Jamani sijawahi kupata like za kutosha kama umeelewa nondo za Askofu Gwajima goga like twende sawa👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@mtumishi61753 жыл бұрын
Safi nimemuelewa Mungu akutunze
@tzpcakatesh3 жыл бұрын
kaongea kweli
@missangela67203 жыл бұрын
Likes zimetosha sasa 😄😄😁
@denisrukangula70863 жыл бұрын
Wanaotamani ije itokee siku moja Gwajima awe Raisi like zenu twende sawa
@barakagashaza85163 жыл бұрын
tunahitaji wabunge kama hawa wanaofanya research kabla ya kuongea....umeongea point sana gwajima for this u have earned my respect
@tatuhongeranurushaus4853 жыл бұрын
Umeona ee
@nazirkatabaro63473 жыл бұрын
Kwakweli...
@elishamakunenge57333 жыл бұрын
Mh Josephat Gwajima ana maono,ni mtu anaeongozwa na Roho wa Mungu
@mzalendomzalendo25673 жыл бұрын
Ni kweli, lakini je watamsikiliza? Au ndio watapitisha agenda zao tuu manake naona wajuu kisha lianzisha la barakoa na ugeni kutoka ulaya unawafikia kesho. Komaeni tuu wabongo wachome wenyewe tuu watakao zileta.
@ismailomary66263 жыл бұрын
Always I used to respect a man like him a k.a prop. Gwajima respect to him very strong giant respectable speed we are happy to have member of pareament like this 🍾🍾🍾
@hbdina3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Asante sana Baba Mungu kwa kutumia mfuasi Wako Askofu Gwajima kuliongoza taifa la Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿Kwa jina la Yesu Kristu Amen ❤️❤️❤️
@elizabethcharles47123 жыл бұрын
AMEN
@elizabethcharles47123 жыл бұрын
AMEN
@furahadaudi95163 жыл бұрын
Nimesisimka mwili hongera Askofu gwajima serekali naomba tulifanyie kazi hili Mungu anataka atusaidie Watanzania Amina.
@peterkichochi75103 жыл бұрын
Hata mimi daah. Huyu mtumishi tumuombeeni sana hivi wazungu wamesikia tayari.
@yomatanda57763 жыл бұрын
Kama mm
@cathelinegustafa27103 жыл бұрын
Mungu am tangulie maana
@denyu99753 жыл бұрын
Toka nizaliwe karne hii ya 21 sijaona mtu Genius kama gwajima tukiweka mambo yote kando mm binafsi ningekuwa na uwezo da your the best
@arestiusbanks71823 жыл бұрын
Gwajima ni GENIUS. Tunatakiwa kukataaa kwa 100% hiyo chanjo zao wapigwe wenyewe watakaozileta.
@whatisthetruth.87933 жыл бұрын
Apigwa samia mwenyewe na mumewe na watoto wake na wajukuu wa zake , sisi aah! AAH !
@ntiliyothomas51463 жыл бұрын
Nimekusoma mh.gwajima huo ndo msimamo alikuwa nao hayati doctor Jonah pombe Magufuli nafurahi sana kumuenzi marehemu 🙏🇹🇿
@temuemanuel46713 жыл бұрын
Tuko wengi. Assnte sana
@jescadeogratias52923 жыл бұрын
Nami namuunga mkono hayati, Hadi leo nasema hajafa, bado ana miaka yake minne, wakina Gwajima wasinyamaze tuko nyuma yao
@Kamambinguni3 жыл бұрын
Yaani TZ TUSIPOMSIKILIZA BABA HUYU BASI💁💁💁 WELL DONE Bishop Dr Josephat GWAJIMA
@siscoministry84003 жыл бұрын
Tunasahau Mila na utaratibu wetu "Tukiamini Vya ulaya ni Bora kuliko vya kwetu"....Well said Gwajima... Magufuli soul visited u 😢 Be blessed...Taifa sikia🙏🏼🇹🇿🇹🇿
@pillykinabo87223 жыл бұрын
Ahsante Mungu kwaajili ya mtumishi wako huyu. Baba muumba wa mbingu na nchi napiga goti mbele zako kumuombea uzima, afya na nguvu baba huyu. Mungu nakuomba umpe maisha marefu kwaajili ya Taifa letu. Watanzania tunaliona tumaini jipya sasa. Mungu aliekuchangua kukalia kiti hicho cha bunge na akulinde siku zote Amina🙏
@enockadam85093 жыл бұрын
Tumepata mbunge kweli kweli thx God
@peterkichochi75103 жыл бұрын
Yeni wewe umesenisisimua na comment yako hakika naungana na wewe.
@bernardoleonard73313 жыл бұрын
Amen naungana nawewe kumuombea
@happykimaya27623 жыл бұрын
Amen
@neemaemanueli17013 жыл бұрын
AMEN
@williammutagwaba393 жыл бұрын
Nakupa zote mtumishi Gombea uraisi hadi namkumbuka magufuli wetu mungu ana tupenda sana Tanzanian
@lucasezekiel97823 жыл бұрын
Uyu ni mwanaume haswa, anaongea point zenye mashiko,Akili vichwani mwetu watanzania.🇹🇿 Tunamshukuru Mungu kwa kutuwekea viongozi wa dini wenye hekima bungeni. Huu ni mpango wa Mungu kabisa.
@fetychina32733 жыл бұрын
Kabisa
@anordlaurent87513 жыл бұрын
N kwer
@davidmvukie32733 жыл бұрын
Lack of knowledge
@polcharles54213 жыл бұрын
Kwakwel
@esboemsafi75703 жыл бұрын
Kwel kabisa
@official_minister_suleiman68563 жыл бұрын
Mungu anaouwezo zaidi na anailinda Nchi yetu juu ya magonjwa na changamoto zozote na anaendelea kuilinda Asante saana mungu wetu wa mbinguni 🙏🙏
@ikulunimahalipatakatifu76423 жыл бұрын
Asante Sana Mh Gwajima, tukiwa wengi kama wewe nchi yetu itafika mbali .., R.I.P JPM.., , asante Sana
@makulaikuku69093 жыл бұрын
😭😭😭
@chrismassawe3263 жыл бұрын
Tukiwa na watu waongo kama gwajima tutafika kuzimu wote maana alisema atafufua na hajawahi kufufua alisema atawapeleka wana kawe ulaya nasubiri nione watu wakipelekwa ulaya
@Ruganuza_Tv19933 жыл бұрын
@@chrismassawe326 tunazungumuzia nchi yetu cyo kawe bro.
@rajabuhamisi27693 жыл бұрын
Magu hakukosea kabisa hiki kichwa alafu wajinga fulani walikua wanaleta udini baba tupiganie wanyonge.
@nicgooholasmwandambo60673 жыл бұрын
@@chrismassawe326 nenda kachanjwe Kama huyu ni muongo
@thieryniyonkuru50233 жыл бұрын
Kama umemuona Gwajima Akinawa mikono yake kuhusu damu ya wa Tanzania 🇹🇿 million sitini kufanyiwa majaribio kwa ajili ya vichwa vichache viende ulaya, nipe like 👍
@bungesabaya80623 жыл бұрын
Hapo kweli umeongea mweshimiwa kwajima hongera kwa kuwa na maono ya namna hiyo . 👌👌👌👌👌👌 Umengea jambo njema na la maana . Tunaomba wabunge wote kuunga mkono point hiyo . Hongera mbunge wakawe . Tunahitaji wabunge kama wewe bungeni🙏🙏🙏
@samwelraphael69313 жыл бұрын
This man is "Mastermind" Mungu akurinde Baba akujalie afya njema na nguvu uzidi.kulijenga taifa letu la Tanzania coz' ur hv strong points zanye mashiko daddy..!!
@TitoLemoFirelandTv3 жыл бұрын
If Tanzanian can give this Man a chance to lead them,then this is the man of this time!!!💟
@htx18733 жыл бұрын
Yes yes yes. Magufuli foot steps. We definitely need president like magufuli no doubt.
@luganodaudi83993 жыл бұрын
Ndio umuhimu wa kuwa na wacha Mungu ndani ya Bunge Asante sana Baba Askofu Gwajima Hakika umeongea point za kuzigusa mioyo yetu.
@edwinelias85543 жыл бұрын
Thanks daddy ngwajima this speech very interesting for hearing Tanzania we gone against with corona the next Mr president of Tanzania Unafaa🙏🏼
@ibrahimsaid42633 жыл бұрын
Exactly 💯 %
@emanuelkinimanyandi23193 жыл бұрын
Nimekuelewa
@damaspmtz10183 жыл бұрын
Viongozi kama waha ndiyo huwa hawapendwi kwani watu wako nyuma ya wazungu wapige pesa
@seifzongo3203 жыл бұрын
Huyu anafaa apewe uwaziri
@davidmvukie32733 жыл бұрын
Kupotosha tuy
@ahmedsaddiq3 жыл бұрын
This guy said it all 🙏😭,,, lets stay strong and stay as african together❤️🙌🔒
@neemashookyaruzi8093 жыл бұрын
Asante MUNGU kwa ajili ya Gwajima, MUNGU Akulinde kwa ajili ya wa Tanzania. Yesu Tusaidie Tanzania
@elizabethcharles47123 жыл бұрын
AMEN
@luciaK973 жыл бұрын
Mungu akuweke baba🔥... I see JPM spirit.
@daressalaampost57853 жыл бұрын
Huo ndiyo ukweli. Mungu akubariki sana askofu. SSH tafadhali asiruhusu hii chanjo itatuathili sana baadae.
@emmanuelmanyama36433 жыл бұрын
Askofu kipindi unagombea sikupenda uchaguliwe, nilitaka utumike sehemu moja kwa Mungu, kumbe kulikuwa na sababu ya ww kuja katika bunge hili!!! Hongera Sana
@neemambunda20043 жыл бұрын
Point Kubwa kabisa, Mungu watangulie viongozi hawa, give them wisdom knowledge and understanding. Mh. Gwajimu Mungu amekuweka wakati sahihi. May God keep you and strengthen you. Exactly and Amen for theres no weapon formed agaist our nation will prosper in Jesus mighty name.
@rainertv54793 жыл бұрын
sijawahi kupata ata likes 100 , kama wewe ni mzalendo twende na Mimi apa kwenye likes
@barakajackson26943 жыл бұрын
Baba asante sana kwa kutoa ufafanuzi mzuri sana kuhusu chanjo tunaomba viongozi wetu wafanye tafiti kwa kina na kumwomba Mungu katika kufanya maamuzi
@godfreysosthenes40663 жыл бұрын
Naamin ata Magufuli uko alipo kama ana skia basi kafurahia sana💯🙏
@puro19863 жыл бұрын
Huyu ni mzalendo ni mfuasi Wa Magu 👏🏾
@jambo37513 жыл бұрын
Sijawahi kumpenda Magufuli isipokuwa kwa jambo moja tu nalo ni:MSIMAMO WAKE KUHUSU CORONA ni hilo tu. Na atakaekwenda kinyume na msimamo ule basi hata afanye mazuri gani nitamuhisabu kuwa sufuri zero.
@donaldmwahalende48413 жыл бұрын
@@jambo3751 kwa kweli
@henrybaraka52583 жыл бұрын
@@jambo3751 Asante
@azizabdallah5853 жыл бұрын
Bravo Mh. Gwajima...Watanzania na Afrika wamekusikia....na tunasema kwa sauti kubwa...hatutaki chanjo....Mh. Rais Mama Samia na Viongozi wako hizo ni salaam za Watanzania....Mwenyezi Mungu Mtukufu akubariki Askofu Gwajima....mmoja wa wafuasi mahiri wa hayati JPM kwa mema aliyoifanyia Tanzania yetu.
@jedonnthadeo14283 жыл бұрын
Ninakuelewa Sana Baba askofu Ndio maana Mungu anakutaka Uwe kama ulivyo Leo💪💪💪💪💪
@henrybaraka52583 жыл бұрын
Asante sana....your speech made me feel the late president Magufuli presence.... I hope the Government looks at this Corona issue at your perspective.... blessed.
@abdulrahmanhassan92543 жыл бұрын
In shaa Allah mwenyezi mungu amfanyie wepesi Joseph gwajima ajekuwa raisi wa tanzanian
@michaelmaige68793 жыл бұрын
Amina
@cathelinegustafa27103 жыл бұрын
Amina
@Apostlebarakanyagawa3 жыл бұрын
Nakubalia sana Gwajima anajua nguvu ya maarifa na anadhihirishwa kwa kutupa neno la uponyaji. Under GOD supervision Tanzania up for the endless decades.
@lamwakaonline72163 жыл бұрын
Kumcha beans ni chanzo Cha mahalifa huyuu mwamba anamtanguliza mungu katika hoja zake thanks very much prophet gwajiima I appreciate your contribution
@nicholausmakundi26633 жыл бұрын
Tumia Grammar vizuri
@smmak71403 жыл бұрын
Nakupongeza gwajima kwa mchango mzuri kwa taifa Tanzania, sio mbunge unakurupuka tu unachangia kitu usichokijua ! Umechangia kwa uelewa wa hali ya juu bcoz umefanya research ya kutosha , speech yako ni very interesting nimekuelewa vizuri sana ! Hongera mheshimiwa na ninaiomba serikali izingatie ushauri wako kwa umakini wa hali ya juu wasije wakakurupuka wakaleta balaa kwa vizazi vijavyo pia serikali ilipo madarakani ikumbuke na iheshimu mtazamo wa hayati magufuli kwenye suala la Corona yule mzee aliona mbali sana na kilitahadharisha mapema kabisa kuhusu chanjo hizo ! Mungu ibariki nchi yangu Tanzania na Watu wake !
@fransiscomadelemo92993 жыл бұрын
Genius
@sayuniphanuel1423 жыл бұрын
Mama yetu kipenzi Rais Samia Suluhu ana hofu ya Mungu na ndiyo maana ameona aweke wataalam waliangalie hilo. Mungu akubariki sana Askofu Gwajima kwa kutupa ufafanuzi uliojaa KWELI
@nilansaid29273 жыл бұрын
Mama yupi kipenzi huyo Jezebel shetani muuaji?
@abuubilal26463 жыл бұрын
@@nilansaid2927 amekuulia nani hanithi wewe
@damasdamas20933 жыл бұрын
anafaa kuwa raisi wetu 2025 wanao kubaliana na mm naombeni like
@joakimjosephat99843 жыл бұрын
Ondoa ujinga huo
@kiri58073 жыл бұрын
huu urahisi 2025 kila siku unahamishwakwamtu hadi mtu . munaonekana ni watu wa propaganda tu .
@jonakajigili69913 жыл бұрын
Sokapaaa
@martincreshent74853 жыл бұрын
Nakubaliana
@maulidsaid94483 жыл бұрын
Labda awe rais wa famila yako🙄🙄
@kamulisweke44383 жыл бұрын
Umenikumbusha mpendwa wetu hayati jpm, mungu akubariki sana gwajima.
@sijartv32923 жыл бұрын
binafs nimeanza kumfuatiria gwajima since 2000 th kwanza ni msomi tena good thinker ana IQ ya kutosha hongera sana mh gwajima tatizo lengine wa tz hatupendi kusoma vitabu na kutafiti mambo kwa namna hii hatutafikia goals na results
@neemashigongo78993 жыл бұрын
Mungu ibariki na kuiponya Tz na watanzania wote Amina
@mekaryomekaryo48353 жыл бұрын
Itakiwa wewe upewe waziri wa afya
@whatisthetruth.87933 жыл бұрын
Pia mlaanii mtoto wa shetani popote alipo , AMEN
@kidobuban97403 жыл бұрын
Toka nimeanza kumfatilia Ngwajima leo leo kaongea Point kila neno Ahsantee sana mweshimiwa uishi miaka mingi 🙏
@rafikiwildlife42633 жыл бұрын
Gooooooood nimekupenda sana, unastahili.kuendelea kuwa kiongozi wa Kawe na Tanzania kwa ujumla. Your nexty presindet
@mfusejoseph45123 жыл бұрын
A. Man of the people
@mashakakalamba5193 жыл бұрын
Be blessed man of the High Most God. This is a prophecy. It is a strong message from the Almighty God. Let the Lord advice our President and his subordinates to seek God the way out.
@nelsonkiula98793 жыл бұрын
Umemfurahisha mpaka Magufuli uko aliko alitupenda na hakutaka mabaya yatupate watanzania,Gwajima unafanya kazi nzuri.🙏
@halliekijangwa16183 жыл бұрын
Nilikupigia kura mwanzo nikiwa sina hakika nawe na kama nililazimishwa kuweka ✔ kwenye jina lako. Kweli mapenzi ya MUNGU hakuna wakuyapangua. Uchaguzi Ujao nitakupigia kura nikiwa nina uhakika nawe. Asante MUNGU 🙏
@eyumededu29483 жыл бұрын
As'e Asante Mungu wetu kwa ajili ya hii zawadi nyingine Tutunzie wewe Mungu wa kweli hazina hii
@MsAggie53 жыл бұрын
Hallelujah man of God. Isaiah 54:17 No weapon that formed against us (African, Tanzanian) shall prosper ...🙏🏾
@jiliusiddy15023 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukupa hekima ktk taifa letu coz wengi waliamini unaenda kuiongoza nakuisaidia kawe tu lakini leo unawasaidia wengi kupitia hoja zako
@danielmenganyi80753 жыл бұрын
Its called health precautions
@depaolo34613 жыл бұрын
Mungu amekuweka kwa makusudi mtu usiyeogopa kusema
@Ruganuza_Tv19933 жыл бұрын
Fact kabisa
@tatutatu15703 жыл бұрын
Mungu akuongoze wasije kumuua kama magufuli 😭😭😭😭💔🇹🇿🇹🇿🙏🤲☝️
@andulilemwakihabha20483 жыл бұрын
Kweli kabisa
@alicensabimana21372 жыл бұрын
Barikiwa Jeshi la bwana Mungu azidi kukufunuriya Na kukurinda Atakayo kutega anaswe pekeyake Amina Mueshimiwa mubunge josephat gwajima Urindwe na Mungu
@rehemamiraji98213 жыл бұрын
ALLAH AKBAR . Magufuli alikuwa best of the best ever .! Mama ajue hatuko tyr kufanyiwa majaribio achanje yeye na serikali yake
@gloriamichael79353 жыл бұрын
Rehema nimechekaje
@coffeemuya6183 жыл бұрын
Kwa kweli uyu Mama awe makini na izo chanjo ayo Mambo yamekaa kibiashara
@bernardoleonard73313 жыл бұрын
😀😀 hatutaki kabisa watuache
@simonmathayoshepi25373 жыл бұрын
Huyo mama kashakomaa na Corona kila siku ivi kungekuwa na Corona situngekuwa tushaisha watuache bana
@coffeemuya6183 жыл бұрын
@@simonmathayoshepi2537 huu ni muda wa kufikiria maendeleo na sio Corona. Miaka mitano sio mingi
@husnaameen93093 жыл бұрын
Hongera mheshimiwa gwajima ,hakika umeongea lengo na lenye manufaaa makubwa kwa taifa letu ,mungu kuweke na afya njema ,mwenye masikio atasikia taifa lifanyie kazi ushauri wako
@castorykomba81873 жыл бұрын
Sijawahi kufikiri kama wewe jamaa no kichwa namn hii. Hongera Sana mtumishi,Mungu akubariki sana na uzidi kuchangia maendeleo ya taifa letu.
@bahatimasawe7043 жыл бұрын
Yupo vzr sana kasema kweli
@seventcentlothy1053 жыл бұрын
Ao akina kigwangala ni bongo lala ao eti turuhusu chanjo na ndio wavivu wa kusoma ao gwajima hongera sana kwa kulifunua taifa letu ss tunafurahi sna kuwa na mtu kama ww yani mpaka waziri na naibu wake wamekuapriciate gud kwa kazi nzuri.
@kilianidanda16093 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi kwa ujumbe
@sunyareh3 жыл бұрын
Gwajima lazima tumlinde mabepari hawawezi kukubali mwafrika mwenye upendo wa watu wake. Asante sana mh mmbunge,
@fx-farm68883 жыл бұрын
Gwajima kanyaga twende mzee wetu ..... JPM is alive alhamdulillah
@emmanuelmasilago66973 жыл бұрын
Mweee gwajima kwanini umechelewa kuingia kwenye siasa mapema baba wew nimagufuli wapili nawata kupiga vita tuuu, unaumia kwawatanzania wotee, mungu akupe maona zaidi nazaidi
@mwashiuyayoshuatv98293 жыл бұрын
Mungu akubariki sana sana sana Mtumishi wa Mungu.. Umekuwa baraka mno kwetu . MUNGU akuinue sana sana
@jessalaisaac.a25993 жыл бұрын
Aiseeeee Huyu Jamaa amesoma nn??? Aloooh anajua Hadi ana bowa... Ubarikiwe Gwajima... Aloooh umefika bungeni for the reason... God bless You...
@faithntukamazina84803 жыл бұрын
Amina amina, ulikuja duniani for such a time as this! Umeongea vizuri sana!
@dennisclement57173 жыл бұрын
Mimi ni mwanachadema sugu Ila sijutii Jimbo la kawe kubebwa na Mr gwajima wa ccm because,! Anaipenda Tanzania na watu wake🙏🙏🙏
@mohammedsalim70513 жыл бұрын
Mimi huyu jamaa siku hizi simpingi tangu alivyo ongelea swala la mashekh wa uwamsho na ni jasiri big up gwajima
@alhamdulillah57963 жыл бұрын
Jasiri gani mnafik tu huyu? Mbona kipindi cha Magufuli hakuzungumzia? Kaona sasa kapata Samiha waisilam wanamlilia na yy kajitumbukiza kwa manufaa yake.
@@alhamdulillah5796 aisee wewe ni Msenge Sana tena kubwa jinga,, hao mashehe Magufuri si kawakuta gerezani acha roho ya husuda mbwa wewe
@bahatimasawe7043 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 acha ujinga ww apa atupo kidin mjinga mmoja ww Tanzania kwanza
@mckamongomckamongo81503 жыл бұрын
Asante Sana hizo ndo point tunataka kuziona kiukweli gwajima umetungusa watanzania tulio wengi Sana Mungu wangu akubaliki Sana na azidi kukupa point ju ya point
@josephvenus32593 жыл бұрын
🙌🙌🙌 Gwajima umenena ukweli kabisa.. God bless you all the time! I love Tz 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@innocentjoseph8053 жыл бұрын
My brother from another mother, (Kanda ya ziwa tuko vizuri na tuna watu makini Sana) msukuma yoyote angonge like hapa kumuenzi magufuri 🙏
@kibwamoko87673 жыл бұрын
Huo ni UPumbavu kuweka Comment ya Ukabila na kuusahau Utanzania wako kiujumla. Wakilisha Utanzania wetu na si ukabila. Kama nimekukwaza utanisamehe.
@innocentjoseph8053 жыл бұрын
@@kibwamoko8767 hivi wewe ungekuwa na busara ungeanza na neno (tusi) ? Huo ndo utanzani xaxa...?
@abdallahbakiri76713 жыл бұрын
Acha matabaka sasa. Wote watanzania
@haikafrancis46993 жыл бұрын
I like you contribution brother Gwajima. God bless you richly
@teddymwageni17633 жыл бұрын
Umekuwa mbeba maono,Mungu ibariki Tanzania
@abelntobi3823 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/bKDWl6GpjsR7aNU
@bernardoleonard73313 жыл бұрын
Our new gift
@whatisthetruth.87933 жыл бұрын
Ni tegemeo lililo baki wangi wanatamaa uwaziri wanakwenda tuu na mtoto wa shetani samia,
@vincentpazzia16883 жыл бұрын
Hili ni darasa tosha. Naona watu wanaandika notes na kutingisha vichwa ishara ya kuelewa somo! Binafsi nimeelewa. Tumefunzwa sisi kumtegemea Mungu. Kila silaha itakayofanyika juu yetu haitafanikiwa! Mwenyezi Mungu aendelee kulifunika taifa letu kwa nguvu zake! Aamin!
@suleimanmustapha1013 жыл бұрын
Mungu azidi kukupa maarifa,uelewa, utambuzi na ufahamu na aendelee kukuwezesha kuufahamisha umma mambo yenye manufaa kama haya,pia awape wasikilizaji na watu wenye maamuzi kukuelewa.
@pillykinabo87223 жыл бұрын
Amina 🙏
@innocentkalalu55033 жыл бұрын
Mungu azidi kuachilia maarifa kwako Mtumishi
@JTGSHUUDA3 жыл бұрын
Amen
@mbarikiwambarikiwa39883 жыл бұрын
Asante Mch Gwajima kwa kuliona hili.
@del-mohaa75273 жыл бұрын
Mm mkenya na niko qatar ngwajima cjui unakunywa soda gani yani umeongea points tupu asante ubarikiwe JPM mdogo
@kuhaniushindi9623 жыл бұрын
Habar ndg
@del-mohaa75273 жыл бұрын
@@kuhaniushindi962 nzuri tu
@jedidahbintidaudi82413 жыл бұрын
karibu kwtu tanzania kaka yangu mwema. asante kwa kufuatilia bunge letu. Mungu Akubariki na kukufunika huko uliko kaka
@del-mohaa75273 жыл бұрын
@@jedidahbintidaudi8241 amiin asante sanaa nitakuja tz nikitoka huku kwa uwezo wa mungu kutembea tanzania
@consoafrica13503 жыл бұрын
Lol
@ismailomary66263 жыл бұрын
Tunahitaji wabunge wa Aina hiiii wenye mitazamo chanya juu ya taifa letu humo ndani kina wabunge maprofesa lakininhoja zao hazina mashiko kqbisankwa taifa letu toka Mimi nianze kusikiliza hoja bungeni leo nimeiona hoja nzito yenye mantiki huyu kweli NI mbunge aendeleee kutawala KAWE MAISHA .ASKOFU GWAJIMA NI GIANT KEEP IT UP
@johnmihyo56743 жыл бұрын
A TRUE LEGEND NEVER DIES.NINAJUA HAUKUWA WEWE "THE FINEST SON OF AFRICA-JPM" ALIKUWA NI ALIYEKUUMBA NA KULIUMBA TAIFA LAKE LA TANZANIA.ULILETWA KATIKA KIPINDI SAHIHI MNO,NURU TUMEIPATA NA IMEFUTA GIZA LA MWAFRIKA."AFRIKA NI BARA LA NURU NA SIYO GIZA"-SAID BY BABA WA UZAO 7 Desemba,2019.
@abelntobi3823 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/bKDWl6GpjsR7aNU
@CheMataka_official3 жыл бұрын
Yuko sahihi Sana nadhani tulitakiwa tuwe na wabunge was stahili hii wanaojali kuhusu wa🇹🇿 na Taifa kwa ujumla
@johnmsigwa2053 жыл бұрын
Up xahihi kiongoz
@zeen11683 жыл бұрын
Upo vizur
@denyu99753 жыл бұрын
Gwajima kipaji chako cha kuelewa mambo tofauti sana na watu wengine ndugu bigup sana
@joyceerenest62353 жыл бұрын
TUNAPOSEMA JPM YUPO HAI TUWE TUNAELEWANA..✊✊
@neemamasimba29813 жыл бұрын
Nimejisikia hata kulia maana niliumia Sana alipokufa JPM,maana alisimama kidedea kututetea watanzania
@moseslukespaul3833 жыл бұрын
Yan Bishop Leo nimekuelewa & nimeamini kwa nini JPM Alikurudisha kwny kura za Maoni, Magufuli alikua anaona mbali Sana. RIP JPM
@mkushiandikayakoachananaya79443 жыл бұрын
Kwakweli tunaelewa zaidi muda unavyosonga kuwa yupo MZEE WETU MAGUFULI!
@fetychina32733 жыл бұрын
Na mzimu uta watafuna watapo leta hiyo chanjo
@mkushiandikayakoachananaya79443 жыл бұрын
@@fetychina3273 Ila inauma kuona hakuna muelekeo wa huyu mama aliyeko juu kufuata matakwa ya Tanzania bali ya watu wa ng'ambo! Mama ameipa CORONA nguvu kuliko chochote, hiyo inakosesha watu wengi amani!
@georginajohn84563 жыл бұрын
Yaaaa umenena Vema Mtu wa Mungu. Mungu atuhurumie tu hata Baba yetu Magu aliikataa kabisa Asante Mungu mh Gwajima Mungu aendelee kukutunza na kukulinda Sisi wa Tz sio wa majaribio
@Alex_Anania3 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana Bishop Gwajima.
@isayakirway37213 жыл бұрын
Dorothy gwajima na dkt molell wanabaki kutazamana tuu kutokana na hoja zenye afya from bishop
@stellandege55943 жыл бұрын
Big up
@kamobcooler10773 жыл бұрын
😢😢😢MAWAZO KONKI KINYAMA DAAAAH...... 💪💪💪💪
@japhetgeorge3153 жыл бұрын
Huyu ndio gwajima kaongea point kubwa sana kazi kwetu
@burundishallsmile1day1093 жыл бұрын
Magu s Smiling in Heaven 😊✊🏾
@thegoldenpoint55483 жыл бұрын
Hakika
@yusufjuma37733 жыл бұрын
Hakika magufuli is smiling in heaven
@temuemanuel46713 жыл бұрын
Kabisa
@missangela67203 жыл бұрын
I liked JPM very much. But, he's definitely not in heaven now. Labda baada ya ufufuo. God only knows
@burundishallsmile1day1093 жыл бұрын
@@missangela6720 Where's Heaven? 😊
@raphaelbossruvakubusa30313 жыл бұрын
Safii sanaaa Bishop Gwajima sio tu kawe wamepata mbunge but ni kwa faida ya taifa kawe ilikuwa njia tuu kufika mbungeni hapo ila hekima zako na michango yako inafaaa sanaa kwa taifaa na mwenye sikio afungue asikie sanaaaa na . Hakika mchango wako wa leo umeliashaa taifa kuhusu chanjo ni nini na hasara yake taifa na vizazi vijavyo
@pricysmart35773 жыл бұрын
Huyu Gwajima ni hatari na ni MAGUFULICATION THE SPIRIT OF GOD IN our BODY #GODMAKE #GODDO #GODKNOWS
@abelntobi3823 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/bKDWl6GpjsR7aNU
@fintanmkesha10773 жыл бұрын
Matunda ya jpm tunayaona bungen big up mch gwaji real love kwa ushauri
@nesielias3173 жыл бұрын
Baba gwajima ukija Mbeya Nina zawadi yako Mungu aendelee kukutunza na kukupa maarifa zaidi
@amosleonard73593 жыл бұрын
Good pastor wangu gwajima ,Mungu akuzidishie hekima tele na akutumie vzr kuongea na kufikisha ujumbe wake ,,,very excited aise
@felisterjames58593 жыл бұрын
heshima kwako mtumishi wa Mungu gwajima tutetee tumekosa mtetezi Musa kasha ondoka Watu hawana pa kusemea sasa hiv nchi imetekwa na farao lkn Ipo cku Mungu ata leta metez harun tuuu
@christopherjames14893 жыл бұрын
Kweli dada
@selestiandamas77623 жыл бұрын
You are the best Gwajima. Pigania Tanzania. Wote tuliopewa dhamana ya kufanya maamuzi kwa ajili ya nchi na watu wake tunapaswa kutanguliza utu na uzalendo. Mungu ibariki Tanzania
@abdulmelele73223 жыл бұрын
Mh.Gwaji boy naona kabisaa unafuata nyayo za JPM kwa maono big up brother npo nyuma yko bishop🙏
@samwelamsi19963 жыл бұрын
Thanks Bishop gwajima Your speech will be the plat form of our health ministry
@bartholomayochenga26783 жыл бұрын
Kama hawatakusikiliza hakika Damu yao hautadaiwa, asante mtumishi wa Mungu kwa kutimiza wajibu wako.
@chikubundara57613 жыл бұрын
Asante bb Gwanjima Mungu azidi kukupa Mwanga ,utuepushe na majanga
@zakayogodwin26013 жыл бұрын
Asante Mungu
@alhajimawe8903 жыл бұрын
Nice speech barikiwa sana mheshimiwa
@jiriwahaji14063 жыл бұрын
Daaa wewe noma unahitahi pongezi yahaliya juu Thanks 🙏🙏❤ gwajima ❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu akubariki sana
@mwanakombaabbas933 жыл бұрын
Allah akuzidishie fahamu swadaktha maneno yako ni ya kweli kabisa
@dulla91953 жыл бұрын
Anaongea vitu vya uongo yeye sio doctor, ukiongea na doctor mutaelewa zaid
@samwellwiza10983 жыл бұрын
Ulikuja bungeni kwa kazi hii..endelea kumtumikia Mungu ndani ya Bunge.....GWAJIMA UMEJIPAMBANUA WEWE SIYO.MWANASIASA TU BALI NI MWANASIASA MTUMISHI WA MUNGU...TUSAIDIE KUTUPAZIA SAUTI...UNAWEZA KUISHI MUDA MFUPI UKAWA ZAIDI NA MTU ALIYEISHI MIAKA YAKE YOTE MPAKA UZEE KULINGANA NA KILE UTAKACHOKIFANYA..
@ignassindabaha18133 жыл бұрын
Gwajiboy sijawahi kukuelewa lkn Leo big up sanaaa.nimekubari kinomaaa nomaa,strong thoughts
@godfreykwanama62443 жыл бұрын
Yuko poa sana mzee huyu ni jpm
@madukaj.j.69993 жыл бұрын
Jitahidi kusikiliza hoja zake Konki kila siku
@ignassindabaha18133 жыл бұрын
@@madukaj.j.6999 nimemsikia vzr speech yake unaweza irudia mala kumi kumi na hauchoki
@temuemanuel46713 жыл бұрын
@@ignassindabaha1813 Hahahaaa! Nimecheka maana umenisema wazi. Huyu Mh nimemsikiliza mara sita na ninasoma comment zote nione mawazo ya watanzania. Nimefatijika sana
@ignassindabaha18133 жыл бұрын
@@temuemanuel4671 kazi nzr sanaaa atakae ponda hiyo speech apimwe kichwa