►Instagram / stbongotv ►TikTok / stbongotv.tz ►Facebook / stbongotv ►Twitter / stbongotv ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Пікірлер: 236
@LucasKaik-b6y7 ай бұрын
Kati ya vipindi vya kishetani hiki ni moja wapo, kuweni makini sana imefikia wanawake wanafananishwa na maparachichi.
@nswilahebronhans95507 ай бұрын
Sasa mbona unaangalia ushetani c ufwatilie vipindi vya mwamposa
@LucasKaik-b6y7 ай бұрын
@@nswilahebronhans9550 Mwamposa na nyie wote ndo wale wele ni ushetani tu
@teodotakaria83387 ай бұрын
Usiwe unaangalia mwaya
@mariangaida65847 ай бұрын
Unaangalia Ili iweje Sasa 😂😂😂😂😂
@AnethJoseph-m5i7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂parachichi tena wanapunguza uzinzi Bora watu waolewe tukiwa Nyumbani hamtuon
@user-hx8ur6lr6i22 күн бұрын
wooooh it's beautiful
@NoelaPeter-dc4dn7 ай бұрын
Wajaluo oyeeeeeeeeee tumetisha kwenye mr light 😍😍
@JumaMarwa-hc9te3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Eliza bhwan 😂😂😂😂mhmhmh mhththththt
@JuniorCheyo6 ай бұрын
nikiend mr right nawez kubeba walembo wote😁😁😄
@sabatoowigo13937 ай бұрын
Hongera Saana Wuod Luo Adume iting'o wa maloooooo😀😃😄
@danielndei54206 ай бұрын
sabitinaaaaaaa🤩🥰
@SteveWatagwan7 ай бұрын
Kuhusu rang nyeus ninayo kilicho Bak ni ulefu ngoja nifanye mazoez niongezeke kidogo
@angelathanas59937 ай бұрын
Mkaka mrefu mweusi aiiiiii😅😅😅
@Fabianomichael-f7i6 ай бұрын
@Luludiva🙌 eti tafuta kasanamu kako ukapake rangi ukalete apa😂😂😂
@Tyughcdrbdt7 ай бұрын
Huyo Eliza nilimuona kitimtim nilicheka sanaaa 😅😅😅kumbe ni comedian
@bhokesaid32647 ай бұрын
Waigizaji hao yani wote ni vixen,model,actress, commedian yaan ni lazima utamkuta tu huko
@AbdulazizAli-e2iАй бұрын
Daaa c mkejer ila mhh😅😅😅😅😅😅 kzid huyo eliza mh🎉🎉 dada kakoge msji ya bahari
@MohammedSaleh-u1sАй бұрын
😂😂😂😂😂Eliza oyeeeeeeeee
@KiongoziMwandamizi7 ай бұрын
Hapo hio uweusi,urefu ndevu mabinti kwishaaa kbsa
@hawababy1205 ай бұрын
😂😂😂😂Eliza bhana😂😂😂😂
@grolykimario267 ай бұрын
Huyu eliza ana mdomo sana halafu ana tabia za ukahaba aisee
@FrankOnyango-d2m7 ай бұрын
Safi sana sisi wajaluo tupo vzr atuna mambo mengi
@FrankOnyango-d2m7 ай бұрын
Sio kuwa wajaluo wote ni wakenya profesa sarungi waziri wa ulizi je. Karibu Rorya.
@MaryMangowi7 ай бұрын
Ivi uyuu Eliza ana kichaa😂😂😅
@IrenCharles7 ай бұрын
You look so beautiful luludiva more success in your life 🥰🥰
@kidmozjkm79657 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂ELIZA takuja kut2 uwaaa😂😂
@wilper63187 ай бұрын
Material yotee,, hehehehehe 😂😂Elizaa 🎉🎉🎉😢😢😢
@HellenMalya-dy2in7 ай бұрын
Hqhahahahhahh😂😂😂😂😂😂😂😂 Eliza bhanaa
@gersonissa91247 ай бұрын
Elisabeth Nini Waze 😂😂😂😂 Toka congo 🇨🇩🤣🤣
@jacklinechuga25697 ай бұрын
Eliza ni kama Maggie wa kenya😂😂
@theprincejr14177 ай бұрын
Kabsaa asee umejuaje 😂
@archbishop75487 ай бұрын
Eliza kwahii hakili yako utazeheekea hapo 😂😂😂😂
@lilyngonyani23127 ай бұрын
Ashazeeka huyo toka kwao😂😂
@neemamadenda32247 ай бұрын
Peter wafupi badirisheni majina hakuna peter mfupi 😂😂😂
@JuliethDavid-n1o18 күн бұрын
Eliza shkamoo 😂😂😂😂😂😂😂
@lareineminah13537 ай бұрын
Tuna omba Eliza na zarish watolewe kwenye kipindi...
@peacejovith67087 ай бұрын
Material yake kabisa daah 🤣 🤣 😂
@belak9997 ай бұрын
Hata mimi naona 😂😂😂
@NaimahKhalifasalim4 ай бұрын
😂😂😂😂😂Eliza dah
@Zarrahmauwa7 ай бұрын
Elizaa ni mimi kabisaaa😂😂😂😂😂
@flavianchuwa43707 ай бұрын
Eliza😂😂😂😂😂😂
@philemonmagesa55487 ай бұрын
Kama unaona Eliza hawamtoi bali wamempanga wao wakina Gara B na kikosi chake ili awe hvyo kipindi labda kichangamke wakati anachokifanya ni upuuzi
@BabaOmmy-r5j5 күн бұрын
ivi wanawake yotee. Sasahv Wana garia pesa kama mwanaume anapesa.anasamani mmmh kizazi Cha diamond
@hellenhank7 ай бұрын
Team wajaluo tujuane
@godlovemanase34237 ай бұрын
Mpk Eliza atubu 😂... Last session ya Mr right ulimlinganisha Mr.right na andazi 😂... Asa Eliza subir andazi lako 😂😂😂😂
@RuthWilliam-g7b2 күн бұрын
Heee😂😂😂😂makubwa hayambaka mm nimempenda
@consolatazacharia7 ай бұрын
Acha ujinga Eliza ukitaka wako peke yako hapo kwa podium unatafta nn
@izzahboe14427 ай бұрын
🎉eliza ni mzee uyo jamaa ni mdogo
@jamhuriAbdirahmaan6 ай бұрын
Waaaa
@JohnPaul-jc8ub7 ай бұрын
Hivi huwa wakichaguana hapo nini kinafuata?
@ndolepeter27707 ай бұрын
Eliza umempenda huyo kaka yy kakupenda lakin wamekuchoka hapo pia kila ck unakunywa soda za bule tu unamaliza soda hapo
@AmeenaMOHD-es7uv7 ай бұрын
Ila eliz jaman mbon anaker jamani😂😂
@faridalihondo33227 ай бұрын
Tahira huyu😂😂
@babalao9107 ай бұрын
Wamepangwa hao
@baimarrajahbuayan62377 ай бұрын
Wanamchekea wangelitoa
@ananiamwatebela31597 ай бұрын
Yaan hiki kidada hakuna akil
@MerryFelix7 ай бұрын
Yani uyo Eliza Anaakili kabisaa
@zakayo-e2m7 ай бұрын
Hahaha daah kwamba eliza
@jacklinaman42197 ай бұрын
We mtu anaitwa Eliza .unategemea Nini Kwan hapo
@victoriamaige28625 ай бұрын
Ongezeeni part 2 mtuonyeshe maisha Yao ndani ya miezi 3 wakitoka hapo
@hellenjulius77907 ай бұрын
Mmh ilo lieliza ni lisemaji la umo au
@HawaSwaleheh6 ай бұрын
Gara b mnafiki weuwe
@chrisantusnditi86705 ай бұрын
Eliza 😂😂😂,ni wewe tena?Tengeneza sanamu lako,ana nondo zako?
@magerielia7 ай бұрын
Uyo eliza anaona anazidi kuzeekea hapo😂😂😂
@lilyngonyani23127 ай бұрын
Na alivokomaa sura😂😂😂
@RandB_Channel7 ай бұрын
Jamani ivi huyo Eliza mnamuelewa??
@ZalhathamohdSaid-qn4jj7 ай бұрын
chizi uyo😅
@joycehaule97177 ай бұрын
Hahahahahahhahahahaahahahahaha Eliza msimtoe please anawazidishia comment jamani na anapendezesha Mr Right yan msimtoe mkimtoa itapoa huo ndio ukweli hahahahaa
@ZaynabMsury7 ай бұрын
Huy eliz mnamwelewa kwel
@exavelynyoni993714 күн бұрын
Ichi kipindi kinafanyika wapi??
@grolykimario267 ай бұрын
Yy hakupend halafu eliza mwenyewe ni mzur sema kichwan atakua na kichaa
@philemonmagesa55487 ай бұрын
Anamtindio wa ubongo
@naomyjosephrai7 ай бұрын
Tanzania pia kuna wajaluo❤❤❤ watching from 254😂😂
@rhodarichard44947 ай бұрын
Ndio wapo wengi tu
@solomondanny-15077 ай бұрын
Wapo mkoa wa Mara
@solomondanny-15077 ай бұрын
Mpakani mwa Kenya na Tanzania.
@AnethJoseph-m5i7 ай бұрын
Eliza mjinga kumbe😂😂😂😂😂
@LenashaNgulo7 ай бұрын
Kachanganyikiwa huyoo😅😂😅😂😅😂
@annertz99697 ай бұрын
Huyu zarishi mbona nyonyo limesinzia jamani😂😂
@Lidiakomba7 ай бұрын
Hahahahahahahahahahah! Jamani Eliza unaniangusha
@MargretSanat5 ай бұрын
Muachieni eliza😂😂😂😂
@berthafoya44710 күн бұрын
Yani huyu eliza ana akili ya ajabu, ila ndo maeliza walivyo kidogo zinzpunguaga
@elizabethismile68277 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Eliz ana nn lakini mbona Eliza mm siko Ivo huyuu Eliza wa wapi jmni😂😂😂😂
@nishaabdula50157 ай бұрын
Uyu wabuza uyu😂
@elizabethismile68277 ай бұрын
@@nishaabdula5015 aaahaaa kwakwelii uyu dada Ni suguu😅😅😅
@beathaambrose11907 ай бұрын
Anakera angekua Mwanangu ningeenda kumtia vibao kama aombe poo
@KolijaMgema-rz1jb6 ай бұрын
Wewe mzeeee
@leahjames-n3l7 ай бұрын
😂😂😂 Eliza
@MagdalineProsper7 ай бұрын
Nmecheka lulu diva et kasanam😂😂😂
@dorahkaruma92997 ай бұрын
Kuanzia leo eliza asipewe soda badala yake nipewe mimi Mpaka sasa eliza ana soda 100 tumboni mwake😂