Alooooooooooooooooooo, lazma angecheza nyimbo yake tu japo karoho kanauma😂😂ila brezzy ni noma Leo wabongo tumejaa kweny page ya CB❤
@ramadhaniibrahim-zv1ci3 ай бұрын
Jeshi jibu tu komasava maana iyo yenu sansena sio ya kwenda marekani labda iende mwanza kwa wasukuma wachezee
@fasterwalker14643 ай бұрын
Km mm siijui kbs 😂😂😂
@othmanibnabdullah3 ай бұрын
Rajabu kuna muda hata mimi shabiki wake huwa nabaki njia panda kwa kweli tofauti zenu za nyuma zilizotokea na Bosi wako usiendelee kuzibeba kwenye moyo wako kwa nini haubadiliki?
@charlestobby60313 ай бұрын
Kwani hapo kuna kitu gani kibaya kaongea kuhusu mondi mbona mashabiki mnapenda kukuza mambo kaaah
@eleven-in5qw3 ай бұрын
@@charlestobby6031roho ya wivu isiyofichika
@BarbaraPatience-qt9cc3 ай бұрын
Asante Kwa kulifahamu but ujue hua konde ana roho mbaya na wivu
@RomanMwinyi3 ай бұрын
We nae sio shabiki wa jeshiiii unaonekana una pigoo zakilembo konde gang atuna shoga at mmojaa we kama ume tumwa pita kuleee
@RomanMwinyi3 ай бұрын
@@BarbaraPatience-qt9ccroombaya ya nn kwani kakosea nn Kwan sialianza misomisondo Sasa uyo kaka Ako ana pagawa nn Tena kaekwa TikTok sasa ndiio nn maviii awezi msifia mshamba wenuu uyooo boya ww
@eddechriss26643 ай бұрын
😂😂😂 leo blogger zote ugali wao wanalia komasava
@ShedyMusic5003 ай бұрын
Niko hapa mapema
@valentiniradukunda3 ай бұрын
Leo wa kwaza kabisa nipeni lik s zangu ❤
@_Sammy_BbOy_Bseven3 ай бұрын
Humu mmejaa mashabiki wa diamond wote wanafki tu mbn kajibu vizur jeshi tena kiume zaidi bila unafki wowote ule ila wabongo bhn huwa hamkosi chakuongea unafki tu kuoga aaaah
@annastaziawilliamwilly25653 ай бұрын
😅
@WabasheleAbedi3 ай бұрын
Mauwa tafali
@joshuasanga92133 ай бұрын
We endelea na bifuuu zako zakitoto team mondiii tunaendlea kupigaaa mwingiiii
Harm ach wivu mondi humfikii usijidanganye,sis mashabiki ndo tunajuwa ach uzung mwingi
@richardkisebu96503 ай бұрын
Uyu jamaa wa Clouds anapenda saana kuongelea WCB
@albertkadyanji97223 ай бұрын
Masenge hayo ni machonganishi sana siku zote
@emanuelmhagama81933 ай бұрын
Harmonize Majibu yake ya hovyo hajui kujib
@joyhylton79013 ай бұрын
This boy is so ughhhh
@RomanMwinyi3 ай бұрын
We una taka ajibu unavyoo takawewe mkewe au we mumeo konde boy jeshiiiiiiii
@MusaMusa-nt3hz3 ай бұрын
Sio mziki wetu unaenda mbali mziki wa diamond unaenda mbali
@joramtz96333 ай бұрын
Anacheza nyimbo kali tu
@Munde-tech-media3 ай бұрын
Binadamu bhana shida aseme mbona hata misso misondo alipostiwa😂😂😂 kaa
@charlestobby60313 ай бұрын
Sasa kwani uongo hskupostiwa
@NoName-pp4lo3 ай бұрын
@@charlestobby6031Elewa neno kupostiwa na kuchezwa ww ni vitu viwili tofauti 🤣🤣
@michaelbwoma27603 ай бұрын
Kwahiyo Misso Missondo ni mkubwa kuliko. Wasanii wote?
@tariqdasulley3 ай бұрын
Miso Missondo haikuwa nyimbo bali ilikuwa wale wazee wa makoti walikuwa wanacheza background ilikuwa wimbo wake mwenyewe Chris brown Ile Deuces ilikuwa kama Memes na hakupost Official aliwapost Insta story. Ila kwa Diamond imekuwa tofauti kabisa yani Chris Brown kacheza wimbo wa Diamond Komasava Official Challenge kabisa na ameipost Chris brown mwenyewe kwenye page yake ya Tiktok Official. Miso Missondo angepostiwa singeli yake kabisa au Chris brown angecheza Singeli hapo tungesema kweli ila ni vitu viwili tofauti.
@charlestobby60313 ай бұрын
@@NoName-pp4lo Kwan hata hiyo iliochezwa si imepostiwa halafu tofautisha misondo kapostiwa Instagram na mondi kapostiwa tiktok ambako hata mabeki3 wamejiunga sijui umenielewa🤣🤣
@mrsinia30643 ай бұрын
Konde kajibu kiume zaid 🎉🎉🎉
@002RYE3 ай бұрын
😂😂😂😂Hajui anachokisema maskini
@eddsonjeremiah66693 ай бұрын
Ogopa sana kusaidia kabila la kusini niamini mimi😂😂😂😂
@KudrahPembe3 ай бұрын
Kwanza washirikina kishenz
@jerrynegojimmy3 ай бұрын
𝙺𝚒𝚣𝚞𝚗𝚐𝚞 𝚜𝚒𝚘 𝚌𝚑𝚎𝚗𝚞 𝚠𝚊𝚕𝚊𝚎.
@Freemaninvestment3 ай бұрын
Tujifunze kuongea kingereza jamani sio kwa broken izo
@philipotieno99963 ай бұрын
😂😂Kooondee vipiii
@aaa64sa133 ай бұрын
❤🇹🇿🎉🤜👍
@JimmyWilliam-mf4of3 ай бұрын
Baati nzur mondi na hamonize wote uku mbeya nimewahi kuuzulia show zao wanavyoimba lakini harmonize bado hapunguze ubaili wakati kwa madem anaonga wakimuacha anaanza kulia,hatafte dizaina wa kuandaa jukwaa na pia hatafte wasanii hawalipe wapendezeshe show anapenda sana kujinyongea peke ake kwa mfano ile show kizindua halbam yake nilijuta ni kwann nimekaa mpaka saa sita show mbovu kama ile,usimuone diamond anawini washauli wake kina tare,fera,na wengine wanashaur vizur namafanikio yanaonekana hatafute washaur wenye kuujua muziki kama P FUNK MAJANI atafka mbali hasiigeige kwa simba atapotea
@JimmyWilliam-mf4of3 ай бұрын
Unajua ss watanzania hatujui kutofautisha kuna mwibaji na mpenda mademu,simba yuko level ya kimuziki harmonize kabezi sana kwenye mademu hawez kufikia dude lile COMASAVA platinum nishida
@karimjuma40193 ай бұрын
Kina juma lokole km ww ndio . Mnaongea uchoko km huo
@AlAslanTV13 ай бұрын
ifik tuu wakat tuuuone nikawaida ,,,,Damn
@Mcsceo3 ай бұрын
Esco bhana kila post yenye ameweka yeye lazima jingle 😂😂 sauti za watangazaji wote zinajulikana no need of it..😅
@LWANGELAKIZA3 ай бұрын
Achana na huyo mvuta bangi ana mahendeleo mjinga moja ilo
@SmilingBeaver-rf6sf3 ай бұрын
Ameshindwa kujibu swali
@BarbaraPatience-qt9cc3 ай бұрын
Anakimbia swali lenyewe!! Shenz yeye
@MICHAELWILLIAM-p7h3 ай бұрын
Roho mbaya😂😂😂
@joachimlema3 ай бұрын
mise missondo naye alishapostiwa?
@babalao32503 ай бұрын
Alipostiwa akicheza ngoma ya breeze so alikuwa akijipromoti mwenyewe sio misso misondo
@SharmillaSharmilla-qm6yj3 ай бұрын
Ata misomisondo Alicheza 😀😀😀
@StephanoMoses3 ай бұрын
Hajaongea kwa ubaya maana miso misondo ndo walikuwa bora kuliko maana ni awali na awali ni awali2. Mnaomponda konde hamjaelewa alichozungumia but huku kwetu konde boy ni kama kwa vladmir putin maanahatunaga shoga hata mmoja. Ila hapo kwenu mishoga kibao . Ati milokole
@BarbaraPatience-qt9cc3 ай бұрын
Huyu hamo NI mjinga! Kizungu cha kuombea maji!!
@karimjuma40193 ай бұрын
Kajambe na ww ulale uko
@j...8763 ай бұрын
Siyo normal acha unafki
@noelmunuo46603 ай бұрын
Kajibu japo kiroho mbaya sana
@infodigtechforcommunityemp41033 ай бұрын
HILI HALIBADILIKI ROHO MBAYA TU DIAMOND NI BABA YAKO
@karimjuma40193 ай бұрын
Sadala hawezi mzaaa harmo
@tariqdasulley3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Jealousy
@arafahhh55743 ай бұрын
Chris alichukua hadi wimbo wa mtoto wa kisauzi na alimlipa dola juu
@NdakhiSusu-qz9md3 ай бұрын
Roho mbay pole 2one atfika wap na roho yake ya koroxho
@GeorgeElias-p5o3 ай бұрын
Ni aibu msanii mkubwa kama Simba kushabikia chris brown kucheza nyimbo yke.. wakati Davido na Burna boy na Wizkid ayo mambo walishapita
@MikiGermany2103 ай бұрын
Davido na burna boy ,sasa hapa tupo kwa konde ,huyu jamaa ndio maana anachelewa kuendelea chuki imemzidi
@dirhampablo3 ай бұрын
😂😂nioneshe aliposhabikia diamond
@Nakomotosimfukwe3 ай бұрын
Kwani ameshelekea lini
@josephkiwale3743 ай бұрын
Uzur unatambua jamaa ni mkubwa,imeisha iyo🙌
@ScorpionJuju3 ай бұрын
Weka maua kwa kondeby ww 🎉
@mzikitz-g7i3 ай бұрын
mshamba tu uyo konde mondi moto
@RomanMwinyi3 ай бұрын
Mshambaa wewe boyawee Sasa una pagawa kucheza challenge baada upagawe akifanyae Ngoma Sasa we una akilikweliii ww mimbawee
@mzikitz-g7i3 ай бұрын
kila kitu kina wakati wake ikifika nafac yake ndo wakati wake alitakiwa apongeze kwa ukubuwa zaidi mana yulee ndo alimweka mjini wakati ulee co vibaya kama angepongeza vizuli
@ScorpionJuju3 ай бұрын
Konde by mwamba anajua kuimba ww
@MasoudSalim-yl8pk3 ай бұрын
Ushamba mwingi si ajabu
@bbcwrld3 ай бұрын
Amesha panic uyo jama mara papu interviews 😂😂
@malkavoice25703 ай бұрын
Shame on him!
@AllyBabu-kr6lg3 ай бұрын
Harmo ndio baba wengine maku maku.we unaesema rajab cijui na bosi wake wa zamani nyoko izo zilipendwa rajab mmemloga mmemshindwa saivi mtoto anapaa mnakomenti utumbo rajab so Rich mavoko mlie mkata moto fanya yako we chawa kama daresay na jux bilinas n.k
@sulleymernmannarah79303 ай бұрын
Rudi chekechea ujifunze kutype 😅😅
@Tanafa-j9q3 ай бұрын
Kutyp kwenyw hujui ka shoga mwenzio kistuli 😂😂😂😂#bd hamjasema mpaka mseme
@Lina4285baby3 ай бұрын
I tried my best to understand harmo but what I found out this boy doesn’t have a good heart at all you cannot act your whole life one day the will find out the real you