| HEKAYA ZA LOLIONDO | Tiba ya Babu wa Loliondo [Part 1]

  Рет қаралды 58,217

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Күн бұрын

Takriban miaka tisa iliyopita, mamilioni ya watu kutoka Afrika Mashariki walifunga safari na kuelekea hadi kijiji cha Samunge nchini Tanzania kutafuta miujiza ya uponyaji wa magonjwa aina aina. Eneo la Loliondo likageuka na kuwa sehemu iliyosifika hasa miongoni mwa Wakenya. Dawa za uponyaji ambazo wakati huo zilionekana kuwa miujuzia zilikuwa zinatolewa na mhubiri aliyestaafu kwa jina Ambilikile Mwasapile maarufu Babu. Mwishoni mwa mwaka wa 2012 zaidi ya watu milioni 6 walizuru kijiji cha Samunge, sehemu anayoishi Babu hadi wa leo. Hii leo runinga ya Citizen imeandaa makala kuhusu matukio baada ya Loliondo ambapo wengi walifariki baadaye na wengine wakizungumzia masaibu yao. Huyu hapa Jamila Mohamed na makala ya Hekaya za Loliondo.
#HekayaZaLoliondo #TibaYaLoliondo

Пікірлер: 108
@geoffreyokonda2562
@geoffreyokonda2562 5 жыл бұрын
Let people learn.....health is the greatest wealth one can have
@falkhippner9454
@falkhippner9454 5 жыл бұрын
Very True 💞
@blessedlovedandfavoured4129
@blessedlovedandfavoured4129 5 жыл бұрын
Have mercy oooh lord.. Just trust in him who lives forever... Health comes from God.. Please lets trust in Jesus.
@charlowmathew9762
@charlowmathew9762 5 жыл бұрын
Walay huyu mzee ndio mkora mkubwa kuliko wote Duniani na inabidi Iwekwe kwenye historia kama Mtu hatari zaidi duniani kwa ukora
@annastasiajackson3329
@annastasiajackson3329 5 жыл бұрын
Charlow Mathew😂😂😂😂😂
@bekathiongo359
@bekathiongo359 5 жыл бұрын
Kabisa😀🤣🤣🤣
@rumpelstiltskn5574
@rumpelstiltskn5574 5 жыл бұрын
Charlow Mathew ...a fool and his money are soon parted! 😒😏😂😂😂😂🤦🏿‍♂️ hakuna ukora hapa! Watu wengi ndio wajinga! 😂😂😂😂🙆🏿‍♂️
@yasmininder3620
@yasmininder3620 5 жыл бұрын
Kweli
@ARTCELLENCY
@ARTCELLENCY 5 жыл бұрын
Msilaumu mzee, nyinyi ndio mlipeleka kiherehere
@viviannegesh5228
@viviannegesh5228 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 exactly
@benjohnson1763
@benjohnson1763 5 жыл бұрын
😁😁😁Correct
@rumpelstiltskn5574
@rumpelstiltskn5574 5 жыл бұрын
...kuwa na huruma bana! 😂😂😂😂
@wanjiruthuni7126
@wanjiruthuni7126 5 жыл бұрын
Peter my long lost customer,nimekuona and u look Soo healthy
@happymsaki1720
@happymsaki1720 5 жыл бұрын
Watu waliacha dawa kwa kweli inasikitisha sanaaa ni UONGO wa ajabu
@kahunakorteze2763
@kahunakorteze2763 3 ай бұрын
Legend. Every year, Every generatin has their hype/narrative/scam. It is not unique to Kenya but similarly present the world over.
@eunicewairimu5015
@eunicewairimu5015 5 жыл бұрын
Nimeona naekana sacco nikajua wakenya Sana Sana wakikuyu WAliende, 👏👏🤣Africa hatukosi vituko,, babu WA loliondo biguni ataonea viusasa
@pj3497
@pj3497 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@Desamz23
@Desamz23 5 жыл бұрын
I know some who went and 2 died before they arrived.
@eunicewairimu5015
@eunicewairimu5015 5 жыл бұрын
@@Desamz23 y are u commenting u genius??! Nipe brains zako nitumie
@kahuhowanjoki7227
@kahuhowanjoki7227 5 жыл бұрын
😂😂
@faithchepkemoi473
@faithchepkemoi473 2 жыл бұрын
Wonders shall never end!!
@WairimuMuya
@WairimuMuya 5 жыл бұрын
So this man alkua anaplan kuwamaliza wah, part 2 naisubiri
@elpinarichard1884
@elpinarichard1884 5 жыл бұрын
Duh nakumbuka huko mwaka 😋
@happymsaki1720
@happymsaki1720 5 жыл бұрын
Yupo Babuuuu eeeeeheeeeh
@Geoffreynyachae
@Geoffreynyachae 5 жыл бұрын
Waiting for part two
@dylanimbili3818
@dylanimbili3818 5 жыл бұрын
uyo mzee Samunge ni mkora
@JophasJohn-oh8zu
@JophasJohn-oh8zu 7 ай бұрын
Huko ndo nyumbani
@nzamul1446
@nzamul1446 5 жыл бұрын
This is sad. I totally understand why this guys went. God help you guys thru this journey.
@rosemutinda3076
@rosemutinda3076 5 жыл бұрын
Mimi hata kama ni jirani anasema ako na tiba siwezi. Yesu alisema tuwe maskini sana na hawa watu Mat 24. I can pray for myself with faith and get healed.
@benjohnson1763
@benjohnson1763 5 жыл бұрын
Very true Rose
@wanjiruwanganga5707
@wanjiruwanganga5707 5 жыл бұрын
Woiye
@wangagirl3508
@wangagirl3508 3 ай бұрын
Nimetoka kwa citizen kuja tena kuona loliondo😂😂😂😂😂😂😂😂
@aminashabani2850
@aminashabani2850 3 жыл бұрын
Babu mshenzi sana ingekua awam ya tano angefungwa maishaa
@tatuhongeranurushaus485
@tatuhongeranurushaus485 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣magu asingemuacha salama
@makelula3240
@makelula3240 5 жыл бұрын
mzee alipata utajiri kwa kuuwa watu 🚶🚶🚶
@rehemaahamadiahmadi566
@rehemaahamadiahmadi566 5 жыл бұрын
Tusisahau kwamba Kuna mwingine katokea hapa Kenya na maiti ziko hospital walifariki Jana na wagonjwa wako hospital
@benjohnson1763
@benjohnson1763 5 жыл бұрын
Mzee hakuita mtu. Walijipeleka wenyewe na magonjwa yao
@themortonhub
@themortonhub 5 жыл бұрын
People have problems but they don't know the real problem, many have refused to go to hospitals for the fear of the worst. Some look for who to blame family members, others neighbours etc. Let not be fooled by people who play our psychology by brain washing.
@najmerry2977
@najmerry2977 5 жыл бұрын
Waja bhana binti anazikwa bembeni ya mji
@paulebby1552
@paulebby1552 5 жыл бұрын
Wanyakyusa ni wavivu sana ndo maana alitumia akili kupata hela
@vincentorina1039
@vincentorina1039 5 жыл бұрын
Makomakoooo???
@tonnynamasaka4605
@tonnynamasaka4605 5 жыл бұрын
DCI na DPP ichangamkie hii scandal 😁😁😁
@lydiaagwuma656
@lydiaagwuma656 5 жыл бұрын
Alitajirika,akajenga nyumba na rentals. Akawekewa stima na Magufuli,,nyambafu hii
@rumpelstiltskn5574
@rumpelstiltskn5574 5 жыл бұрын
Lydia Agwuma ...😂😂😂😂😂😂🙆🏿‍♂️
@FreshCreater
@FreshCreater 5 жыл бұрын
Waa
@ammbuthia2740
@ammbuthia2740 5 жыл бұрын
Mwaura 😂😂😂😂 nyumba ya mūmbi nitwethire indo
@thykingdomworld
@thykingdomworld 5 жыл бұрын
Nimeona Naekana sacco ikipeleka watu huko 😂
@felixmakinda7689
@felixmakinda7689 20 күн бұрын
@@thykingdomworldNimecheka sana 😂
@tashkariuki7652
@tashkariuki7652 5 жыл бұрын
Ngai nilikua nasikia ati huyo mzee alikua ameambiwa na mungu atakufa after kupatia watu ndawa
@Sandravalentinememusi19
@Sandravalentinememusi19 3 жыл бұрын
Na amekufa jana
@hanifajuma342
@hanifajuma342 5 жыл бұрын
Watu wengi walikufa baada ya kuenda kwa babu na kuacha dawa za ARV. hatari.
@aziondeshirazybwoy6495
@aziondeshirazybwoy6495 4 жыл бұрын
Babu kumbe bado yupo mngu ambatiki sanababu
@jamesgathaiya6450
@jamesgathaiya6450 5 жыл бұрын
Kakamega walikua wameenda kijiji mzima
@kevinondicho4952
@kevinondicho4952 5 жыл бұрын
Hahaha
@benjohnson1763
@benjohnson1763 5 жыл бұрын
😁😁😁😁
@jaynenjoroge5515
@jaynenjoroge5515 5 жыл бұрын
Hahaha na nilikuona huko kwa babu
@jamesgathaiya6450
@jamesgathaiya6450 5 жыл бұрын
@@jaynenjoroge5515 😂😂😂😂huyo babu lazima ni billionaire sasa kaa county mzima ilienda huko
@hanifajuma342
@hanifajuma342 5 жыл бұрын
Tanzania ndio usiseme nilikutana na wengi waliokua huko.
@hanifajuma342
@hanifajuma342 5 жыл бұрын
😁😁😁 watu wanapenda mababu.
@sweetmelodyintlband
@sweetmelodyintlband 4 жыл бұрын
Pesa haipatikani kwa njia ya haki
@rynelorandrichierynelorand4515
@rynelorandrichierynelorand4515 5 жыл бұрын
Everyone is desperate for cure, I mean in today's lives everyone is suffering from something you don't know so GOD help us
@qtrqmadilu6390
@qtrqmadilu6390 5 жыл бұрын
Zangu nirudishie...eeehh
@queencaren6018
@queencaren6018 5 жыл бұрын
😂 😂 😂 That mzee killed it.
@Iam_rehema
@Iam_rehema 5 жыл бұрын
People were desperate for cure.Babu took advantage of their illnesses and desperation.
@abubakarikisuju80
@abubakarikisuju80 2 жыл бұрын
Huyu mzee alikuwa tapeli sana" mpaka Rais Bush wa marekani alikuja kugonga kikombe"urithi wake wa utapeli kauchukua mwamposa
@mikechali1052
@mikechali1052 5 жыл бұрын
Kweli duniani kuna mabo
@viviannegesh5228
@viviannegesh5228 5 жыл бұрын
Kabisa
@nobaso620
@nobaso620 5 жыл бұрын
Life is one big trap
@marymaina6612
@marymaina6612 5 жыл бұрын
Inakaa mìratina
@marymaina6612
@marymaina6612 5 жыл бұрын
Kwani walikuwa wamengojeka wengi aje?
@sir_felix.
@sir_felix. 5 жыл бұрын
That babu should be arrested for scaming and putting lives at risk
@sallysarch9441
@sallysarch9441 5 жыл бұрын
Yes he is a fraudulent man
@thomasmachuma9271
@thomasmachuma9271 5 жыл бұрын
eeh hatari
@sophiatessia3914
@sophiatessia3914 5 жыл бұрын
Hako kamzee yafaa kafungwe kwenye jela
@millicentayango3879
@millicentayango3879 5 жыл бұрын
Wapumbavu hao
@reubenrubie4200
@reubenrubie4200 5 жыл бұрын
Part 2 itaekwa lini?
@brightkalan133
@brightkalan133 5 жыл бұрын
Wololo
@Sherl9
@Sherl9 5 жыл бұрын
I can feel the desperacy ya kutaka kupona. I will not throw a stone as am human and not perfect. Nobody chooses anataka kuwa mgonjwa ugonjwa gani. Lack of knowledge itatumaliza....
@salimmohamedsalim2837
@salimmohamedsalim2837 4 жыл бұрын
Mzee ww ingelikuwa awamu ya 5 ingekushughulikia ipasavyo magu ninavyo mjua
@qtrqmadilu6390
@qtrqmadilu6390 5 жыл бұрын
Mlipewa uchawi tupu
@ismailtarimo1257
@ismailtarimo1257 4 жыл бұрын
SIPENDI MAUJINGA!!
@jamesgathaiya6450
@jamesgathaiya6450 5 жыл бұрын
Loliondo my foot
@teresiakinuthia6215
@teresiakinuthia6215 5 жыл бұрын
mzee huyo bado ako hai ama ?
@mariachepkulel3467
@mariachepkulel3467 5 жыл бұрын
Life and kicking 😀
@hillarymwangi8251
@hillarymwangi8251 5 жыл бұрын
But his wife passed on.
@sallysarch9441
@sallysarch9441 5 жыл бұрын
This conman is still conning and killing people he needs to be stopped
@mcwilliesyoks6276
@mcwilliesyoks6276 5 жыл бұрын
How much were they paying for the medicine?
@CherieDeDieu
@CherieDeDieu 5 жыл бұрын
Kshs. 20,000/= per cup.
@mcwilliesyoks6276
@mcwilliesyoks6276 5 жыл бұрын
@@CherieDeDieu 😱😱😱
@frunkkiongo7209
@frunkkiongo7209 5 жыл бұрын
Kuna watu walishuhudia kupona kweli bona hawa ni kinyume?. I met a guy from Sudan and his wife confessing of recovery
@modeemojombo5662
@modeemojombo5662 4 жыл бұрын
Jirani yetu anakiri kupona HIV.
@magimagi234
@magimagi234 5 жыл бұрын
People ignore the blood of Jesus too much and run to all form of witchcraft.
@happymsaki1720
@happymsaki1720 5 жыл бұрын
Wajinga ndio waliowao ni nykti za mwisho watu walikufa mnooooooooooo
@jamilaishmail48jamilaishma2
@jamilaishmail48jamilaishma2 5 жыл бұрын
Loliondo Scam!!
@diversitychannel007
@diversitychannel007 5 жыл бұрын
If you believe this nonsense you need help! like serious help..... con of a new age!!
@rumpelstiltskn5574
@rumpelstiltskn5574 5 жыл бұрын
_Alxvndr Aleky ...no con job here, just natural selection!😂😂😂😂🤦🏿‍♂️
@sallysarch9441
@sallysarch9441 5 жыл бұрын
This guy doesn’t look like he has HIV
@Sadaamberlin8307
@Sadaamberlin8307 5 жыл бұрын
Con
@umiy1971
@umiy1971 5 жыл бұрын
UJINGA NI WENU WENYEWE , UKIAMBIWA NA WEWE JIAMBIE ...huyu babu ni muuwaji na anastahili kushtakiwa kwa kuwa ni chanzo cha maafa ya wengine
@sintoderrick6277
@sintoderrick6277 5 жыл бұрын
Wajinga ndio waliwao. Scientists spend sleepless nights and millions of dollars to come up with cures and remedies halafu mnaenda kuchemshiwa mizizi na kamzee hakajui vile virus hufanya kazi???!!!
@rumpelstiltskn5574
@rumpelstiltskn5574 5 жыл бұрын
Sinto Derrick ...wewe na scientists ndio mjinga kushinda wote! 😂😂😂🤦🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🤷🏿‍♂️
@aminattai5178
@aminattai5178 5 жыл бұрын
Kama ingekuwa muislam angekuwa na kesi ya kujibu kwa mauwaji ya watu wakati akijua sio dawa ya kiukweli,lakini ni mkirisitu ndio yamepita na kubasi story na yeye uyo mzee alipoulizwa wakambana sana vile watu wengi walifariki yeye alisema dawa hii utapona kama utakuwa na imani.from zero to hero na sasa ni tajiri mkubwa kule kwako.
@annsommer9640
@annsommer9640 5 жыл бұрын
Haijasemekana dini yake huyo ni kama mganga na mganga hana dini musipende kuingilia wakristo hivo
@benjohnson1763
@benjohnson1763 5 жыл бұрын
Mambo ya Imani na dini za watu inatokea wapi sasa?
@sureshyash4277
@sureshyash4277 5 жыл бұрын
watu wengi wanafanya sarakasi kwa jina la ukristo hio inaamana kua kuna NGUVU KATIKA YESU KRISTO hivyo wengi kujaribu kuiga mfano tu ila hawana NGUVU ZENYEWE. nabii Mohammed aliponya nani katika uislamu, alifufua nani na alipatia nani matumaini alipokua dunia hii😀😀😀😀 hivyo hamna haja ya yeyote kuiga mfano wake wala matendo yake na wanaojaribu kumuiga ni hawa terrorist wa kuua kwa jina la allah akbar. ushawai skia mtu akiua huku akisema kwa jina la yesu🙂🤔🤔🤔🤔
| HEKAYA ZA LOLIONDO | Babu asisitiza dawa ilifanya kazi [Part 2]
9:48
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 267 М.
小丑在游泳池做什么#short #angel #clown
00:13
Super Beauty team
Рет қаралды 39 МЛН
escape in roblox in real life
00:13
Kan Andrey
Рет қаралды 71 МЛН
JKLIVE 18TH SEPTEMBER 2024
44:08
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 8 М.
Huniachi  | Reuben Kigame & Sifa Voices ft  Gloria Muliro lyrics Video
5:11
Gloria Muliro Music
Рет қаралды 5 МЛН
CITIZEN NIPASHE, 18th September 2024
17:51
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 13 М.
MTOTO WA SHEIKHE (Ep 1)
22:09
Comedy Plus
Рет қаралды 104 М.
Chebet Lesan - BrightGreen Renewable Energy - 2019 Finalist for Sub-Saharan Africa
1:56
小丑在游泳池做什么#short #angel #clown
00:13
Super Beauty team
Рет қаралды 39 МЛН