HATUMTAKI HUYO MKULIMA, KAZI YAKE TU SITAIWEZA, ILA NIMEMPENDA - HELLO MR. RIGHT

  Рет қаралды 104,181

ST BONGO TV

ST BONGO TV

Күн бұрын

Пікірлер: 199
@EmiliaNuru
@EmiliaNuru 10 ай бұрын
Am proud of you brother and I love that
@faizaahamd2052
@faizaahamd2052 10 ай бұрын
Huyu mkaka siyo mkulima. No mtu kazi yake mzuri sana kila amekuja kupima je kuna wenye mapenzi ya Kweli. CONGRATULATIONS MY BROTHER. Kwa kupima watu.
@esterpaschal6080
@esterpaschal6080 10 ай бұрын
Kwan mkulima anashida gan
@theprincejr1417
@theprincejr1417 10 ай бұрын
​@@esterpaschal6080mi mwenyw nalima huko 😂😅 kwa hyo tunashida gani
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 10 ай бұрын
@@esterpaschal6080 tena ukulima ukikubali una pesa
@jeromeshirima2053
@jeromeshirima2053 10 ай бұрын
@@esterpaschal6080ni wewe hiyo dp
@JonathanNelson-l8h
@JonathanNelson-l8h 9 ай бұрын
Watu wengi hamjui kama kilimo ni bonge la mchongo....kilimo ni pesaaaaaa
@ammydaniel8947
@ammydaniel8947 10 ай бұрын
Ila kumjudge mtu kimaumbile ni kumvunjia heshima na udhalilishaji Sijapenda hao wadada walichofanya. Please weken sheria kama mtu hajampendae mr right ni bora akatae! Kwa No bas!
@theprincejr1417
@theprincejr1417 10 ай бұрын
Yani nawaskiliza naona wenyewe ni Mungu asee wana judge had uumbaji 😂,
@ammydaniel8947
@ammydaniel8947 10 ай бұрын
@@theprincejr1417 na hao sijui madaktar wanaona kawaida tu , ila akifanyiwa hivyo bint yoyote ndio wanajifanyaga wanahasira na mr right , then wanamfukuza. Hakuna binadamu yoyote mwenye haki ya kukosoa! Yan hili limeniuma kama nimefanyiwa mm.
@EsterMajaliwa-u3b
@EsterMajaliwa-u3b 10 ай бұрын
Ni kweli,,hawana adabu kabisa waweke sheria jamank
@NiceWatson-y7e
@NiceWatson-y7e 10 ай бұрын
Kwanza mwanaume mwenye akili zake timamu hawez kwenda hapo na ndio maana hao wanaume wanaowahitaj hawawez kufika hapo
@chulelubella2819
@chulelubella2819 9 ай бұрын
Kiufupi hamna wanawake wa kuoa hapo wengi wanaangalia vitu vya kimwili
@ellymwampashe8927
@ellymwampashe8927 10 ай бұрын
Braza katudanganya hakuna mkulima hapa. Ila chaguo alilochagua wala hata hawaendani. Anitha anahitaji mubaba😢 by the way hakukuwa na haja ya kuingiza ufupi, just say No inatosha. Kila mtu kajikuta ameumbwa
@BlessingsJosephMsofe
@BlessingsJosephMsofe 9 ай бұрын
Sasa na hao wamalaya wamekuja kuninadi nao wanachagua pumbavu kabisa nyie😂😂
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 10 ай бұрын
Hawa wanawake woote siwo, wanataka wanaume waongo, mana mwanamme akiwa mkweli hawataki wanataka wanaume weny majumba na magari, kaz nzuri lkn wanaume weny kuhangaika na maisha hawataki
@anthonykihanga2881
@anthonykihanga2881 21 күн бұрын
Sio vizuri kabisa hizo lugha wanazo tumia hao wadada waelewe kilicho wapeleka na si kudhihaki watu kama hujampenda kausha tu
@williammussa5621
@williammussa5621 10 ай бұрын
Hiki kipindii wapo serious kweli au ni comed 😂😂
@Angelkilawe
@Angelkilawe 10 ай бұрын
Huyu kaka nimtu mkubwa kadanganya wanawake hamna bahati😂😂😂
@PatsonSimpito
@PatsonSimpito 10 ай бұрын
Johar afukuzwe kabisa mbwa huyuu
@GeorgeCharo-b3k
@GeorgeCharo-b3k 10 ай бұрын
Ywaudhiii haswaaaa
@JdnjdjdjEjjeejeie
@JdnjdjdjEjjeejeie 10 ай бұрын
Kabx afukuzw
@zainaburashid1578
@zainaburashid1578 10 ай бұрын
Afu sio mzuri 😂
@loner_wolf
@loner_wolf 10 ай бұрын
Mungu huumba matumboni mwamama zetu atakavyo yeye.....tena kwa mfano wake ,yaani sio kwakufanananaye ,bali kwa namna yake anavyohitaji ,msije mkanifikilia nafananisha mungu na hinadamu , laa hasha .....ila kwa namna atakavyo yeye , so MTU mfupi au mrefu hujikuta tu hapo wala sio kwa mahitaji au kuomba.....huo ndio uweza wa mungu ambao watu huutilia shaka.
@mwanashasjambia8572
@mwanashasjambia8572 10 ай бұрын
Madharau hayoo ndiomaana mkakosa wanaume wakuwaowa.wanawake mlokuja apoo nyote mnaila.
@flm1530
@flm1530 10 ай бұрын
Hao ni Malaya wapo hapo
@paulmuhia7781
@paulmuhia7781 10 ай бұрын
Makosa kuwaita hivo.
@JdnjdjdjEjjeejeie
@JdnjdjdjEjjeejeie 10 ай бұрын
Makos gani?​ wamalay awo@@paulmuhia7781
@themalumbos4214
@themalumbos4214 10 ай бұрын
kabixa kabisa😅😅
@SantaJumaa
@SantaJumaa 10 ай бұрын
Umeniwahi nilitaka kucomment ivo ivo hao malaya tu kwanza mwanamke anayejiheshim na kujua thamana yake awez kwenda kujinadi ivo
@elvilamwambambale950
@elvilamwambambale950 10 ай бұрын
​plz niunganishe me na huyo kijana plz
@magreciousthomas3527
@magreciousthomas3527 10 ай бұрын
Duh hata hawaendani😂😂uyu dada mwili mkubwa
@rutherick255
@rutherick255 10 ай бұрын
But it hasn't end oooh😢😢😢
@Nelly-s3h
@Nelly-s3h 10 ай бұрын
Na nyie wanaume bhna kwan huwez kudanganya kama una kazi nzuri unasema kazi ya uongo na kazi mbovu ili wazarau atakekukubali ndio unasema ukweli sasa maana ndugu zangu wanaonekana wapenda pesa
@jotoentertainment9225
@jotoentertainment9225 10 ай бұрын
Ko sie wakulima mnatuona watu waajab au sio😢😢😢
@SalmaMnalidi
@SalmaMnalidi 9 ай бұрын
Conglatration
@aminamwivita7690
@aminamwivita7690 10 ай бұрын
Congratulations keep it up good job 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@AgnesJosephBikwato
@AgnesJosephBikwato 9 ай бұрын
Wasichana mungu anawaona acheni mashauzi mkulima kwani siyo mtu kwani mnakula vilivyotoka wapi! Kama siyo mkononi jamani du!
@timamulituto
@timamulituto 10 ай бұрын
Uyo dada ana laana ufupi una nn Mungu ampe laana uyo dada asipate mwanaume
@enockabumba7513
@enockabumba7513 10 ай бұрын
Amina
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 10 ай бұрын
😂
@chulelubella2819
@chulelubella2819 9 ай бұрын
Huyo Johari ni mshamba wa KIGOMA
@justinealex8020
@justinealex8020 10 ай бұрын
Huyo johar hatopata hata mwanaume wenda awe fara kama yeye make toka nmeanza kumuona hapo anaelekea kuchacha sasa Inaonesha tabia na tu mbov hyo ndoa ataitunza
@NdekejaKamuli-sh5pe
@NdekejaKamuli-sh5pe 10 ай бұрын
Mmmmh hicho kidemu kinafanya kinajua ngoja nitokee Mimi nikakikatae pia
@RebyTizo-mn6gh
@RebyTizo-mn6gh 10 ай бұрын
Wote watafika mbinguni wamechoka maan hao wantk waume wenye pesa km wazazi wao wanazo
@elizabethkalinga0822
@elizabethkalinga0822 10 ай бұрын
Safi Kijana huna Hasira, huo ndiyo Uanaume
@rahymaaa4357
@rahymaaa4357 7 ай бұрын
Mmmmh kwani Mungu haajakosea kuumba muelewe hilo msijaji kuumbwa kwake
@MwajumShaban
@MwajumShaban 10 ай бұрын
Mkulima huyu jameni siungeenda kuoa kijijin ili mlime vizur 😂😂😂😂😂😂 Pole au twende tukalime wote
@RosemaryPius-cs5lh
@RosemaryPius-cs5lh 10 ай бұрын
Kwani mtu anajishugulisha na kilimo ni lazima ashike jembee????
@MwajumShaban
@MwajumShaban 10 ай бұрын
@@RosemaryPius-cs5lh 😂ndio kilichomkosesha pale aliposem nimkulim yeangesem mjeda wote wangewasha taa
@laurian27
@laurian27 10 ай бұрын
Huyo johari atawapunguzia mashabik wa kipindi hicho hebu jaribuni kupunguza wahuni wengine wateja wetu tunawaona kabisa na mjue kbs kuwa madanguro yashaondolewa kwa sasa wanajitafutia na bahati mbaya kwakuwa ni wameshazoea kila aina ya wanaume ndo maana hawaishiwi machaguo na wanasumbua na kubaki hapo kuwaharibia kipindi.binafc gari b ntakuja hapo kama mr r lkn mtanifukuza kwa kuwachana hao malaya
@amosmutasa3454
@amosmutasa3454 9 ай бұрын
Hili ni dangulo lililo sajiliwa tuu tofauti kidgoo na aloyavunja Chalamila hili ni official
@magreciousthomas3527
@magreciousthomas3527 10 ай бұрын
Mmh mbona kama udharirishaji jmn
@OmanJalan-xc8nx
@OmanJalan-xc8nx 10 ай бұрын
Uyo johari namuombea asipate mume asugue Gaga apo adi akome anamdomo sana na atakeye mchagua nishida
@chulelubella2819
@chulelubella2819 9 ай бұрын
Kashamba kametoka bush kamekuja mjini kalimbukeni
@saidkombo9904
@saidkombo9904 10 ай бұрын
Hapo hakuna wake ni panya road tu wamejaa😂😂
@RayyanRayyan-rt9cg
@RayyanRayyan-rt9cg 10 ай бұрын
Bora kile kipindi cha Kenya ichi cha uku ni ufala alafu hawana adabu wako kama wanadanga tu atakama niihari ya mtu kuchagua ila hawa wanazalilisha watu,,ata hao waongoza kipindi wanashindwa kumfariji mtu wan mcheka haya tuone kma iki kipindi kitaendelea kwa haya mambo hakuna mwanaume anapenda fedhea
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 10 ай бұрын
Haipendezi kumtoa mtu kasoro kama hajakuvutia tuliza kipago
@ATWITYEMKALAWA
@ATWITYEMKALAWA 10 ай бұрын
mbona anita mwenyewe nilimama kabisa afu anajishauwa angekuwa mzuri siangelinga
@zainaburashid1578
@zainaburashid1578 10 ай бұрын
Yani nyie wadada sura mbaya hadi roho gara b shusha hao wanaojiona hapo na mtasubiri sana kupata wanaume kweli mtapata w kuwafunua tu🧐🤔
@Sweetnaah
@Sweetnaah 8 ай бұрын
Ndo maan tunadanganywa kumbee😂😂😂😂😂😂😂
@swalhawerema57
@swalhawerema57 10 ай бұрын
Hivi hawajui kilimo kina pesa mno...basi tu hawaangalii pesa zinapatikan wapii
@czechzyamwaga1021
@czechzyamwaga1021 10 ай бұрын
Wafupi wana dudu ndefu sanaaa ❤😂
@estermwakafwila9890
@estermwakafwila9890 9 ай бұрын
Huyu caren ni mpumbavu sana tena Sanaa tena malaya sana aisew
@WilliamEzekiel-hv9li
@WilliamEzekiel-hv9li 10 ай бұрын
Johari utazeekea apo apo😂😂
@theprincejr1417
@theprincejr1417 10 ай бұрын
Huyo nikimkuta yuko na braza nitafukuza , mwanmke hajui kuongea na stara ya mwanmke
@nuratirama
@nuratirama 10 ай бұрын
Yaani hawo wanawake wa mr right siyo kwamba wanampenda mtu bali huwa wanapenda pesa na kazi ya mtu si kumpenda mtu mwenyewe
@juddykamau8618
@juddykamau8618 10 ай бұрын
Nami sijui nice nipate wangu?
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 10 ай бұрын
kujidhalilisha hivii mhmm
@MashimbiWilliam
@MashimbiWilliam 10 ай бұрын
Hii entertainment tu
@SalmaPaschal-v6o
@SalmaPaschal-v6o 10 ай бұрын
tobhaaaaa Si shangazi yake huyu🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
@neemamkuchu
@neemamkuchu 10 ай бұрын
Johar kaongea pumba😂
@theprincejr1417
@theprincejr1417 10 ай бұрын
Hajuagi hata kuongea kwa utaratbu
@zubedamae-ro1jx
@zubedamae-ro1jx 10 ай бұрын
Naomba part 2 ya huyu boy coz lastly atasema kazi yake au mnipe no. Yake
@mkambaselemani-ej7np
@mkambaselemani-ej7np 10 ай бұрын
Ukiona w,mke kaja kujianika hapo ujue anatatizo Mara kazi yake mby Mara mfup zaa wako akuow
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 10 ай бұрын
Alau uyu jokhal.atoke
@emanuelayubu5021
@emanuelayubu5021 10 ай бұрын
huyu jamaa ni mtata, itakuwa amedanganya kwenye shughuli na kuna kitu anapima.
@PaulAbel-no1xy
@PaulAbel-no1xy 10 ай бұрын
Hata mm nahc icho
@FatumaMustafaShbani-vt1ir
@FatumaMustafaShbani-vt1ir 9 ай бұрын
Amina ngade?? 😢😢
@MonicaBwaola
@MonicaBwaola 9 ай бұрын
Watu awaataki kulima jamani😂😂😂 jembee
@SharifaSelemani-ix4xs
@SharifaSelemani-ix4xs 10 ай бұрын
Kwani hawa wadada wanatafuta wanaume wa kuwaoa au wanatafuta wanaume wenye pesa, wadangaji wakubwa wanaboa sana wanakuwa kama malaya bwana wanachagua utasema wao wanamaisha mazuri vile hawana lolote
@MaryamaAlly
@MaryamaAlly 10 ай бұрын
nilkua najiuliza why mr right hawaji kumbe hawataki jichoresha😂
@ibrahimyusuph4908
@ibrahimyusuph4908 10 ай бұрын
Wa kwanza leo😊
@santinosabugo2114
@santinosabugo2114 10 ай бұрын
kwel maisha yanaenda Kasi muolewaji anachagu wanataka kuolewa na wanaume wenye pesa wakati huo wenyewe Hali mbay
@yassingawaza5097
@yassingawaza5097 6 ай бұрын
Ila kaz ngum hiii daaaa😂😂
@JdnjdjdjEjjeejeie
@JdnjdjdjEjjeejeie 10 ай бұрын
Akun mwanamuk mweny heshim Zak utamuona hap wote niwamaraya tu afu johari hatapatag bwana mimi uyu😮😮😮
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 10 ай бұрын
Atapata wapi na kiburi alichonacho mdomo dharau uso tu unaonyesha akiongea ndo usiseme
@RandB_Channel
@RandB_Channel 10 ай бұрын
Huyu Johari hawutapata mwana umme kwa tabia hizo Nakwambiya hawutapata sijuwi unajionaje
@Sparkog-G
@Sparkog-G 10 ай бұрын
Mbona uyo johari mjuwaji San na hapo podium hatobowiiii
@AminaShaibu-g5p
@AminaShaibu-g5p 9 ай бұрын
Hv kwa nini nyinyi watt mnajidhalilisha hv ama kweli dunia hadaa
@MalandoDeusMalando
@MalandoDeusMalando 10 ай бұрын
Kwan uyo Johar yupo kwaajr ya kulekebisha Mr right
@Itsblackghost
@Itsblackghost 10 ай бұрын
Watupandishe wanaume n sis tuwazalilishe kma walivyo mshusha chalii asee
@victoremanuel29
@victoremanuel29 10 ай бұрын
Kwel kabisaa na wenyewe waone raha
@fikiriisaya5803
@fikiriisaya5803 6 ай бұрын
Hayo wa dada wote niwamalaya akuna anaye taka mme Wana taka pesa tu
@zainaburashid1578
@zainaburashid1578 10 ай бұрын
Huyu sio mkulima...wadada mnapenda pesa na sio mtu kwendraaaa
@massatujeli3158
@massatujeli3158 10 ай бұрын
😊😊😊😊huyu annitha ni mchaga
@LukiaMwaya
@LukiaMwaya 10 ай бұрын
Me uyo mkaka nimempend BURE aje kwng ao wte malaya tu wanajiuza t
@Yangaone-h8j
@Yangaone-h8j 9 ай бұрын
Gara B simamia kipindi vizuri baadhi ya hao mabinti hawana kauli nzuri kwa mr right
@elvilamwambambale950
@elvilamwambambale950 10 ай бұрын
Plz naomba huyo kijana mniunganishe me namempenda plz naomba mc garab
@ElsonAsimwe
@ElsonAsimwe 9 ай бұрын
Joari bado upo 😂 utazeekea apo
@Zarrahmauwa
@Zarrahmauwa 10 ай бұрын
Johar anasifa sanaa
@NuludiniRajabu-cb9oc
@NuludiniRajabu-cb9oc 10 ай бұрын
Awo madem makuma
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 10 ай бұрын
Broo tafuta hela ufupi hutaonekana😂😂😂
@chulelubella2819
@chulelubella2819 9 ай бұрын
Alfu pesa ikiisha ufupi si unarudi palepale
@chulelubella2819
@chulelubella2819 9 ай бұрын
Mtu akikupenda hawezi kuangalia kasoro zako za kimwili
@jimmylevoyo2539
@jimmylevoyo2539 10 ай бұрын
Anita kamkonyeza huyo jamaa, kashamulewa ila anazuga.😂
@enockabumba7513
@enockabumba7513 10 ай бұрын
Umeona eeee
@indalesiohenery6124
@indalesiohenery6124 8 ай бұрын
Muwe na maneno ya hekima wanatazama niwatu wengi
@robertkyalo5328
@robertkyalo5328 10 ай бұрын
Good script!
@gastondofra9151
@gastondofra9151 10 ай бұрын
Mi napenda kuelewa kitu kimoja je bila kuwa nakipato ni vigumu kupata mwanamke? Wamalaya ndo wanakuja kujitafutia tu
@AgnesJosephBikwato
@AgnesJosephBikwato 9 ай бұрын
Naomba niulize kwani wazee hawapo mbona vijana tu!
@giliadijackson66
@giliadijackson66 9 күн бұрын
uyo ndio mwamba mkulima ote kimya
@justertilusubya9595
@justertilusubya9595 10 ай бұрын
Ndio mana hawa wasichana wanaishia kuwa vimada kwasababu hawana heshima
@rutherick255
@rutherick255 10 ай бұрын
What's wrong with míchael😂😂😂😂
@liannsambu7264
@liannsambu7264 10 ай бұрын
Kina Anitha ni wakarimu na wapole sana na wakweli
@ElsonAsimwe
@ElsonAsimwe 9 ай бұрын
Majina yakina Anitha ni maraya moja matata
@ayubuzayumba
@ayubuzayumba 10 ай бұрын
Huyo luludiva nae hanabwana
@AbdallahMkone
@AbdallahMkone 8 ай бұрын
Weng Malaya tu hapo
@giliadijackson66
@giliadijackson66 9 күн бұрын
mwamba we mtot wa kiume aowapaka mekap uwawez
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 10 ай бұрын
Hawa wanawake wote mafala
@devotamutayoba9373
@devotamutayoba9373 7 ай бұрын
Si haki kumdhalilisha mtu kimaumbile, pia nyie mnaotafuta wachumba hiyo siyo sehemu ya kupata mke wa kuoa hao ni wachunaji wanapenda pesa tu, naona wengi wanejurudia humo watoke
@chongorekevin
@chongorekevin 9 ай бұрын
Ukiwa huna kazi ya kueleweka usijisumbue kwnda hapa Kila mtu anataka maokoto
@giddie_barnabas
@giddie_barnabas 10 ай бұрын
malaya hao
@liannsambu7264
@liannsambu7264 10 ай бұрын
Ila kina mwaisha wengi mmmmm hawajatulia
@SabrSeleman
@SabrSeleman 9 ай бұрын
Mmh hao warembo hata wakiolewa hawawez kudumu kwenye ndoa maana hawapendi mtu wanapenda vituu alivyonavyo mista laiti
@EsterSamwel-p2u
@EsterSamwel-p2u 9 ай бұрын
We anitah acha kumwangalia hivyo huyo kaka
@agnessmduma7581
@agnessmduma7581 10 ай бұрын
Hapa kuna makahaba tu hamna mke wa kuoa apa kwa mwanaume anae jielewa hawezi kuja kutafuta mke apa
@jayBabakaila9883
@jayBabakaila9883 10 ай бұрын
Huyo johari nimshenzi
@JosephKaka-s4k
@JosephKaka-s4k 6 ай бұрын
Wadau sorry hawa wadad wa mr right n malaya au
@MudyBoy-q9h
@MudyBoy-q9h 9 ай бұрын
Ao hawaitaj wanaume tu ila wanataka matajili wadanganyaji tu
@lastkinglastking3326
@lastkinglastking3326 9 ай бұрын
Hata mimi ningekuwa mwanamke huu jama ningezima taa
@dianajanes7661
@dianajanes7661 10 ай бұрын
Johari ata ukipata sizan
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 37 МЛН
Will A Basketball Boat Hold My Weight?
00:30
MrBeast
Рет қаралды 112 МЛН
This mother's baby is too unreliable.
00:13
FUNNY XIAOTING 666
Рет қаралды 43 МЛН
PENZI JIPYA | NAMPENDA SANA  MUONEKANO WAKE HELLO MR RIGHT
10:43
ST BONGO TV
Рет қаралды 159 М.
IRENE AVUNJA UKIMYA ASIKITISHA WAAALIKWA WAPIGWA BUTWAA
7:07
Gwhite Media Tarime
Рет қаралды 352
CHEKI DOGO NOMA AMFUNIKA CHINO WANAMAN
3:18
KICKSM
Рет қаралды 1,9 М.
DUNIA (Ep 12)
22:49
ASMA FILMS
Рет қаралды 10 М.
KWANINI UCHAGUE CUoM 5
2:20
tzcuom
Рет қаралды 42
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 37 МЛН