Sns hongeren sana tunaomba mtujuilishe kila hatua itayoendelea
@stevkaliona41074 ай бұрын
Mwaka huuuu tutaona mengi aiseeee huu mwaka uisheeee jaman❤🎉wa kwanza kulike naitaji like zangu🎉🎉🎉🎉
@nizarrama2254 ай бұрын
Hizo likes unaenda nazo wapi.?😂
@stevkaliona41074 ай бұрын
@@nizarrama225 kulewa nazoooooo🥰🥰🥰
@Gulfnas14 ай бұрын
Mwaka upo pale pale, labda wew utembee
@karimjuma40194 ай бұрын
Wanamjaribu mungu . Km wana uwezo wazuie mafuriko manchini kwao
@SalimuKhatibu-eo4yk4 ай бұрын
namuachia mungu kila ki2 mmepewa binadau lakin bado unachokowa visifyoo julikan ipo siku moja mtapat jibu
@moseskulola69134 ай бұрын
Kazi zuri sana
@nadiaamisha29584 ай бұрын
Hii dunia siku moja tutailipua sisi wenyewe 🚶🏾♀️🚶🏾♀️🚶🏾♀️🚶🏾♀️
@karimjuma40194 ай бұрын
Kabisa yan
@abdalahngozi54554 ай бұрын
😂😂😂
@mohamedrashid65784 ай бұрын
Ivi huyu ali ana elimu ya kila kitu au
@josephatjordan21504 ай бұрын
😂
@kidatokassim76164 ай бұрын
Mambo mengine sio issue na elimu ni ufuatiliaji wa mambo tu maana vyombo tofauti vya habari vinaliangazia Ili swala
@kitunganolwebo75704 ай бұрын
Mwanadamu ameumbwa ili aishi Duniani; hayo mengine wanajitafutia ni inje ya uwezo wa mwanadamu
@williamuphilipo21204 ай бұрын
Hii ndio tofauti kubwa sn kati yetu na wao, wakati Afrika tunabishana kuhusu dini ya kweli ni ipi, wenzetu wanashindana kiteknolojia.
@mussammanga77914 ай бұрын
Ndio, ukifika kaburini huulizwi kama ulifika mwezini. Utakachoulizwa ni amali zako ulizofanya hapa duniani.
@Elybwayz4 ай бұрын
Umeonge point sana uwo mwez unatatizo gan na ss lakin dini ndio inakupa muelekeo umju Mungu 😅😅😅😅
@starjay30524 ай бұрын
🤣🤣😂😂 ndio mana tulivopata uhuru watu walikatazwa kusoma mngesumbua kama china walitaka muwe wa jinga na dini zao alafu wao wabaki na mambo ya msingi 😂😂🤣🤣
@alzawahirabdallah22994 ай бұрын
Mungu kawapa hapa hapa duniani km umekosa duniani basi shuhulika na dini ili angalau upate pepo
@ce-084 ай бұрын
@@mussammanga7791hakuna alyeenda kaburini akarudi unauhakika gan kama hizo Habar ni za kwel?
@shebbylove31404 ай бұрын
Thank u guys for the daily updates GOD blesse url
@kenyzach91244 ай бұрын
kun fa ya kun...! binadamu tunahangaika sana.!
@ZefaniaChales4 ай бұрын
Dunia hata choka kudanganywa hakuna mwanadamu atakae toka inje na dunia hii sio nasa au hawa wachina Mungu anaishi
@tayk47454 ай бұрын
Njee gan ww uliambiwa na nani unakaa ndani ya dunia bichwa kubwa ubongo wa sisimizi
@ZefaniaChales4 ай бұрын
@@tayk4745 watu wangu wanaangamia kwakusa maarifa kwakua umeyakataa mariafa Mimi nami nitakukataa wewe wewe hujui uko ndani yandunia ili utoke inakubidi ufe kwahiyo hawa wachina na wa marekani wanajua wanacho kifanya sawa nanazalia isemayo mwanadamu alitokana na nyani niungo washetani
@jofreykilangila41184 ай бұрын
Wanatafiti vitu vya MUNGU . Hawakuumba wao
@AhmedMahoni4 ай бұрын
Acha upumbavu ww apo kilipo bado hakijatoka nje ya duniya
@ngasamashauri49374 ай бұрын
Ss kazi yetu huku kupishana mambo ya simba na yanga na misabwanda ya kina poch Quen
@ZulpaRashid4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@nafoinvestimento96884 ай бұрын
Pumbavo
@Elybwayz4 ай бұрын
😅😂😂 poshi tena daa tz raha san😂😂
@agreyaloyce4324 ай бұрын
Mwana kulifind mwana kuliget
@DavidTizo4 ай бұрын
Ama kweli
@bonemwaminifu39354 ай бұрын
Mwenyezi mungu anasema katika quran tukufu ama hakika nimewabainishia kila kitu ni uwezo wa kutumia akili zenu kuyajua yale msio yajua ALLAH AKBAR
@lisawilliam24914 ай бұрын
Mmmmmh Hii ni kitu ingine kabisa
@MrishoRajabu-rx8zp4 ай бұрын
Na nyiee mnaboaa kila sikuu ali masudii piga ww mwenyewe sky walker mbona mwanzonii hakuwepoo
@CastoryKapinga-nb7ht4 ай бұрын
Tarehee
@peteremmanuelymatwimatwiem32584 ай бұрын
Noma noma
@afterx31724 ай бұрын
wenzetu wanazidi kufanya maajabu , sisi umbea na unafki ndo kipaumbele chetu
@paschalfausitine71084 ай бұрын
Cc wabongo, tunakazi ya kupiga show ,na dada,zetu, kuzaa matako, mtandaoni, wenzentu wachina, wanatuacha na tekenolojia ya hari ya juu
@shaibukhamis8634 ай бұрын
hahaha bad san zaid sabab kul mwak nchi inajenga barbar 2 kil mwak uzenz wa maji sas hatua ii wenzetu washasahau kbs ndug wenzak awajuw lin umeme ulikatk alf unatk ujifananishe nao 😂😂
@saidymbagalla66224 ай бұрын
Jamaa muongo katupanga sana hasa anaposema hatua ya kwanza ilkua chombo kurushwa na setilite... Hapana setilite hairushi chombo Chombo kinarushwa na rocket
@MAHAN-SMART4 ай бұрын
Watu wana elimu kubwa sana mungu kawapa
@FahadAbubakari4 ай бұрын
Waliamua kwa dhati kupata iyo elimu na wakapata kwa kuwa makini na serious China 1948 ilikua sawa na nchi nyingi sana za afrika wakaamua kujitoa na kukomaa bila kuwa maomba omba wa misaada sisi tumeamua kua watumwa wa wazungu hivyo hatuna chetu hadi net za mbu tunapewa.
@DodomaTanzania-r5z4 ай бұрын
Wanipeleke nikaishi mwezini
@SamsonEzekiel-or9xc4 ай бұрын
Mh
@MkomiMussa4 ай бұрын
KWANI HUYU ANAEONGEA WA PILI HAIWEZEKANI KUONGEKA KAWAIDA NI LAZIMA OONGEE KAMA YUPO KWENYE SM SAUTI YAKE INACHOAM MASIKIO DAAAH INABOA KIIUKWELI😡😡😡😡