Ustadh tatizo anaoa na kuacha...ndio kaka anachoepusha.... Huyo ni mzinifu
@ramamohammed43346 жыл бұрын
hyo ustadhi n mchawi tu
@ameenaoman74165 жыл бұрын
nikweli kabisa kka kweli awalikuwa wanaitaji mume tajiri kumbe binti kalidhka na maisha ya ustdhi,tamaa mbaya dunia tunapita tu tusiadaike na utajiri wa watu wengine ridhka na kutosheka kile alichokujaalia Allah.
@salhamm7427 жыл бұрын
Geah mtu mfup bhan anaraha yk huyo mm nawapenda sana haoo ustadhi mnjoo kwangu bhana
@sabihahamadi22872 жыл бұрын
Mtihani tumuachiye mungu atajibu
@sharafinaraja71024 жыл бұрын
Kuwafundisha wanawake ni mtihani mkubwa sanaa na ukimuona ostadhi ambaye anayependa kuwafundisha wanawake ujue huyo ni ostadhi ni mzinifu kwani wanawake ni mtihani sanaa
@fatwimamakungu54567 жыл бұрын
uyo kaka ni mjinga anataka dada yake aolewe na wenekazi nzuri ili wafaidike kidunia inawezekana ustadh ni mtu wadini atakua na pesa za wao kujinufaisha wao
@saumuhassan13656 жыл бұрын
Fatwima Makungu Me nahic
@ameenaoman74165 жыл бұрын
tena mjinga kwanza angalii mbele uwenda mali za mume zikawa sumu baadae kwa mdogo wake
@heyumi23402 жыл бұрын
sio mbaya kuolewa na mwanaume mwenye pesa ni suna pia kuolewa na mwanaume mwenye pesa
@marrypius576 Жыл бұрын
Yan mwanaume ameoa zaid ya mara sita alafu wew unafrahi asee akili huna😅😅😅
@leylahchesavio95514 жыл бұрын
Mmmh jaman acha mungu afany Kaz yake
@liciouscharles33703 жыл бұрын
Huyu kaka si aolewe yeye...kama ndoa raha
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
😂😂😂
@dianaernest77127 жыл бұрын
Ostaz kavutia kwake
@leiratykisura67182 жыл бұрын
Uyo sio hositandi ni kichefu chefu
@amerphone95273 жыл бұрын
Huyo ustazi mmmh atajuta
@nayigaagnes7466 жыл бұрын
Ostazi anamakosa sna kwani wadada wote watakawo mpenda atawaowa sabaki na mke wake eeeeh
wakubwa wanaon mbali binti anataka kujalib ndoa apo sio seemu yakuingia yy bint mdg ndoa ya mataka sio ya kuichzea ki mtoto t awez kukaa kwnye ndoa y matala
Ukitak wapeke yako utachelew au unda dunia yako mali zinatafutw jiuliz wazee wako walivyoowan walikuw matajir au walizitafut baad yakuw pamoj?
@wahidawahida66755 жыл бұрын
Wazazi ndo mnamakosa sio ustazi pia kwann mumlazimishe mtt kuolew ikiwa ni ridhaa yke.?
@halimaomari75895 жыл бұрын
Huyo kaka Ana tabia kama za kike, anavyoongea anajulikana ni muongo na mnafiki
@peteryukunda92393 жыл бұрын
Heee kumbe bint ana majini? Kwa hiyo huwezi kumuombea? Kweli shetwani wana kwao
@klausschmidt92887 жыл бұрын
unamchaguliaje dada yako mume?
@mnzavachris54237 жыл бұрын
aah wushbik khouya una degu wewe.,kitu lkini metisha
@pinahoscar67355 жыл бұрын
Kwa hiyo ostadh umejifanya una roho nzuri umemuonea huruma asipandishe pressure au kujiua! kha! kumbe una roho ya utu bhn😂😂😂😂
@umiy19716 жыл бұрын
Mie naona ustadh hajafanya kosa lolote hayo mambo ya picha na video ni ya kutunga kama ni kweli mbona hajaongea waziwazi Na kama alikataa mtu mfupi huko nyuma alikuwa hajapata mfupi alompenda tu .
@mariamkombo53257 жыл бұрын
raana turhaa hao hata dini imekata za kumchagulia mtu mchumba
cyo mjinga ivi iwislamu unakataza talaka jee yy huyo mkaka ni mzinifu wanawake sita loooh
@fatwimamakungu54567 жыл бұрын
ao family wajinga tena ni waisilam jina maana katka diniyetu ili ndo iwe imeswii nirazima kuwepo na ridhaa ya bint muusika sasa wao wanaradhimisha aolewe na mwanaume mwenepesa
@adambolingo80976 жыл бұрын
Fatwima Makungu uislaam jina ndio upi?
@kimzhavia26535 жыл бұрын
Awaja wataka wamuoe tatzo wazazi Wana fosi wantk masirahi kuliko utu xjui mnafeli wap 😏
@fatwimamakungu54567 жыл бұрын
dini yetu katka hadith ilizo swahihi zina sema atakapo kujieni mwanaume mchamungu na tabia njea muozeshoni sasa wanacho kifanya family awamtaki ustadh ila wao wanataka mwene pesa na kizi nzuri kwasababu ustadh ni mtu wadini wanajua awatapata fahari mtaani kwao iyo family ni wajinga sana