PART 2: LUGUMI AFUNGUKA UKWELI WA MAISHA YAKE, USWAHIBA WAKE NA KIKWETE, ENZI ZA JPM, YA DKT SHIKA

  Рет қаралды 181,348

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 405
@tycoon9540
@tycoon9540 2 ай бұрын
Muandishi umeniangusha ktk mahojiano yako, umeacha gaps nyingi sana za msingi 1. Ilipaswa umuulize Lugumi ilikuwaje mpaka nyumba zake zikapigwa mnada enzi za JPM 2. Ungehoji kwa kina urafiki/kujuana kati ya Lugumi na Kikwete kulimpelekea vp yeye Lugumi kuwa tajiri 3. Lugumi anajishugulisha na biashara gani au kampuni zake zinahusika na biashara gani. 4. Aliposema hana marafiki, basi muandishi ungehoji kwa kina kwann anasema marafk ni wanafiki 5. Kwann katika maombezi yake juu ya viongozi Marehemu kamuweka Hayati AH Mwinyi tu na sio JPM wala BWM 6. Ungehoji kuhusu alivyoanza biashara zake mpaka kufikia yeye kuwa tajiri Kwa kifupi ndugu muandishi hukujipanga vizuri na maswali yako, ni kama hukuwa na appointment ya interview na huyu Lugumi Kwa interview ilivyo chini ya kiwango kama hii tena dhidi ya mtu mashuhuri kama Lugumi, nawapa lawama crew nzima ya Ayo media kuruhusu huu uchafu kuwekwa humu. Ikiwapendeza basi nakushauri ndugu yangu Millard Ayo nenda Kairudie interview tena na Lugumi
@nikrahayubu-sz3pw
@nikrahayubu-sz3pw 2 ай бұрын
Hana akili
@aminiismail3371
@aminiismail3371 2 ай бұрын
Kabisa. Hakuna muulizaji hapa. Mm nilikua na hamu ya kumjua lugumi ila bado sana
@mubaraqotyeno9061
@mubaraqotyeno9061 2 ай бұрын
Muandish kafel pa kubwa sana kutupa faida
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur 2 ай бұрын
Kweli kabisa muandiishi inaonekana alienda kuuza sura
@nasriabdi9046
@nasriabdi9046 2 ай бұрын
kweli kabisa amefeli sana maana hatujalidhika kabisa, waandishi wasio na vyeti ndio hao
@Juliusmganga4734
@Juliusmganga4734 2 ай бұрын
Huyu Bwana anaonekana ana roho nzuri sana. Tabia aliyonayo ndio ambayo Mungu anaitegemea kila mmoja wetu awe nayo. Mungu akubariki bwana Lugumi.
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 2 ай бұрын
Swadakta Rizki mtoaji ni Mwenyezi Mungu. Namuomba Allah aendelee kukubariki ktk maisha yako.
@luckyluchano1
@luckyluchano1 2 ай бұрын
"Sina rafiki,ni wanafiki tu...rafiki yangu mama yangu amefariki sina rafiki mwengine" nimependa sana swala hilo,hili ni somo kubwa sana kwenye safari hii ya maisha😊
@NdizeyeEric-wx4fe
@NdizeyeEric-wx4fe 2 ай бұрын
Lugumi ..mungu agusaindie ..upate zaindi ...usiwuje nyumba yako Amen
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 2 күн бұрын
Mahojiano kama haya makubwa inabidi wasifanye hawa wanafunzi ilibid afanye mirad mwenyewe huyu baba anaroho nzur sana mwenyz mungu amuhifadhi kwa jiri ya wanyonge INSHALLAH 🙏
@rahmahussein-m9o
@rahmahussein-m9o 2 ай бұрын
huyu baba ana maneno ya hekma sana mungu azidi kumuweka...hii interview km hujatulia huelew ana points nyingi za kujifunza kwa sisi vijana watafutaji....na anaishi maisha ya kuigwa hajajigamba km anauwezo wa mal nk..yupo kawaida sana hakika nimejifunza kitu🎉❤
@AndrewShiratu
@AndrewShiratu 2 ай бұрын
Said hapo uko sawa kabisa.watu wengi wanazarau kwenye juhudi za mtu.
@AmaniManase-x1i
@AmaniManase-x1i 2 ай бұрын
Hii point ya usidhulumu mtu akienda kuongea na Mungu wake utapata shida sana
@hanifa9153
@hanifa9153 2 ай бұрын
Tanzania hii tu kmbe kna watu wana roho nzuri ivi Allah akuzidishie kwaajili ya watoto yatima baba etu🎉❤❤❤
@msambalamjukuu3866
@msambalamjukuu3866 2 ай бұрын
Hii dunia Kuna Siri kubwa sana
@ole_larusai587
@ole_larusai587 2 ай бұрын
Jidanganye! Watu wantimiza masharti ya utajiri wao.
@hanifa9153
@hanifa9153 2 ай бұрын
@ole_larusai587 leta ushahidi hapa hatutaki maneno ata kwenye kanga yapo😂😂 wakristu mna wivu sana mkickia kitu kizuri kwa waislam
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 2 ай бұрын
Kabisa​@@hanifa9153
@IddiAllykh
@IddiAllykh 2 ай бұрын
Mashaa allah mungu aziku kukupa riski ya kuishi katika haya maisha uzidi kuwasaidia hao watoto
@ShoppingMall-eo1vt
@ShoppingMall-eo1vt 2 ай бұрын
Masha Allah
@AlliMohamed-q2y
@AlliMohamed-q2y 2 ай бұрын
Daah interview inatia huruma sana😢 safi sana boss lugumi
@BakariAbasi-h8c
@BakariAbasi-h8c 2 ай бұрын
Kila muda anatamka kumtaja Mungu sihaba baraka umepata muda ukautumia kwa ajili ya mola wako hongera sana kaka
@KhadijaMikidadi-j6p
@KhadijaMikidadi-j6p Ай бұрын
mashaallah mung akulipe na uendelee na moyo wako hivy hivy❤❤❤❤
@EnthusiasticFencers-rg2td
@EnthusiasticFencers-rg2td 2 ай бұрын
Mungu akuzidishie mkubwa wangu maisha uliyoyachagua niyakimungu mnoo
@issaissa9873
@issaissa9873 2 ай бұрын
Mashallah akuzidishie na akufungulie milango ya barka duniani na akhera
@disanatv4485
@disanatv4485 2 ай бұрын
Kama unahitaji Milard hayo afanye na LUGUMI interview yake tujifunze sisi, akiwa amekaa naye kabisa gonga like apa zifike 500.#Milard Ayo.#LUGUMI.
@Mina.15
@Mina.15 2 ай бұрын
Good luck 😂
@godsonrwamugata3646
@godsonrwamugata3646 2 ай бұрын
Mtu mzuri sana Bwana Said Lugumi. Niliwahi ishi nae Kasulu, tumekutana Morogoro. Respect kaka Lugumi.
@mejaopang
@mejaopang 2 ай бұрын
zungumza na moyo wako tu sio kuusifu moyo wa mtu mwingine mioyo ya wanadamu anaijua ni mwenyezi mungu tu,hao watu wameiba sana utawala uliopita wameuwa mnoo xav wanafanya kuludisha kwa mungu
@hajikatanje5961
@hajikatanje5961 2 ай бұрын
Boss upo Allah Aendelee kukupa riziki na salama ktk umri wako
@SuleimanMuhammed-g7q
@SuleimanMuhammed-g7q 2 ай бұрын
Mashaallah natoka na machoz wallah maan huyu mzee ananigusa mno anajua Mali sio yake yake ni ile anayoitoa,yarab nipe uwezo nifate nyayo za huyu mzee,Allah akupe umri mrefu akuondoshee husda maradhi amiin
@AlexAbraham-o2t
@AlexAbraham-o2t 22 күн бұрын
Daaah nimekupenda sana we Mzee hakika kama.unachokifanya ni halali hakika MUNGU akuzidishie mara mia
@fatimarizvan3119
@fatimarizvan3119 2 ай бұрын
Mashaallah mungu akuzidishiye boss na Asante kwa maneno mazuri 🙏
@eliamtani2840
@eliamtani2840 2 ай бұрын
Mwandishi wa Habari, huyu jamaa huwa anazingua sanaaa kwenye interviews zake nyingi tu. Kazingua sana kwenye kuuliza maswali, hakamilishi swali, hajapangilia maswali yani anauliza hili baadala ya kuendeleza swali la miongeza yeye analeta swali lingine tofauti na la kwanza. Inshort Millard kwa huyu jamaa kafeli pakubwaa. bora vido vidox angeenda bhana.
@barbarasara4033
@barbarasara4033 2 ай бұрын
NDO HUYU ALIYEWAULIZA WATU KWENYE SHIMO KARIAKOO K😂😂😂😂😂
@MichaelLeonard-y6s
@MichaelLeonard-y6s Ай бұрын
Mashallh , big boss lugumi Allh akuzidishiye
@40kstore
@40kstore 2 ай бұрын
Huyu kweli kaishia la 7,hana inspiration yoyote,connection na mkuu imemesaidia
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 ай бұрын
Yuko smart sio mtu talkative sana mtu cool sana afu hana mapepe hata JPM alimuandama yote alikua anataka kumfilisi huyu mwamba ila akakaa stable the niqqa is gone na jamaa anaendelea kupambana JPM aliandamwa na vyawa wambea wambea
@Mwakaismsociety
@Mwakaismsociety 2 ай бұрын
Napenda alivyo humble,anajiamini afu yupo so serious=thats success
@Dr_MoMD
@Dr_MoMD 2 ай бұрын
Allah akujaalie... Mtu muungwana sana 🙏
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 2 ай бұрын
Connection ni muhim kwenye haya maisha ya bongo,,,,,,,,,,
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 ай бұрын
Kokote duniani
@mohamedothman5792
@mohamedothman5792 2 ай бұрын
Hakika
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 2 ай бұрын
Mungu akuzidishie sn kaka akubariki sn katika hili umenikosha sn kaka wapende Hawa malaika kaka nashukuru MUNGU nimewahi pata taarifa zako kaka huna Hila hata kidogo ukiwaona vijana wamekaa unawajali sn.. hongera sn
@AllyAmir-e9c
@AllyAmir-e9c 2 ай бұрын
Wale ni watoto sio malaika malaika hawaonekani kwa macho yetu haya ya kulia Ugali na Wala hawabadiliki Kwahiyo watoto tuwaite watoto tunapata dhambi ya bure kuwaita watoto malaika. Sisi wenyewe watu wazima tulikuwa watoto yaani malaika .Je,bado tu malaika ?
@JemaMhagama-oz6me
@JemaMhagama-oz6me 2 ай бұрын
Kwa sababu upo na watoto yatima MUNGU azidi kukuongezea Mr rugumi
@HasaniShahidi
@HasaniShahidi Ай бұрын
Mwenyez mungu akujalie mwisho mwema inshallah
@KidiOne
@KidiOne 2 ай бұрын
Ngosha, salamu kutoka Mwanza wilaya ya kwimba. Amani iwe nawe🙏
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 2 ай бұрын
Ana akili sana na hela zake ni za kutafuta kwa haki na hajikwazi. Wangekuwa hawa vijana wanaotapeli na kupata hela ghafla utashangaa atakavoropoka hapa. Jamaa smart na very straight
@fidelMlonsi
@fidelMlonsi 2 ай бұрын
Sina RAFIKI 🎉 mhimu sanaa❤
@brownngullo4051
@brownngullo4051 2 ай бұрын
Ukitaka kutoboa jitahidi sana kuwa jasiri na mwenye uthubutu. Watu ambao elimu zao ni darasa la 7 wana nafasi kubwa sana ya kufanikiwa kuliko wasomi.. Wasomi wengi ni waoga wa maisha
@tatually1366
@tatually1366 2 ай бұрын
Mashallah mwenyezi mungu akulinde akupe Nuru moyo na njemaa amina
@SalimSalimu-z5c
@SalimSalimu-z5c 2 ай бұрын
Tajiri Lugumi Mungu Akupe Maisha careful Tupo Kongo hatuna njia ya kuja tz
@ovicsmnene4811
@ovicsmnene4811 2 ай бұрын
Mungu akubariki Saidi Lugumi follow from Dubai mimi pia Said
@juliasbeda2894
@juliasbeda2894 Ай бұрын
Mpaka machozi yananitoka nimekuelewa sana mkuu . Mungu akutunze baba
@AllyHamran
@AllyHamran 2 ай бұрын
Allah akuhifadhi Lugumi.
@cullenlembris2686
@cullenlembris2686 2 ай бұрын
Lugumi seems yupo interested na interview sema mwandisi ndo yupo hovyo sna .hajui kuuliza maswali dadekk..hovyo kweli .
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 2 ай бұрын
Huyu mzee yupo vinzuri sana Mungu amubariki sana
@ellsonmkonyi1319
@ellsonmkonyi1319 2 ай бұрын
Safi mkuuu unachokifanya n kitu kizuri na ni watu wachache wanaoweza kufanya kama ww
@ZainabOmar-z5w
@ZainabOmar-z5w Ай бұрын
Mashallah uwe NA MOYO huwo huwo wakusaidia wasio jiweza
@kelvinlimbe1263
@kelvinlimbe1263 2 ай бұрын
Kaka mungu akubariki sana.najifunza vitu vingi sana. kutoka kwako
@innocentnziku1914
@innocentnziku1914 2 ай бұрын
Muandishi huyu mnamuelewa kweli???? Daaah amezingua sana
@saidilome-ue2df
@saidilome-ue2df 2 ай бұрын
Imam natamani nimsikilize na kumuangalia wakati woote.Allah amuhifadh sn na amjaalie afe ni muislam wa kweli
@richnuch1873
@richnuch1873 2 ай бұрын
interview mbaya sana mtangazaji umeacha kuuliza maswali ya msingi
@zoladking
@zoladking 2 ай бұрын
pure soul salute big lugumi
@johnmussa5489
@johnmussa5489 2 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akujalie zaid mzee
@sullekasaleh2315
@sullekasaleh2315 26 күн бұрын
Safi sana ni mekuelewa brother kwailo
@happyodran4347
@happyodran4347 Ай бұрын
Nimekupenda bure , Mungu akuweke daima
@RobertMachenga-tz3re
@RobertMachenga-tz3re 2 ай бұрын
Mimi nilikutana na Lugumi said Airport Dar akasema hivi bwana Machenga umefika lini hapa Dar? nikasema nilifika jana akasema sasa nisubirie hapa nakuja akaingia ndani ya uwanja wa ndege nilikaa toka saa4 asubuhi mpaka saa 8 mchana ndiyo akatoka alichokifanya kwangu siwezi kukisahau alinipa hela ambayo sijamuomba na ilinisaidia kiasi kwamba nikajua kweli wapo watu ambao mungu kawajalia moyo safi na mpaka leo hii niko Mwanza Aspen Hotel nafanya kazi nikisikia Lugumi kafungua Hotel pamoja na uzee wangu huu nitamfuata nokafanye kazi kwake. Ambao hawamjui Lugumi basi tuishie tu hapo kwamba Lugumi ni mzuri basi.
@hassanimam2454
@hassanimam2454 2 ай бұрын
Alaah akujaalie Mr Lugumi.
@Elisha-b8w
@Elisha-b8w Ай бұрын
Mungu azidi kukuinua baba na upate zaid
@Roll_Julaizer
@Roll_Julaizer 2 ай бұрын
Nimependa sana mungu hakuzidishie❤
@deokessy6596
@deokessy6596 2 ай бұрын
Huyu mtu ni mwema sana....na Mungu atakuzidishia
@HakizimanaFiston
@HakizimanaFiston 2 ай бұрын
Yes kabisa mungu Akuzudishiye
@JaneJohn-zp6rg
@JaneJohn-zp6rg 2 ай бұрын
Kuhusu mama Samia Raisi wangu umeongea ukweli kabisa M/Mungu amlinde 2025 mama Hana mpinzani ... inshallah.
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 ай бұрын
Hongera sana na pole 😢kwa Rafik ako kufariki😢😢.
@Jjbfm
@Jjbfm 2 ай бұрын
Mtu mzuri Sana Allah akulinde ❤❤❤❤
@NeemaGumbo-k5n
@NeemaGumbo-k5n 2 ай бұрын
Mungu akujaze mzeee usipungukiwe hata yone
@dameboyboy2068
@dameboyboy2068 10 күн бұрын
Dah mungu akubarki sana mzee
@saidybhoky-lb7hg
@saidybhoky-lb7hg 2 ай бұрын
mashallah kaka mungu akuongezee neema kubwa kuliko hy
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm 2 ай бұрын
Mahojiano bora mafupi kuwahi kuyaona duniani😊😊😊😅😅😅
@barbarasara4033
@barbarasara4033 2 ай бұрын
Hakuna chochote alichoulizaaaaa 😂😂😂😂😂😂 Matakataka matupu
@ZainabOmar-z5w
@ZainabOmar-z5w Ай бұрын
MASHALLAH MUNGU AKUZIDISHIE HURUMA MASHALLAH
@ip_header
@ip_header 2 ай бұрын
Nice interview, I learned something
@hanifa9153
@hanifa9153 2 ай бұрын
Apo kwenye kudhulum kwanza jaman watu tunaumizwa sana😢😢😢 inshaallah mwenyezi mungu atalipa kwa yote
@billaljuma6297
@billaljuma6297 2 ай бұрын
❤❤Allah Akuhifidhi Lugumi
@joachimgolola62
@joachimgolola62 2 ай бұрын
Kawa mutu wa watu Mungu,akuzidishie kumbuka na nyumbani.
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 2 ай бұрын
Yani mpaka Lugumi, chiefgodlove ni rafiki yake ila hajui biashara anayoifanya hiyo kali sana
@MsobweMsobwe
@MsobweMsobwe 2 ай бұрын
Marafiki wabaya kwenye utaftaji Hilo ni kweli
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 2 ай бұрын
ukisikia watu wanamsema vibaya mama samia raisi wetu mpendwa,fahamu kwamba ni ktk wale watu wenye roho mbaya!!wenye. mioyo ya korosho!! Allah amhifadhi mama SAMIA!!!
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 2 ай бұрын
mwenye roho mbaya ni yule ambae serikali yake inateka na kuua watu wasio hatia au wale wanaokemea uovu?
@RajabuKitalambo-q2u
@RajabuKitalambo-q2u 2 ай бұрын
Watu wengi wanakiu ya kumsikia lugumi akitoa madini kulingana na elimu yake lakini Muandishi aukujipanga kwa maswali mantiki ili mzee lugumi atupe madini ya utafutaji Maswali yako ayajajenga hoja ya msingi kwa umma
@MwanakomboNassor-bw3by
@MwanakomboNassor-bw3by 2 ай бұрын
MashAllah hongera sana
@rizikimtui8992
@rizikimtui8992 2 ай бұрын
Aliiba vizuri sana
@OdangaIsaiah-rh3cm
@OdangaIsaiah-rh3cm Ай бұрын
Tanzania you are lucky people U can pray for Ur leaders.
@giztony2009
@giztony2009 2 ай бұрын
Huyu jamaa maneno yke nayatumiaga kama faraja nikiwa namawazo!
@TitoRufizi-xb2ub
@TitoRufizi-xb2ub 2 ай бұрын
Endelea kufanya hivyo Mungu akupe afya njema
@user-to6up4hg2w
@user-to6up4hg2w 2 ай бұрын
Masha Allah ❤ may Allah protect you
@erdekingtv9563
@erdekingtv9563 2 ай бұрын
Mwandishi hujatupitisha kwenye masuala muhimu mfn historia yake, amefikaje hapo alipo n.k hii interview ingekuwa kubwa sana kama ingegusa maeneo muhimu
@JOSEPHPETERMACHOTA
@JOSEPHPETERMACHOTA 2 ай бұрын
Nimemaliza bando langu kuangalia huu upumbavu crew nzima mnatiwa na huyo lugumi hamna weledi na kazi yenu
@davidkihiga3531
@davidkihiga3531 2 ай бұрын
Kama kuna mtu ana moyo wa kweli ni huyu Bwana. Amesema hata nyumba itauzwa kwa ajili ya kulea watoto hao
@faridhassan6834
@faridhassan6834 2 ай бұрын
Huyu jamaa alikuwa rafiki yangu long time Nyamagana Ziwa,kumbe ndio lugumi Duu dunia hii wacha
@faustinedeogratias4337
@faustinedeogratias4337 2 ай бұрын
Alkua anajihusisha na nin kpindi icho
@PinsonMuhoza
@PinsonMuhoza 2 ай бұрын
Dah! Uyu ni mtu wa kipekee sana
@BakariMalembeka
@BakariMalembeka 2 ай бұрын
Bradha we huwa unafact za kichamugu Sana
@MsobweMsobwe
@MsobweMsobwe 2 ай бұрын
Kweli dhuluma ni mbaya Kweli lugumi anajua
@frankmushi8736
@frankmushi8736 2 ай бұрын
Ogopa sana watu kama hawaa ni waongooo hatariii kauli ya nitauza nyumba imeniuzunisha sanaa
@LovelyMountainLandscape-dd4xe
@LovelyMountainLandscape-dd4xe 2 ай бұрын
Safi lugum ishi miaka mingi
@zowmemes9923
@zowmemes9923 2 ай бұрын
Soma historia ya maisha ya mtu yote ndo umuhoji, hongera hata hivyo
@daughterofthemoon680
@daughterofthemoon680 2 ай бұрын
Muandishi umezingua maswal ya msingi umeacha unauliza mambo godlove😭😭
@AminaKissawaga
@AminaKissawaga Ай бұрын
Mashallah mashallah safi sana ndugu yetu
@AshaJuma-s7l
@AshaJuma-s7l 2 ай бұрын
Hivi Milady huyu bwana mkubwa hivi unampa mwandishi mdogo huyu amuhoji? Daah! Katika hili umefeli. Nimekosa vingi kwa Lugumi!😢 Basi namshukuru Mungu 🙏
@MsevenAloyce-g9b
@MsevenAloyce-g9b 2 ай бұрын
Tajiri wa kweli
@HappyatHome-bn8wm
@HappyatHome-bn8wm 2 ай бұрын
ukiona HAMISI hv ujue kifo kinakaribia mtu anajutia madhambi yake na alivyoumiza watu na kuibia watu.
@ibrahimmaradufu5235
@ibrahimmaradufu5235 2 ай бұрын
Rukusa, nimeipenda iyo mkuu
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 2 ай бұрын
BIG UP LUGUMI
@Mwakaismsociety
@Mwakaismsociety 2 ай бұрын
Mwandishi hakujipanga,maswali yake ni casual.wakat interview kama hizi ni exclusive.millard wewe ni master wa hizi kaz.ulitakiwa uwepo,umetunyima madini aiseeh. Mtazamo wangu.
@abdallahsaid8157
@abdallahsaid8157 2 ай бұрын
Bado maswali ya mwandishi hayajakidhi kiu yangu. Lkn pamoja na hayo yote hongera kwake kwa ukarimu alionao!
@DoctorlewangaRehema
@DoctorlewangaRehema Ай бұрын
Tajir asiye na dhuluma❤❤❤
Гениальное изобретение из обычного стаканчика!
00:31
Лютая физика | Олимпиадная физика
Рет қаралды 4,8 МЛН
The Best Band 😅 #toshleh #viralshort
00:11
Toshleh
Рет қаралды 22 МЛН
Арыстанның айқасы, Тәуіржанның шайқасы!
25:51
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 700 М.
KWA KISWAHILI HOTUBA YA IBRAHIM TRAORE' MBELE YA RAIS VLADIMIR PUTIN
5:35
ARUSHA ONE RADIO
Рет қаралды 1 МЛН