Рет қаралды 3,217
Sababu tano (5) kwanini unahitaji youtube channel:
Nilialikwa na bwana James Mwang'amba katika LIVE session kupitia instagram yake kuzungumzia umuhimu wa kuwa na youtube channel na nilielezea mambo matano hususani wale wanaotamani kukuza vipato vyao, basi hii ni fursa ya wazi kabisa ambayo inaweza kubadilisha maisha yako kama ukiwa makini na tayari kujifunza inawezaje kukusaidia.
Kama fursa yoyote nyingine inahitaji umakini na kujituma ili kuweza kupata kilicho bora zaidi, na uzuri wake ni vile kila kitu kinakuwa chini yako mwenyewe kwahiyo uwe na uwezo mzuri wa kujisismamia tu na kujifunza zaidi kila siku.
Sababu tano kwanini unahitaji youtube channel:
1. Ni rahisi zaidi kufikisha ujumbe kwa njia ya video kuliko nyingine yoyote ile.
2. Ni rahisi na haraka ufanikishaji wake, (It's quick and easy)
3. KZbin ndio platform kubwa ya pili katika serach engines baada ya google.
4. KZbin ni platform pendwa zaidi ya Facebook kwa sasa.
5. Utafurahia zaidi wakati wote wa kufanya kazi kwenye youtube huku ukiendelea kujifunza.
.
Channel ya DEEN EZDEN : / @deenezden114
.
Channel ya JAMES MWANG'AMBA: / @jamesmwangamba5124
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#KZbin #Channel #Muhimu