hellow!!!wellcome to my official youtube channel HEMEDY CHANNEL....HERE YOU WILL SEE ALL MY MOVIES,BONGO MOVIE TANZANIAN MOVIES....THANK YOU
Пікірлер: 849
@hemedychande79562 ай бұрын
ahsanteni mashabiki zangu🙏🙏🙏🙏nawapenda sana msisahau kusubcribe hii channel ili munipe nguvu ya kuwaletea kazi nyingi zaidi😒sapport zenu ni muhimu
@CollisBill-mu3zp2 ай бұрын
Tupo pamoja kaka... Sema kaka actor wako ni wakaliii yaanii ni cute sana .. hongera
@NasmaHussein-qk2yw2 ай бұрын
Wawooo mashaallah nakusaport❤❤❤❤
@DinaKitandala2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@LovenessMichael-j9s2 ай бұрын
Nakupenda ila umezingua kubangua wakristo
@hildanyomolelo65242 ай бұрын
Tunakupenda pia tena sana kazi zako nzuri sana kaka
@DeboraConstantine-op1nt2 ай бұрын
Kazi nzur chande wanaompenda chande tujuane kwa like😂😂❤❤🎉🎉
@MariamMusa-jz6us2 ай бұрын
Jmn apunguze kukis 😢wadada kaaaa
@DamarisDammie2 ай бұрын
Any Kenyans 🇰🇪🇰🇪 in the house 🏡 lets congratulate our bro here for good job 👍 tunaikubali sana broo endelea hivyo hivyo ♥️♥️
@luluhoney46222 ай бұрын
Congrats
@MarthaMartha-tz6rl2 ай бұрын
Nko APA mkenya mwenzio yaani hizi filamu utadhani n really life kumbe kuingiza tu
@MilkaSumbati2 ай бұрын
Niko ndani ya nyumba kama kawaida naipenda sana
@alhajiFashions75632 ай бұрын
Here I am byb❤❤❤ am from mombasa
@PiliMundu2 ай бұрын
Good job I say 👏 🎉🎉🎉 mimi binafsi naenjoy
@SnappyChristine2 ай бұрын
Wa kwanza toka KENYA GEN Z mombasa nakukubali sana mr hemed chandi hauna tofauti na hemed suleiman phd big up sana mazeee
@allymwashambwa59202 ай бұрын
No , this man is so much creative as compared to Mr PHD
@paskalinapa61772 ай бұрын
Huyu chande nampenda sana❤❤ yaani kazi zake ni safi, nakuombea mungu akulinde hemedy chande🙏🙏
@Pierejr2 ай бұрын
Tunaomkubali chande like apa
@Emily-k982 ай бұрын
Eehh Hey amkeni jamaniiii watu wangu like hata kumi na maua ya DJ ❤❤❤❤🌹 🥀 🌹 🌹 🌹 🌹 🎉🎉🎉❤❤titre inaonyesha utamu wa mafunzo hapa 🎉🎉❤❤my brother thank youuuuuuuuuuu so much hujawai kuniangusha nakubali acha niketi kwa utulivu🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@ExcitedGoBoard-zm3iy2 ай бұрын
Nakubal sanaaa
@BertrandTuyikeze-ev7qx9 күн бұрын
Nakupenda hemed wang nibbling sijiamin nataman kupat mwanawum kamawew kwanza wew mzuli namustalab kama unavyo ingiza njoo ulivyo Nakupenda pia
@FatmaAbdallah-l7n2 ай бұрын
Wale wanaoangalia leo Gonga like apa❤
@JoyceElias-h7m2 ай бұрын
Napenda kuwa muigizaj wako siku moja hemedy ❤❤
@PeacePuma2 ай бұрын
Watakupiga madenda
@Ellywangu2 ай бұрын
@@PeacePuma😂😂😂😂mwambie huyu huko kuna madenda
@zuberhamza78522 ай бұрын
@@PeacePuma😅😅😅😅😅
@official_kingnabiryOg2 ай бұрын
Dah kusema ukwel Nime miss wadau wako wa pazia ❤
@Joyce-vc2dg2 ай бұрын
X harudiwi 😂😂😂 nipeni like
@Loidydaleobina7842 ай бұрын
Wa 4 leo kutoka Mozambique Msumbiji ❤❤, kazi nzuri 🤩
@MarcoAmoni-sq5doАй бұрын
wenzako wanateseka na vita ww unaangalia movie
@FredAchi-i2k2 ай бұрын
Story nzur sana pia kila muhusika amefany vuzur sana gudjob
@IssaAbdillah2 ай бұрын
Hk hii movie hta sichoki kuiangalia kweli haya hutokea Kwa wengi wetu 🎉🎉🎉,,,
@thommasemanuell43202 ай бұрын
Mepia natokea kenya nimfwatiliaji mzuri sana familiahii❤❤ nawapenda wote
@PrinceAmos-y8t2 ай бұрын
Nakubali sana chande unatoa movie nzuri sana brother ❤❤❤😂😂🎉🎉😢😢😮😮😅😅😊😊
@MwanakombomohammedKimbonja2 ай бұрын
Kuna wanaume wanafanikiwa kupitia wanawake wanao ishi nao jmni eeeehhhh ❤❤
@OmbeniRulandala-d3s29 күн бұрын
Vizur sana blo movie zako zina nigusa sana thank you my brother najifunza vingi sana kupitia wewe endelea na kazi yako nzuri utafika mbali sana blo hemedy chande 🎉🎉🎉
Nimefuatilia movie zako nyingi na nimependa sana endelea kuachia bro hemedy
@SusanWamalwa-wq2cm2 ай бұрын
Kazi nzuri kaka movie imezewa ❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪
@fatuma-fg9en2 ай бұрын
KAZI nzuri hemedy bigup Sana broo
@PatrickiGodfrey2 ай бұрын
Daah mwana umezingua ugeendeeleaaa ata
@SaheerMohd-rl9oj2 ай бұрын
Kazi nzur wee jamaa unajua san keep it bro👏
@haleemahhamisi25342 ай бұрын
Congratulations Team chande👏👏❤❤🎉🎉Asha wangu Nakupendaga 😊
@hassanisaidmdoe58392 ай бұрын
Gonga like kwangu no1
@Tikaa-x9m25 күн бұрын
Brother unajuwa love story kweliii❤❤❤
@havyarimanaemery8582 ай бұрын
Kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮 Niko nyuma yako hemedy
@EusouCapaz-s4i2 ай бұрын
Napenda sana unavyopiga kazi hongera sana my brother.
@VitaMouan2 ай бұрын
Tulio mwonah ten asha❤ tujuane 😂😂🎉
@Carloshamis2 ай бұрын
Me naomba like yako hemedy chande mwenyewe,,
@godsonmbwambo9897Ай бұрын
Imetoa mafunzo mengi hii big up... Tulio jifunza tu like apa👍
@Tikaa-x9m25 күн бұрын
Usipotoaa mwendelezo kaka itaniuma sana una kazi nzurii broo❤❤
@LovelyStandardboyАй бұрын
Nakukubali sana brother kwa kaz nzuri
@ZeinabAbdallah-d2t26 күн бұрын
Kazi mzur kka allah akutangulie kwenye kzi yko
@SuzanPaul-z9f29 күн бұрын
tupo pamoja, mwenyez mungu aendelee kukutia ngguvu🙏
@GiftEmedi2Ай бұрын
Kazi ihendelee Hamedy nazipenda movie zako zote I'm from 🇰🇪🇰🇪
@JamillahSalimuАй бұрын
🎉❤unawezah
@CollisBill-mu3zp2 ай бұрын
Nimerudiii Nyumban hii ndio kalii kuliko❤
@KipalaChampwinto2 ай бұрын
jamn mbn hamleti chombo kingine napenda san kazi zako hemedy
@Elizakilisipinilikolika19962 ай бұрын
Asante sana kwa movie nzuli sana na yenye mafunzo mazuli sana ubalikiwe sana kaka naomba mungu akulinde zaidi ili tuzidi kujifunza mengi kutoka kwako l love you baby boy ❤❤❤❤❤❤❤❤
@JullianaEmmanuel-tm5xg2 ай бұрын
Hemedy movie zako nzr sanaaaah Alf zinafundsha sana, bas tu
@Jr238022 ай бұрын
Daah bonge moja la movie yaaan unaangalia kama vile movie ya nje ya nchi kumbe ni bongo hongera Sana kwa. Kazi nzur🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@annaWanchaba2 ай бұрын
Nmeenjoy sana hii movie 🎥 Asante hemedy japo nami napenda sana kuigiza,lakin sina pakuonyesha kipajo changu
@RachelGeorge-u2l2 ай бұрын
Kazi nzuri I wish one day nitakuja kufany kaz na ww
@kidydee50442 ай бұрын
Mimi nko kenya nafatilia sana movie zako broo Mungu akizi kuzidisha walai uko vizuri sana 🔥✌️
@manhussein62332 ай бұрын
Munipe like zangu na mm
@ZephaniahSekwa-fl2go2 ай бұрын
Fungua KZbin channel 😅
@SULE.V2 ай бұрын
Mwanangu sana hemedy chande nakukubali brother.
@GraceNahash2 ай бұрын
Yaan hemedy napendaga akiwaga serious daaah kaz nzur kakaa umeupiga mwingi naombeni likes zen hat kumi❤❤❤❤🎉
@sergebagalwa7517Ай бұрын
Niko Congo ila na penda iyi kitu ndugu yangu, ubarikiwe Sana una fanya vema
@Fathma-fg3vq2 ай бұрын
Tena nizaidi ya Kali..ila hemedi..uyo ana kufaa mana ata rangi mumefanana👌
@justinjames0352 ай бұрын
Kaza buti uko vizuri sana Mungu akuongoze kwenye njia ilio sahihi
@VeronicaOtieno-u3f2 ай бұрын
Naipenda Sana wakenya wenzangu 🇰🇪🇰🇪kama ume watch nipe like tukisonga
@VerdinandMushiАй бұрын
Nakupenda Sanaa hemedy chande ❤❤❤
@Laizer-u5xАй бұрын
Daa tajir Huna baya nacheka😂😂 huku nalia😢😢 han Kam Kun kitu kimekuhudhi lazim utafrai kdgo
@BekaBoss-jl9my2 ай бұрын
Mi Mapenzi ❤❤
@JalaliHassan2 ай бұрын
Duuh huyu mwana ajawhi kutoa kazi mbovu asee😂😂 zote on fire 🔥🔥
@mnyilingatvАй бұрын
Story kali kitu HD dah huyu mwamba ni noma 🔥🔥
@LoveLoveNana-vy3se2 ай бұрын
kazi nzuri kbs muendeleye hivohivo natuna wasapoti saana kbs ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 i'm from Burundi
@Nicolassimonkanikanicolass-f9d29 күн бұрын
Unazidi kutisha sana mungu you pamoja nawe
@alhajiFashions75632 ай бұрын
Oeeeeee Chande Pokea maua yako Brother!! Much more love from mombasa 🇰🇪!! Gotea sana watu wangu wa Tanga hapo Donge ndio Home🎉🎉
@mwinyimwandugu3258Ай бұрын
Nkweli hemedy ndoa nyingi zina pitia hali kama hii kabisa big up
@AliIdrissa-uy4oi15 күн бұрын
I enjoy watching your movies bro regardless of not knowing swahili language but eager to learn through your talents. Shukran!
@AghHh-v3f2 ай бұрын
Wa 🇧🇮 tujuwane kwajiri ya Hemedi chande tunakufatiriya sana kaka ❤❤❤
@asiasalehe1832Ай бұрын
Yale makiss mwishon sasa 😂🙈🙈😍
@ChausikuMnyembe2 ай бұрын
Tuna kupenda pia una move nzuri sana
@SaidiKazungu-f8m12 күн бұрын
From Kenya nawafuatilia mko vzur I say good.
@MaysaMayamakeup2 ай бұрын
Nmeiona boys overflower kweny Tv... but movie tamu sanaa uko vzur hemed
@MkasyswallehsaidSwalleh2 ай бұрын
Team strong mupo....kz zko hua ni nzr kaka lkn fanya mpango wa part two jmni....movies tamu ila ghafla bin vuu ishaisha mackni❤❤❤❤😅😅😅😅😅
@Roth1112 ай бұрын
❤❤❤Asante chande kwa kazi nzuri munapendeza❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@skytonetz6373Ай бұрын
Kazi nzuri kaka movie inayofata scene
@uwizeyechristine27049 күн бұрын
Huyu chande tunampenda mno kutoka rwanda❤
@JanetBuruna2 ай бұрын
Kaka hemed chande,kwenye Love store nakukubali,sana❤
@leahvictory30792 ай бұрын
Napenda sana movie zako chande, endelea na moto huuhuu utafika mbali bro 💪
@ibrahimkilete71322 ай бұрын
Naanza kuangalia hii movie lakini sijui kama HEMEDI HATOPENDWA. manake yeye hemedI kila muvi anapendwa 😂. ILA ME NAMKUBALI IVO IVO🎉
@bugramsafi9873Ай бұрын
Chande wewe nijuu sana Toka kampala Uganda tuna ku feel Unakuja 🔥 zaidi kama kanumba
@MrsMariam-x2s2 ай бұрын
Kaka emedy bingap Sana upo vizuri kwenye mov zako kaka yangu nakupendaga sana uigizaji wako
@zulfayusra87472 ай бұрын
Wow Leo nmekua wa kwanza ajab💗💗💗💗
@clarisraha687116 күн бұрын
Hvi ndvo huingia kwa ndoa bada ya miez mitatu waaaah moto nakumbuka nkichapa mume wangu
@SuzanDithenya2 ай бұрын
❤❤ yeah ya nakukubali xan c unajua vile nakupenda sana aseeh. Aaaaiih🎉🎉🎉
@AminaMageme2 ай бұрын
...safi kazi nzzuli ❤❤lana ya mufalume iko muzigoni
@SubilaMelesАй бұрын
Kaz nzur chande pamoja sana
@nasraramadhani45152 ай бұрын
Wakwanza like zangu
@jaymapepefatma593626 күн бұрын
This is first love From Mozambique 🇲🇿❤💞
@AbdallahAbdallahmalilo2 ай бұрын
Hongera sana movie zako zinatufundisha sana lakinimbona unachelewa kutua movie mpya
@NaomyDancan2 ай бұрын
hongera sana kwa kazi nzuri,,,,,,be blessed🙏
@Aishybeb2 ай бұрын
Chande hauna show mbovu big up ❤🎉
@QualityHaroub-tf2ns2 ай бұрын
Chande unajuwa sana tunakupenda pia mwanetu pambana ufike mbali zaidi 🥰🥰🥰🔥🔥🔥💪
@Laizer-u5xАй бұрын
Chandeeeee kamaliza mchezo na mtoto mkaaaal daaa😢😢😂😂
@mwinyimwandugu3258Ай бұрын
nakubali bwana hemedy picha nzuri
@residominik48852 ай бұрын
U killed it bro keep running the game to beyond
@JacklineIsrael23 күн бұрын
Napenda San mov zako kaka ❤
@Janet-b8b2 ай бұрын
Nnawatch nikiwa saudia 🇸🇦 tamu kweli,keep it up bro❤
@zainabkutwaa33272 ай бұрын
Kazi nzuri yaani nimeipeda yaniraa kweda mbele kaka zagu❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@AmenaMm-r5t2 ай бұрын
Mashaallah saf san ❤❤❤❤❤ 🎉🎉🎉🎉🎉 maua yak ayo
@Timotcharagwe2 ай бұрын
Dah! Now days hauvungi kwenye kuyakamua mate
@ZubriMo2 ай бұрын
Hemedi chande unajua Sana Kaka Allah azidi kukuongoza 🔥🔥🔥🙌