Haya Ndio Majibu ya Abuu Mohamed Iddi kwa Sheikh Barayyan Kuhusu Kauli ya Mufti na Kutangaza Mwezi

  Рет қаралды 12,116

Ustadh Shafii Online Tv

Ustadh Shafii Online Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 138
@ramadhanabdalla1203
@ramadhanabdalla1203 6 ай бұрын
Swadakta Sheikh Idd Mohammed Idd,Allah akulipe kheri,
@AhmadKambangwa-ry6qc
@AhmadKambangwa-ry6qc 5 ай бұрын
Mashallah sheikh Allah akuhifadh
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 6 ай бұрын
Mashaallah hongera sana mwalim mwenye elim anakuelewa sana .hao jamaa wapingaji kila kitu hao wakata kanzu na salafi wanataka mamlaka
@cheapunderage8228
@cheapunderage8228 6 ай бұрын
Acha istzai we guullaf…kwaiyo swala la kanzu unatak kujenga hoja Km ni kosa
@nassorochura7838
@nassorochura7838 6 ай бұрын
siku ina masaa 24 kama kuna nchi tunapishana siku nzima basi iwe hoja ya kubishana juu ya mwezi lakini kama ni masaa siku ileile ispokuwa ni masaa tu hivyo mwezi ni mmoja na jua ni moja mungu hakuleta idadi kubwa ya miezi
@bagalucha
@bagalucha 6 ай бұрын
Ni kweli hilo hawalioni,kila aliloliumba Allah,Lina maana yake,na kwa sisi walimwengu,tumejaaliwa mwezi mmoja kwa maana yake,tarehe ina umuhimu mkubwa katika maisha,na ni sehemu kubwa ya ushahidi katika mambo tofauti,sisi wenyewe ndio tunaotaka tarehe zetu zipinde pinde,suala hili tumejaaliwa tuwe hivi,au tumelitaka wenyewe,kutegemea tarehe za Gregor/kikiristo,waislamu hapa tumepigwa bao. Hapa ndipo tulipoanzwa kutawaliwa na manasara,hili wao wanataka libakie hivi hivi,chini ya utawala wao wa kutegemea tarehe zao,na hapa ni moja ya jambo waislamu walizingatie na muhimu katika kuweka kumbukumbu za kisheria,waislamu amkeni.
@jumaally6007
@jumaally6007 6 ай бұрын
Jee tanzania mipaka yetu tunaishia wapi katika kuangalia mwezi? Na ninani kaweka hio mipaka na kwa vigezo gani?
@wazirihamisi6484
@wazirihamisi6484 6 ай бұрын
Hakuna atakae kujibu swali hili hao wapo kazini wanalinda ugari wao
@mhusinigau3231
@mhusinigau3231 5 ай бұрын
Kwahiyo mtume alivyofundisha ww unataka kumfundisha mjinga wewe​@@wazirihamisi6484
@MaruzukuNasibu
@MaruzukuNasibu 6 ай бұрын
Shekh uko vizuri nimekuelewa alwa akupe maisha malef
@wazirihamisi6484
@wazirihamisi6484 6 ай бұрын
Allah sio alwa
@abdulrahmanmwadini5925
@abdulrahmanmwadini5925 5 ай бұрын
Sheikh Abuu Idd,unanifurahisha kitu kimoja tu,unazungumza kwa References, sio huyu sheikh ambae hakutuonesha hata kitabu kimoja,kwa kweli unajua unachokesema Allah akuhifadhi.
@MohamedKasalama
@MohamedKasalama 6 ай бұрын
Shekh hakika ufafanuzi umejitosheleza allah akupe kheri nyingi hawa hawaambiliki ujumbe umefika
@abdiomar6832
@abdiomar6832 6 ай бұрын
sisi Zanzibar mwezi anatangaza Mufti Maa sha Allah hakuna magenge ya kihuni yanayotangaza
@JaffarManda
@JaffarManda 6 ай бұрын
Swadaqta shekhe nnakukubali sana Tusichoke kuwaelimisha ipo siku wataelewa tu Insha Allah
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 6 ай бұрын
Huyu jamaa ni mtihani sana,sasa tueleze kabla ya hayo mawasiliano ya simu hapa hapa Tanzania tulikuwa tunafunga vipi?maana hivi sasa tunafunga kwa taarifa hizo munazozikataa leo ambapo huonekana sehemu moja tu ya Tanzania?
@ibraahmbena
@ibraahmbena 6 ай бұрын
Nimekuelewa inshallah 🙏
@AhmadKambangwa-ry6qc
@AhmadKambangwa-ry6qc 5 ай бұрын
Kulikuwa na viongozi wa dini ndo walikuwa wanatoa muongozo Kama leo tunavyopewa muongozo ndugu yngu, alafu fatilia vzr ata zama izo za mtume mambo ya kutofautiana kwenye mwezi yalikuwepo, ilitokea sehem mmoja uliandama na sehem nyingne haukuandama,fuatilia
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 5 ай бұрын
@@AhmadKambangwa-ry6qc Miongozo iko ktk Kitabu na Sunna,yako mambo wanatolewa fatwa na wasomi(thika)lkn yako yameshatolewa Miongozo na Mtume (saw)likiwemo hili la mwandamo WA mwezi maana mwandamo WA mwezi ni mmoja Tu haiwezekani kuwa na miandamo miwili na teh mbili
@Whitegsm
@Whitegsm 6 ай бұрын
Mashallah asiefaa kafaa wema hakiba waislamu wenzangu
@amirmohammed-k7w
@amirmohammed-k7w 5 ай бұрын
Uko sahihi shekh
@CharafimalisalimoAli-qw3hk
@CharafimalisalimoAli-qw3hk 6 ай бұрын
KUNAKAZI YA KUWAFUNDISHADINI MAWAHABI NA USTAARABI. KAMA MWEZI WAKIMATAIFA UNAWEZEKANA BASI ATA SWALATANO PIA INAWEZEKANA KUSWALI MDA MMOJA SAA MOJA NA IMAMU MMOJA , TENA ASIMAME PALEPALE MAKKA ATUSWALISHE DUNIAMZIMA, TUTAMUONA KWENYE VIDEO .
@Sadikirajabu-h2c
@Sadikirajabu-h2c 5 ай бұрын
Hizi elimu wanasomea wapi hawa mawahabi Wa kitanzania mtume sisi tumemuerewa asema shikeni kisichokua na shaka chenye shaka acheni mwezi wenu Wa kimataifa huu in mashaka matupu na katika elmu mmeshika mutashaabiha ktk aya za allah
@MsimbeRajabu
@MsimbeRajabu 6 ай бұрын
Tunafata dini sisi yaani mandiko marhiyan upo vizuri
@yusufkisome639
@yusufkisome639 6 ай бұрын
Tangu Sheikh ALHAD Mussa Salum Amuulize Huyu Sheikh Kama Ameacha Kuvuta BANGI Sina IMANI nae KABISA, anataka BAKWATA waondoe Ulezi wao kwa Answar sunna na Kwamba Serikali iwasiliane direct na Answar Hajui kuwa huo ndio ushindi kwa Hilo kundi,Hajui kuwa kuna Viongozi wengi wa Serikali wanaliona hilo kundi kuwa liko sahihi.
@ALLYMATIMBWA-cz3zg
@ALLYMATIMBWA-cz3zg 6 ай бұрын
Kak nimeipenda ulivo andik ilo linatokea mda si mlefu
@jumaally6007
@jumaally6007 6 ай бұрын
jee hii mipaka ya nchi kwa nchi nani kaiweka na jee nimazingatio katika muandamo wa mwezi?
@YusuphRamadhan-y1m
@YusuphRamadhan-y1m 6 ай бұрын
Mufti kadhi ndio wenye Malala mbona mnatangaziwa na watu kutoka juu
@mazartajmohamed1437
@mazartajmohamed1437 6 ай бұрын
Assalam aleykum sheikh iddi wacheni makumbano tofauti ya siku moja isutupeleke kugombana ,
@nassorochura7838
@nassorochura7838 6 ай бұрын
atakaetaka aamini na atakaetaka akufuru mi nadhani hakuna kumlazimisha mtu akubali kukufuru na yeye ndo ilimu yake aliyonayo mwacheni shekhe barryani na elimu yake na mungu wake kwa sababu yeye ndo allah atamlipa
@nassorochura7838
@nassorochura7838 6 ай бұрын
haina haja sisi waislamu kumhukumu mtu allah ndo mwenye kumjua mja wake na yeye ndo alimuumba na yeye ndo atamhukumu
@mbwanabinmasoud3221
@mbwanabinmasoud3221 6 ай бұрын
Shekh Muhammed Iddi hapa unachemsha usilazmishe lazima ufatwe weye hizi khitilafu hazikuanz leo...fuata unavoamini na waache wanavoamini
@rajabchaula7305
@rajabchaula7305 6 ай бұрын
Naomba kujua hicho ni kitabu gani walichokisaini Masheikh????
@nassorochura7838
@nassorochura7838 6 ай бұрын
jamani mbona uislamu wa sasa unakosa nidhamu wasomi wakubwa mnaupoteza ummati muhamadi shekhe barrayani yuko sawa tu ndo sehemu ya jihadi mungu atamlipa tu mungu amjalie kwa elimu yao
@zenakassomo
@zenakassomo 6 ай бұрын
Mashekhe muogopeni Allah ,ukweli wa kimuogopa hii dunia tunapita jamani
@JumaPandu-d3l
@JumaPandu-d3l 6 ай бұрын
Sheikh wangu hawa si Answari Sunna hawa ni Mawahabi safi Hawana doa
@mbwanabinmasoud3221
@mbwanabinmasoud3221 6 ай бұрын
Tusilazimishane kwenye misimamo
@mkude
@mkude 6 ай бұрын
Hili jambo linakhitilafu halafu nashindwa kuelewa huku kwetu kwanini tuufuate Tanzania na Kenya tu kwanini mipaka iwepo kwenye nchi hizo mbili tu? Kwanini hii mipaka isiende basi mpaka Uganda au Somali. Kwahiyo tunaishi Kenya tu. Serikali haiwezi kuingilia mambo ya dini.
@IbrahimRajab-rg3vm
@IbrahimRajab-rg3vm 6 ай бұрын
Sisi hatufanyi ibada ki bubusa tunazo dalili zinatutosha na tuko tayari Kwa lolote mnalofikiria kufanya hii dini SI milki ya mufti
@alifaki8741
@alifaki8741 6 ай бұрын
Hizi clip mbona kama ni za kuunga unga?
@nassorochura7838
@nassorochura7838 6 ай бұрын
swali mi nikiuona mwezi mufti hajauona siruhusiwi kutangaza ?
@RamadhanMwawila-n5l
@RamadhanMwawila-n5l 6 ай бұрын
Wewe unasema eti, mfano wamwezi wakimataifa km utakuwa sahihi.eti basi' ht muda waswala.kule.Mkka tungeswali kwamuda mmoja. Kwanza tunakujibu kuwa ndio tunaswali namakka kwamuda mmoja. Majira.yamakka na Tanzania niyale.yale! Nendeni shule mkasome.
@hashimsalim3951
@hashimsalim3951 6 ай бұрын
Kumbe Abnwasi wako tele
@nassorochura7838
@nassorochura7838 6 ай бұрын
tusigombanie mwezi mungu ndo kila kitu uislamu ulikuja ukiwa mgeni na utaondoka ukiwa mgeni kuhusu mwezi hiyo haina shaka mwezi ni mmoja tu dunia na siyo mwezi wa mtu
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 5 ай бұрын
Hii hadithi inahitaji uwe na maono kidogo yaani "UISLAMU ULIKUJA MGENI NA UTAONDOKA UKIWA MGENI" maana yake ni kwamba Kabla ya kuja Kwa Mtume (saw)kulikuwa na mambo ya ajabu ya shirk na bidaa!alipokuwa Mtume na waliomtangulia pia wakaleta haki basi watu wakaona ni mambo mapya na magumu kwao na pia kuondoka Uislamu kuwa MGENI ndio kama hivi Leo wasomi kujitahidi kuwaonesha watu yaliyo Sawa lkn watu wakaona hayo ni mambo mapya na kuwapachika majina mabaya,kuwatukana ,kuwakashifu na hata baadhi ya wengine kuwachonganisha na Mamlaka ili wadhibitiwe!sasa hapa ndipo panapotaka tafakuri ya Hali ya juu!
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 5 ай бұрын
Na huyu Ustadh IDD yeye ni mshabiki na anaonesha wazi anafanya dini kama ni ushabiki wa Simba na Yanga
@ibraahmbena
@ibraahmbena 6 ай бұрын
Ninacho jiuliza Kila siku ni kwamba hakuna siku wakapishana kwenye Ibada ya hijja Dunia nzima wanenda SAWA . Ila sijui sasa kwenye miezi mingine hua wanafuata utaratibu gani Kwa hijja na utaratibu gani Kwa miezi mingine.
@hassaniyassin1686
@hassaniyassin1686 6 ай бұрын
Kwa sababu hija inafanyika sehemu moja na waislamu wote walio kwenda kuhiji, lakin Swaumu kila mtu anaanza kufunga katika mji wake na kwa majira tofauti pia.
@Hamisikiumbe
@Hamisikiumbe 6 ай бұрын
huyo barahiyani anataka kuanzisha vurugu hapa nchini
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 6 ай бұрын
Vurugu munataka kuanzisha nyie kupitia Mufti wenu au hili hamukuliona?
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 6 ай бұрын
Au nyie ndio mulioshushiwa hii dini?hakuna KULAZIMISHANA KTK dini nyie fanyeni yenu na die tufanye yetu!sasa nongwa za nini?
@imranbanda3963
@imranbanda3963 6 ай бұрын
I think sheikh Barahiyan has only grudges its nothing about understanding Deen
@mwalimjecha6893
@mwalimjecha6893 6 ай бұрын
Shekhe kazi kubwa unayo ya kuwafahamisha hao wapinzani. Hao hawakukubali abadan kwani nyoyoni mwao mna vizibo.
@SheikhMondbinamir26-px4ej
@SheikhMondbinamir26-px4ej 6 ай бұрын
Hoji basi na hili kwani Kuna nchi ya kiarabu ambayo tunaopishana na Tanzania Kwa siku nzima
@MzeeMponda
@MzeeMponda 6 ай бұрын
Dunia ina miezi ingapi shekh
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 6 ай бұрын
Ina miezi 12. Jee unataka kujibu kutumia akili zako au una kauli za wanachuoni kuhusu kufata muandamo?
@nassorochura7838
@nassorochura7838 6 ай бұрын
waislamu tunatabia ya kupeana makundi au mdhehebu swali mtume alikuwa kundi gani?
@RamadhanMwawila-n5l
@RamadhanMwawila-n5l 6 ай бұрын
Shekh' IDDI' tunaijua chuki.yako dhidi ya Ansar kwamuda mrefu. Wewe nimwanazuoni mbaya sn,.unayefarakanisha waislaam. Wewe NIMTU hatari sn ktk MAENDELEO.ya.Uislaam..DUNIANI.
@RamadhanMwawila-n5l
@RamadhanMwawila-n5l 6 ай бұрын
Hoja zako hazina uzito! Hebu tuambie KALENDA YAKIISLAAM DUNIANI ZIKO.NGAPI? UTUJIBU.WEWE IDDI' MOHAMED.SHEKH.WAMAULID! UKISHINDWA HILI BASI YOOTE.UNAYOYAZUNGUMZA NIUPUUZI MTUPU.
@nassorochura7838
@nassorochura7838 6 ай бұрын
hata maulidi na hitima ni bidaa lakini kwa kukosa ilimu ya dini tunafanya bidaa hizo na mashekhe tunaangalia tu na wala mashekhe hutaona wanaonyesha hadith ya mtume inayozungumzia hitima wala maulidi
@SheikhMondbinamir26-px4ej
@SheikhMondbinamir26-px4ej 6 ай бұрын
Kwani Kuna nchi ambayo hakiingii kiza mpaka kwengine kuwe mchana si kweli
@muhsinimohammad58
@muhsinimohammad58 6 ай бұрын
Shekh uthaymin hajui kiswahili unamnukuu vipi kiswahili??
@SirajuChilindo-b4y
@SirajuChilindo-b4y 6 ай бұрын
Akili huna ww, kwani huwezi nukuu Aya za Qur an Kwa kiswahili!??????? Ni wazi kuwa hujui chochote
@nassorochura7838
@nassorochura7838 6 ай бұрын
hii dini ni ya mugu hakuna kulazimishana soma suratul kahf haina haja ya kumfosi mtu aombe msamaha we unajuaje kuwa uko sahihi?
@DauderMnazi
@DauderMnazi 6 ай бұрын
Mawahabi wanaona dini hii ni ya saudia
@YUSUFUFADHILI
@YUSUFUFADHILI 6 ай бұрын
Kuhusu kuwagawa watu nipale ambapo jamaa itakua yahaqi ila jibuni hoja ambayo sheikh aliwafunguza watu halafu yeye akafunga sasa hapo tumfuate kivipi? Anyooke kwanza asimamie haqi halafu tumfuate ila akiendelea kupokea oder kutoka serekalini hatuwezi kumfuata
@SeaPower-pu1mq
@SeaPower-pu1mq 6 ай бұрын
Ndioo kwel shekh Salim yupo sahihi
@shabanmohamed7071
@shabanmohamed7071 6 ай бұрын
SHEIKH KATOA HOJA ZA MSINGI
@sadamyakubu1006
@sadamyakubu1006 6 ай бұрын
Muhammad Idd mbona ulimkimbia Shaikh Kassim Mafuta???
@alifaki8741
@alifaki8741 6 ай бұрын
Ivi mtume s w a, hakujuwa wala hakujuilishwa na mola wke kuwa dunia itakuwa kubwa? Ata asitowe maelezo yanayofafanua kuwa dunia ikiwa kubwa tufanye nini? Mbona katueleza mengi ambayo zama zke hayapo lkn yatakuja? Ashindwe kueleza hili?
@jumanina7103
@jumanina7103 6 ай бұрын
Leo unawakubali Masheikh wa Saudia ukikatazwa Maulidi Masheikh wa Saudia huwataki
@SolomomAdams-pf5zy
@SolomomAdams-pf5zy 6 ай бұрын
Hahahaha
@SolomomAdams-pf5zy
@SolomomAdams-pf5zy 6 ай бұрын
Kinachozungumziwa Mwenye Mamlaka ya Kutangaza ni nani??? Naona Mwaenda mbali mpaka Mwatusi Masheikh Tuwe Makini Nyama za Wanazuoni Zina Sumu.
@PutinYahya-z1o
@PutinYahya-z1o 6 ай бұрын
Tatizo lenu mlishakalili sunna nikukata suluali nakufuga ndevu tu hamjui hata kutembelea wagonjwa ni sinna mlishajifanya nyie ndo mnafunguo za pepo,muache kuwachonganisha waisilam mnatabia mbaya sana nyie mnaojiita answali sunna.
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 6 ай бұрын
Hata huyo anayedai kuwa na mamlaka ya kumtangaza mwezi amekwenda mbali zaidi ya kutaka wengine wakamatwe!unadhani upande wa pili watasema nini?na hayo mamlaka kapewa na Nani?na Serikali isiyo na dini?mamlaka ya mtangazaji yanatokana na kiongozi wa Waislamu atokaye miongoni mwao!sasa je Mufti aliyechaguliwa na Mamlaka isiyo na dini ndio sahihi?mbona Wakristo hawasemi mwenye mamlaka ni yupi ktk tofauti ya madhehebu Yao!
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 6 ай бұрын
​@@PutinYahya-z1okwani wewe wachukia ndevu!na kuchumia kuvaa nguo za kisheria?Kwa kweli nyie Maghulafi munaovaa nguo za kububutika kama maharusi wa kikafiri ni shida sana!hamujitambui maskini like la kisheria munalikataa na tale mepenzi yenu munayang'ang'ania
@muhsinimohammad58
@muhsinimohammad58 6 ай бұрын
Jibu hoja za shekh qaasim mafuta za mwaka juzi hapo huna hoja
@DauderMnazi
@DauderMnazi 6 ай бұрын
Hii dini si ya saudia ni ya dunia kwahio tusiishi kwa kuwangalia saudia
@yusufkisome639
@yusufkisome639 6 ай бұрын
Unatushauri turudi kwenye dini ya kukata mauno kwenye Maulid
@johariabdalla3319
@johariabdalla3319 6 ай бұрын
Ustadh Shafi tuwekee na upande wa pili tusikilize,ikisha tupime,au umeweka wa upande wako?maana nyie ndo walewale
@SheikhMondbinamir26-px4ej
@SheikhMondbinamir26-px4ej 6 ай бұрын
Halafu watu wanafunga mwezi unapoindama popote nchi si lazima Saudi usizushe
@ahlusunna8932
@ahlusunna8932 6 ай бұрын
Wewe nawe hujielewi. Kwani umeskia wao wanafata mwezi wa saudia tuu au wamesema wanafata mwezi wa kimataifa? Kwani lazima ucomment kudhihirisha ujinga wako? Do your research kabla hujaropoka kitu
@kessynassoro2847
@kessynassoro2847 6 ай бұрын
kitu ambacho sikielewi ni kuwa mashehe leo ni ramadhani ya 13 bado mnasigana juu ya nani atangaze mwezi "this is bullshit" watu hawajui dini yao! watu hawajui sheria za kiislam mwezi huu mgeutumia kutufundisha mambo ya maana ya dini yetu mekaa mnasigana juu yakutangaza mwezi je mlisoma ili tuje tuwasikilize mnavyolumbana mnavyooneshana ubingwa wa kujenga hoja, mm ningesoma dini nisingebishana kwa mambo ambayo hayajengi umoja wa waislamu bali mnazidisha mipasuko kwenye jamii ya waislamu! kwa nn msiachane na hayo mambo kwani huyo shehe balayani akitangaza mwezi na mufti akitangaza mwezi kuna tatizo gani? mungu si atamuuliza huyo aliyewatangazia watu wakafunga ama kufungua nje ya muda? au kama akitangaza mufri pwkw yake nchi nzima nako kuna tatizo gani si ni yeye ataulizwa n mungu kwa nn alizuia wengine wasitangaze mwei tatizo liko wapi. kumbukeni ramadhani inaish hakuna cha maana mnachoongea ni pumba tupu. tumieni platform hizi kuwashawishi wengine wasiokuwa waislam waupende uislam lkn ninyi wiki ya pili sasa huy anasema huyu anaropoka, acheni bhana
@iddijuma-rk9xf
@iddijuma-rk9xf 6 ай бұрын
Umesema kweli
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 6 ай бұрын
Sheikh wa Mwezi huyu Baba hanaga akijuacho yeye anajua Mwezi tu 😂😂😂😂
@abdullahmasakata170
@abdullahmasakata170 6 ай бұрын
Wewe unae jua unafuata watu wanao tukana waislam kuwa ni mbwa wanao bweka hio ndio suna yenu kama mnavyojinasibu? Au kwenu suna ni matusi kutukana mashekh na vitabu vyao na maulamaa msio wapenda hio ndio suna ya mtume MUHAMMAD S. A W? Someni uislam acheni itikadi za kigaidi ambazo hata zimeshindwa kusapoti Wapalestina wanao uawa Gaza, Nyie mnasapoti wauwaji Wa waislam wenzenu Kisa ufalme wa Saudia kwanini hivi?
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 6 ай бұрын
@@abdullahmasakata170 Sio Kweli Kila ansemkosoa Muhammad Eid ni Mfuasi wa Masheikh wa Kisaudia Hicho ni kigawanyo kibaya Suala la Mwezi na mgogoro wake ni Suala la Zamani mno Mimi nafuata Mwezi wa mji niliopo ila sipendi wanatafuta Umaarufu hapa Mjini kupitia jambo ambalo Lina ikhilaafu kwa Ulamaa wetu wa Fiqhii Kiasi kisheria wote wapo sawa tu Watu Waache kupoteza muda wa kulumbana kwa mambo kama haya wanaboha tunataka Maendeleo sio Kuwagawa watu kwa mambo mfano wa haya
@uthmanmaluja7005
@uthmanmaluja7005 6 ай бұрын
Huyu Mohamed idiy anataka sanaa uongozi hasa kwa mufti ili apewe nafasi lakini wp anajitahidi sanaa kubwabwaja hoja ya msingi hana kabisaaaa
@mavulunzatv9280
@mavulunzatv9280 6 ай бұрын
Si kweli anatetea dini
@shabaniissa3464
@shabaniissa3464 6 ай бұрын
Ni kiongozi kwasababu ni mshauri wa Mufti
@hemedimbilikila9768
@hemedimbilikila9768 6 ай бұрын
Huna jipya wew na genge lako
@SheikhMondbinamir26-px4ej
@SheikhMondbinamir26-px4ej 6 ай бұрын
Lakini mbona chirsmas inakuwa siku moja Dunia nzima hebu tujibu na hili we mzeee
@SirajuChilindo-b4y
@SirajuChilindo-b4y 6 ай бұрын
Sasa Christmas ni Nini na ww wahabi jaahil
@nassorochura7838
@nassorochura7838 6 ай бұрын
elimu siyo wahabi tu ni ya kila mwislamu aliyekatika ummati muhamadi
@abdulykahera4273
@abdulykahera4273 6 ай бұрын
Mohemedi iddi huna jipya mbona kuna siku yawanawake duniani mbona hua inakua siku moja wewe unachanganywa na muda sio siku nzima
@AbdalallaBrahimam
@AbdalallaBrahimam 6 ай бұрын
Ndugu soma siku ya wanawake hwaangalii mwezi
@muhsinimohammad58
@muhsinimohammad58 6 ай бұрын
Yaani bakwata haiwezi kukupa cheo kwa sabab wanakujua
@nassorochura7838
@nassorochura7838 6 ай бұрын
na jihadi haita simama mpaka kiyama
@bagalucha
@bagalucha 6 ай бұрын
Angalau siku hizi unaweka vijidevu,lakini hizo sharubu zitoe,wacha fitna hizo,Allah anakuona,wacha kujipendekeza.
@MwajumaMkapali
@MwajumaMkapali 6 ай бұрын
Kwani ww haunamacho allah alivomleta mtume muhammadi mbona alikua pekeake mungu hakuleta mitume wawili si kujua kama patakua na vulugu wakiongoza mitume wawili sasa balahiyan
@MwajumaMkapali
@MwajumaMkapali 6 ай бұрын
Balahiyan amekosea tu
@CharafimalisalimoAli-qw3hk
@CharafimalisalimoAli-qw3hk 6 ай бұрын
KWANZA HUOWEZI WAKIMATAIFA ATAKAEUTANGAZA NI NANI AMBAE NI KIONGOZI WA KIMATAIFA TUNAEE ???
@MohdAliHaji
@MohdAliHaji 6 ай бұрын
Naona sheikh Kassim mafuta kumkimbia ww bwana mkubwa
@yuniskinkopela3224
@yuniskinkopela3224 6 ай бұрын
Nawewe ni mnafki shke lddi
@MwajumaMkali
@MwajumaMkali 6 ай бұрын
Elimu nipana haina haha ya mabishano kwa waisilam
@SalimAli-wz3mi
@SalimAli-wz3mi 6 ай бұрын
Tufuate katiba ya nchi. Tanzania haina dini Usifuate mufti wa oman
@MzeeMponda
@MzeeMponda 6 ай бұрын
Kwani dunia ina miezi mingapi, mwezi wa kimataifa ni upi na mwezi wa tanzania ndo upi?
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 6 ай бұрын
Unajibu kwa akili au kauli za maimamu na wanachuoni?. Kama unatumia akili basi Mtume saw amekataza. Mwezi ni mmoja ila machomozo ni mengi sana, Qur-an ndio imesema "MAWAQIITU" machomozo ya mwezi si mchomozo wa mwezi. Hayo Mwenyezi Mungu sw ndio kasema. Kwahio kila mtu atafata mchomozo wake sawasawa na jua ni moja ila machomozo ni mengi na kila mmoja atafata swala ya mchomozo wake
@mohamedkhamishamad
@mohamedkhamishamad 6 ай бұрын
Kwa sababu kilikuwa hakun utenda wazi simu zingekuwepo ungetekelezwa
@Zuwenamachela
@Zuwenamachela 6 ай бұрын
Kwahyo uislamu wawakat wa mtume ulikuwa na upunguf kwa kuwa hakukuwa na simu we ni jaahil na hyo syo hojjah msikilize shekh maana ananukuu syo maneno yake
@Zuwenamachela
@Zuwenamachela 6 ай бұрын
Hlf ujue hauhitaji utandawaz wala hauhitaji media kwasabab Allah hakushindwa kuleta utandawaz wakat wa mtume na uislam ulikamilika kwa wakat wa mtume uislamu umejitosheleza acha porojo Barakallaah fiika shekh Abuu Idd
@sudisalehe192
@sudisalehe192 6 ай бұрын
Vibaraka wa bakwata,sasa we unamjuaje muft wa Oman
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 6 ай бұрын
Kama humjui ni wewe. Na aliokuwa hamtambui walii wa na Kipenzi cha Mwenyezi Mungu sw MUFTI WA OMAN, basi una hasara kubwa kusikiliza mufti wa mayahudi wa saudia
@SheikhMondbinamir26-px4ej
@SheikhMondbinamir26-px4ej 6 ай бұрын
Usitudanganye ogopa kuwapoteza watu
@kagetaabdallah3712
@kagetaabdallah3712 6 ай бұрын
Uyu ni mropokaji sio sheikh
@r.m.a7570
@r.m.a7570 6 ай бұрын
Mbona maulid ilkua hamna na leo nyiny muna shadidia vp hapo shehe na ww muonga au
@r.m.a7570
@r.m.a7570 6 ай бұрын
Arafa ngap jaman naona Tanzanian ina rafa yao
@Zuwenamachela
@Zuwenamachela 6 ай бұрын
Usiropoke we ni jaahil sikilza wasomi wenye Elimu
@MohamefMullah
@MohamefMullah 6 ай бұрын
Mawahabi hata uwatolee ushahid kwenye vitabu vyao 'vya kiwahabi au'vya wa wafadhil wao wamarekani na mayahud hawatakubali maana mawahabi siwaelewa
@اسماعيل-ه4ه
@اسماعيل-ه4ه 6 ай бұрын
hizo niakili zako mwenyewe zakwmba mwezi wa kimatahifa hakuna nyinyi bakwata nendeni mkasome kwa barahiyani sheriya hamuijui
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 6 ай бұрын
Mwezi wakimataifa upoje?
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 6 ай бұрын
Kwa hiyo kuna miezi miwili, na nyumbani(mwandamo) na wa kimataifa?
@manixawadh7198
@manixawadh7198 6 ай бұрын
Hana jipya huyu sheikh ywajitatiza mwenyewe... Qiyama kitasimama siku moja tuu ww kimbia kule ambako siku ya Qiyama itakuwa bado haijafika kwao tuone utanusurika vipi... mambo yako wazi mwatatiza tuu watu kwa kuipiga makamama bid'ah.
@abdulykahera4273
@abdulykahera4273 6 ай бұрын
Unataka cheo bakwata wewe acha kuongopea watu
@Zuwenamachela
@Zuwenamachela 6 ай бұрын
Toa hojjah syo kutukana mburura wa kianswar munashikiwa akili
@اسماعيل-ه4ه
@اسماعيل-ه4ه 6 ай бұрын
Sheikh hujui géographia na hakuna siku mbili dunian usidangany umma allah yuakuona
@AbdallahIssaShekhan
@AbdallahIssaShekhan 6 ай бұрын
Wewe ni kihiyo kama Baruhany
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 6 ай бұрын
Hili nalo lako ni jipya, kasome tena jiografia yako hiyo
@matanohassan9667
@matanohassan9667 6 ай бұрын
We nenda kajiongeze mwezi Ni MMoja tu duniani kote ila Huo mwezi uko Na chomozo Nyingi Kwa mda tofauti Kwa duniani kote hapo ndio matwali Na ikhtilafu zimeanza Na Allah ndivo alivosema katika QURAN tuku (Yas alunaka anil ahillah qul hial mawaqetu )Hadi mwisho Wa Aya so UKITAKA FUATA usipotaka Wacha usitukanae watu
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 6 ай бұрын
Kuna nchi zinawahi kuingia siku na kuna wanaochelewa, Tanzania ikiwa mbili usiku kaangalie Marekani ni saa ngapi! Marekani wenyewe wana time zones ngapi?
@SolomomAdams-pf5zy
@SolomomAdams-pf5zy 6 ай бұрын
Asante
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de 6 ай бұрын
Hawa answari wamechanganyikiwa
@SheikhMondbinamir26-px4ej
@SheikhMondbinamir26-px4ej 6 ай бұрын
Utubie wewe
@abdallahmsham-eb7jz
@abdallahmsham-eb7jz 6 ай бұрын
wewe akili zako zimehama kichani zimehamiya tumboni pumbavuu
MAJIBU MARIDHAWA KWA MPOTOSHAJI KASIM MAFUTA BY Shk Abuu Idi
30:33
Sheikh Yusuf Diwan
Рет қаралды 28 М.
KUNA MAKUNGWI KAZIYAO MATUSI TU //SHEIKH NYUNDO
19:13
arkas online tv
Рет қаралды 125 М.
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 78 МЛН
OYUNCAK MİKROFON İLE TRAFİK LAMBASINI DEĞİŞTİRDİ 😱
00:17
Melih Taşçı
Рет қаралды 13 МЛН
She's very CREATIVE💡💦 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehack
00:26
Pesa imejificha katika vitu vinne - Sheikh Walid Alhad
20:37
Kalamutz
Рет қаралды 108 М.
JUA AINA TATU ZA ULIMWENGU WA GHAIBU WENYE ASILIMIA 98. SHEKH YUSUF KIDAGO.
9:09
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 78 МЛН