No video

MAJAMBAZI WANNE WAKAMATWA ARUSHA, WAKUTWA NA DAWA WALIZOPEWA NA MGANGA

  Рет қаралды 210,356

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 379
@dianafyondi9048
@dianafyondi9048 4 жыл бұрын
Hongereni jeshi la polisi kwa kazi mnazofanya. Mungu azidi kuwalinda kwa kazi mnazofanya.🙏🙏🙏🙏
@josephmadobho302
@josephmadobho302 4 жыл бұрын
Hawa jamaa noma had nimempenda rpc bigup police
@clememallya4257
@clememallya4257 4 жыл бұрын
🙏👍Hongereni sana Makamanda wetu kwa kujitoa kwa kulinda usalama wetu kiaminifu. Mungu awalinde na maadui na awabariki sn🙏🙏 tunawaombea usalama wa maisha yenu
@belindasteve4749
@belindasteve4749 4 жыл бұрын
Piga kelele kwa Arusha ake weeeweee!!!!Hongera sana kwa Askari wa A.town.
@linamacha7686
@linamacha7686 4 жыл бұрын
Hongera sanaaaan makamanda kazi nzuri watu tupo kwenye kwenye maombi ya kuomba toba kwa Mwenyezi Mungu wengine ndiyo kwanza wanazidi kumchafua Mungu tutaponaje jamani charaza bakora za kutosha huyo mganga maana hawa ndiyo wale waganga wakuuwa maalibino pumbavu kabisa 👏👏
@frankenock3651
@frankenock3651 4 жыл бұрын
Hahaaaa afande umenifurahisha eti " shikamo mzee na chuma kinaitika" umetisha ,,hongereni sana jeshi la polisi
@dn.n4983
@dn.n4983 4 жыл бұрын
Polisi kweli mnafanya kazi hongera kazi si rahisi mungu hawalinde
@majaliwamsigwa3974
@majaliwamsigwa3974 4 жыл бұрын
Hawafai kwenye Nchi yetu ya Tz,hongereni jeshi letu
@happysindani6708
@happysindani6708 4 жыл бұрын
Kazi nzur sana police wetu👏🏽mganga kawaingiza town
@mrtoshtosh4714
@mrtoshtosh4714 4 жыл бұрын
Happy sindani... Naomba kuzungumza nawe👋
@mungamichael9354
@mungamichael9354 4 жыл бұрын
@@mrtoshtosh4714 😂😂
@oscarjoachim2889
@oscarjoachim2889 4 жыл бұрын
Diamondback
@josephinekwaselema5566
@josephinekwaselema5566 4 жыл бұрын
Hiyo ni sanitizer yao 😁😁 Big up sana maaskari👏👏👏👏
@ababuumwanazanzibar4908
@ababuumwanazanzibar4908 4 жыл бұрын
Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1
@fetychina3273
@fetychina3273 4 жыл бұрын
😀😀
@hopekingoftz8208
@hopekingoftz8208 4 жыл бұрын
Pongezi kubwa kwa askari shupavu. Majambazi noma hao wana mkasi unaitwa shikamoo mzee,
@respiciuskaijage205
@respiciuskaijage205 4 жыл бұрын
😂😂
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 жыл бұрын
Hahaaaaa
@jtheophil5499
@jtheophil5499 4 жыл бұрын
Mnafanya kazi nzuri sana,ongereni sana jamani
@jeremiadaudi5780
@jeremiadaudi5780 4 жыл бұрын
Mungu awalinde polis wetu na ujasiri huo natamani niwe nanyi ila nafasi sina
@marymlelwa8471
@marymlelwa8471 4 жыл бұрын
Shikamoo Mzee na marahaba ni balaaaa😂😂😂😂
@youngyayoo2805
@youngyayoo2805 4 жыл бұрын
😂😂😂
@niaanthony9588
@niaanthony9588 4 жыл бұрын
😂😂😂
@issangyabertha5741
@issangyabertha5741 4 жыл бұрын
Gari liliwapita kama mshale,,,, ongeren polisi wetu
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 жыл бұрын
Issangya hahaaaa
@hongeramgaya714
@hongeramgaya714 4 жыл бұрын
🤣🤣 kwa msisitizo
@mwanalikhamis9875
@mwanalikhamis9875 4 жыл бұрын
hongereni jeshi lpolisi poleni nakazi nnzito mungu atwasaidia
@orestpaul4273
@orestpaul4273 4 жыл бұрын
Congratulations makamanda!
@khatwabmpinga8602
@khatwabmpinga8602 4 жыл бұрын
Safi Sana'a vijana kazi nzuri
@stephanojackson8280
@stephanojackson8280 4 жыл бұрын
Barakoa ya mheshimiwa nimeipenda.
@upendoamani5054
@upendoamani5054 4 жыл бұрын
Stephano Jackson hunishindi Mimi nilivyoipenda
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 жыл бұрын
Sana yani nzuri sana
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Ya RC au
@stephanojackson8280
@stephanojackson8280 4 жыл бұрын
@@bjzee1981 ya kamanda
@upendovitarlees8140
@upendovitarlees8140 4 жыл бұрын
Hongereni polisi kwa kazi nzuri
@Dm-yd1tl
@Dm-yd1tl 4 жыл бұрын
Gongalike kama umesikia sniper wazuri
@roseberryhamoud6542
@roseberryhamoud6542 4 жыл бұрын
Dm sniper ni mdunguaji. Hajakosea. Ulidhani kamaanisha sanitazer
@eliaskayegezi3585
@eliaskayegezi3585 4 жыл бұрын
@@roseberryhamoud6542 Mwenyewe nimeshangaa like zaombwa kwa kusikia neno sahihi kabisa sniper
@mursalseleman2174
@mursalseleman2174 4 жыл бұрын
R.P.G aliyo itaja hiyo ndo mwisho wa stori hta ndege inageuka jivu sekunde
@abubakaryomary3985
@abubakaryomary3985 4 жыл бұрын
Big up"saluti kwa kazi nzuri sana mliyo ifanya jeshi la polis namiombea kila la kheli
@WitnessMwanga
@WitnessMwanga 3 ай бұрын
Jamn tunaomba wafungwe maisha yao yot, hongeren kwa kaz nzur
@maryamm7765
@maryamm7765 4 жыл бұрын
Amepata sababu hizo barakoa kuziba uso 🤭😷😄
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 жыл бұрын
Ooh hongereni sana kwa hili 🙌 Nimeipenda Pigeni kazi
@dizzboss7526
@dizzboss7526 4 жыл бұрын
Munira mamb vp
@SamJux1
@SamJux1 4 жыл бұрын
Kazi nzuri
@sadadololi4545
@sadadololi4545 4 жыл бұрын
Mungu mkubwa 👏👏🙏🙏🙏
@diltondilunga9915
@diltondilunga9915 4 жыл бұрын
Hongera sana jeshi la polisi Mkoa Arusha,na ni bidii za rais wetu mpendwa ,ktk kuimarisha uzalendo na uwajibikaji ktk kazi
@RichardRichardAlfredynombo
@RichardRichardAlfredynombo 9 күн бұрын
Kunawatu natakakunihu Julie na angel na alfredy nombo na matrin ni watu baya wanasheliki kunitoa huwahiwangu Richard Alfred ynombo
@shailashaila6913
@shailashaila6913 4 жыл бұрын
Waarabu ndio watu pekee wanalaza gar nje na hakunaga kitu mwiz wala jambaz, walala mageti waz wala mshipa hauwadundi Ila Tz bora mtu uwe maskn tyu mpk siku yako ifike ufe kifo ulichoandikiwa 😩
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 4 жыл бұрын
Sanaaa ndo mana hatufanikiw awaafica
@DoricasJeremia
@DoricasJeremia Күн бұрын
Hongera sana porisi wote hii nikazi kubwa
@emmanuelangoi6973
@emmanuelangoi6973 4 жыл бұрын
Hongereni sana kwa kazi mliyofanya,majambazi hayo yabaki jivu
@hongeramgaya714
@hongeramgaya714 4 жыл бұрын
Mbona uyu babu kajiprotect sana kuliko hata wahudumu Wa afya.😂🤣
@ichukagaum9732
@ichukagaum9732 4 жыл бұрын
😂😂😂
@asiaokelay8421
@asiaokelay8421 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@eliaskayegezi3585
@eliaskayegezi3585 4 жыл бұрын
Kama kikato cha helmeti
@saidmo8392
@saidmo8392 4 жыл бұрын
Woga wa maisha huo
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣ana jijali angalia Afande Masoud Mohamed alivyo tutoka ghafla
@dissartv4806
@dissartv4806 4 жыл бұрын
Hongera kwa majambazi..wanajitafutia..kazi ni kazi bhana.Majambazi ya kalamu hamuyaoni..wapo ofisin wanaibia raia kwa vyeo zao
@rukiamohammed5031
@rukiamohammed5031 4 жыл бұрын
Daah hiyo chainiz mwisho wa ck itakuwa spinachi 😂hongeren sn jeshi la police mungu ibarik tz mungu ibariki Africa hiyo barakoa mkuu wa mkoa ni kibakuli au plastiki 😂
@jacksonmalolage9476
@jacksonmalolage9476 4 жыл бұрын
Kumbe na waganga wanasanitizer za kienyeji ili kukinga risasi😁😂😂
@abdikadirmohamed968
@abdikadirmohamed968 4 жыл бұрын
Hongera kwa kazi mliafanya kuwa kukamata wezi hawa bila shida "MUNGU awabariki kwa umri na afya wapolisi wetu". Asanteni sana.
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Safi sana. Ninge waona hao askari ninge wanunulia chai . Ila wange wa rarua rarua badala ya ku wa acha wanapumua
@isdorimadoshi28
@isdorimadoshi28 4 жыл бұрын
Kazi nzur mungu aendelee kuwapa nguvu
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 6 сағат бұрын
Asante mh wetu
@joycesagga8131
@joycesagga8131 4 жыл бұрын
Nmeipenda barakoa ya kamanda
@user-un3df1sl2h
@user-un3df1sl2h 3 жыл бұрын
Asanteni polisi kwa kazi zuri
@shaabaniali9816
@shaabaniali9816 4 жыл бұрын
Pongezi kubwa kwa askari wetu kwa ujasiri,uzalendo,ukakamavu wote mlio uonyesha kwa pamoja.tupo tayari kufa kwa ajili ya taifa letu....🤝🏿💪🏿🙏🏿⭐⭐⭐hakika nyie ni wazalendo wa kweli..pongezi kwenu na mungu awalinde pia awajaalie ufaham mkubwa wenye maarifa na hisia kali za kumtambua adui.....never give up
@dismassmariki6985
@dismassmariki6985 4 жыл бұрын
Hongereni sana hiyo ndio maana ya Ulinzi wa raia na Mali zao, Asanteni sana
@cheddykipingu8087
@cheddykipingu8087 4 жыл бұрын
Huyo mganga mdudu Corona tu amemshinda so wanategemea ndy smg itamkosa.. 🤣🤣🤣
@jackboma7129
@jackboma7129 4 жыл бұрын
Big up papa
@fatmakigula8634
@fatmakigula8634 4 жыл бұрын
Huu utawala mwingine mzee magu anamungu uchawi haufai saiv huyu baba mtu wa mungu majambazi bora wakalime
@martinemazoya5700
@martinemazoya5700 4 жыл бұрын
Mshana hongera kwa kazi yako unayoifanya Arusha tunakukumbuka mwanza
@vickykwimbere9904
@vickykwimbere9904 4 жыл бұрын
Hongera sana jeshi la Polisi kwa kazi nzuri. Mungu awalinde.
@shabansamwi9891
@shabansamwi9891 4 жыл бұрын
mnajitahidi sana ck hiz arusha arusha ilikuwa mbay sana hap nyuma walisha fanya ni kichaka chao cha kujificha
@saitotisaitoti6734
@saitotisaitoti6734 4 жыл бұрын
Mganga alijifanya kinjekitile ngwale,🤣🤣
@yasintakihwele1413
@yasintakihwele1413 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@hassanalaba7289
@hassanalaba7289 4 жыл бұрын
😂😂
@josephmaina2585
@josephmaina2585 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rithaurassa
@rithaurassa 49 минут бұрын
Mwukob vizur police wa Arusha Mungu awape uendelev pia awape afya njema mwuwez kulimwudu hili.
@frolamazimba465
@frolamazimba465 4 жыл бұрын
Police fanyeni Kazi vizuri sana
@ellysilwani9287
@ellysilwani9287 4 жыл бұрын
Hongereni vyombo vya usalama,wanarudisha maendeleo ya watu nyuma majambazi hao..adhabu kubwa inawapasa,..
@lucyathumani3247
@lucyathumani3247 4 жыл бұрын
Hongereni sana jeshi la police mungu awalinde sana
@mtaalamshekidele1661
@mtaalamshekidele1661 4 жыл бұрын
Kazi nzuri makamanda
@stephanojackson8280
@stephanojackson8280 4 жыл бұрын
Serikali makini
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 3 жыл бұрын
Mkasi wanaita shikamoo mzeee 1🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@JoyceRichard-qo4gn
@JoyceRichard-qo4gn 10 күн бұрын
Ongereni sana mapolisi kwakazi zuli ila wanatakiwa kuwawa kwasababu iwefuzo kwa wezi wengine
@immawachambuso6772
@immawachambuso6772 4 жыл бұрын
Hongereni sana, big up👊🏾 polisi Arusha,Ila Mh mkuu wa mkoa,sio arusha tu ndio iwe salama zaidi kuliko mikoa yote,kila mkoa tuna haki ya kua na usalama wa hali ya juu kwa usawa,big up once again Polisi Arusha.
@marrynyagawa6997
@marrynyagawa6997 4 жыл бұрын
Hongereni sana jeshi la police kwa kazi kubwa mliyoifanya
@policejamiimkumbwa9405
@policejamiimkumbwa9405 4 жыл бұрын
Kazi nzuri sahihi
@user-ui1qs9yl1n
@user-ui1qs9yl1n 3 ай бұрын
shikamoo mzee hiyo ni noma
@salumumambosasa7446
@salumumambosasa7446 4 жыл бұрын
Hao majambazi wana roho ya chuma nini? Watu tunaangaika na corona wao wanatuletea majanga mengine
@d.a.t3383
@d.a.t3383 4 жыл бұрын
Hawaogopi wako hospital ss akiwekwa na mgonjwa wa corona si kajitakia
@samiraali5505
@samiraali5505 4 жыл бұрын
Hapo sasa
@didakassim8666
@didakassim8666 4 жыл бұрын
Nandio mana wakaitwa majambazi mana hapo imani ata hawanayo wanajali kaziyao
@ednajeremiah8671
@ednajeremiah8671 4 жыл бұрын
Hongera asikari wetu
@ashulamusin9811
@ashulamusin9811 4 жыл бұрын
Nawapenda sn polic wetu kwa kazi nzuri
@bizuwena623
@bizuwena623 4 жыл бұрын
Shukran kwa kazi nzuri jeshi la Polisi
@vibetz9991
@vibetz9991 4 жыл бұрын
MBONA dawa zenyewe Kama sanitizer .
@zuhuramwanga3043
@zuhuramwanga3043 4 жыл бұрын
Umeona eee. Walikuwa wanajikinga na korona pia
@furahatarimo4874
@furahatarimo4874 4 жыл бұрын
Itakuwa wameweka kwa bbo ya sanitize
@suzanfelix8857
@suzanfelix8857 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂mwaka wa Mambo huu kumuomba tu mungu atujalie uzima tuzidi kuyaona
@naamohamed9964
@naamohamed9964 4 жыл бұрын
😃😃😃😃jmn
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 жыл бұрын
Hahaaaa Vibe
@maryamabdallah3140
@maryamabdallah3140 4 жыл бұрын
Mh. Mkuu wa mkoa...barakoa yako...mmmh
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 4 жыл бұрын
Kamanda Shana umetisha na mask hyo hahaha
@arafakiloli749
@arafakiloli749 4 жыл бұрын
Ngosha kawaingiza jelaaa🤣🤣🤣
@elmasroj9712
@elmasroj9712 4 жыл бұрын
Asanteni sana kwa kazi nzuri
@frolamazimba465
@frolamazimba465 4 жыл бұрын
Peleka jela hao wanaorudisha maendeleo ya watu nyuma bila kutumia jasho lao
@youngyayoo2805
@youngyayoo2805 4 жыл бұрын
😂😂 eti inaitwa shikamoo mxee
@mamakite8506
@mamakite8506 4 жыл бұрын
Mganga we msenge
@filbertmushi548
@filbertmushi548 4 жыл бұрын
Hongereni makamanda
@tausilazaro2989
@tausilazaro2989 4 жыл бұрын
Mungu awakumbuke maaskali wetu kwakukamata waaarifu
@pascalmstaarabu4372
@pascalmstaarabu4372 4 жыл бұрын
Safi kamandaaaa
@rozinageorge1812
@rozinageorge1812 4 жыл бұрын
Nakukubali kamanda
@benjamadongo
@benjamadongo 4 жыл бұрын
Safi sana JESHI LA POLIS
@abasanjayusufu7266
@abasanjayusufu7266 4 жыл бұрын
Et inaitwa shikamoh mzee hahahahhah
@rshidmwasa8493
@rshidmwasa8493 4 жыл бұрын
Safi saaaana wazee,,tumewasoma maana hao washenzi wanaturudisha nyuma sana
@alextercisio
@alextercisio Жыл бұрын
🤣🤣🤣eti Mgaga aliwaeleza hawawezi kamatwa duuh ...ujinga ngani huo
@grandmaempiresecret
@grandmaempiresecret 4 жыл бұрын
Hongereni Sana ,jeshi la police📢📢📢
@happyidama5836
@happyidama5836 4 жыл бұрын
1
@attusanga8210
@attusanga8210 4 жыл бұрын
hongereni kwa kazi nzuriiii
@fredytarimo9107
@fredytarimo9107 4 жыл бұрын
Hongereni sana police wauweni tu hao
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 4 жыл бұрын
By the way ni nzuri coz huenda wangeua huko waendako
@TheRock-wo6mx
@TheRock-wo6mx 4 жыл бұрын
Tanzania hoooyeee nawapenda Sana kutoka serikali hadi ulinzi wataifa angalao Kenya ingeiga wangekua mbali Sana lakini wao wanajaza mmatumbo tu kutoka serikali hadi ulinzi ovyo kabisa Kenya I'm from South Africa more love tz
@robertigohe7477
@robertigohe7477 2 ай бұрын
Arusha kuna nini mrudieni Mungu Aliye Juu Bwana Yesu 🇮🇱🕎🔥⛪
@LOA_school
@LOA_school 4 жыл бұрын
mganga alikua anapunga madawa kwa mkono jamaa wakalamba vidole hahahaha
@meshacktimoth1370
@meshacktimoth1370 4 жыл бұрын
Kazi njema nchi yetu tunailinda wenyewe . Hongera sana Askari wetu
@mwaswa1899
@mwaswa1899 4 жыл бұрын
Hongereni askali wetu ,tunaomba serikali iwapatie siraha za kisasa
@tausilazaro2989
@tausilazaro2989 4 жыл бұрын
Afande mungu akupe miaka 200000
@cornelmichaelz
@cornelmichaelz 4 жыл бұрын
MNAKUJA KUIBA KWENYE JIJI LA WAHUNI,ASKARI WENYEWE WAMEPINDA DAKIKA ZERO TU UNAENDA PEPONI.
@jumandutu2275
@jumandutu2275 4 жыл бұрын
Shikamoo mzee
@agiasaidi5294
@agiasaidi5294 4 жыл бұрын
Marahaba 🤣🤣🤣🤣
@jumandutu2275
@jumandutu2275 4 жыл бұрын
@@agiasaidi5294 😂😂😂😂 daah ule mkas noma
@zawadijuma9681
@zawadijuma9681 5 ай бұрын
Shikamoo mzee😂😂
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 4 жыл бұрын
Hahaha Shana comedy sana hahah
@mwajumajumamwajuma6400
@mwajumajumamwajuma6400 4 жыл бұрын
Majambazi ni wanatuludisha nyuma nibora ata mchawi yani hongereni sana policy kwa umoja wetu
@papayatnzania1005
@papayatnzania1005 4 жыл бұрын
Hivi vijambazi ushuuzi kuma sana hii ni awamu ya tano sio ya yule mzee wa vijembe eti umwambafaa polisi siku nyingine wapigeni na bunduki wafe kabisaa hao ni maadui wa watanzania na taifa kwa ujumla
@neemasanga3283
@neemasanga3283 4 жыл бұрын
Hawatakiwi kutoka hao, wapotelee huko, hongereni sana jeshi la police kwa Kazi nzuri
@lilianwilfred3271
@lilianwilfred3271 4 жыл бұрын
Thank you Jesus kwa kuwasaidia polisi kumkamata shetani akiwa kazini na watenda kazi wake
@stevenlugo8195
@stevenlugo8195 4 жыл бұрын
Hivi Hawa Majambazi Hizi Bunduki Huwa Wanazipataga Wapi? Wakati Hivi Vitu Vipo Chini Ya Utawala Wa jeshi la police??
@stevenlugo8195
@stevenlugo8195 4 жыл бұрын
Zina pita kwa njia gani Wakati Kuna mipaka?? Na hiyo mipaka inalindwa na jeshi la police..
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 21 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 10 МЛН
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 39 МЛН
Why Starbucks Is Struggling
12:06
CNBC
Рет қаралды 557 М.
Wezi wa mitandaoni walivyoingia kwenye 18 za Polisi Dodoma
10:44
Millard Ayo
Рет қаралды 259 М.
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 21 МЛН