Konde namkubal san yuko vzur ila kitu kmoja huwa anazingua ukimuhoji "interview"kwa kiswahili yeye anajibu kwa kinge utadhani ndo lugha yake na bado anaongea anachanganya broken humohumo. labda niseme hvi ethics au maadili ktk jamii mkihojiana unatakiw ujibu au kutoa hoja kulingana na swali lilivyoulizwa na lugha ilotumika na sio maongezi au lugha tofaut but jeshi nisimlaum san maan pia shule hana na hyo kinge kajifunza mtaan ingaw bdo na broken nying.
@emmanuelmulunda73 ай бұрын
Ni international sahii,,marketing hii..reaching bigger masses..watu outside east Africa waelewe..Good English to him..listening from 254 🇰🇪
@bomswat2 ай бұрын
Na wewe bado husikii au mpaka mpigwe @@emmanuelmulunda7
@bomswat2 ай бұрын
Na wewe bado husikii au mpaka mpigwe @@emmanuelmulunda7
@SalumHassan-ig7jv3 ай бұрын
Bonge la mwandishi huyu jamaa
@Vuma_live_tv3 ай бұрын
Ah konde siyo wa kuhojiwa na waandishi wa youtube kudadeki jamaa ananyanyasa na kiingeleza chake huyuu😂😂😂
@jamesonjames42913 ай бұрын
Harmonize anaongea kimapozi yan😂😂
@Mizahh-ll5lu3 ай бұрын
Uongeaji wa konde mmegunduwa nn mmejifunza nn wenzangu ananata
@JumaHuseni-in8wv3 ай бұрын
Muandishi hakua confortable😅😅 kumuhoji kondee.
@chapombe_mlafi3 ай бұрын
we uoni konde anaongeakingereza afu kachangamka apo ujue kashtua pombe afu mtubwa Gm ko mtangazaji akijilengesha ameisha
@AlinaniSiame-yq1nk3 ай бұрын
keep up work best music congratulations harmonize 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🇿🇲💤
@AM4CLASSIC3 ай бұрын
oyi
@ibrahimbaila77643 ай бұрын
Sasa kutoka hyo sim ndonn
@RajabJuma-pe9ml3 ай бұрын
Pesa jaman niatari mmakonde Mimi shabiki wako bn naona kingereza kingi kuliko kiswahil mh
@KenifamilyTV3 ай бұрын
Nacho mkubari Harmonize sio muongeaji kabisa.
@jeshi96423 ай бұрын
I thank God uyu mbwa ajui kingereza ,angetusumbua xna ,ati album delicated go back to school🤣🤣 am from kenya njoo unipige
@JemsOzil-wx1io2 ай бұрын
Daaah 😂😂😂
@jeshi96422 ай бұрын
@@JemsOzil-wx1io ama vipi
@jeshi96422 ай бұрын
Ndo maana ujaskia nikiimba ujinga Maana sijui ,sio kuongea kitu hujui
@MudJumaa-jg2cu3 ай бұрын
Mbn yuk pic xsn harmonize
@AdamsonSembo3 ай бұрын
Its worldwide interview not everyone understand swahili let him mix the language
@RajabJuma-pe9ml3 ай бұрын
Hahahaa mmakonde nimzungu full hahaaaa ngeli mingi
@Vuma_live_tv3 ай бұрын
Kiingereza sasa 😂😂😂
@Kasika-hi6hf3 ай бұрын
Mpk naskia aibu 😅😅
@AUGENSYLIVAND-rq7hz2 ай бұрын
Hayo ni yenu kwakweli
@BizeddOfficial3 ай бұрын
Mtu akijua kingeleza tu ndo bas atatutesaaa tusojua utazan lugha ya taifa Ukiulizwa kiingereza jibu kingereza na ukiulizwa kiswahili jibu kiswahili sa anatuchanganyia michembe na chips
@Kasika-hi6hf3 ай бұрын
Hakuna kiingereza hapo, ni aibu tupu
@BizeddOfficial3 ай бұрын
@@Kasika-hi6hf hahahaa mbona intreview za nje hawatuonesh mana ndo kwao kiingereza ilahapa kwetu bongo chap tu katia kimombo
@Kasika-hi6hf3 ай бұрын
@@BizeddOfficial kaka hapo hakuna kimombo ni kubananga maneno ya kiingereza tuu, Yani ni Ile linalokujia unataja tuu, wee c unaona ata kiswahili anavokosea kutamka r na l?
@ALFANIKANGE2 ай бұрын
Oya mmakonde
@randomtube3002Ай бұрын
Aaaaaaiiiiiii Konde hiyo kidhugu na calmness umeitoa wapi aki speaking slang like Amercans 🙌😂😂😂😂😂
@randomtube3002Ай бұрын
Aaaaaaiiiiiii Konde hiyo kidhugu na calmness umeitoa wapi aki speaking slang like Amercans 🙌😂😂😂😂😂
@kadalajr3 ай бұрын
Poor interviewing
@Dogolumatz3 ай бұрын
ila harmonize
@JeanLunda-nv5fd3 ай бұрын
Jeshi tembo Conde boy
@bboyofficial63 ай бұрын
Hawa waliiba hiyo Ngoma 😢😢😢
@MwilikwaNgongoАй бұрын
Harminize hahujui kingereza na hunskifodi kuongeha kingerena kaa vyakwako sio kufati lia vyamwezako
@AlbanoHasani3 ай бұрын
Konde ni mkali anajua
@jhashick89833 ай бұрын
Kichwa cha habari na content iliopo ni uongo tu 😂 etu baddest ni mdogo sana kuibiwa nyingo 😂🙌🏾😅
@XKathurima2 ай бұрын
Ambia huyo harmonize aoongee Kiswahili kizungu n ulaya
@MikeSharon-bi1ni2 ай бұрын
😂😂😂you need strong English to interview harmonize 😅😅
@tonebrown74112 ай бұрын
Harmo nakukubali saana chinga mwenzangu ila tatizo kaka lugha yetu ya taifa unaisahau saaana unachanganyu luga saaana kiswahili unajibu kiiinge kiingeleza unajibu kiswahili kueni makini na vitu munavyoulizwa nyny ni kiooo cha jamii tunawaiga nyinyi inchi yetu i a lugha ya taifa basi tuijali na kuisamin ila munapoenda nnche basi tumieni hiyo lugha ya dunia tusiwe kama keya tukawa watumwa wa lugha za wenzentu
@chrissmitindo57273 ай бұрын
Mtangazaji anatetemeka Sana😅
@umojamedia41673 ай бұрын
Uyo ni mzoefu sema ongea yake ndoivoivo
@kiatu3 ай бұрын
Hayo mambo mdogo sana umesema wewe, Labda kama alisema off cam 😂
@Nyasamedia3 ай бұрын
Mwamba uyo
@AllyBabu-kr6lg3 ай бұрын
Nyie midian mnazingua uyo alie ibiwa nyimbo ata ajulikani ata jina ana
@Godmaletz3 ай бұрын
Baddest47
@tonebrown74112 ай бұрын
Wewe ndio humjui na wewe itakua mkenya wewe uko busy na maaandamano😊
@AllyBabu-kr6lg2 ай бұрын
@@tonebrown7411 mkundu wa mama ako kwani mkenya cio mtu
@tonebrown74112 ай бұрын
@@AllyBabu-kr6lg hujui kia nyny mbuz weusi kama udongo wa ruangwa
@tonebrown74112 ай бұрын
@@AllyBabu-kr6lg jichungulie uko mapajan alafu uniambie kupoje ndivyo ulivyo huson
@damaserick3 ай бұрын
alie ibiwa nyimbo ni nani huyo mbn sija wahi kuisikia akiimba au ana tafuta kik
@HumphreyNyiti3 ай бұрын
Tatizo huwa apendezagi akiongea kingereza,ongea kiswahili bhana
@samirmswahili3 ай бұрын
Ukijifunza kitu pila sana pratica ili kukuza ulichojifunza
@rodriguekalubandika5353 ай бұрын
Wapili naomba like zenu
@Nyamko-christmas3 ай бұрын
Wa36
@DIZZOBROWN2 ай бұрын
Jamaa kafanana na Angela msanii wake😂
@ChafuTatu-vs1jo3 ай бұрын
Usiteteme
@Hsmufalme3 ай бұрын
Kingereza kingi jama wewe je
@petermokami22732 ай бұрын
Jeshiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@raphaelmwaura16483 ай бұрын
Lakini apa kwetu kenya sensema mimi sjawai iskia ila nyinyi kwenu tz mna ishifia saana
Ila badilisha kinyozi man alokunyoa kakuchonga vby izo square
@JonathanNelson-l8h3 ай бұрын
Mwanaume unaombaje like😡
@chui993 ай бұрын
Ana kosa mmakonde
@KasimuMushi3 ай бұрын
Ongea kiswahili ww choko
@FranklinMartin-tp5ss3 ай бұрын
shaili kama hujalielewa basi hujaandikiwa ww vunga choko ww
@KasimuMushi3 ай бұрын
@@FranklinMartin-tp5ss ww choko na harmonize wako huyo
@KasimuMushi3 ай бұрын
@@FranklinMartin-tp5ss mond ndo huyo yupo france na chris anacheza ngoma za simbaa
@FranklinMartin-tp5ss3 ай бұрын
ndomaan mnaambiw wabongo mnapend kutrendsha vtu vya kijinga kwan yey altak ichezwe na wabong pekeake au yeye achezag nyimb za wat? achen mamb ya ktot halaf nend kaanglie sportfy huyo chris hat 10 bora hayupo na han hit yoyt miak 5 sasa
@FranklinMartin-tp5ss3 ай бұрын
halaf kwan paris si kaend kwa nauli yake au kaitwa
@bulletstunnerz40522 ай бұрын
frome kenya mkakonde anavimba sana nomaaaaa
@hollymore49043 ай бұрын
Broken English 💔
@rickierunyota36133 ай бұрын
Hata wazungu wanaongea kiswahili kibovu
@hollymore49043 ай бұрын
@@rickierunyota3613 ndo kila mtu aongee lugha yake Kama ya mwenzio huiwez kiufasaha.. inaleta maana tofaut