Serious bro maisha yetu nimafupi ipo siku utaulizwa kwa huduma uliopewa lazima ufanye kwa makini shida watu wanafikiri huduma ni uchangaji tu hapana lazima uangalie kazi unayofanya na ipo siku isiyo na jina utatoa hesabu uwemakini ndugu my bro makonda ni kweli tunapita duniani tunapigania taji more grace mu bro long life sir
@faridabakari85117 жыл бұрын
i congret u poul makonda natokea kenya nanapenda fatilia stori zako zote nikiwa Dubai sikosi kukuangalia. kibinafsi nmetokea kuku penda kama kakayangu mkubwa......una maoni mazuri namwelekeo na wajiamin kwakazi Allah akuzidishie. ..chapa kazi nawatanzania. 2020 wakupee tena kiti cha kwama rayengine ....cc pia tungepata kaa ww wawili apa kenya wangeli nyooka namwenendo mzuri inchini kenya ......nakuombea kila laheri poul. i salut u
@daudimariseli36277 жыл бұрын
makonda asante mkuu wamkoa mkuu wamkoa twakukubar miaka million namungu atakuvusha usipo patachangamoto hujakuwa sasa nakuomba kiongoz wetu wewefanya kaz kwel kweli..chadema wapuuzi tu acheni maneno yenu yakifala...tunaipenda awamu ya 5 yahapakaz tuuu much love p makonda na baba yetu rais asante sana tunawapenda kwakaz zenu...2020 upinzani hautakuwepo mlijue hilo nyie niwashind tayar...
@damariszuckschwert94897 жыл бұрын
God bless you young man, utafika mbali kama kijana Daudi katika Bibilia, alionekana mdogo lakini Mungu alikuwa ashauona uthubutu wake. Rarua waalifu kama Daudi alivyommaliza Goliath. Mungu akulinde na kila lilobaya, damu ya Yesu ikufunike usiku na mchana.
@laynerngole21197 жыл бұрын
Damaris Zuckschwert amina
@sarahmwaluko24807 жыл бұрын
+LAYNER NGOLE amen kwa unyang'anyi wa magari ya watu ubakiwe mno
@abdallahhadaika21317 жыл бұрын
nakukubali sana mungu azidi kukuongoza,akuepushe na husda za viumbe,nakupenda sana napenda kazi zako,achana na nzi watasubili sana,mungu ndio msimamizi wako.
@FloraIlokoАй бұрын
Maneno mazito ooh God there is leader ship in you my brother more grace what a future leader we have mungu bariki nchi yangu im proud of you my bro
@mariammgosi96687 жыл бұрын
Eeee mwenyezi mungu mjalie afya njema mjaa wako mkinge na majini watu wanaompinga vita kila kitu watakacho kifanya kibaya kimludie mwenyewe inshaa Allah
@ruqaiyaibrahim18657 жыл бұрын
umeona eeh huwezi kumridhisha binadam kaka yangu we myegemee Allah
@iddysufiani61167 жыл бұрын
ewee mungu mlunde mh makonda na maadui zake aymen
@eliasabel10997 жыл бұрын
utamkosoaje mtu yupo kwenye system? nani alikuambia kufanya kaz hadi uwe na chet?we look 4content not form!
@mamymamy89717 жыл бұрын
nakupenda sana bashite japo huna cheti nakupenda tuu mungu yupamoja nawe kiukweli ni mchapa kazi mungu atakulinda
@joshuawwalwa35337 жыл бұрын
mungu atakulinda tuko pamoja Keller za chula hasizuii tembo kunya maji songa mbele
@rehemasimkoko70557 жыл бұрын
piga kazi makonda usisikilize ya watu. Rais wetu anataka anayechapa kazi. walikuwa wapi wenye vyeti kupigana vita zidi ya madawa ya kulevya, mtegemee Mungu ktk kazi zako zote
@farajakisinda9767 жыл бұрын
mungu akutangulie xana umekuja kwanjia ya wizi kupitia madawa yakulevya unaiba magar yawatu ukijifanya unapinga kumbe unataka kutumia vitu haramu kweli bagamoyo kumekunogea,jaribu kukumbuka mungu yupo kaka cku zamwisho nihatarii pigania madawa tu mengine weka pemben nawenye vyeti feki pia kaz wanaweza warudishen kazin mungu anawaona kwauonez uwo mrudieni mungu,
@naimajuma66597 жыл бұрын
allah azidi kukupigania kwa madui wako piga kazi kaka nakupenda buree hapa kazi to
@sharondivine27977 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mh Makonda Big up
@kweyungajacob66777 жыл бұрын
bashite bwana anamahubir kama yuko kanisan
@hasani5657 жыл бұрын
Roma ana mabaya gani ?SAA nane yupo wapi wewe ni jini tu
@mwanaidihussein14627 жыл бұрын
Fanyeni kazi kwa manufaa ya nchi taifa ni letu sote wanapiga kelele ipo cku aibu itawashika na kamwe huwezi kumridhisha kila mtu penda sana nchi yangu na viongozi wangu
@zainahamis89747 жыл бұрын
mungu akuweke kaka fanya kaz ulikwepo wap
@kelvinkawea95067 жыл бұрын
makonda Mungu awe na Wewe amina
@seifmohamedchambo34027 жыл бұрын
Mimi binafsi nakubali kazi yake so sihitaji vyeti nahitaji utendaji safi
@amedeustemba95867 жыл бұрын
lakini yote kwa yooote weka vyeti tuamini kàma hujakimbia umande.
@mikongotijaneth59007 жыл бұрын
wewe vya kwako viko wapi fala. wewe ukute huna hata pa kulala
@zandakingfujo77077 жыл бұрын
hao wa vyeti miaka yote walikuwepo walifanya anachokifanya makonda? chapa kazi kijana very brilliant guy
@samwelimaliseli42167 жыл бұрын
napenda watu wanaothubutu daima,,bring it on
@queenbby28637 жыл бұрын
nakupenda sana mungu akulinde makonda wetu kiongoz boraa
habari zake mlikubaliani hamuweki, vp tena mmesamehe, mnatuacha njia panda!!
@DeusiSetivin-ls9uz10 ай бұрын
Nakuhurumia nakukuonea huruma kwamambo uriopitia kweri mungu ukonae lakini uwe mwangarifu sana kwa kutengenezewa bom ukanza kuangaika nalo Tena
@munashabanimunashabani99767 жыл бұрын
mungu akusimamie makonda wa taishia
@hasani5657 жыл бұрын
kweli du! kama kweli anamjuwa mungu da!bashite mikosi
@georgefaustini56797 жыл бұрын
piga Kaz dogo hata ungekuwa hujaanza shule haituusu kitu.sina chembe ya ubaya kwako piga Kaz MUNGU anakupigania.wacha wakuite hata mav usijal.kuna msemo unasema hiv.ukiwa unaoga ukaibiwa nguo na kichaa.ukatoka unamkimbiza ukiwa uchi.sasa hapo kichaa atakuwa NANI? kaa kimya watakuandika tuu.
@duuudaud38167 жыл бұрын
Aman yenyewe hunaa
@othumansuleiman63726 жыл бұрын
Mtu yeyote alie na akili timamu, na hana chuki na ww, hawezi kupinga wala kuzalau kz unazoendelea kzfnya. Najua kila binadamu hakoswi maadui, waweke km changamoto na njia ya kukusukuma uzd kutenda mema zaidi.
@perischarles21217 жыл бұрын
mimi na mpenda huyu kaka sana, kwa sababu huwa anaongea kwa heshima sana!!
@kasika13077 жыл бұрын
kaka piga kazi wanaokusema vibaya wote ni weli lkn pia wengne wanafata mkumbo wakichochewa na wanasiasa wapenda pesa zisizo za halali
@kasika13077 жыл бұрын
wameishiwa maneno maana yote yanafanyika ndani ya chama tawala magufuri oyeee makonda oyeee ccm oyeeeeeeee ccm mbele kwa mbele
@furahaema60007 жыл бұрын
amen makonda ubarikiwe sana mungu azidi kuku piganiya baba
@reychapo94027 жыл бұрын
hongera kaka
@bintirashidantybaby81467 жыл бұрын
congratulations my dear brother for your sweet tangue and gud taste of blood to be loved by all GOD creature much love frm 254 and may Allah give you more strength and confidence to to your work
@azizayassin36237 жыл бұрын
Binti Rashid Antybaby ameen ameen thumma ameen
@stawakhan43417 жыл бұрын
ubalikiwe kk kwa kazi bora
@michaelnyankali11317 жыл бұрын
chapa Nazi Broo mpaka kieleweke
@azizayassin36237 жыл бұрын
safiiiii
@saidmsomaly72857 жыл бұрын
mbona wananchi wako wamenuna au umewakosea mi cjui
@jeannahayo5887 жыл бұрын
chapa kaz nipo nakukubali kinomaaaa
@sondanzingulasondasam40297 жыл бұрын
nice
@pastoryrichard12577 жыл бұрын
¿????shitiiiiiiii
@robertjunior99167 жыл бұрын
sasa naanza kukuelewa Makonda
@emmanuelmlowe13117 жыл бұрын
chadema bila ccm hamuend lolote.hamuon?
@jumaahmad44647 жыл бұрын
nimchapakazi ambae hanavyeti halali
@rehemaelliottsuleiman64657 жыл бұрын
preach what you practice
@munashabanimunashabani99767 жыл бұрын
kutoka povuuu apa kazi tuu
@floramwanjonde99687 жыл бұрын
Mlisema hamtaandika habari zake sasa veeep global tv????
@mikongotijaneth59007 жыл бұрын
wambie waandike habari zako wewe kama wanakujua ukiona Makonda anaandikwa ni amekuzidi kwa hiyo jichunguze utafute shuguli ya kufanya mana huna kazi ya kufanya
@emmanuelmuba65547 жыл бұрын
Piga kazi kaka
@kalifasaed86827 жыл бұрын
chapa kazi baba
@hadijasaidhabdallah89867 жыл бұрын
kaka piga kazi tuuuu
@francesngailo87737 жыл бұрын
haya baba
@kwayamassunga14837 жыл бұрын
Nc
@georgeavelin8157 жыл бұрын
we all believe in God this Guy his too much courting from bible famous verses which shows his not reading by meaning rather than finding phrase to make as an example to his speeches his politician that's his work he has to relate things with realm of current situation still elimu yake inakuwa proved not worth to his chair tupe mifano ya jamii yako
@rubbymusa19717 жыл бұрын
Hongera sana, usijali maneno ya watu we fanya kazi wenye akili zetu tunaona
@zuuniece66357 жыл бұрын
bashiteeeeee
@loycesalumu16027 жыл бұрын
makonda we jembe chapa kazi
@joramlondomanyika66127 жыл бұрын
Watu wamekubaliana wasiandike habari za huyo mtu mnaleta ujinga hapa ni kuusubsribe tu
@mikongotijaneth59007 жыл бұрын
sura nzito hata mbwa unaemfuga kwako hhakujui wewe utapambana na Makonda?kazoe takataka upate hela ya kula.mana njaa itakuwa inakuma mwenzio anakula kwa ulaini wewe unachoka na makelele
@josephtarimo78427 жыл бұрын
wewe bashite bwenget2 Ben san yako wapi unajufanya ndungu na yesu jukum ganla kuteka wata ndio kazi
@jummamnyaturu5507 жыл бұрын
kuandika penyewe ujui
@jummamnyaturu5507 жыл бұрын
ww kama unajua Ben sanane si tuonyeshe acha kuchangia ujinga
@zuhuraally89167 жыл бұрын
chapa kazi mkuu mungu akusaidie
@emmanuelmlowe13117 жыл бұрын
makonda mi napenda kazi yako inaendana na kazi ya Rais wetu kipenzi.
@adelqueen20497 жыл бұрын
mungu u pamoja nawe kakangu
@brunovindallar15177 жыл бұрын
Kijana mdogo alafu anafanya maajabu,piga kazi mh Makonda,fuck vyeti!fuck snitches!!ikiwezekana wanao kuponda wateke tu,fuck them too!!Mh Makonda piga mzigo kama kawaida mzee baba!!!
@kapizoman57727 жыл бұрын
Tatizo wabongo tumezoea umayai yai so inatuwia vigumu Sana kumkubali yule anaesimama ktk haki na kutetea maslahi ya wanyonge hata hivyo tulizoea kuibiwa kutoa rushwa ndipo tufanikishe kile ulichokua unakihitaji. Ushauri mkuu wa mkoa angalia mbele na iwekeni Tanzania ktk mfumo thabiti wa uchumi kwani hao wanao lalamika na kukuzushia ndo vibaraka wa wale waliokua wakipga deal. Hapa kazi tu waache makundi makundi ya kujadili vitu ambavyo si vya maendeleo bali wazungumzie maendeleo ya nchi yanako elekea
@chubimabassa44607 жыл бұрын
Kakafanyakazi
@emmanuelmlowe13117 жыл бұрын
piga kazi wanaoongea ni nguvu ya madawa yakulevya.
@zainababdullsadik12477 жыл бұрын
Emmanuel Mlowe umeona yote hayo yamepoza kufuatilia hawa watu tu hamnaa lolote ndo maana wanafuata futa wabogo washazoweya rushwa na magendo sasa itamkuta kazi sana kwake lakini mimi nampenda hawajibu
@abdulmalickupete90157 жыл бұрын
kaka Fanya Kazi usiathiriwe na mbinu za mateja ili walipe kwa hali na Mali rais akulinde vinginevyo ni hatari sana.
@hassanovajunior69727 жыл бұрын
nakukubali Sana rc makonda wanyooshe
@yusufalmamari42367 жыл бұрын
mungu ata kujaliya makonda
@zenakatimle85277 жыл бұрын
Hongera fanyakazi watanyooka2
@benezethbwikizo31587 жыл бұрын
hapa kazi tu
@dakoteliumba94767 жыл бұрын
fanyakazi tunakupenda sana makonda wetu
@graceleonard61507 жыл бұрын
l Love u my brother in Christ keep running u will win the race amen
@EcoEssence_wellness7 жыл бұрын
Mmmmm..
@Saida-fh4sq7 жыл бұрын
makonda,mungu azidi kukuongezea hekima na akili yakuweza kuongea maneno ya busara na yenye kutia moyo na nguvu.mungu akutangulie kwa kila baya.
@Saida-fh4sq7 жыл бұрын
piga kazi bhana ww,ukubwa wa puwa c wingi wa makamasi,kulikuwa na wakubwa wangapi waliopita mbona ilikuwa nchi ishapiga goti hii namaukubwa yao .ww mtangulize mungu utaona mafanikio yake.
@anethlissu2067 жыл бұрын
may God bless u
@EcoEssence_wellness7 жыл бұрын
Tnx Aneth
@EcoEssence_wellness7 жыл бұрын
Okay
@riscaoscar5217 жыл бұрын
mmmmmmmmmmmmmm
@duuudaud38167 жыл бұрын
leta vyet kwanza unajifichia kwenye madawa...towa vyet acha kubwabwaja! unaoneka kama mtu hv kumbe jambaz la kutupwa mfyuuuuuuuuuu
@happynnko11937 жыл бұрын
mnyang'anyi anayejidai anatend haki kumbe mnyang'anyi jmn
@RoseRose-qm4lb7 жыл бұрын
vyet ndio vinavyofanya kaz au mtu ndio anaefanya kaz, angalia utendaji bana vyet makaratas
@sarahhappy18867 жыл бұрын
+happy Nnko yaani acha tu hili jitu limejificha chini ya kapeti
@modestuskibwana89967 жыл бұрын
DUU WEWE MLOPOKAJI UNA UHAKIKA HUYU NI JAMBAZI? TOA USHAHIDI