Huyu mkaka siyo mkulima. No mtu kazi yake mzuri sana kila amekuja kupima je kuna wenye mapenzi ya Kweli. CONGRATULATIONS MY BROTHER. Kwa kupima watu.
@esterpaschal608010 ай бұрын
Kwan mkulima anashida gan
@theprincejr141710 ай бұрын
@@esterpaschal6080mi mwenyw nalima huko 😂😅 kwa hyo tunashida gani
@salmaalimusa680910 ай бұрын
@@esterpaschal6080 tena ukulima ukikubali una pesa
@jeromeshirima205310 ай бұрын
@@esterpaschal6080ni wewe hiyo dp
@JonathanNelson-l8h9 ай бұрын
Watu wengi hamjui kama kilimo ni bonge la mchongo....kilimo ni pesaaaaaa
@ammydaniel894710 ай бұрын
Ila kumjudge mtu kimaumbile ni kumvunjia heshima na udhalilishaji Sijapenda hao wadada walichofanya. Please weken sheria kama mtu hajampendae mr right ni bora akatae! Kwa No bas!
@theprincejr141710 ай бұрын
Yani nawaskiliza naona wenyewe ni Mungu asee wana judge had uumbaji 😂,
@ammydaniel894710 ай бұрын
@@theprincejr1417 na hao sijui madaktar wanaona kawaida tu , ila akifanyiwa hivyo bint yoyote ndio wanajifanyaga wanahasira na mr right , then wanamfukuza. Hakuna binadamu yoyote mwenye haki ya kukosoa! Yan hili limeniuma kama nimefanyiwa mm.
@EsterMajaliwa-u3b10 ай бұрын
Ni kweli,,hawana adabu kabisa waweke sheria jamank
@NiceWatson-y7e10 ай бұрын
Kwanza mwanaume mwenye akili zake timamu hawez kwenda hapo na ndio maana hao wanaume wanaowahitaj hawawez kufika hapo
@chulelubella28199 ай бұрын
Kiufupi hamna wanawake wa kuoa hapo wengi wanaangalia vitu vya kimwili
@ellymwampashe892710 ай бұрын
Braza katudanganya hakuna mkulima hapa. Ila chaguo alilochagua wala hata hawaendani. Anitha anahitaji mubaba😢 by the way hakukuwa na haja ya kuingiza ufupi, just say No inatosha. Kila mtu kajikuta ameumbwa
@BlessingsJosephMsofe9 ай бұрын
Sasa na hao wamalaya wamekuja kuninadi nao wanachagua pumbavu kabisa nyie😂😂
@nahlahassan-fd6le10 ай бұрын
Hawa wanawake woote siwo, wanataka wanaume waongo, mana mwanamme akiwa mkweli hawataki wanataka wanaume weny majumba na magari, kaz nzuri lkn wanaume weny kuhangaika na maisha hawataki
@anthonykihanga288121 күн бұрын
Sio vizuri kabisa hizo lugha wanazo tumia hao wadada waelewe kilicho wapeleka na si kudhihaki watu kama hujampenda kausha tu
@williammussa562110 ай бұрын
Hiki kipindii wapo serious kweli au ni comed 😂😂
@Angelkilawe10 ай бұрын
Huyu kaka nimtu mkubwa kadanganya wanawake hamna bahati😂😂😂
@PatsonSimpito10 ай бұрын
Johar afukuzwe kabisa mbwa huyuu
@GeorgeCharo-b3k10 ай бұрын
Ywaudhiii haswaaaa
@JdnjdjdjEjjeejeie10 ай бұрын
Kabx afukuzw
@zainaburashid157810 ай бұрын
Afu sio mzuri 😂
@loner_wolf10 ай бұрын
Mungu huumba matumboni mwamama zetu atakavyo yeye.....tena kwa mfano wake ,yaani sio kwakufanananaye ,bali kwa namna yake anavyohitaji ,msije mkanifikilia nafananisha mungu na hinadamu , laa hasha .....ila kwa namna atakavyo yeye , so MTU mfupi au mrefu hujikuta tu hapo wala sio kwa mahitaji au kuomba.....huo ndio uweza wa mungu ambao watu huutilia shaka.
Umeniwahi nilitaka kucomment ivo ivo hao malaya tu kwanza mwanamke anayejiheshim na kujua thamana yake awez kwenda kujinadi ivo
@elvilamwambambale95010 ай бұрын
plz niunganishe me na huyo kijana plz
@magreciousthomas352710 ай бұрын
Duh hata hawaendani😂😂uyu dada mwili mkubwa
@rutherick25510 ай бұрын
But it hasn't end oooh😢😢😢
@Nelly-s3h10 ай бұрын
Na nyie wanaume bhna kwan huwez kudanganya kama una kazi nzuri unasema kazi ya uongo na kazi mbovu ili wazarau atakekukubali ndio unasema ukweli sasa maana ndugu zangu wanaonekana wapenda pesa
@jotoentertainment922510 ай бұрын
Ko sie wakulima mnatuona watu waajab au sio😢😢😢
@SalmaMnalidi9 ай бұрын
Conglatration
@aminamwivita769010 ай бұрын
Congratulations keep it up good job 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@AgnesJosephBikwato9 ай бұрын
Wasichana mungu anawaona acheni mashauzi mkulima kwani siyo mtu kwani mnakula vilivyotoka wapi! Kama siyo mkononi jamani du!
@timamulituto10 ай бұрын
Uyo dada ana laana ufupi una nn Mungu ampe laana uyo dada asipate mwanaume
@enockabumba751310 ай бұрын
Amina
@agnesjohn938210 ай бұрын
😂
@chulelubella28199 ай бұрын
Huyo Johari ni mshamba wa KIGOMA
@justinealex802010 ай бұрын
Huyo johar hatopata hata mwanaume wenda awe fara kama yeye make toka nmeanza kumuona hapo anaelekea kuchacha sasa Inaonesha tabia na tu mbov hyo ndoa ataitunza
@NdekejaKamuli-sh5pe10 ай бұрын
Mmmmh hicho kidemu kinafanya kinajua ngoja nitokee Mimi nikakikatae pia
@RebyTizo-mn6gh10 ай бұрын
Wote watafika mbinguni wamechoka maan hao wantk waume wenye pesa km wazazi wao wanazo
@elizabethkalinga082210 ай бұрын
Safi Kijana huna Hasira, huo ndiyo Uanaume
@rahymaaa43577 ай бұрын
Mmmmh kwani Mungu haajakosea kuumba muelewe hilo msijaji kuumbwa kwake
@MwajumShaban10 ай бұрын
Mkulima huyu jameni siungeenda kuoa kijijin ili mlime vizur 😂😂😂😂😂😂 Pole au twende tukalime wote
@RosemaryPius-cs5lh10 ай бұрын
Kwani mtu anajishugulisha na kilimo ni lazima ashike jembee????
@MwajumShaban10 ай бұрын
@@RosemaryPius-cs5lh 😂ndio kilichomkosesha pale aliposem nimkulim yeangesem mjeda wote wangewasha taa
@laurian2710 ай бұрын
Huyo johari atawapunguzia mashabik wa kipindi hicho hebu jaribuni kupunguza wahuni wengine wateja wetu tunawaona kabisa na mjue kbs kuwa madanguro yashaondolewa kwa sasa wanajitafutia na bahati mbaya kwakuwa ni wameshazoea kila aina ya wanaume ndo maana hawaishiwi machaguo na wanasumbua na kubaki hapo kuwaharibia kipindi.binafc gari b ntakuja hapo kama mr r lkn mtanifukuza kwa kuwachana hao malaya
@amosmutasa34549 ай бұрын
Hili ni dangulo lililo sajiliwa tuu tofauti kidgoo na aloyavunja Chalamila hili ni official
@magreciousthomas352710 ай бұрын
Mmh mbona kama udharirishaji jmn
@OmanJalan-xc8nx10 ай бұрын
Uyo johari namuombea asipate mume asugue Gaga apo adi akome anamdomo sana na atakeye mchagua nishida
@chulelubella28199 ай бұрын
Kashamba kametoka bush kamekuja mjini kalimbukeni
@saidkombo990410 ай бұрын
Hapo hakuna wake ni panya road tu wamejaa😂😂
@RayyanRayyan-rt9cg10 ай бұрын
Bora kile kipindi cha Kenya ichi cha uku ni ufala alafu hawana adabu wako kama wanadanga tu atakama niihari ya mtu kuchagua ila hawa wanazalilisha watu,,ata hao waongoza kipindi wanashindwa kumfariji mtu wan mcheka haya tuone kma iki kipindi kitaendelea kwa haya mambo hakuna mwanaume anapenda fedhea
@subrynerysegerow132310 ай бұрын
Haipendezi kumtoa mtu kasoro kama hajakuvutia tuliza kipago
@ATWITYEMKALAWA10 ай бұрын
mbona anita mwenyewe nilimama kabisa afu anajishauwa angekuwa mzuri siangelinga
@zainaburashid157810 ай бұрын
Yani nyie wadada sura mbaya hadi roho gara b shusha hao wanaojiona hapo na mtasubiri sana kupata wanaume kweli mtapata w kuwafunua tu🧐🤔
@Sweetnaah8 ай бұрын
Ndo maan tunadanganywa kumbee😂😂😂😂😂😂😂
@swalhawerema5710 ай бұрын
Hivi hawajui kilimo kina pesa mno...basi tu hawaangalii pesa zinapatikan wapii
@czechzyamwaga102110 ай бұрын
Wafupi wana dudu ndefu sanaaa ❤😂
@estermwakafwila98909 ай бұрын
Huyu caren ni mpumbavu sana tena Sanaa tena malaya sana aisew
@WilliamEzekiel-hv9li10 ай бұрын
Johari utazeekea apo apo😂😂
@theprincejr141710 ай бұрын
Huyo nikimkuta yuko na braza nitafukuza , mwanmke hajui kuongea na stara ya mwanmke
@nuratirama10 ай бұрын
Yaani hawo wanawake wa mr right siyo kwamba wanampenda mtu bali huwa wanapenda pesa na kazi ya mtu si kumpenda mtu mwenyewe
@juddykamau861810 ай бұрын
Nami sijui nice nipate wangu?
@sabihaibrahim14310 ай бұрын
kujidhalilisha hivii mhmm
@MashimbiWilliam10 ай бұрын
Hii entertainment tu
@SalmaPaschal-v6o10 ай бұрын
tobhaaaaa Si shangazi yake huyu🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
@neemamkuchu10 ай бұрын
Johar kaongea pumba😂
@theprincejr141710 ай бұрын
Hajuagi hata kuongea kwa utaratbu
@zubedamae-ro1jx10 ай бұрын
Naomba part 2 ya huyu boy coz lastly atasema kazi yake au mnipe no. Yake
@mkambaselemani-ej7np10 ай бұрын
Ukiona w,mke kaja kujianika hapo ujue anatatizo Mara kazi yake mby Mara mfup zaa wako akuow
@nishaabdula501510 ай бұрын
Alau uyu jokhal.atoke
@emanuelayubu502110 ай бұрын
huyu jamaa ni mtata, itakuwa amedanganya kwenye shughuli na kuna kitu anapima.
@PaulAbel-no1xy10 ай бұрын
Hata mm nahc icho
@FatumaMustafaShbani-vt1ir9 ай бұрын
Amina ngade?? 😢😢
@MonicaBwaola9 ай бұрын
Watu awaataki kulima jamani😂😂😂 jembee
@SharifaSelemani-ix4xs10 ай бұрын
Kwani hawa wadada wanatafuta wanaume wa kuwaoa au wanatafuta wanaume wenye pesa, wadangaji wakubwa wanaboa sana wanakuwa kama malaya bwana wanachagua utasema wao wanamaisha mazuri vile hawana lolote
@MaryamaAlly10 ай бұрын
nilkua najiuliza why mr right hawaji kumbe hawataki jichoresha😂
@ibrahimyusuph490810 ай бұрын
Wa kwanza leo😊
@santinosabugo211410 ай бұрын
kwel maisha yanaenda Kasi muolewaji anachagu wanataka kuolewa na wanaume wenye pesa wakati huo wenyewe Hali mbay
@yassingawaza50976 ай бұрын
Ila kaz ngum hiii daaaa😂😂
@JdnjdjdjEjjeejeie10 ай бұрын
Akun mwanamuk mweny heshim Zak utamuona hap wote niwamaraya tu afu johari hatapatag bwana mimi uyu😮😮😮
@subrynerysegerow132310 ай бұрын
Atapata wapi na kiburi alichonacho mdomo dharau uso tu unaonyesha akiongea ndo usiseme
@RandB_Channel10 ай бұрын
Huyu Johari hawutapata mwana umme kwa tabia hizo Nakwambiya hawutapata sijuwi unajionaje
@Sparkog-G10 ай бұрын
Mbona uyo johari mjuwaji San na hapo podium hatobowiiii
@AminaShaibu-g5p9 ай бұрын
Hv kwa nini nyinyi watt mnajidhalilisha hv ama kweli dunia hadaa
@MalandoDeusMalando10 ай бұрын
Kwan uyo Johar yupo kwaajr ya kulekebisha Mr right
@Itsblackghost10 ай бұрын
Watupandishe wanaume n sis tuwazalilishe kma walivyo mshusha chalii asee
@victoremanuel2910 ай бұрын
Kwel kabisaa na wenyewe waone raha
@fikiriisaya58036 ай бұрын
Hayo wa dada wote niwamalaya akuna anaye taka mme Wana taka pesa tu
@zainaburashid157810 ай бұрын
Huyu sio mkulima...wadada mnapenda pesa na sio mtu kwendraaaa
@massatujeli315810 ай бұрын
😊😊😊😊huyu annitha ni mchaga
@LukiaMwaya10 ай бұрын
Me uyo mkaka nimempend BURE aje kwng ao wte malaya tu wanajiuza t
@Yangaone-h8j9 ай бұрын
Gara B simamia kipindi vizuri baadhi ya hao mabinti hawana kauli nzuri kwa mr right
@elvilamwambambale95010 ай бұрын
Plz naomba huyo kijana mniunganishe me namempenda plz naomba mc garab
@ElsonAsimwe9 ай бұрын
Joari bado upo 😂 utazeekea apo
@Zarrahmauwa10 ай бұрын
Johar anasifa sanaa
@NuludiniRajabu-cb9oc10 ай бұрын
Awo madem makuma
@subrynerysegerow132310 ай бұрын
Broo tafuta hela ufupi hutaonekana😂😂😂
@chulelubella28199 ай бұрын
Alfu pesa ikiisha ufupi si unarudi palepale
@chulelubella28199 ай бұрын
Mtu akikupenda hawezi kuangalia kasoro zako za kimwili
@jimmylevoyo253910 ай бұрын
Anita kamkonyeza huyo jamaa, kashamulewa ila anazuga.😂
@enockabumba751310 ай бұрын
Umeona eeee
@indalesiohenery61248 ай бұрын
Muwe na maneno ya hekima wanatazama niwatu wengi
@robertkyalo532810 ай бұрын
Good script!
@gastondofra915110 ай бұрын
Mi napenda kuelewa kitu kimoja je bila kuwa nakipato ni vigumu kupata mwanamke? Wamalaya ndo wanakuja kujitafutia tu
Ndio mana hawa wasichana wanaishia kuwa vimada kwasababu hawana heshima
@rutherick25510 ай бұрын
What's wrong with míchael😂😂😂😂
@liannsambu726410 ай бұрын
Kina Anitha ni wakarimu na wapole sana na wakweli
@ElsonAsimwe9 ай бұрын
Majina yakina Anitha ni maraya moja matata
@ayubuzayumba10 ай бұрын
Huyo luludiva nae hanabwana
@AbdallahMkone8 ай бұрын
Weng Malaya tu hapo
@giliadijackson669 күн бұрын
mwamba we mtot wa kiume aowapaka mekap uwawez
@Churchofecclesia10 ай бұрын
Hawa wanawake wote mafala
@devotamutayoba93737 ай бұрын
Si haki kumdhalilisha mtu kimaumbile, pia nyie mnaotafuta wachumba hiyo siyo sehemu ya kupata mke wa kuoa hao ni wachunaji wanapenda pesa tu, naona wengi wanejurudia humo watoke
@chongorekevin9 ай бұрын
Ukiwa huna kazi ya kueleweka usijisumbue kwnda hapa Kila mtu anataka maokoto
@giddie_barnabas10 ай бұрын
malaya hao
@liannsambu726410 ай бұрын
Ila kina mwaisha wengi mmmmm hawajatulia
@SabrSeleman9 ай бұрын
Mmh hao warembo hata wakiolewa hawawez kudumu kwenye ndoa maana hawapendi mtu wanapenda vituu alivyonavyo mista laiti
@EsterSamwel-p2u9 ай бұрын
We anitah acha kumwangalia hivyo huyo kaka
@agnessmduma758110 ай бұрын
Hapa kuna makahaba tu hamna mke wa kuoa apa kwa mwanaume anae jielewa hawezi kuja kutafuta mke apa
@jayBabakaila988310 ай бұрын
Huyo johari nimshenzi
@JosephKaka-s4k6 ай бұрын
Wadau sorry hawa wadad wa mr right n malaya au
@MudyBoy-q9h9 ай бұрын
Ao hawaitaj wanaume tu ila wanataka matajili wadanganyaji tu
@lastkinglastking33269 ай бұрын
Hata mimi ningekuwa mwanamke huu jama ningezima taa