Amina mtumishi Ubarikiweee sana kwa huduma hii unatuponya wengi na wewe Mungu akupiganie na familiya yako na Mama yako apone katika Jina la YESU
@roserotich595711 ай бұрын
Ameen barikiwa hayo ni mafunzo mazuri Ashante sana 🙏
@martinahlighare649511 ай бұрын
I agree with you. Ndivyo nilivyodhani kuwa watumishi sio rahisi kukosana Hadi nilipojionea kwa macho. Sio kupenda ila wanalia ndani kwa ndani hatimaye yanawashinda. Ili kumtumikia Mungu, heri ujitenge na kizuizi. Shetani huvuruga sana ndoa za watumishi wa Mungu. Majaribu ni sehemu ya maisha, likikujia kabiliana nalo maana wanadamu wa leo mnakua marafiki kama huna tatizo. So, trust and believe in urself and all in all God shall help.
@phenymanga94911 ай бұрын
Amen.mtumishi wa Mungu Mungu akubariki na akutie nguvu zaidi zakuvipiga vita adui hatakuweza kwa sababu unayaweza yote kwa Yesu akutiaye nguvu.wafilipi 4; 13.
@pastorjanekanini620411 ай бұрын
Leo umenibariki sana asante sana
@peterdani974011 ай бұрын
Mungu azidi kukuinua mutumishi wa mungu
@user-mk7wn2oo2s11 ай бұрын
Amen Amen 🙏 🙌 Mafichoni katika nyakati ngumu alitambua na kumkaribisha mtu yeyote anayetafuta msaada, bila kujali shida jinsi gani. Mungu ni mwema ata wakati maisha hajaendi sawa.... Yesu ni yule jana leo na milele habadiliki.... ubarikiwe kwa hujumbe huu mzuri..Mungu akutie nguvu zaidi mtumishi.... Endelea na kazi ya Mungu haijalishi lipi linalokukumba...❤
@user-mk7wn2oo2s11 ай бұрын
@@jeanvatistesony7407 "kimya" haimaanishi kwamba wanawake hawatakiwi kamwe kutamka neno wakati kanisa linapokusanyika kwa ajili ya ibada. Hili lingepingana kabisa na kile Paulo anasema kuhusu wanawake katika 1wakorintho 11, ambapo anawaambia wanawake jinsi ya kuomba na kutabiri kanisani. Diana yake ni kwamba wataomba na kutabiri inamaanisha watazungumza wakati wa ibada za kanisa . Tunaweza kutambua kwamba neno "kimya" katika mstari wa 2 wakati wakristo wanaamriwa kuomba" maisha ambayo hakuna mtu anayezungumza. Inalenga badala ya maisha " bila misukosuko" . Vivyo hivyo hapa" kimya kimya" haimaanishi ukimya kamili. Ina maana badala yake wanawake wanapaswa kuwa " bila misukosuko" . Neno hilo linahitaji wanawake kuwa na "tabia ya utulivu na roho ambayo ni ya amani badala ya mabishano. Pili wanawake wanapaswa kujifunza kwa unyenyekevu wote. Usemi huu unahusiana na usemi ambao Paulo anautumia katika Waefeso 5 katika kuwafundisha wake kujinyenyekeza kwa waume zao lakini katika 1 Timotheo hasemi kwa ufupi juu ya kunyenyekea kwa mume bali katika kushughulikia utiifu kwa mamlaka zinazofaa za kufundisha katika kanisa- wazee. Anawaagiza wanawake wasiwe na ugomvi na kunyakua nafasi ya wazee bali watii mamlaka yao. Kwa maana hii daraka la mkristo si tofauti na lile la wanaume na wanawake wote wameitwa kutii mamlaka ambayo Mungu ameweka katika kanisa. Waebrania 13:17 Kujitiisha kwa mamlaka ya wazee si kwa wanawake pekee. Kile ambacho ni cha kipekee kuhusu nafasi ya mwanamke ...... kimefafanuliwa mstari wa 12... Naomba roho akupe kuelewa na usielewe kimwili.
@raissamunezero607611 ай бұрын
Amen Baba, Mungu atusaidiye
@anasialauwo492211 ай бұрын
Ni kweli kabisa mtumishi wa MUNGU barikiwa sana sana sana imeniliza sana
@rachelkihaka920411 ай бұрын
Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu barikiwa sana ev. Cassian Mungu azidi kukutumia kama chombo chake
@eliyakiza93273 ай бұрын
Amina Mungu akutie nguvu mtumishi wa Mungu,
@barakarazalo280111 ай бұрын
Amina 🙏 Amen 🙏 Amen God bless 🙏 Amen
@masterke53611 ай бұрын
kweli pastor
@user-oc5xs1qq7c11 ай бұрын
Mtumishi wa mungu, mungu ni mwema nyakata zote akutie nguvu katika maombi yako na mungu atatende yaliyo yake
@phenymanga94911 ай бұрын
Nimesikitika Sana kwa huo ujmbe kuwa watu waliokuwa wanakufuatilia wamekinbia wkt huu ngumu natamani Sana kukusupport lkn kwa saa hii sina KAZI lkn naomba Mungu anisaidie nipate chochote nikutumiee mtu wa Mungu.bado napendelea kukufuatilia mama Miriam from monbasa
@medsonsanga481311 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi 🙏🙏
@florencekaingu577511 ай бұрын
Ufunuo 21: 27 inasemaje ? YESU atusaidie maana binadamu tunamapungufu mengi sana haki
@user-xd3pl7qm4b11 ай бұрын
Mungu huwa anatesa mtu mwenye anapenda usiogope mungu anakupenda ..
@AngelaMunyivaАй бұрын
Amen hijili hisoge mbele
@user-ww9gd8pb7o8 ай бұрын
Single - songa mbele na yesu. Your complete with Jesus. Not something else.
@user-xd3pl7qm4b11 ай бұрын
Mchungaji mungu akupiganie vita
@jescamjarifu238111 ай бұрын
mtumishi acha kuwatia moyo watu katika dhambi zao. sikatai kama hamna jaribu tena mazito, lakin hebu turudi kwenye biblia, biblia inasema wala msimpe ibilis nafasi, sasa hawa ndugu wote ukitazama injili yao asilimia kubwa ni ya kutia moyo watu paspo kuwaambia ile kweli ya mungu kuwa waache dhambi zao ili shetani asipate nafasi juu yao. pia wao wenyewe wamempa shetani nafasi kwa sababu ya mapambo ya kishetani yanayowapeleka wengi kuzimu kwa sababu wamebadili asili ya mungu na kumdhihaki mungu aliyewaumba kwa kujiongezea uzuri wa bandia. Niseme hivi acheni kuimba nyimbo zisizowahimiza watu kukaa katika utakatifu maana mmempa shetani nafasi ninyi wenyewe wala siyo mapenzi ya mungu.
@raissamunezero607611 ай бұрын
Una tumiya mahandiko gani kaka, katika maneno yako mana mana bibliya ina sema vita ambavyo tuna piga na navyo ni vya kiroho Je vipi wewe nimutakatifu?
@raissamunezero607611 ай бұрын
Shukuru Mungu sana kama jaribu iyo aija kupata na uwaombeye wanawo patikana kwenye iyo jaribu.
@rachelkihaka920411 ай бұрын
Jaribu ni kama mlima hata hao watumishi ndo wanaotafutwa zaidi na shetani tusisahau hili na vita tulivyokuwa navyo ni vita vya kiroho hivyo tujitahidi kumshinda shetani maana silaha yetu ya kupigana na shetani kiroho ni maombi
@user-cv7pv8fp1j11 ай бұрын
Walivyojichubua sasa! Hawaipendi rangi waliyopewa na Mungu kabisa, na huku wanawaimbia watu kua Mungu amewafanya wangare. Kumbe ni Carolight😢😢😢😢. Tutubu turudi msalaban kuitazama ile kazi aliyoifanya Bwana Yesu calvary
@reenyaysher763911 ай бұрын
Mmmh Mungu akusaidie 😢😢
@elizabethnzula670411 ай бұрын
Mimi nasema wote wanapaka makeup mafundisho yao ni hovyo xo waambie wangeuke gospel sio busness. Na tena wape maonyo usiwatetee wenye dhambi and then kwa nini wanaimba na watu wa duniani? Hatariii.
@ELLYJ2411 ай бұрын
Halafu hapo juzi juzi rose muhando katoka kuimba na Guardian Angel kutoka kenya mkaka amesokota rasta eti kisa anaimba gospel ndo mtumishi wa mungu wakati ukimuweka yeye na johmakini hawana utofauti wowote hivyo inabidi tuseme ukweli ili wabadilike manake waimbaji wa kidunia hata kwenye gospel wameshaingia
@SimaoromaojoseSimaoromao3 ай бұрын
Amém
@shitsacontractors368811 ай бұрын
Mutumishi tusemezane ukweli wa Neno la YESU Kristo je mambapo ni dhambi ama si dhambi,wacha kupaka mafuta kwa uchafu.1wakoritho 6:12-15,aliyeungwa na kahaba ni mwili moja naye,watoe vyombo vya uzuri kutoka 32:5.ili wafanyike mwili moja na Kristo.
@user-ij4te6nh6i11 ай бұрын
fact. umesema kweli japo wengi wanayapamba makaburi kumbe ndani ni mifupa. waondoe milango ya shetani kupitia mapambo
@adamjulius978211 ай бұрын
Kwa uzaifu huu nirazima maadui wakutoboe macho
@benjaminwafula11 ай бұрын
Hata kama siijui bible vzr lkn Kwa Hili nakubaliana nalo usitazame muonekano wa nje tazama kilichoko ndani nje n vazi tu mtumishi wa mungu Sina chakukupa uishi mda mrefu na mungu akutumie zaidi ili ukaweze kuwakomboa watu wake kutoka kwenye Giza na pia mungu afanye jambo ili mama mzazi awe salama apone ili huduma izidi kupendeza mno unawagusa sana wengi nyoyo zao barimiwa
@trizafrances430411 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@lungaitomodari815111 ай бұрын
Amen
@BarazilLwezaula10 ай бұрын
Kaka mim ni much, lakini kwenye SoMo la Leo sijakuerewa vizuri Kwan una wakika Gani kuwa white wamehachika kwasababu ya utumishi uyaoni mawigi na kujipodoa kuwa ni tatizo
@anasialauwo492211 ай бұрын
Mtumishi wa MUNGU barikiwa
@elizabethlobe435311 ай бұрын
Sasa Mungu niwamchanganyiko ?apana sio wamchanganyiko kwanini utawateteya wenye kuji remba ujiangalie mtumishi wabwana usivutwe nashetani shetani alali unapo ingia majaribuni uwe mwepesi wakuchunguza uanapigana nanani kwasababu unapigana nashetani kisha uteteye bitu bingine kuwa ange
@adamjulius978211 ай бұрын
Mtumishi huyu Munda mwingine ni wa viboko
@diana56-lorient11 ай бұрын
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🔥🔥🔥🔥🔥
@ugufufucuc230911 ай бұрын
Ameeen 🙏🙏🙏
@NellyRebiam-tu8uf11 ай бұрын
Kwakweli Bado sikuelewi.
@elizabethnzula670411 ай бұрын
Uwakumbushe kabisa huyo mtume paulo alisema msije mkahubiri wengine alafu mwishoni wakabaki hukusikia alivyosema bukuku? Ni kweli lakini mionekano yao inakataa na mafundisho yao wangine hayaendani na neno wakanyee
@ELLYJ2411 ай бұрын
Eti bahati bukuku alisema yesu alimsamehe mwanamke kahaba kwa sbb ya urembo wa yule kahaba sasa je paschal hakuyasikia haya
@adamjulius978211 ай бұрын
Shangaa na wewe
@jorambranchofmud629911 ай бұрын
Nafuatilia
@jorambranchofmud629911 ай бұрын
@@jeanvatistesony7407 Huyu ameanza kutetea uovu wa waimbaji
@user-xd3pl7qm4b11 ай бұрын
Unapo pitia kwenye maji mengi hayatakuweza
@user-ro2mb5uc1y11 ай бұрын
MUNGU endelea kulimlinda mtumishi yako
@user-xd3pl7qm4b11 ай бұрын
Katika wokofu kuna majalibu mengi kuna milima namambonde , utakapo pita kwenye moto haitakuchoma
@reenyaysher763911 ай бұрын
Umewasema wenzako hawapo kwenye ndoa nawe sasa hupo singo, chunga sana kaka maana Daah 😮😮
@luciasteven331411 ай бұрын
Umemsikiliza vzur au ndio umeskiliza tu kidogo,..skiliza hdi mwisho
@reenyaysher763911 ай бұрын
@@luciasteven3314 hajaanza leo, sikiliza mahubiri yake ya nyuma ndugu
@anasialauwo492211 ай бұрын
Sikiliza ushihuda wote kawasema wapi
@reenyaysher763911 ай бұрын
@@anasialauwo4922 Nmekwambia pitia video za zaman utanielewa
@josephinechaildofgod537111 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅
@stanleydavid694611 ай бұрын
Wewe umakamilika wapi au unatuzingua tu
@adamjulius978211 ай бұрын
Ninakwambia, tena narudia NINAKWAMBIA usirudie kuimba nyimbo za maonyo, maana unajenga mwenyewe na unaboa kwani kwa hii clp watajifunza nn hao
@josephinechaildofgod537111 ай бұрын
Ukweli.mwabie
@PeterShadrack-oy2fx11 ай бұрын
Bora ukaelewa kuliko kukosoa bila kuelewa vuta utulivu ndo ukosoe
@stanleydavid694611 ай бұрын
Unatupigia kelele lete injili sio kujaji wenzio
@adamjulius978211 ай бұрын
Ukweli tunaujua na uongo tunaujua kama umeamua kujirudi kwa hao Rudi mwenyewe ila kwetu hawatufai. 2wathesilanike 3:14
@anasialauwo492211 ай бұрын
Ni kweli kabisa mtumishi wa MUNGU unajua ukweli wewe Baki na watakatifu wenzako ila sisi wenye dhambi na madhaifu mengi tuache tuendelee kumwomba MUNGU atushindie Kwa hiyo wewe Kaa na watakatifu wenzako
Hizo NDIZO fasili mbovu za BIBILIA au matumizi mabaya ya maandiko KUSHINDA kwajribu kwako kukoje? Unazani USHINDI nikukaa ama kutokukaa? KUSHINDA kwako nikukoje WWE? elewa zipo NJIA NYINGI ZA USHINDI KATIKA ROHO hivyo usiwe na matumizi mabaya ya NENO KUSHINDA jaribu KATIKA upeo WA kibinadam acha WATUMISHI watumike NDOA sio tiketi ya UTUMISHI au kutokuwa kwandoa hakubadilishi nguvu ya Mungu KWAO HAWA niwanajeshi WAPO UWANJA WA vita wana PIGANA na KATIKA KUPIGANA Kuna kujeruhiwa HAIMANISHI kujeruhiwa inamanisha wameshindwa vita au hawaitwi wanajeshi Tena hapana majeraha hayataweza kuwaondolea sifa ya KUITWA asikali WA BWANA. Paulo UDHAIFU wake haukumfanya asitumiwe na Bwana. Bali alisonga MBELE pamoja na UDHAIFU wake na ameshinda vita mpaka mauti AKIWA nidhaifu KIROHO na KIMWILI nahuo ndio ubinadam hao UNAO waona WOTE wasingekamilika kuitwa binadam bila hayo madhaifu Yao AMBAYO Leo wanadam wameyachukulia kama fimbo ya kuwagongea na unapo waona hapo hakuna AMBAE alitaka atoke kwenye NDOA Bali MUNGU aliruhusu naamini KWA SEHEM Yao walijitahid KUPIGANA ila mambo yaliharibika Sasa udhaifu WAO hauwafanyi wasitumiwe na Mungu IKIWA tu WATAKAA KATIKA MISINGI ya Mungu na wakiongozwa na NENO LAKE tuwe wapana KATIKA NENO
@levidavid115611 ай бұрын
sikia mtumishi zambi ya uzinzi inamchukiza Mungu sana. hivo unapofanya zambi. lazima uondolewe utukufu rejea kuhusu Adamu na Hawa baada dhambi. utukufu ulitoweka hivo naona umeanza kutetea watu kufanya uzinzi nakuachika kwenye ndoa zao. shetani anapiga ndoa zawatumishi ilikupima uimara wao kumbumbuka uzinzi unaondoa mafuta nautukufu elewa hilooo
@adamjulius978211 ай бұрын
Hamna lolote wewe ni jasili tu ila matendo hamnamo huoni hata haya unajenga mwenyewe na kuboa mwenyewe. Mtu wa mungu huwa amenyoka kama chuma Cha reli muangalie mbarikiwa hajawahi kutangua neno lolote alilowahi kuongea
@ELLYJ2411 ай бұрын
@@paschalcassianoriginal9411 Angalia sana kaka yangu usije ukarudi kuwatetea wale uliowakemea kama vile geordavie na mwamposa na hali wako kinyume na mafundisho ya biblia
@fredrickmwanjwango909311 ай бұрын
Uwe unakumbuka unayosema ulikuwa unawasema leo wewe ndoa imekushinda unaanza kujifany kama uko pamoja nao
@josephinechaildofgod537111 ай бұрын
Kabisa kumbe wamuelwa.mtumishi
@enocktuza181911 ай бұрын
Mnaloliona ĺihukumuni msiloliona niachieni mimi asema Bwana.