Ata wewe ni tapeli acha ngano imee na magugu mchambuzi ni mungu wewe mungu ndo amekutuma uwachambe hawa, tulia bhana mbona unaomba sadaka sasa fantastic kama paulo alihubir nakuomba chochote
@cecymwasija80615 ай бұрын
😢😢
@user-nm3bg7li9m5 ай бұрын
Kazi ya kuhukumu watu ni ya Mungu mwenyewe ..ujuhi Mungu amemuandaa muda gn mpka kusimama hivo ...so wewe ndio mkweli ....tafadhari muhubiri kristo ...ili watu tupone na twende mbinguni ... Kifupi Mungu akusahidie basi tusije tukakuso mbinguni
@YOSHUAMWAMPETA2 ай бұрын
UHERI WEWE Umwelimishaye huyo.BARIKIWA
@martinahlighare64955 ай бұрын
Wengi watakuja kwa jina langu, walisema, mimi ndimi kristo, watawadanganya wengi. Bibilia kasema. Ila tuwe macho tusidanganywe. Wingi wa watu na kutenda miujiza sio hoja, hata palipo wachache na kulitaja jina la Mungu kwa kweli na ukamilifu wa roho, Mungu yupo papo hapo.
@user-dd1ud1js4q5 ай бұрын
Nani Sasa ni mtumishi wa kweli
@evodiajohn79915 ай бұрын
Mtumishi hubir njili ya Yesu habar za watumishi wenzako zinakuhusu nini Mungu ndo anawajua walio wake nawe jaxa la kwako kanisa acha wivu
@obinasimbeye17504 ай бұрын
Wewe achana na watumishi wa Mungu hubiri neno
@user-tc9xc4lp1k5 ай бұрын
Mbona naona majungu na kuomba hera kwingi kuliko maombi tupe neno acha majungu
@aishaathuman61815 ай бұрын
Zungumzia habar zako acha kumzungumzia mtu.jaza na ww kabisa lako
@medsonsanga48135 ай бұрын
Masazo ya Mungu. Ya nyakati za mwisho 🔥🔥🔥🔥. Ukweli unauma ila injili inasongambele. Mungu awe upande wetu daima ⛪⛪
@wilbroadndunguru68255 ай бұрын
Nikushauri mkuu, manabii wote unaowatuhumu wakikuachia waumini wao uwachunge utatosha? Nakushauri sana ndugu , acha vita na watumishi kama una uhakika... Kama miujiza yao ni feki Mungu akutumie wew ufanye org... Au hata org hailuhusiwi?
@epifaniamilinga28485 ай бұрын
Mtumishi,Mungu akussidie.Hiyo siyo kazi yako.Unamwingilia Mungu.Ww hubiri neno.na watu watapona.lakini hiyo njia unayoitumia unasukuma watu.masikio yanasikia ukakasi.Hats Yesu hakufanya hivyo.hata walipomwambia Luna watu wanatumia Nina lako.Tafuta hekima ya Bwana.kwa kuwa cnini ya jua wrote tumepotea.
@jovettedenise25915 ай бұрын
Ubarikiwe sana mutumishi wenye wako na rohomutakatifu watalitambuwa hili nakumurudiriya Mungu🎉
@user-zk9rt5xg4f5 ай бұрын
baba nashukulu sana sana kwakutupa huduma sikuzote mtumishi wakweli anaonekana mjinga nakuomba usikate tama baba please nakuomba mtumishi wamungu leo hii umewafumbua macho wengi lakin wenye kichwa kigumu matusi ukingia tuu unaona sms matusi alafu uku wanasema mimi mtumishi paschal cassian unakili lakin kunawengine tunaelewa ushuhuda wako mtumishi
@edisondiokeresy23065 ай бұрын
Wewe ulikua mwenye Imani kumbe wewe ni mpinga imani
@tagiubavu47705 ай бұрын
Tafazar tunaomba uachie nyimbo makanisa yakuzm naule wa kiapochadam
@davidmembedalamethepsalmis28855 ай бұрын
Kumbe na wewe ukiwa na tv Tano utaweka namba za simu kwenye screen kama wengine TYUUU
@evodiajohn79915 ай бұрын
Hakuna mtu perfect hapa chini ya jua je wewe umekamilika? Acha kuhukumu watumishi wa Mungu waombeee tu na utabarkiwa sana.
@healingclinic6985 ай бұрын
Kuna ugonjwa ambao unampata mtu anaumizwa kwenye mahusiano huu ugonjwa unatokana na stress za kuumizwa kisaikojia mtu anapuumizwa anaweza kupitia hali tatu za kuumwa 1. Kulipa kisasi juu ya maumivu kama alizini na wewe unakuwa mzinzi 2. Unaitwa kujidhuru kutokona na maumivu yaani unajitendea mabaya kwa kujidhuru kama sehemu ya kutafuta uhuru wa nafsi 3. Unahamisha yale maumivu kwa wengine hapo unaweza kuwa mkosoaji wa kila kitu kukataa kila kitu yaani furaha yako inakuwa ni kusema vibaya wengi huu kitaalamu unaitwa emotional Transformation psychiatric disorder sasa huyu jamaa anaumwa huuu ugonjwa
@norfenvgeraldo94935 ай бұрын
Usitafute Kiki kupitia watumishi wengine chapa kazi yako wewe kama wewe , mdomo huo shauri yako ......
@blessedsuccess24625 ай бұрын
Mimi anaitwa blessed anatoka madafu mungu akubariki sana pasachal .
@user-cy7mk3gt7r5 ай бұрын
Injili ya kweli haihubir watu...neno ls Mungu ndo Linaokoa
@bakarikayugwa32955 ай бұрын
Chuki imekujaa
@user-cg5ks5nn5f5 ай бұрын
Hubiri, chapa kazi ya Mungu ndugu cassian, achana na wale mashetani Tb joshua, mwaposa, jodevi na wengine
@fantasticbmp55875 ай бұрын
Ifike hatua watumishi waambieni watu watubu kwa ,maana ufalme wa Mungu umekaribia ila mim nimeokoka ila sheria ni moja kama hujui na huna imani na mtumishi fulani kaa kimya maana hawakutumikii wewe bali aliyewatuma kwenye kupiga vita watumishi hapo Cassian sikuungi mkono acha kumtetea Mungu, Mungu asimame mwenyewe na ajitetee mwenyewe mihemko itaponza wengi. kama watu wanafuata miujiza ya uongo jitahidi ninyi wa kweli muwape hiyo miujiza wanataka kuponywa waponyeni acheni kupigana vita kanisa linapotoshwa na kuharibiwa na watumishi kwa sababu kila mmoja anajipalia yeye mmetoka kwenye injili mmeingia kwenye mtego wa shetani kugombana ninyi kwa ninyi
@YOSHUAMWAMPETA5 ай бұрын
FANTASTIC
@sammymelkion5 ай бұрын
Acha kiki ww hubiri injili inatosha mambo ya utumishi wa mtu achana nayo
@victoriajohn31615 ай бұрын
Tusiwe watu wa kunyooshea vidole wengine nyakati hizi ni kuwahubiria watu habari za toba na kujitakasa muda uliopo ni mchache Yesu anarudi. Umehubiri sana habari za manabii wa uongo yatosha tumwachie Mungu ahukumu yeye. Hubiri habari za toba watu waache dhambi.
@HappyFireDragon-io4kn5 ай бұрын
Ubarikiwe Kwa kusema kweli.
@godloveelikana42415 ай бұрын
Tusiwe washabiki kwa mambo tusiyofahamu undani wake kama tulikuwepo yakitokea bila kuyapima kwenye mizani ambayo ni neno la Mungu.Tumwache Mungu ahukumu mwenyewe kwani sisi pia si wakamilifu ni neema ya Kristo inatubeba.Neno linatukataza tusifanye hivyo.Tusimamie maandiko.Tunakupenda Casian na kama unamtangaza Kristo wewe ni ndugu yetu. Ila Tutambue pia shetani yupo kazini pia.Tusijejikuta tunashambulia wa gizani na wa kwetu pia bila kujua.Tusimsulubishe Kristo mara ya pili bali tuujenge ufalme wake kwa kuwahubiri wenye dhambi wamrudie Kristo.Muda ni mchache sana.Tupime mambo na tujifunze na kuishi kwa mfano wa Yesu Kristo .Yaweza kuwa wameitwa na Mungu au laa.Sisi hatujui.Barikiwa sana.
@marygoshashy22205 ай бұрын
Broo...muhubiri MUNGU watu waokolewe...nadhani ukitoa mafundisho yanayofaa, utawavuta wengi sana
@ServantJoshua-ew8ng5 ай бұрын
Ni kwanini usifanye injili,,, tu ya kuwafanya watu wamjue MUNGU.... Unafanya injili ya kushambulia watu wa MUNGU.. sidhani kama unafanya vema.... HUBIRI NENO LA MUNGU,,
@Mwanaumewashoka5 ай бұрын
Umeelewa Bwana mdogo ulie uliza swali
@florianakhweso57495 ай бұрын
We si tahira tu kwani hujijui😂😂😂😂😂
@SilviaRafael-mc5ki5 ай бұрын
Mbona huzungumzi neno la mungu unazungumzia watu
@YOSHUAMWAMPETA2 ай бұрын
Kwasabau ANAWAZA WATU TU ZAIDI
@davidmembedalamethepsalmis28855 ай бұрын
MUNGU hayupo kwenye kusanyiko kama ishu ni kukusanya watu hata YESU KRISTO alikusanya watu Sana . Hata YESU KRISTO Kuna unabii aliutoa mpaka sasa haujatimia mfano unyakuo Kwa hiyo acha Akili ya kitoto ya kutaka kila unabii utimie Kwa mapenzi ya wakati wako.
@LuciaSimeo-yc7hc5 ай бұрын
Pasco ninakuelewa, wapige ao manabii wa uwongo
@user-ud1ri9lr3k5 ай бұрын
I love this pastors
@simonIbrahim-hc8vm5 ай бұрын
Aminaaa mtumishi wa Mungu! Ninachojua hata ktk mambo ya rohon Wewe ndiye nabiii wa kweli umeletwa na Mungu Hawa wengne Mashetan tuuu!! Mungu akubarki Sanaa Baba! ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@lucywilson58755 ай бұрын
Sadaka nibarka, sadaka niulinzi, sadaka ni Imani, sadaka niutakatifu. mnaohoji kuhusu Sadaka Mungu awape macho ya rohoni na msome Biblia kuna mambo mengi mema mazuri wamefunuliwa kule. soma Biblia uwe Mwerevu
@Mike-yg7pb5 ай бұрын
Nakuombea Mtumishi wa Mungu, tutengeneze njia zetu kuliko kuwanyoshea vidole watumishi kama kuwataja kina TB Joshua. Naamini wewe ni mtumishi wa Mungu, ila kuna kuteleza ila kuna kuamka tena.
@Misheckkazilist-cv2hb5 ай бұрын
Amina sana mtumishi 😢😢❤
@user-cy7mk3gt7r5 ай бұрын
Mungu w a ngu tuokoe....sisemi chochote.. chochote kuhusu mtumishi we Mungu ......mt wenye matunda lazima upigwe mawe
@ellymwakyando13855 ай бұрын
Usipotimia Unabii akumfanyi mtu kutokuwa Nabii, Ikiwa MUNGU Alimfanya Mtu kuwa Nabii, Yona alikuwa Nabii, Alisema NENO la BWANA kwa Ninawi na alitumwa na MUNGU lakini alikutimia, kwasababu walitubu, so Nabii Anaposema NENO la BWANA lisipotimia Amfanyi yule mtu Kutokuwa Nabii
@jacquelinesangu15215 ай бұрын
Ee we nawe! lete mafundisho sasa mbona unataka tutume Kwa namba hiyo mali ya tabu ?
@estermuganda92985 ай бұрын
Kwani huyu anashida gani😂
@LidyaMichael-jd7hl5 ай бұрын
Bora nibaki nilipo injili imepotea
@festinamwakipale39195 ай бұрын
Wewe cassian tatizo lako unampinga kila mtu halafu mbona mwakipesile.alitukana mpaka wakina mwakasege.ulimsifia hueleweki.watu.wanasoma maandiko kuwa manabii.wa.kweli.wapo wewe.unasema.hawapo hueleweki waache wahubiri.Tz.wahubiri kwanza yesu alisema viache vikuwe.pamoja hujapewa.kukagua.fanya.kazi.acha.ukaguzi.kwani.yesu.hayupo
@ferdaedward83735 ай бұрын
Wewe ndo mtumishi wamungu tu wengine sio mbona wewe ulivokua unatumika kuzimu hukua unasema neno tunafundishwa namanabii haohao unaowaponda fanya yako uliotumwa
@estonmnthali37195 ай бұрын
Bushiri ni mwenyeji wa Malawi siyo Nigeria
@YOSHUAMWAMPETA5 ай бұрын
HAJUI ANACHOSEMA
@komuhsengo97965 ай бұрын
Wewe unasubiri neno la Mungu au shetani 😂
@PrinceHendry-hp8vv5 ай бұрын
Mwomba sadaka bana ndo mana unapata wivu na wenzako walofanikiwa
@akwilinaNdijuye5 ай бұрын
Unamhubiri kiristo, au unahubili habari za watu? Maana sikuelewi.
@Pendopasilika5 ай бұрын
Hawapon ila wanaongezwa pepo mwenye nguvu zaidi kuliko yule wa kwanza mwenye kuleta hiyo shida na yule mwenye kuleta hiyo shida akileta ukolofi yule mwenye nguvu atamtuliza ni kweli watasema umechanganyikiwa hata YESU walimsema ana pepo acha waseme we kaza mwendo mtumishi wa BWANA safari yetu imewadia
@cliffdenis1445 ай бұрын
Jamaa anapiga kelele alafu mtupu tusubiri na sisi tunakuja
@tujajackson81425 ай бұрын
Kasiani bado kabisa anasema maneno hayana msingi kwa ni mtumishi wa Mungu si mwanadamu huyo kwani ni malaika. au Unataka kutuambia Petro ailpokosea si wa Mungu ama Daudi je alitenda yote mema. Acha utoto. Mtumishi wa Mungu anaweza pia kukosea. Wewe hukosei. Nina shaka nawe kabisa
@ManaseNassary5 ай бұрын
We ndo mtumishi washetan unapiga injili
@evodiajohn79915 ай бұрын
TB joshua huyo kamaliza safar yake nawe pambana na utumishi Mungu alioweka ndani yako. Shida yako ni kuwasema watumishi wa Mungu vibaya hubiri injili watu waokolewe acha kutafuta kikiiii.
@YOSHUAMWAMPETA2 ай бұрын
HAPO UMENENA NDUGU
@robinlaysonkuyava14075 ай бұрын
Upo kutaka Sadaka wewe acha ujinga nakuonya tena acha ujinga
@estermuganda92985 ай бұрын
Na bulldoza anakushughulisha sana moyo inaonekana.ariseeeeee and shineee
@cecymwasija80615 ай бұрын
Mung akubark san mtumixh wa mungu
@user-pk7qq3eb5r5 ай бұрын
Wow alafu nyoka wa Musa akammeza wa farao kuonesha mungu wa kweli ni yupi
@obinasimbeye17504 ай бұрын
Kweli unapomsema ndio mtangaza zaidi endelea kumsaidia kujitangaza
@addydajaneth72595 ай бұрын
Ww tukuitaje maana hamna tofauti naww simtume piya ila mnatuchafua kweli nakuwa faida ya watuwasio wayesu kuonekanika yesu niwamchongo ila baadae ya maombezi namba zama okoto 😷africa hatuna mitume ila africa tuna mungu tu kabla ya ukoloni wazee wetu waliabudu na kujua mungu yupo nakazia africa hatuna nabii ila tuna mungu🙏🏾✝️
@simonIbrahim-hc8vm5 ай бұрын
Wewe hujitambui na cyo Kosa lako Mrudie Mungu addyja janeth
@lewisleonard98865 ай бұрын
Wapenndwa jiulizeni kazi anazofanya Mwampsa ni kazi za Mungu? Mapepo anayatoa kwajina la Yesu? je! mafuta anayotumia nisehem ya maandiko ktk bibilia kumbuka maandiko yanasema siku zamwisho watainuka manabii wa uongo watatenda miujiza watatoa mapepo kwa jina langu ndo hawa
@EsterbernardoVumo-kn2xv5 ай бұрын
Amem Amen Amen Mchungaji Mungu Akutetee Na Kukutia Nguvu.
@musokedios81625 ай бұрын
Hunamashiko nimeanza kukudhalau, kwani kuwajua manabii wa uongo,wewe unakipimogani,wewe hubiri ulivyoitiwa,acha ngano na mahugu viote pamoja,mtoa hukumu ni Mungu,
@gabinusnkwera9092 ай бұрын
Tusimshambulie mwinjilisti. Chunguza maandiko ili upate kujua kama anachosema ni kweli au la! Kama Yesu angeliona haya kuwasema mafarisayo, wanafunzi wake wangeponaje..!!
@user-xe2qm4yt6w5 ай бұрын
Amen
@PatrickYumba-cm5py5 ай бұрын
Kwa huyu hapana uongea mengine hata Yesu wapo waliomsema vibaya,
@celinamboga5815 ай бұрын
Waah true mtumishi 😢😢😢Mungu anisamehe mm umenifungua macho na maskio❤❤❤
@PrinceHendry-hp8vv5 ай бұрын
We njaa zinakusumbua alafu nahisi Huna elimu ya biblia unaropoka nadhan unahisi tuko bongo star na master j
@TulloMhombo5 ай бұрын
Kwani Mtumishi wewe umepewa na nani kazi ya kuwahukumu wengine? Hukumu ni kazi ya Mungu mwenyewe. Mtu anayeumwa ndiye ajuaye maumivu anayopata Kwa mtu huyu anatafuta atakapo ponea shida yake. MTUMISHI USIBEZE WATU WANAPOHANGAIKA KUMTAFUTS MPONYSJI YESU. NAOMBA UTUPATIE ORODHA YA WATUMISHI WA KWELI ILI TUWAFUTE
@Mwanaumewashoka5 ай бұрын
Bushiri hayuko Nigeria wewe, Halafu hao sio level zako. Nenda ulale kiporo Cha ugali wewe, ushauri wangu kashindane na wachingaji wa vijijini hata ulivyo vaa umevaa kishamba cheki sharti Hilo la kishamba.
@AlfredAsanwisyemwankotwa-dl2zy5 ай бұрын
Toka umeumwa sijaona uzima akilini, tafuta njia ya kuomba omba sadaka sio kutumia majina ya wengine, tumia majina ya ukoo wako wa kichawi, njaa mbaya sana
@josephgalandu1285 ай бұрын
Mimi sitaki lever za watu wenye watu wengi na mali nyingi,huku ni wachawi tuuu,pumbavu kabisa shetani😮
@mbwawafillingstation5 ай бұрын
Wivu wako tuu Baba Mimi nimeponea Boldozer kiboko MWAMPOSAA HUYU BABA NI MWISHO WA MATATIZO NJOO AKUFANYIE MAOMBI UPONE
@YOSHUAMWAMPETA5 ай бұрын
HIYO HABARI NJEMA
@LucyKapinga-fg4dk3 ай бұрын
Mwosho wa Matatizo uyo Baba Au Yesu uombe Rehema kwa Mungu ,maana imeandikwa alanine amtegemeae mwanadamu
@YOSHUAMWAMPETA3 ай бұрын
@@LucyKapinga-fg4dk LUCY UNAHITAJI TWISHENI ili UELEWANE NA NENO LA MUNGU AU KASOME LUKA 24:45 KISHA OMBA SANA. Imeandikwa " Ndipo akawafunulia akili zao ili waelewane na maandiko" YESU AKUFUNULIE AKILI ZAKO ILI UPATE KUELEWANA NA MAANDIKO.
@LucyKapinga-fg4dk3 ай бұрын
@YOSHUAMWAMPETA anavyo sema Mwisho wa matatizo Uyo BABA Ana maana Gani?Aseme YESU NDIYE MWISHO WA MATATIZO HIVI UMENIELEWA ,Na tambua atamimi unae bishana nami pole sija Anza huduma ya MUNGU ,ILA NASIWEZ KUWA ZUNGUMZIA WATUMISHI WENZANGU MUNGU ATASHUGURIKA NAO BUT PENYE KUKOSEQ TUNASAHIHISHANA KUWA MAKINI
@LucyKapinga-fg4dk3 ай бұрын
@@YOSHUAMWAMPETA neno Anae ni tafsiria Roho mtakatifu na sii twishen
@edwinalexander11705 ай бұрын
Huyu jamaa mabaya yatamkuta kwa kumsema vibaya TB joshua, time will telll
@YOSHUAMWAMPETA5 ай бұрын
MUNGU ANAMHESABIA
@obinasimbeye17504 ай бұрын
Kina kingine
@LeonardLaban-zg1tw5 ай бұрын
Mtumishi mengine mwachie Mungu usihukumu hubiri watubu watu wamuone yesu mahubiri ya kushambuliana si mazuri kabisa
@comforthunyu18234 ай бұрын
Huyu bado ni agent
@josephgalandu1285 ай бұрын
That is Carts and oucotism
@laninjeje82905 ай бұрын
Na wewe unajaza mavi eti eee😂😂 mbwa wewe hubiri neno la Mungu, acha kusema marehemu wewe
@afwililenisaidie95975 ай бұрын
Acha matusi
@stevepeter57335 ай бұрын
Unatusi huyu mhubiri juu unaniimi uongo wa kina tb joshua, na nabii wengi kama hao, hata mimi nilikuwa kama wewe , mpka wakati mungu alinifungua macho nikajua ni nabii wa uongo, miujiza ya kisehetani
@jedielkareithi49665 ай бұрын
Mungu akusaidie sana hujui unachosema
@jedielkareithi49665 ай бұрын
@@NiyogushimaAudace-jk7nv ndugu mtete Yesu tu huwezi mwamini mwanadamu mia kwa mia
@laninjeje82905 ай бұрын
@@jedielkareithi4966 hakuna mtumishi wa Mungu hapo labda mungu wa herufi ndogo, Pascal Casian??? Kila kukicha mitandaoni kusema marehemu na stori za Freemason
@JajiZakayo-fw9mk5 ай бұрын
hata wewe mtumishi hutakapoanza kuwa na mavuno ya watu wengi utaitwa waibilisi
@robinlaysonkuyava14075 ай бұрын
Mim ckubalian na wewe hakika hulijui Neno la MUNGU TB JOSHUA NI MTUMISH WA MUNGU ILA WEWE NA WASIWASI AKILI YAKO UCIFURAHIE UKIDHAN UPO SAHIHI UTAKUFA VIBAYA ACHA KUMGUSA TB JOSHUA
@evodiajohn79915 ай бұрын
Hubir injili unapata wapi muda wa kuanza kusema ya wengine fanya kaxi ya wito wako
@LidyaMichael-jd7hl5 ай бұрын
Mimi unanichanganya sasa niamini lipi?
@Anza_tz5 ай бұрын
Unaweza ukatumia fedha yako kunipa support kwenye huduma hii,,mahali unaponitazama na kunifuatilia katika bara la ulaya,,, unaweza usihubiri kama mimi lakini ukatumia fedha yako hahahaha kaka yaani unaanza kutangaza njaa kabla ya neno...kumbe na wewe fedha za watu unazitaka ndiyo sababu umegundua watu wengi wanapenda kusikia story za manabii wa uongo na wengi kutokana na njaa na shida wanapenda kusikia habari za kutia moyo shida zao ...kaka kua makini sana ndugu yangu nimegundua huna Roho wa Mungu unatumia zaidi akili yako na kusoma alama za nyakati.
@BeatriceMuhomi-cz9cr5 ай бұрын
Lakini bila miujiza hakuna tofauti yoyote na watu wengine hata yesu wengi walimfuata kwa sababu waliona tofauti na dini walizokuwa nazo mimi nadhani huu ni wivu mbaya
@tinaanthony84725 ай бұрын
Je umemwomba mungu aliye Hai amekupa majibu kuwa kweli tb Joshua alifanya hayo ama unatumia akili akili zako uwe makini cassan
@user-gy5hu5fx8q5 ай бұрын
plz Cassian plz TB Joshua is the true servant of God Kwa hapa mmmh ,Cassian embu fikiria Tena muulize roho mtakatifu Tena yamkini umekurupuka
@marygoshashy22205 ай бұрын
Yaani
@rachelmawole28283 ай бұрын
Hapo kwa Tb Joshua sasa nashindwa kumwelewa huyu ni mtumishi wa Mungu mbona anamsema tena,jamani inabidi awe makini aache kusema watumishi wa Mungu acha Mungu ashulike nao mwenyewe
@LucyKapinga-fg4dk3 ай бұрын
Msimlaumu maana Uyo ni sii mzoefu kii mani mpaka umtambue Tb joshua Ni Mtumishi wa Mungu Kweri IYO NI NEEMA KUBWA ELEWA NENO EMANUEL MUNGU NA WANADAMU .PASCAL APO USIINGIE KABISAA ACHAA ACHAA
@user-oe2vl4zm6m5 ай бұрын
Amina mtumishi Mungu akutie nguvu
@israelimarco64655 ай бұрын
nahisi kuwa Bado we ni ajent wa shetani usituambie umetoka freemason aaaaaaaa
@user-wj6nh6dq2v5 ай бұрын
Wewe kila mtu sio nabii ..haya Nabii wa kweli twambie ni nani?
@YOSHUAMWAMPETA5 ай бұрын
HAPO UMEULIZA SWALI TAMU. Mtu akikwambia hiki kibaya aonyeshe kizuri vinginevyo anyamaze na mawazo yake.
@salha.d50605 ай бұрын
Ustuchoshe kila mtu ana njia yake we piga kelele ukimaliza kalale wote hatuwezi kua kama wewe au kama wao tafuta pesa brother ya dunia tuachie wenyewe na mungu wetu
@lukamwambalaswa44635 ай бұрын
Brother acha kuhubiri watu, hubiri neno la Mungu Ili watu wafunguliwe wasiende Tena Kwa hao manabii.
@GilgariMinistryTanzania5 ай бұрын
Mbwa ww acha kuhubiri watu ww ndio taperi kabisaaa
@YOSHUAMWAMPETA5 ай бұрын
UJOBHILE MWAMBALASWA
@TisaMkenda-oj5uj5 ай бұрын
Mpaka mseme,,,!!
@obinasimbeye17504 ай бұрын
Achana na TBJoshua wewe
@HabibuUrasa5 ай бұрын
wote ni wafuasi wa shetani pamoja na ww suluhisho ni kuingia kwenye uislamu nje na uislamu mkifa ni motoni
@Linah-pe5iw5 ай бұрын
Wewe ni muongo Bushiri sio wa Nigeria ni WA Malawi na kazi zake alikua akifanyia Zambia baadae South Africa na sasa tupo Malawi
@user-es4jv6pb8x5 ай бұрын
Poleee Mtumishi binadamu tumeharibika mnooo tunaipenda sana miujiza kwa sababu ya tamaa MUNGU atuponye
@jedielkareithi49665 ай бұрын
Cassian mmh nko pamoja na ww hawajui wanachosema,kwani tb joshua nn hawezi kosea wakirsto tuache kubebwa na hawa manabii
@user-vy8tb2hq9w5 ай бұрын
Binadam jiurize ? Maswari yanaendana na nyakati ya majibu ? Warikua wapi wasiseme wakati amiwa mzma ? Huo ni uo go ninjama tuu ya kudidimiza ukristor
@zakazakazi-fn6zy5 ай бұрын
Mungu ndie ajuaye mioyoo si mwanadam ayajua matendo yetu ww hupaswi kuhukumu