Hatari; Majambazi Yamekamatwa na Silaha Hizi Zote

  Рет қаралды 136,005

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 61
@mirajikinuke6636
@mirajikinuke6636 5 жыл бұрын
Hii ndo serikali tunayoitaka, inatekeleza, na inatulinda wananchi, Ahsanteni JESHI LA POLISI kwa kazi nzuri
@verocletus1082
@verocletus1082 7 жыл бұрын
Mungu yupo upande wenu fanyen kazi👍
@jajinyanda3552
@jajinyanda3552 8 жыл бұрын
safii sana kwa kazi muliyoifanya maasakar wetu
@tedyjonass8204
@tedyjonass8204 8 жыл бұрын
kazi nzuri kwa polisi
@allyfaraji6472
@allyfaraji6472 7 жыл бұрын
Safi sana Makamanda wetu. msiache hata kidogo waaasha Motooo
@msaniimpyaBMW
@msaniimpyaBMW 7 жыл бұрын
Kazi nzuri!
@boyseleman658
@boyseleman658 5 жыл бұрын
Nakubali mzee
@furahasengo7630
@furahasengo7630 7 жыл бұрын
safi sana kamanda
@rehemasaidi9943
@rehemasaidi9943 8 жыл бұрын
police mumefanya vizuri
@kafaidojulius8798
@kafaidojulius8798 7 жыл бұрын
safi sana sasa wako wap
@margaretmkangala7774
@margaretmkangala7774 5 жыл бұрын
Kamanda hizo sare Za polisi wamezipata wapi?
@johnkasala8478
@johnkasala8478 7 жыл бұрын
pongez kwa kaz nzur endeleen na ulinz wa RAIA na Mali zao
@mussamussa435
@mussamussa435 7 жыл бұрын
hongera sana jeshi letu la polisi mnafanyaka kazi kubwa na nzito sana mungu awasimamie sana bila ninyi kwa kweli sisi maisha yetu yangekuwa ya wasiwasi mno kwa hiyo hongereeni sana
@felixchiluka9925
@felixchiluka9925 5 жыл бұрын
hongeren xn lakin wapo wenzenu ambao wenyewe wakiamka nawaza Leo nikakamate bodaboda kumi hawazi kama kuna majambaz yanayo Fanya uharf linategeme litaongezwa cheo Lin sijui
@lovenessgerald3161
@lovenessgerald3161 8 жыл бұрын
pongezi kwa polisi wetu na wasamalia wema waliowapa habari
@AliMohammed-zb8xf
@AliMohammed-zb8xf 8 жыл бұрын
Asanteni kwa kufanya wajibu wenu endeleeni kuwa updated hamna kulala
@samwelimwasola5287
@samwelimwasola5287 7 жыл бұрын
kamanda silo ongela sana mungu akupe maisha malefu na polele kuondokewa na askali vijana kabisa mungu yuko nawe pambana tunaimani nawe
@rahmashaban8693
@rahmashaban8693 5 жыл бұрын
Kiswah ili chako kibovu sana hakieleweki.
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 8 жыл бұрын
Safi jamani wanatuumiza sana
@EcoEssence_wellness
@EcoEssence_wellness 7 жыл бұрын
Good....
@rizikibakar3186
@rizikibakar3186 8 жыл бұрын
Dah
@erckimahenge5422
@erckimahenge5422 7 жыл бұрын
poleni makamanda wetu kwakazingumu ushauli wangu kuweni makini pia kwa vijana waliopitia mafunzo ya jeshi na hawakupatiwa ajila nao inaweza kuwa chanzo cha ujambazi
@peterpaul4850
@peterpaul4850 7 жыл бұрын
ercki Mahenge hatakuandika jaman ushauli ndo nn au ajila ni nn rudi shule mdogo wangu
@arafatimjungu2510
@arafatimjungu2510 7 жыл бұрын
kamanda wetu nakukubali kwa ulinzi
@richardmadege2760
@richardmadege2760 8 жыл бұрын
Ikiwezekana waokoke itakuwa ni Jambo zuri zaidi. Mwisho wa kunukuu. Hii injili iwafikie na viongozi wote kuona thamani ya wokovu
@leahchristofa4710
@leahchristofa4710 2 жыл бұрын
Leah Christopher
@atuwilliam9094
@atuwilliam9094 8 жыл бұрын
gud job
@mponjolimwakasege782
@mponjolimwakasege782 7 жыл бұрын
Pongezi kubwa Kwa jeshi la polisi kazi hii iwe endelevu tutashinda tu
@stelaamosi2549
@stelaamosi2549 8 жыл бұрын
Nazi nzuri kwa police wetu na kwalaia wema
@dunstanmnuga7556
@dunstanmnuga7556 8 жыл бұрын
safi
@zakiaallahawalipekhermashe9842
@zakiaallahawalipekhermashe9842 7 жыл бұрын
duuu hongera police kweli uo mtandao mkubwa sana wauliwe tu msiwape zamana watakuja kutuumiza tu wananchi
@verocletus1082
@verocletus1082 7 жыл бұрын
Hongara polis kwa kazi nzuri
@yusufalmamari4236
@yusufalmamari4236 7 жыл бұрын
kazi zur
@festokanandi7194
@festokanandi7194 7 жыл бұрын
Mungu tunakuomba uwalinde Askari were. "aminaaa"
@festokanandi7194
@festokanandi7194 7 жыл бұрын
Mungu tunakuomba uwalinde Askari were. "aminaaa"
@winfraysango9646
@winfraysango9646 7 жыл бұрын
ingekuwa vema askari wetu wawe ktk operetion kama hz siku zote,raia watakwisha kama ni hivi jamani?
@janewacera7812
@janewacera7812 8 жыл бұрын
Kazi Nzuri sana police
@martiniconrald5075
@martiniconrald5075 8 жыл бұрын
hello good morning long time
@janewacera7812
@janewacera7812 8 жыл бұрын
Martini conrald I'm fine
@alaynamohammed1355
@alaynamohammed1355 7 жыл бұрын
Jane Wacera ehx
@peterjohn1969
@peterjohn1969 5 жыл бұрын
mlinzi wakwanza juuya taifaletu ni mwananchi mwenyewe usisite kukemea uovu juuya taifa letuu
@mrishomvyongopolensana5
@mrishomvyongopolensana5 7 жыл бұрын
poleni askari kwa yaliotokea.nasikitika wale wapenda matukio hawajalalama nakulalamika bungeni? je wangeuwawa hao majambazi nane mpaka leo ingekuwa kazi.lkn kimya mpaka Leo.washindwe.
@davidgidion5389
@davidgidion5389 7 жыл бұрын
Hongera kwa jeshi la polis, na polen pia
@zuwenasalim38
@zuwenasalim38 7 жыл бұрын
hatari sana kwakweli jitahidini sn askari
@metalcombat4470
@metalcombat4470 8 жыл бұрын
kukamatwa na silaha za polisi, sare za polisi + kupelekwa msituni kuonesha wenzao walipo ÷ wafe majambazi tu, bila ya wao "walio tegwa" kuguswa = jipu!
@jumannemarco2598
@jumannemarco2598 7 жыл бұрын
we unaetaka kuwaona,so ukishawaona ndo utafanyeje kikubwa ulishaambiwa wamekamatwa na mtandao bado ni mkubwa so kikubwa na sisi pia raia tuoneshe ushirikiano kwa jeshi letu la police kuwabaini waharifu ktk nchi hii hakika me naliamin sana jeshi langu la police kwa kazi zake,,,,Na ninashangaaa sana haswa pale ninapoona mtanzania mwenye akili timamu akifurahia kuuwawa kwa askari hajui km kuuwawa kwa askari ndo kutoweka kwa amani ktk taifa hili leo utafurahia lkn kesho utaitafuta aman ilipo na kutambua thaman ya askari,M/mungu awe pamoja na jeshi letu hakika hamna kinachoshindikana naamin wote watapatikana
@athumanomary1438
@athumanomary1438 5 жыл бұрын
Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kuzidi kuripa nguvu majeshi yetu ya polisi
@hasaniyusufu1171
@hasaniyusufu1171 7 жыл бұрын
Silo fanya kazi
@omarially9157
@omarially9157 7 жыл бұрын
tuacheni siasa mbona atuwaoni ao majambazi mlimkamata mtu alie vaa sale za polisi mlituonyesha ila ao amkutuonyesha ii ndio Tanzania Mbwana
@shahakaisi1920
@shahakaisi1920 7 жыл бұрын
Omari Ally jitahidi kuelewa mazungumzo uliambiwa hao majambazi baada ya kuwataja wenzao walipo,waliwapeleka askari lkn ulikuwa mtego baada ya kufika huko mafichoni walishambuliwa na wenzao na wamekufa..
@luganomwankyoko2653
@luganomwankyoko2653 8 жыл бұрын
Duuuuuuuu
@bintiwayesumacha9605
@bintiwayesumacha9605 8 жыл бұрын
safi polic wetu zaidi MUNGU na hao wasamaria walionyesha
@geofbeka1669
@geofbeka1669 7 жыл бұрын
duh, hayo majambazi au jeshi dogo!?
@bxrkeshorts738
@bxrkeshorts738 7 жыл бұрын
tuonyesheni hao majambazi sio kutuonyesha masilaha tu tunatoka kuona majambazi km ni kweli
@modernfarming5938
@modernfarming5938 7 жыл бұрын
Khadija Said kuna watu akili ndogo ukishaona unawafanya nn
@mikongotijaneth5900
@mikongotijaneth5900 7 жыл бұрын
sidhani kama akili yako ni salama ukiwaona uwafanye nini sasa watu wengine bwana kama unachakuandika lala.
@omarially9157
@omarially9157 7 жыл бұрын
ww ujamuwelewa uyo amesema wamewakamata na wamewaua kwa kuwapiga risasi je ww inakuingia akilini polisi waonyeshe siraa bila kuwaonyesha jiongeze ww
@saidmapande6175
@saidmapande6175 7 жыл бұрын
xxxxx
@johnkasala8478
@johnkasala8478 7 жыл бұрын
pongez kwa kaz nzur endeleen na ulinz wa RAIA na Mali zao
@emmanuelmsigwa714
@emmanuelmsigwa714 7 жыл бұрын
Cku nyingine mshirikiane majeshi yote mfanye oporeshen nchi nzima Dedishen wote.
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 215 МЛН
Пришёл к другу на ночёвку 😂
01:00
Cadrol&Fatich
Рет қаралды 7 МЛН
Touching Act of Kindness Brings Hope to the Homeless #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 18 МЛН
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 45 МЛН
#51 - AS SALAM ALAYKUM # MAU MPEMBA - # FUMBUA MACHO
13:50
Mau Mpemba
Рет қаралды 6 М.
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 215 МЛН