Sns hongeren sana tunaomba mtujuilishe kila hatua itayoendelea
@stevkaliona4107Ай бұрын
Mwaka huuuu tutaona mengi aiseeee huu mwaka uisheeee jaman❤🎉wa kwanza kulike naitaji like zangu🎉🎉🎉🎉
@nizarrama225Ай бұрын
Hizo likes unaenda nazo wapi.?😂
@stevkaliona4107Ай бұрын
@@nizarrama225 kulewa nazoooooo🥰🥰🥰
@Gulfnas1Ай бұрын
Mwaka upo pale pale, labda wew utembee
@karimjuma4019Ай бұрын
Wanamjaribu mungu . Km wana uwezo wazuie mafuriko manchini kwao
@shebbylove3140Ай бұрын
Thank u guys for the daily updates GOD blesse url
@SalimuKhatibu-eo4ykАй бұрын
namuachia mungu kila ki2 mmepewa binadau lakin bado unachokowa visifyoo julikan ipo siku moja mtapat jibu
@moseskulola6913Ай бұрын
Kazi zuri sana
@williamuphilipo2120Ай бұрын
Hii ndio tofauti kubwa sn kati yetu na wao, wakati Afrika tunabishana kuhusu dini ya kweli ni ipi, wenzetu wanashindana kiteknolojia.
@mussammanga7791Ай бұрын
Ndio, ukifika kaburini huulizwi kama ulifika mwezini. Utakachoulizwa ni amali zako ulizofanya hapa duniani.
@ElybwayzАй бұрын
Umeonge point sana uwo mwez unatatizo gan na ss lakin dini ndio inakupa muelekeo umju Mungu 😅😅😅😅
@starjay3052Ай бұрын
🤣🤣😂😂 ndio mana tulivopata uhuru watu walikatazwa kusoma mngesumbua kama china walitaka muwe wa jinga na dini zao alafu wao wabaki na mambo ya msingi 😂😂🤣🤣
@alzawahirabdallah2299Ай бұрын
Mungu kawapa hapa hapa duniani km umekosa duniani basi shuhulika na dini ili angalau upate pepo
@ce-08Ай бұрын
@@mussammanga7791hakuna alyeenda kaburini akarudi unauhakika gan kama hizo Habar ni za kwel?
@DavidTizoАй бұрын
Ama kweli
@peteremmanuelymatwimatwiem3258Ай бұрын
Noma noma
@mohamedrashid6578Ай бұрын
Ivi huyu ali ana elimu ya kila kitu au
@josephatjordan2150Ай бұрын
😂
@kidatokassim7616Ай бұрын
Mambo mengine sio issue na elimu ni ufuatiliaji wa mambo tu maana vyombo tofauti vya habari vinaliangazia Ili swala
@kenyzach9124Ай бұрын
kun fa ya kun...! binadamu tunahangaika sana.!
@ZefaniaChalesАй бұрын
Dunia hata choka kudanganywa hakuna mwanadamu atakae toka inje na dunia hii sio nasa au hawa wachina Mungu anaishi
@tayk4745Ай бұрын
Njee gan ww uliambiwa na nani unakaa ndani ya dunia bichwa kubwa ubongo wa sisimizi
@ZefaniaChalesАй бұрын
@@tayk4745 watu wangu wanaangamia kwakusa maarifa kwakua umeyakataa mariafa Mimi nami nitakukataa wewe wewe hujui uko ndani yandunia ili utoke inakubidi ufe kwahiyo hawa wachina na wa marekani wanajua wanacho kifanya sawa nanazalia isemayo mwanadamu alitokana na nyani niungo washetani
@nadiaamisha2958Ай бұрын
Hii dunia siku moja tutailipua sisi wenyewe 🚶🏾♀️🚶🏾♀️🚶🏾♀️🚶🏾♀️
@karimjuma4019Ай бұрын
Kabisa yan
@abdalahngozi5455Ай бұрын
😂😂😂
@lisawilliam2491Ай бұрын
Mmmmmh Hii ni kitu ingine kabisa
@CastoryKapinga-nb7htАй бұрын
Tarehee
@kitunganolwebo7570Ай бұрын
Mwanadamu ameumbwa ili aishi Duniani; hayo mengine wanajitafutia ni inje ya uwezo wa mwanadamu
@ngasamashauri4937Ай бұрын
Ss kazi yetu huku kupishana mambo ya simba na yanga na misabwanda ya kina poch Quen
@ZulpaRashidАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@nafoinvestimento9688Ай бұрын
Pumbavo
@ElybwayzАй бұрын
😅😂😂 poshi tena daa tz raha san😂😂
@agreyaloyce432Ай бұрын
Mwana kulifind mwana kuliget
@jofreykilangila4118Ай бұрын
Wanatafiti vitu vya MUNGU . Hawakuumba wao
@bonemwaminifu3935Ай бұрын
Mwenyezi mungu anasema katika quran tukufu ama hakika nimewabainishia kila kitu ni uwezo wa kutumia akili zenu kuyajua yale msio yajua ALLAH AKBAR
@AhmedMahoniАй бұрын
Acha upumbavu ww apo kilipo bado hakijatoka nje ya duniya
@MrishoRajabu-rx8zpАй бұрын
Na nyiee mnaboaa kila sikuu ali masudii piga ww mwenyewe sky walker mbona mwanzonii hakuwepoo
@afterx3172Ай бұрын
wenzetu wanazidi kufanya maajabu , sisi umbea na unafki ndo kipaumbele chetu
@SamsonEzekiel-or9xcАй бұрын
Mh
@paschalfausitine7108Ай бұрын
Cc wabongo, tunakazi ya kupiga show ,na dada,zetu, kuzaa matako, mtandaoni, wenzentu wachina, wanatuacha na tekenolojia ya hari ya juu
@shaibukhamis863Ай бұрын
hahaha bad san zaid sabab kul mwak nchi inajenga barbar 2 kil mwak uzenz wa maji sas hatua ii wenzetu washasahau kbs ndug wenzak awajuw lin umeme ulikatk alf unatk ujifananishe nao 😂😂
@user-it7ih1it3mАй бұрын
Wanipeleke nikaishi mwezini
@MAHAN-099Ай бұрын
Watu wana elimu kubwa sana mungu kawapa
@FahadAbubakariАй бұрын
Waliamua kwa dhati kupata iyo elimu na wakapata kwa kuwa makini na serious China 1948 ilikua sawa na nchi nyingi sana za afrika wakaamua kujitoa na kukomaa bila kuwa maomba omba wa misaada sisi tumeamua kua watumwa wa wazungu hivyo hatuna chetu hadi net za mbu tunapewa.
@saidymbagalla6622Ай бұрын
Jamaa muongo katupanga sana hasa anaposema hatua ya kwanza ilkua chombo kurushwa na setilite... Hapana setilite hairushi chombo Chombo kinarushwa na rocket
@user-cy8um2jj6iАй бұрын
KWANI HUYU ANAEONGEA WA PILI HAIWEZEKANI KUONGEKA KAWAIDA NI LAZIMA OONGEE KAMA YUPO KWENYE SM SAUTI YAKE INACHOAM MASIKIO DAAAH INABOA KIIUKWELI😡😡😡😡