HECHE AKINUKISHA ITIGI SINGIDA, ASHUSHA NONDO NZITO, AWATAKA WANANCHI KUIFUKUZA CCM MADARAKANI

  Рет қаралды 29,077

Mwanzo TV Plus

Mwanzo TV Plus

Күн бұрын

Пікірлер: 53
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur 7 ай бұрын
Sema Mh, Mungu akupe maono zaidi simama Imara baba
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur 7 ай бұрын
Hongera sana John Heche japo wapo wenye vichwa ngumu hawakuelewi lakini asiye kuelewa lazima hukumu impate tu
@prospermalala6636
@prospermalala6636 7 ай бұрын
MH John heche elimu kubwa unayoitoa, hakika IQ yako IPO juuuu sana ktk maisha ya watanganyika waelewe uozo uliopo ndani ya Taifa letu, Mungu akuongoze Kwa kuwafumbua macho watanganyika wafahamu hiki kinachotokea Leo hiiiiiiii nchi kwetu Tanganyika, spana zinawabana CCM wameziba masikio yao kujifanya hakuna kitu kinachoendelea nchini kwetu Tanganyika, Hakika IQ ya uwalimu uliosomea umeifanyia ❤❤❤❤❤ Haki 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Moto wa gesi,
@godfreybitakama9845
@godfreybitakama9845 7 ай бұрын
Nakukubali sana mwamba bado tunasafali ndefu sana
@emmanuelmasele9585
@emmanuelmasele9585 7 ай бұрын
Hongera sana.
@AmaniGodwell-nz8iw
@AmaniGodwell-nz8iw 4 ай бұрын
Heche ni niongoni mwana siasa mwenye maono makubwa sana mungu akubariki kiongoz
@aloycemruma6552
@aloycemruma6552 7 ай бұрын
Wanao mbeza .Heche. Atakuwa mchawi au ana masilahi na maovu yanayofanyika. Kupandisha ushuru mpaka mashudu..Yani taka inadaiwa
@MwangaNkayagwa
@MwangaNkayagwa 7 ай бұрын
Hii ni elimu tosha Kwa mtu mwenye akili hongera Heche
@adaNahimana-y7b
@adaNahimana-y7b 7 ай бұрын
Inaelekea Unaowaambia Hawaelewi. Mwenye Kuelewa Utawaona
@SaigiluSankale
@SaigiluSankale 6 ай бұрын
Mungu ni mwema tutashinda
@mtewelemtewele0260
@mtewelemtewele0260 7 ай бұрын
Jembe la chadema lililobaki nalikubal sanaaa usiwe msalit kama msigwa alieunga juhud
@daudysanga8492
@daudysanga8492 7 ай бұрын
Huyu jamaa very important
@illomowerner7690
@illomowerner7690 7 ай бұрын
Gotten you @daudysanga, this man Heche is so materialistic
@WivaNonkwe
@WivaNonkwe 7 ай бұрын
Ukweli mtupu piga kazi kamanda ujumbe umefika
@HassanKangwa-sz4gn
@HassanKangwa-sz4gn 7 ай бұрын
Akili kubwa zaidi ya mwalimu
@stevenfumbi9566
@stevenfumbi9566 7 ай бұрын
Naamini siku moja utakuwa mwenyekiti wa Chadema taifa baada ya mh Mbowe kutoka madarakani
@maendeleoleo2594
@maendeleoleo2594 7 ай бұрын
Huyu jamaa jembe
@honesthenry901
@honesthenry901 7 ай бұрын
Heche hichi kitu unachokisema ndivyo alivyokuwa akivifanya John magufuli lakn bado mlimpinga. Sasa tuwaeleweje mbn mnakuwa vigeugeu.
@nestor384
@nestor384 7 ай бұрын
Wananchi wanapaswa/tunapaswa kuchukua hatua
@machujamathias7165
@machujamathias7165 7 ай бұрын
Hakikaa heche ana nondo, Kila mkutano awe anahudhuriaa
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 7 ай бұрын
Eche matiriol into chadema political party has lmotion into chadema political party has capacity explain clear Antilles tanzania people get point from eche
@victaboy7273
@victaboy7273 7 ай бұрын
Kwamba? Yaani sijakuelewa mwenzio
@MmbagaMmbaga
@MmbagaMmbaga 7 ай бұрын
Baba zetu sisi,wote tumefundishwa elimu ya kukarr hilo ndio tatzo
@DavidKagulu
@DavidKagulu 4 ай бұрын
Mwenyekiti ajaye wa cdm
@OscarKasalile-u4k
@OscarKasalile-u4k 7 ай бұрын
Jembe ninalolikubali
@sangomamourice3539
@sangomamourice3539 7 ай бұрын
Inasikitisha kwa kweli
@saimonisichimata8559
@saimonisichimata8559 7 ай бұрын
Hiz ndio sera tunataka
@paulombay6884
@paulombay6884 7 ай бұрын
Hapo kweny wazee sas lazima mshinde wanaume
@bundalaizina652
@bundalaizina652 7 ай бұрын
Bado kwenye mafuta ya kula, na dizel na petroli kuna shida sana bei kubwa mno jamani
@Esteriajoseph-yk8bq
@Esteriajoseph-yk8bq 7 ай бұрын
Wana chadema tujenge Sana la Heche
@yokoi3970
@yokoi3970 7 ай бұрын
Wake up Tanzania kuna siku tutalia kisa CCM. Ni watu wa ajabu
@artsonkimath2917
@artsonkimath2917 7 ай бұрын
Mwambaaaaa
@moriskalegeleshusha2619
@moriskalegeleshusha2619 7 ай бұрын
Hapo kwenye kutubakizia mabaki ya nguo mkuu
@LushidulaJidamawi
@LushidulaJidamawi 7 ай бұрын
Heche nakishimba nakabudi wanafaa
@MaryamAbubakar-c2d
@MaryamAbubakar-c2d 7 ай бұрын
Wake up Tanganyika
@TabuMasanja-y5f
@TabuMasanja-y5f 7 ай бұрын
heche wewe ni onjoni schana na haso skins m heche wewe ni njembe siyo huyu msingwamgaga njaa kwanza kanisa lake Lina waumini 20, Sasa piga
@victorkisenha5933
@victorkisenha5933 7 ай бұрын
Pokea 100%
@MustaphaSeleman-z7c
@MustaphaSeleman-z7c 3 ай бұрын
Uyu jamaa anakitu
@TabuMasanja-y5f
@TabuMasanja-y5f 7 ай бұрын
heche wewe ni onjoni schana na haso skins mdingwa wagaga njaa
@BorySaronge
@BorySaronge 7 ай бұрын
Wewe umeanzisha uwekezaji upi Toka umekuwa mbunge Hadi Leo wewe ni mtu wa ajabu mambo yote unayoyazungumza hakuna hata jambo Moja ambalo unaloliongea linye tija na watu wanaokuzunguka wanasikiliza ujinga na uongo na mifano ambayo wewe ni mmoja wao maana hata wewe ulipo kuwa bungeni hakuna ulichokifanya zaidi ya kelele mlizopiga bungeni endelea kupiga kelele kama chura
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 7 ай бұрын
Usiangslie anae sema sikiliza snachokisema ni kweli au la.
@MwangaNkayagwa
@MwangaNkayagwa 7 ай бұрын
Tunahitaji viongozi Kwa ajili ya watanzania sio vongozi maslahi Kwani CDM inahitaji maslahi ya watanzania wote sio kikundi Cha watu wachache
@francismomo7067
@francismomo7067 7 ай бұрын
Ukiwa mbunge unaskliza na ktekeleza sera za chama tawala.......imagine mbunge wako wa Chama kilichoongoza miaka sitin na Zaid ameanzisha mradi gan Zaid ya Ile inayojadiliwa bungen
@francismomo7067
@francismomo7067 7 ай бұрын
Siku chama kingine ikatokea kikashika Dola,watanzania watajiuliza kwann walicheleweshwa na ccm
@francismomo7067
@francismomo7067 7 ай бұрын
Lakin Kwa uelewa wa mtanganyika itachkua miaka 50 demokrasia kukua na vyama vingine kchkua hatam....
@maspro6294
@maspro6294 7 ай бұрын
Wewe utabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa Nchi hii Mavibaraka ya mabeberu
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 7 ай бұрын
Nani kibaraka wa mabeberu kati ya Heche na aliyewapa wageni rasilimali za Nchi? Pumbavu wewe
@gangan4618
@gangan4618 7 ай бұрын
​@@sebastianmwantuge5597kwel hilo jamaa @maspro6294 halijitambui kibaraka wa madaraka-CCM.Akili zake matope yanayonuka yamtokayo baada ya kula.
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 7 ай бұрын
Ww ni kajinga kupita kiasi vibalaka ni ccm waliwapa waraabu bandari,wazungu mkawapa madini, wachina mkwapa gas
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН
Mchecheto Wa Siasa Matungu
6:20
KAMA
Рет қаралды 71
Mwanzo Mwisho Tundu Lissu Akifunguka Wilayani Itigi, Singida
38:25