Watch the livestream on Facebook / horizontvkenya Follow us on: FaceBook: / horizontvkenya Twitter: / horizontvkenya Instagram: / horizontv.kenya Horizon TV | Beacon For The Nation
Пікірлер: 23
@kijanahodari20803 жыл бұрын
MashaAllah sheikh umetufungua akili kuhusu Al badir
@binbarwan74013 жыл бұрын
Hujafunguka bdo nenda kamskilze shkh izzuddin pia af uje uniambie
@furahamsabaha42382 жыл бұрын
Mbabaifu huyu, mzee, mungu anasema ,: waman yaqtull fissabilli llah walla takullunna ammuwataal ball ahhayaau, hao ni mashahidi wahllalibadri, unaposema Hawana maana unatushangaza sana ,!!
@hajihassan54333 жыл бұрын
Sheikh Juma nakuamini sana lakini hapa umeniangusha. Ungeshauri sio vizuri ningekukubali sio kusema haifai. Kuna njia 4 za kumuomba Mungu katika Uislam:- 1. Muombe Mungu mwenyewe 'directly'. 2. Muombe Mungu kupitia (Tawasul) Waja wake wema Ahlulbadri ni mfano wa hao. Hoja dhaifu kusema wao wamekufa watakuokoa wewe, sikutegemea kupata sentensi hiyo kwa Sheikh Juma. Mbona Mtume Muhammad SAW tunamuombea dua na kumsalia, sisi wasafi kuliko yeye? 3. Muombe Mungu kwa kutaja mema utayofanya au maovu utayoacha nk (Nadhiri). 4. Muombe Mungu kwa "UCHAWI" "Mungu atuepushe" njia hii Mungu yupo karibu kuliko njia zote LAKINI kasema mlango huu tusibishe hodi (tusimuombe) ni HARAMU na ataepita atampa kila kitu hapa duniani lakini hana toba mbele ya Mungu na kaangamia mtu huyo (Mungu atunusuru).
@aairraahseif56483 жыл бұрын
Sadakta,masheikh wengi nimesikia wao wakiipinga hii, lakini ikisomwa mbona yafanya kazi na walio tenda ubaya wakadhurika hasa
@nadirbolo66873 жыл бұрын
@@aairraahseif5648 uchawi pia inafanya KAZI.mtume asema "kathaba munajimuna walau sadaqo" meaning wachawi pia hupata. Albadiri ni uchawi na haina nafasi katika uislamu.
@genichenurdin409 Жыл бұрын
Sheikh wangu nilikua nakukubali sana kumbe maarifa yako ni kidogo kiasi hiki...!🙆
@jesmirmohamed34673 жыл бұрын
Wanao soma hio ahlul badri si eti hawaombi mungu mungu ni yule mmoja anae ombwa. Na hawaombi ahlul badri. Tufahamishe vizuri bado hujaeleweka
@mwanaishamlima20473 жыл бұрын
Hahaha umezungumza vizuri shekhe Juma wanaficha uchawi wao kwenye Dini wachafizi wafanyao hayi
@jesmirmohamed34673 жыл бұрын
Shekh ukweli hapo huja leta hoja watu wafaidike
@bennymochiwa48003 жыл бұрын
sheikh wangu hapo umeteleza (tawasul) haina maana unawaomba hao waliopgana vita bali unamuomba Mwenyezi Mungu kupitia watu hao kwahyo aina maana watakaotenda ni wao bali atakaetenda ni Mwenyezi Mungu Kupitia watu hao, Mwenyezi Mungu anajua zaidi
@aairraahseif56483 жыл бұрын
Sadakta,nahizo za somwa ni Du'a na sio uchawi, au wale watu walo kufa ndio huyafanyia nguvu haya bali ni Du'a kwa kumuomba Allah na mtume wake kama tufanyavyo Du'a zingineyo, mbona tukimtaja mtume wetu Katika Du'a tukiomba mtume wetu atufikishe misamaha na toba zetu kwa Allah mbona hilo lakubalika?na hili la Alalbadiri lisikubalike na zote ni Du'a na maombi kwa Allah?
@farhannurkey3 жыл бұрын
wewe hiyo ushirikina unayoita tawasul achana nayo..kukaa motoni milele si mchezo.
@karamakiumbe48662 жыл бұрын
Hawa mashekhe wa mitandao tuwe makini sana
@abubakarmustwafa86622 жыл бұрын
Sheikh Ongelea mapenzi tuu mengine siyo Bahari yako
Huyu ni robo kulatani haikujaa vema shekh ban hhhhhh
@fatumamwalimu57653 жыл бұрын
Watu wengine hawatumii akili wanafata mkumbo tu
@doctersalmini97042 жыл бұрын
Hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
@jesmirmohamed34673 жыл бұрын
mboni huleti dalili kama izudini wasema tu bila andiko lete andiko kama izudini ndio nasisi tujaji bana wewe wafurahisha tu maskio ya watu baana
@rashidshela18263 жыл бұрын
Shekh acha kupotosha watu sio kil unaloulizwa unajibu tu mambo usiyokuw na elimunayo nibora usijibu ukapotosha wtu kun mashek wakubwa hpo kenya wafate wakusomeshe nawakwambie maana ya hiyo duw?