*mm nimuislam pure Tena nikiongozi ktk uislam huwaga cnaga kawaida yakuwafuatilia WACHUNGAJI lakini wee GWAJIMA wallah umenisababisha nikufuatilie Sana Tena Sana unajuwa speaaaaach hongera Sana*
@lizlovedbyGod3 жыл бұрын
Gwajima niombee... Mungu wa Gwajima nirehemu.
@eliakulondwarachidfondatio36343 жыл бұрын
Jambo mchungaji mimi naku fuatiliya kutoka Congo drc Bukavu nataka Siku moja nikutane nawewe
@sharondivine89943 жыл бұрын
I really appreciate God for you Bishop, the teaching is owesome!
@johnshija22713 жыл бұрын
Barikiwa mtu wa Mungu
@loycep77853 жыл бұрын
Ubarikiwe Mtumishi yaani nimecheka sana lngawa unasema kweli tupu Mungu atusaidie inahuzunisha ssna Mungu atufunguo macho ya Rohoni😀😀😀😀😀🙏🙏
@pandelababaofficial50563 жыл бұрын
Ahahahaaaaaaa !!!!!!! Askofu wangu beans asifiweeee dah!! Nakupenda sana babangu
@sesiliamwakalinga22393 жыл бұрын
Kwa kweli unanifundisha haswa nafunguka mno. Asante baba
@sebastianmwita91493 жыл бұрын
Baba preach, I follow you for long time
@butaguthomas32733 жыл бұрын
Waaaaa amen baba nakpenda sana
@gisubizoteddy33882 жыл бұрын
Baba yangu nakupenda sana
@gracenyangusi62303 жыл бұрын
Very true daddy Gwajima
@marrymussa42443 жыл бұрын
Mery mussa .kwa maarifa hayo baba niende WAP babaangu. Nakupenda sana. Sina baba mwingine ila wewe.
@mosespeter91853 жыл бұрын
Ubarikiwe Baba
@gracenyangusi62303 жыл бұрын
Wao wavaa sura ya shetani. Namimi nimevaa sura ya Mungu zinapigwa humu humu. Kwa Jina la Yesu
@beatricefilbert11712 жыл бұрын
Yesu tuokoe
@ambrosiamlinga84023 жыл бұрын
Gwajima umeongea kuhusu mtoto wa kupatikana kupitia mganga kuwa sio vitoto halisi ni vishetani, ujumbe wako huu utasababisha wazazi wawatupe au kuwaua watoto wao, hii statement yako sio nzuri Mwingine anaweza kwenda kwa mganga kisha akapata mimba natural halafu atafikiri katoto haka ni ka mganga sasa anaweza kumdhuru mtoto, mtoto akibihave vibaya basi mzazi ataona ni kashetani.
@bernardmalima31853 жыл бұрын
Hahahahahaha😀😀😀😀🤗🤗
@mgasathedon15792 жыл бұрын
Utakua una mtoto wa dawa
@nancyisoyi816411 ай бұрын
Pipi Za USIKU😂😂😂
@gracenyangusi62303 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥👍👍
@thehopetv62993 жыл бұрын
😂😂😂 mama waliiiiii, pipiiiii, kakuzimu hakoooo
@stellaelias81742 жыл бұрын
Kweli Baba mashetani mifumo ya wanadamu yapo tunaishi nao mitaani
@solangesoso31003 жыл бұрын
Umenifurahisho mno🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤗🤗🥰🙏
@odhiaodhia98983 жыл бұрын
Chuma katika wakati wake
@sideonedeone88933 жыл бұрын
Hiyo hatari
@alimambabazi36663 жыл бұрын
PREACH 🇺🇸😂🤣🤣
@jordanfromyt28613 жыл бұрын
Utazadhan masiara but in real life yana tokea hivo hivo
@bonifasiemanueli27083 жыл бұрын
Ks
@munuoisaack4183 жыл бұрын
Tangu uwe mbunge sasa Bishop tai kubwa
@salmamrembo43603 жыл бұрын
Mtoto anamtoa Mungu binaadamu awezi kuumba mtu akamuweka tumboni ila Mungu pekee ndio awezae hilo
@josephatjoseph17553 жыл бұрын
una mtoto wa dawa nn heheh
@emmanueljohn89703 жыл бұрын
Sawa ila Nafsi yake inategemea imetoka wapi kama Unapenda Waganga was Kienyeji Huwezi zaa Malaika Utazaa Mapepo
@mtewatina94713 жыл бұрын
Kwani wewe hujui Kama shetani aliishi mbinguni Tena nimsaidizi Wa Mungu? Hivo alitupwa duniani na ujuzi wote. Hivo usidanganyike achana na Hao waganga
@francismangula27153 жыл бұрын
Kama una katoto ulikatoa huko n katoto kadawa hako usijifariji
@gibsonntihana61753 жыл бұрын
Mungu pekee ndie mchambuzi wa yote mana hakuna mtu awezae kujua kujua kuwa uyu moja kwa moja ni kwa jehenamu akifa ila imeandikwa mbinguni watu wataingia kwa neema!!!hivyo msihukumiane jmn before hamjafika mbinguni