HARMORAPA BAADA YA KUKOSA USHINDI, FULL MABUSU, MPENZI WAKE AJITOKEZA ASEMA ATAMNUNULIA GARI

  Рет қаралды 185,654

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Harmorapa ni miongoni mwashiriki walioshiriki shindano la Bingwa ambapo alifanikiwa kuingia top 3 lakini hakufanikiwa kuibuka mshindi, hapa amefunguka haya

Пікірлер: 200
@helderman2000
@helderman2000 3 жыл бұрын
Hakuna kitu kizuri kama kuwa na mpenzi anayekusapoti na kukuinua ukiwa chini
@thomasboso3081
@thomasboso3081 3 жыл бұрын
Oui!
@simbawateranga7020
@simbawateranga7020 3 жыл бұрын
Nawewe unaamini🤣🤣
@thomasboso3081
@thomasboso3081 3 жыл бұрын
@@simbawateranga7020 dacord!!
@ahz6907
@ahz6907 3 жыл бұрын
Ni adimu sana hususani zama hizi.watu hawana imani na uvumilivu.
@dfinalpatrick8555
@dfinalpatrick8555 3 жыл бұрын
Hao washakubaliana kiki bas waendelee kupeta mjini
@omarnzaro31
@omarnzaro31 3 жыл бұрын
Eti kumbe watu wanapenda kulingana na majira eeeh. Hamo Kawa serious jamani kabadilika maongezi muonekano heee kukomoto
@ericknyiti7161
@ericknyiti7161 3 жыл бұрын
Dah huyu jamaa kumbe hensam et😎
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
😊😊
@mdzainb3722
@mdzainb3722 3 жыл бұрын
Tatizo pesa😅😅😅
@wisperfect5320
@wisperfect5320 3 жыл бұрын
Ndio umejua leo😂
@minakhamiskhamisi6193
@minakhamiskhamisi6193 3 жыл бұрын
Hkn mtu mbay dunian ila n maish tuu
@adamhashimu4462
@adamhashimu4462 3 жыл бұрын
Kabsa
@bahashachembea6922
@bahashachembea6922 3 жыл бұрын
Safi sana
@annajoseph9955
@annajoseph9955 3 жыл бұрын
Mmmh
@Noah-se3ni
@Noah-se3ni 3 жыл бұрын
Iyo couple ina vituko Kweli kwali 🤣🤣🤣
@yusuphmbowe9528
@yusuphmbowe9528 3 жыл бұрын
Leo umependeza harmorapa
@zou7470
@zou7470 3 жыл бұрын
Jamani mbona kabadilika 🤣🤣🤣❤
@umakramzahor4836
@umakramzahor4836 3 жыл бұрын
Kaoga leo
@pendojose4377
@pendojose4377 3 жыл бұрын
@@umakramzahor4836hahahahaha
@saidaramadhan2099
@saidaramadhan2099 3 жыл бұрын
Mambo ya bi hadija hayo
@wisperfect5320
@wisperfect5320 3 жыл бұрын
@@umakramzahor4836 😂😂😂😂😂
@ephesongailo8564
@ephesongailo8564 3 жыл бұрын
Tanzania nchi nzuri Sana, sema Tozo tuuu ndoo kerooo......
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 3 жыл бұрын
Keep it up Armo Rapa.. One day watakuhelewa tu
@ramlanassir1559
@ramlanassir1559 3 жыл бұрын
hongera harmo lakin isiwe kiki kama mwanzo
@amuruboy4161
@amuruboy4161 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂kwambaaali nawaona machizi wawili hapo mkalia wenu na jeymond🤭🤭
@bahashachembea6922
@bahashachembea6922 3 жыл бұрын
😄😂🤣😃
@modeemojombo5662
@modeemojombo5662 3 жыл бұрын
English course kidogo inaweza kukusaidia
@dinnoallex7452
@dinnoallex7452 3 жыл бұрын
Daaa kumbe ukiwa hivii unamuonekano mzurii wa usanii Ila sasaa umerudii kitaani utaanza uchizii wako
@vibermusic7171
@vibermusic7171 3 жыл бұрын
😂😂😂
@jasinkai6326
@jasinkai6326 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@simonzakaria4770
@simonzakaria4770 3 жыл бұрын
Huyo mwanamke ndiyo amebaki peke yake duniani mwenye roho ya hivyo
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 3 жыл бұрын
Kabis kabak peke yake kwakweli duuuu
@dulahcharles6460
@dulahcharles6460 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 exactly
@shabanmohammed8931
@shabanmohammed8931 3 жыл бұрын
Nampenda sana hamorapa hakatii tamàa,luv from Kenya mombasa
@sniper93999
@sniper93999 3 жыл бұрын
Kapendeza sana leo muhuni hahahahhahahahhaha
@ambakisyemwanjemba5787
@ambakisyemwanjemba5787 3 жыл бұрын
Hamorapa na Grand p Mambo yao yanafanana
@francopiusi6411
@francopiusi6411 3 жыл бұрын
😂😂
@erastonicholas5589
@erastonicholas5589 3 жыл бұрын
Kigari gani hicho wakati wigi lako lenyewe linapepea umechka mafuta
@thomasboso3081
@thomasboso3081 3 жыл бұрын
@@erastonicholas5589 kwanini unamponda ulinyang'anywa nini?!!!
@erastonicholas5589
@erastonicholas5589 3 жыл бұрын
Hapana maisha haya itaji majigambo mmeshiriki shindano mmeshindwa asiponde utajiri wake usipotoshe wanao toa mashindano
@emmanuelshayo4703
@emmanuelshayo4703 3 жыл бұрын
Duuu!!!!! Wewe we noma unamfananisha grand p na hamo......
@idrissatuppa3997
@idrissatuppa3997 3 жыл бұрын
Dada Kauzu zaidi ya Dagaa.
@chamillairakoze6465
@chamillairakoze6465 2 жыл бұрын
Good harmo u look good Na hongera🥰🥰
@7mpya799
@7mpya799 3 жыл бұрын
Mkali wenu anahangaika😅
@mpendwalove4390
@mpendwalove4390 3 жыл бұрын
Hamorapa atulie sasa 😅
@fundijumakimbaru7622
@fundijumakimbaru7622 Жыл бұрын
Waongo munatudanganya kutufanya watoto kubari si rinzikiyako
@karomboissa3117
@karomboissa3117 3 жыл бұрын
Mme wangu imejirudia zaidi ya mara hamsini.....muongo we dada.
@isibanianews1329
@isibanianews1329 3 жыл бұрын
Huyu ni ziota wa Mwanza,hakuna mapenzi hapo,anasafiria nyota
@heavenkingdom8157
@heavenkingdom8157 3 жыл бұрын
wanawake wote wezi tuu,hata wewe unaedhani unapendwa kisa handsome wanakugongea wazoa taka ...bad...mens
@aishaibrahim5607
@aishaibrahim5607 3 жыл бұрын
Amo kumbe mzur nyie 😂
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 3 жыл бұрын
Kumbe harmo ni mzuri akapendeza Mashallah
@brudatv3539
@brudatv3539 3 жыл бұрын
Kama umemwoka mkali wenu nipe like
@alkaullahmediaTz
@alkaullahmediaTz 3 жыл бұрын
sema harmo rapper atakuja awe star knm
@himidijenga535
@himidijenga535 2 жыл бұрын
Hivi harmorapa ni mtu mwenye pesa eti jamani.?
@samsonelikana903
@samsonelikana903 3 жыл бұрын
Hyu bibie anakaa mwanza mtaa gan na mmeo hamorapa
@stephenwilliam34
@stephenwilliam34 3 жыл бұрын
kama haumpendi harmo rapa wewe ni mchawi
@robertjunior9916
@robertjunior9916 3 жыл бұрын
Harmorapa 😎
@giftmbogela2435
@giftmbogela2435 3 жыл бұрын
Huyu dada si ndo anaigiza kwenye Ligomba ya brother K
@officialraines8995
@officialraines8995 3 жыл бұрын
Wa mwanza bwilu huko
@hasanihamisi537
@hasanihamisi537 3 жыл бұрын
amo katoka kama bush man god mast be crez
@ousmanjuma3396
@ousmanjuma3396 3 жыл бұрын
Harmorapa ndio mshindi banaaaa
@jamilasalimvilog6752
@jamilasalimvilog6752 3 жыл бұрын
Kabadilika pakubwa sana hongera ziota kwa kumtunza
@gazeomar8273
@gazeomar8273 3 жыл бұрын
Amorapa nakubali brother
@princearamyog5816
@princearamyog5816 3 жыл бұрын
Fireee
@fedianfredy2631
@fedianfredy2631 Жыл бұрын
😂😂😂 kingereza kigumu
@edgarnandonde48
@edgarnandonde48 3 жыл бұрын
harmorapa safi sana umeongea kimchezo kabisa 👏👏👏👏
@elizabethmajaliwa5189
@elizabethmajaliwa5189 3 жыл бұрын
Mh hii ni kwa kuwa kapata tuhela hutu , but no love 🤣
@sniper93999
@sniper93999 3 жыл бұрын
Alimuona mkali wenu aniambie👁👁👁👁hahhahahahahahhahaga
@florianhenry7198
@florianhenry7198 3 жыл бұрын
Tia gia baada ya tuta kaka ,tutakutana kwenye beria ya traffic .
@mohamedkissima4893
@mohamedkissima4893 3 жыл бұрын
Ukiweza kucheza na kiki za matukio hapa Tz mke unapata kirahisi sana. Big up sana Harmo Rapa
@michaeljohn9070
@michaeljohn9070 3 жыл бұрын
Sahihi kabisaaa kaka,, tena unaweza pata mpaka mwanamke wa kiarabu kabisaa
@munirashughuli7224
@munirashughuli7224 3 жыл бұрын
Kaka umedamshi🔥😄
@mahmoudhaji7431
@mahmoudhaji7431 3 жыл бұрын
Vgvh
@rashidsaad7948
@rashidsaad7948 3 жыл бұрын
Mashallaaa💚💛💜❤💙💪🔥
@mustaphaubaya6070
@mustaphaubaya6070 3 жыл бұрын
Mtaa Achana tuu
@energeticmbn4596
@energeticmbn4596 3 жыл бұрын
Mkali wenu aache fujo
@ahz6907
@ahz6907 3 жыл бұрын
Kila ndege na mti wake😘
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
Kmb ukivaa nguo nzuri nawe waonekana mzuri
@keffajacob8952
@keffajacob8952 3 жыл бұрын
mbona unageukageuka nyuma 🙄au bdo unakumbuka wale wababe waliokufanyia kitu mbaya kisa kujitangazia mtoto wao kuwa wko🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣🙏
@energeticmbn4596
@energeticmbn4596 3 жыл бұрын
Mkali wenu alikuwa anamsumbua
@genyu1439
@genyu1439 3 жыл бұрын
Acha kutukumbusha Mambo yaliyopita bwege wewe
@keffajacob8952
@keffajacob8952 3 жыл бұрын
@@genyu1439 hivi unafilwa na baba ako wewe...kuma kibuyu we..hiyo coment inakuhusu nn kuma la babako ww
@salummzee9739
@salummzee9739 3 жыл бұрын
Wameshinda ni shwa surabaya au vipi
@kiratz3699
@kiratz3699 3 жыл бұрын
HAJI MANARA AITUKANA SIMBA KIMAFUMBO MO AMJIBU KISOMI "HAJITAMBUI"👉👉👉👉kzbin.info/www/bejne/q3-0lo1-YrWYmac
@shabanimchemba7504
@shabanimchemba7504 3 жыл бұрын
Nan kalion shabik la utopol..😂😂😂
@latifaomary7538
@latifaomary7538 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@janechriss8118
@janechriss8118 3 жыл бұрын
Mimi nimeliona la KOLO
@yohanayohanaadamu6483
@yohanayohanaadamu6483 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣me nimeliona shabiki lautopolo
@kasallemgogo72
@kasallemgogo72 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣kumbe na wewe umeliona
@thefashoonkiller7225
@thefashoonkiller7225 3 жыл бұрын
Safi Sana harmo nakubari umekuwa sasa
@masakaupdate1488
@masakaupdate1488 3 жыл бұрын
MATANGAZO MMEZINGUA MALEFUU
@edsonimkwama8745
@edsonimkwama8745 3 жыл бұрын
Mkali wenu kwa nyuma
@rasymb6190
@rasymb6190 3 жыл бұрын
Waooo nakubari Sana
@tymonockey7682
@tymonockey7682 3 жыл бұрын
Moral of the story: we sio mbaya, tafuta pesa tu
@samirakaisi8182
@samirakaisi8182 3 жыл бұрын
Kaka maisha yamegeuka ona bilget alichofanyiwa
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 3 жыл бұрын
Kesho anapelekwa SHOO LUM Unakujua wewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ayubukhamis8673
@ayubukhamis8673 3 жыл бұрын
Anh danh Hawa watu wawili wananifurahishaga sana.kamavile wanafanya comedy kumbe ndo Sirius.
@masala8099
@masala8099 3 жыл бұрын
handsome
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wanaume mpooooooooo🤣🤣🤣 wapenda mtereeeeeezo mpooooooooo
@gaudensiayustini8669
@gaudensiayustini8669 3 жыл бұрын
Mashallaaa
@kennethngoleka517
@kennethngoleka517 3 жыл бұрын
Harmo anaefanana sana na yule aliecheza mkanda wa bush man jamani c utani.
@officialraines8995
@officialraines8995 3 жыл бұрын
😂😂😂
@damianocostantine9042
@damianocostantine9042 3 жыл бұрын
Mhhh huyu dada wa ligomba
@janemapoz6360
@janemapoz6360 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/ranJhZmrZcSGbLc singeli kalii
@mosesjames3627
@mosesjames3627 3 жыл бұрын
Mkali wenu. Pale nyuma Na jezi LA wananchi
@dearmama4336
@dearmama4336 3 жыл бұрын
Nani kamuona mkali waoo kule kwa mbali
@mishwanwanmish8803
@mishwanwanmish8803 3 жыл бұрын
Mm naona kiki tuu
@eunicewambui4645
@eunicewambui4645 3 жыл бұрын
Dah napenda sauti yako sana Ayo from kenya
@simbawcb6317
@simbawcb6317 3 жыл бұрын
Mzee baba kila sk nitakua nakukumbusha hiyo gari tunaisubiri
@danielisaack9097
@danielisaack9097 3 жыл бұрын
Dada ana saut nzito😁😁
@mohamedjumbe9309
@mohamedjumbe9309 3 жыл бұрын
Me ninachomkubari hamorapa hajawaki kujikataa hapo kakatishwaa tamaa Sana lakin bado anapambana tu
@issachipeta4527
@issachipeta4527 3 жыл бұрын
Kijana.umetisha.sana.ongela
@kingungeii6520
@kingungeii6520 3 жыл бұрын
Kudadeki Kingunge mie nimecheka sana
@upgo6112
@upgo6112 3 жыл бұрын
Mwamba walikuwa wanamponda Sana Ila ni mpambanaji sana
@richardstanley1860
@richardstanley1860 3 жыл бұрын
Harmo eti kesho itabidi upate exclusive😀😀😀 nice keep pushing bro 👊
@allymwatuwa1550
@allymwatuwa1550 3 жыл бұрын
Mbona michorooo watangazajii mnaniniii
@mussaagrey5679
@mussaagrey5679 3 жыл бұрын
Nenda katumie hizo pesa mzee Rapa wanawake wa kibongo unyoosha sana mtu ukiwa mbwiga Kwenye mitonyo, ongera ila kuwa makini kwenye pesa na makahaba, nakukubali sana unapambana sana we mjeshi
@jofreybartazal8198
@jofreybartazal8198 3 жыл бұрын
Lindi ndo hme
@beatuskazimily457
@beatuskazimily457 3 жыл бұрын
mkali wenu namuona kwa mbali na madharau yak
@wamburajohanes952
@wamburajohanes952 3 жыл бұрын
Shabiki wa Yanga nani kamuonaaa? Hahahahaa
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 жыл бұрын
Bado yupo na huyo mkeo dah kweli kila shetan na mbuy wake hongeren Sana
@ephraimmahambo8516
@ephraimmahambo8516 3 жыл бұрын
Dada Safi Sana msapoti hivyo hivyo na endelea kumpenda
@emanuelmuna1242
@emanuelmuna1242 3 жыл бұрын
Afu mkali wao ni mbea namwona kwa mbali anamcheka mwenzake hamorapa😂😂
@ochupower3960
@ochupower3960 3 жыл бұрын
Sema amolapa ana onekana adi kiakili atakuwa ametulia sasa
@rashidmwinyi271
@rashidmwinyi271 3 жыл бұрын
Sawa kabisa nimefurahi kusikia unampenda mumeo na kumjali
@gaudensiayustini8669
@gaudensiayustini8669 3 жыл бұрын
Mashall
@luhajufilmstanzania
@luhajufilmstanzania 3 жыл бұрын
😂😂😂👏👏👏
@shalomtv9922
@shalomtv9922 3 жыл бұрын
shule ni muhimu kwakweli
@NeemaJumanne-h5d
@NeemaJumanne-h5d Ай бұрын
🎉🎉🎉😂
@shariphnassoro3802
@shariphnassoro3802 3 жыл бұрын
Km mmemuona mkali wenu akijipitisha🤣🤣🤣
@musason1680
@musason1680 3 жыл бұрын
Harmo anafumba macho wakati wa busu ka mwanamke
@ahmedbinazizi4509
@ahmedbinazizi4509 3 жыл бұрын
hamo tena uyo mke udumu nae sio ubadilishe kama nguo
@Iamraychris
@Iamraychris 3 жыл бұрын
Mke wamtu 😂😂
@simbawateranga7020
@simbawateranga7020 3 жыл бұрын
ITOSHE KUSEMA HUYU DADA NI JANGA🤣🤣🤣🤣
@gabriellaemmanuelly125
@gabriellaemmanuelly125 3 жыл бұрын
Anaonekana gongo na bangi lipo hapo
@theosaimon6933
@theosaimon6933 3 жыл бұрын
We we jamaaa fala kweli umenichekesha eti janga?? Daaaaaaaa nimecheka sana bro
@warugaruga1201
@warugaruga1201 3 жыл бұрын
Namuona mkali wenu
@juliusmushi6428
@juliusmushi6428 3 жыл бұрын
Nadhani tayari kashanunuliwq
@leilabuisha9976
@leilabuisha9976 3 жыл бұрын
Kama ni mumeo mpe Denda basi
@genyu1439
@genyu1439 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@happynesskasanda7275
@happynesskasanda7275 3 жыл бұрын
Umependeza bana
UTU OFFICIAL MOVIE : STARLING MKOJANI,SAMOFI,SENGA,MUOGOMCHUNGU
44:34
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Preston
Рет қаралды 137 МЛН
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 2,9 МЛН
Крутой фокус + секрет! #shorts
00:10
Роман Magic
Рет қаралды 24 МЛН
HARMORAPA AIONGELEA NDOA YAKE NA KHADIJA ZIOTA
27:14
Dina Marios tv
Рет қаралды 316 М.
MANENO YA AMBER LULU YAMLIZA TUNDA KWENYA BABY SHOWER
5:29
Bona Tv
Рет қаралды 219 М.
wasanii wa nigeria Diamond platinumz amesema anawadizidi ela wasafi media#music
5:13
Diamond wasafi wcbTZ beatskomasavaTV 2024
Рет қаралды 1,9 М.
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Preston
Рет қаралды 137 МЛН