana za Allah unamsema mwanazuoni anavuta bangi ndo adabu hiyo
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 7 ай бұрын
@@mwanamutemi raana kuwa mbali na rehma za Allah je anaemtukana mwanazuoni ataridhiwa na allah siutawekwa mbali na rehma zake ilmu enyeewe mwenzangu na mimi bado unaingia mitandaoni kuwashambulia wanazuoni na kuwaita wanavuta bangi subuhana llah ndo shekhe huyu kijana au shekhena kama anawazazi wamshauli mwanao anapotea ulinganizi wakutukana mashkhe wakubwa mtume ndo akufundisha uislamu wa namna hiyo??
@mwanamutemi
@mwanamutemi 7 ай бұрын
@@AbdulIssa-o7e naomba nitajie matusi na pili maje huyo mwana chuoni alotukanwa pls
@abubakarnassor8280
@abubakarnassor8280 7 ай бұрын
Nyie wanafunzi nyote inabidi mwalim wenu akupigeni bakora ww na uyo she idi nyote wanaume hawatakiwi wawe hivyo punguzeni mipasho nendeni kwa Mwanachuoni wenu Othman Maalim mukaekane sawa
@HamoodKharboosh-sw4qu
@HamoodKharboosh-sw4qu 7 ай бұрын
Subhanallah,sheikh mtafuteni mumuongoze maana kuna wanao muamini anawapoteza katika kusoma qur'an jambo ambalo si zuri.Hata kama ame block namba yako na unajuwa anapoishi basi mfuateni.
@AimanHazar-k5o
@AimanHazar-k5o Ай бұрын
Sisi tunamuelewa
@hasubukhamis1579
@hasubukhamis1579 7 ай бұрын
Huenda ana majini
@allynassor2851
@allynassor2851 7 ай бұрын
Haahaaaa fani ya thanawi
@allynassor2851
@allynassor2851 7 ай бұрын
Fisadi mkumbwa zaidi ni mjinga anaefanya Ibada iddi akubali kusoma aisiw ni mtu wa malimwengu
@hythamhashiem4458
@hythamhashiem4458 6 ай бұрын
Kweli elimu ni bahari ndio na yeye akazama
@lailafakhihaji
@lailafakhihaji 7 ай бұрын
Atakua kichwa hakipo vizuri msamehe tu
@AimanHazar-k5o
@AimanHazar-k5o Ай бұрын
Lugha ya kiarabu sio lugha yetu
@generalchannelgapuli7055
@generalchannelgapuli7055 2 ай бұрын
Basi mufundishe
@SabiyaSwaleh
@SabiyaSwaleh 7 ай бұрын
Sheikh kule kuku block peke yake kumetambulisha .. hana elimu ya kutosha .....
@omanoman2044
@omanoman2044 7 ай бұрын
Huyu ni njaa inamsupuw wallah hajielew huyu asikuumize kichwa
@hamzamohamedKeslivol
@hamzamohamedKeslivol 7 ай бұрын
Bado Makosa ya Mtandao haijaanza kufanyiwa Kazi Tanzania
@hamadyussuf5307
@hamadyussuf5307 7 ай бұрын
Iddi njaa inasumbua na Hajji anatafuta umaarufu, 😢 mtihani mzito
@HemedSerious
@HemedSerious 7 ай бұрын
Wewe unatafuta kichaa
@HUSENSHARIF-in3nd
@HUSENSHARIF-in3nd 7 ай бұрын
mm namuomba shkh hajj Aniunge ktka grop lake la wasap
@NasirJussa
@NasirJussa 7 ай бұрын
Mimi kiukweli haji upepo sikukubali sana ila kwa hili nakusapoti asilimia mia Moja 😂😂
@HemedSerious
@HemedSerious 7 ай бұрын
Wewe usimkubali muislam mwenzako inabidi ukubaliane na makafiri
@generalchannelgapuli7055
@generalchannelgapuli7055 2 ай бұрын
Hhhhhhh
@AbuuKhuzaymah
@AbuuKhuzaymah 7 ай бұрын
Pengine jamani hajui nakufundishwa anajiskia aibu mm naomba mumchukulie hekma
@UmmuJauzan
@UmmuJauzan 7 ай бұрын
Lakini nia yake njema kufikisha ujumbe
@omanoman2044
@omanoman2044 7 ай бұрын
Siku hizi zanziba imebadilika sii zanziba ya miaka ya nyuma sihuko tuy hata uarabun wamehamia huku anae toka pemba am unguja wamekuw wezi wanaibia watuy pesa mizigo mtihan san
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm 7 ай бұрын
Huyu kweri ni tapeli wa mjini
@Burange666
@Burange666 7 ай бұрын
Anafaa achomwe moto atoswe baharini.
@HamisAlly-g6m
@HamisAlly-g6m 2 ай бұрын
Nyinyi mnaoneana choyo wewe na idii mnajuana vizurii lkn wewe ni husdar TU Acha uhusda haji hujielewii mnatia Aibu Dini
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh 7 ай бұрын
Msiba mkubwa huu
@Burange666
@Burange666 7 ай бұрын
Kiarabu cha Mwera huyo ndiyo Mufti wao inaelekea anavuta bangi huyo Shehe Idi Ukwaju bin mabangi.
@lacroquetalacroqueta6813
@lacroquetalacroqueta6813 7 ай бұрын
Mpe udhuruu🙈
@siti3197
@siti3197 7 ай бұрын
Hivyo sio krekebisha mtu kama yeye halikutaguta mbon ww usimtafut .uko kando sio sawa ndugu zangu. Waislam
@RayaRashid-qc8cn
@RayaRashid-qc8cn 7 ай бұрын
Tapeli kapatikana,😂😂😂😂
@generalchannelgapuli7055
@generalchannelgapuli7055 2 ай бұрын
Kujya Uganda utashangaa wako kama huo
@iddijumaali7192
@iddijumaali7192 7 ай бұрын
Kwani haji uzawwijuka ni fiilu gani😂😂😂
@HUSENSHARIF-in3nd
@HUSENSHARIF-in3nd 7 ай бұрын
Mm nakuomba shekh uniunge ktk grop lako lawasap
@ZakirIbrahim-zv4ik
@ZakirIbrahim-zv4ik 7 ай бұрын
Kwanza kabisa kwa ushahidi uliopo alitakiwa akabidhiwe kwenye vyombo vya sheria kwa uchunguzi, KZbin yake ingefungiwa kwa muda, kinachonishangaza mimi huyo badala ya kufundisha namna ya kujikinga anafundisha namna ya kumdhuru mtu
@samuelmuthui4699
@samuelmuthui4699 7 ай бұрын
Waalimu wa dini wawe na vyeti. Kuwe na chombo cha kudhibiti...
@abdul_azeez_almaamir
@abdul_azeez_almaamir 7 ай бұрын
Jildil kibsh 😂😂😂
@mattarjaiskel4625
@mattarjaiskel4625 7 ай бұрын
Sheikh usisahau kuwa kuna hadithi ya mtume rehma na amani ziwe juu yake inayosema watu wenye elimu siku ya hukumu Allah atawaita na atawauliza ulikuwa ukifanya nini mja wangu na huyo mja atasema mimi nilikuwa nikiwafundisha watu dini yako na Allah atasema kumjibu mtu huyo kuwa wewe ni muongo hukufanya kwa ajili yangu lakini ulifanya ili watu wajuwe ni kiasi gani una elimu na halafu ataingizwa motoni. Hivyo jamani yapaswa kila tunapofanya jambo tulikaguwe tunafanya kwa ajili ya nani na kwa msukumo gani.
@AhmadMohamad-ew8vo
@AhmadMohamad-ew8vo 7 ай бұрын
Kama kweli ungependa kumkosoa basi ungemfata pembeni na sio hadharani
@MulhatAly
@MulhatAly 7 ай бұрын
Sasa ss tungejuwa vp
@abuujihad8411
@abuujihad8411 7 ай бұрын
Unaongea sana ila ww unaonekana hujui chchte umetumwa inaonekana kakushinda
@hythamhashiem4458
@hythamhashiem4458 6 ай бұрын
Ni vipi mtu huyo? Lakini Mtume asema إذا لم تستحي فاصنع ماشئت أو كما قال عليه الصلاة والسلام
@thamani5842
@thamani5842 7 ай бұрын
Kila usiku ukacha hali inazidi kua mbaya. Yaani mtu unatapeli kwa kujipachika ushekh usokua na kichwa wala miguu
@FatuNahimana
@FatuNahimana 7 ай бұрын
Sasa jamani viyongozi waki islam wako wapi mtu kama huyo kwa nini hawa mu adabishi
@jumamohamed628
@jumamohamed628 7 ай бұрын
Habiiby naomba uniunge katika group lako la Wattsapp
@hajiupepo3146
@hajiupepo3146 7 ай бұрын
0776119341 Tutafute watsap
@furahajacqueline1339
@furahajacqueline1339 7 ай бұрын
Asalam aleykum upo Tz?​@@hajiupepo3146
@ahmadally5554
@ahmadally5554 7 ай бұрын
Eti shkh hajj unajiita shkh ww
@HemedSerious
@HemedSerious 7 ай бұрын
Tukuite ww mwehu au
@rashidhemed1444
@rashidhemed1444 7 ай бұрын
Weye unamkosoa nendeni basi mukatoe chalenji
@nouraynaasheikhunkabir3749
@nouraynaasheikhunkabir3749 7 ай бұрын
Elimu bahari ndio maana anazama 😂😂
@AnziziAbudo
@AnziziAbudo 7 ай бұрын
musimuwache atatupoteza😮😮
@JumaRajabHaji
@JumaRajabHaji 7 ай бұрын
Yaani nyote wawili munapaswa mukakae kitako kwa Masheikh musomeshwe, musitiane aibu mwenye elimu hajisifu namna hiyo. Hebu watafuteni wenye elimu muisikilize midahalo Yao. ألا بذكر الله تطمئن القلوب
@AbuuAnuwar-ip7dr
@AbuuAnuwar-ip7dr 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Eti anafani ya thanawy
@mussaabissallamy994
@mussaabissallamy994 7 ай бұрын
Mm sijasoma lkn kwa huyo jamaa apo hamna kitu
@abuubabamzazi
@abuubabamzazi 7 ай бұрын
Mm nataka kuminyanatu😂
@MWAMBAZanzibar
@MWAMBAZanzibar 7 ай бұрын
Huyu sheikh ungeachana naye tuu naona kama vile umemtangaza tu
@hassansingano1150
@hassansingano1150 7 ай бұрын
Uyo anasoma kama ilivyo andikwa katika kitabu chake. Awo wako wengi sana
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН
黑天使只对C罗有感觉#short #angel #clown
00:39
Super Beauty team
Рет қаралды 36 МЛН
BAYGUYSTAN | 1 СЕРИЯ | bayGUYS
36:55
bayGUYS
Рет қаралды 1,9 МЛН
ILI KUFAULU MAMBO YAKO UYAFANYE KUA SIRI // SHEIH OTHMAN MAALIM
43:30
arkas online tv
Рет қаралды 29 М.
CHOZI LA MWANAMKE LINAFUNGA MIKONO - SHEIKH OTHMAN MICHAEL
40:20
Sheikh Mselem bin Aly ajibiwa vikali kuhusu funga ya arafa na Ustadh Haji Upepo
18:27
SHEIKH :-OTHMAN MAALIM"HISTORIA YA KUUMBWA MAJINI MPAKA KULAANIWA
1:04:48
Mawaidha ya Othman Maalim wema hauozi | kisa cha kijana aliyevuta bangi
52:54
Idh - har online Tv
Рет қаралды 110 М.
MAKUNDI MAWILI SIKU YA KIAMA. - Sheikh Othman Maalim
1:14:45
Arahman Tv Online
Рет қаралды 119 М.
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН