hellow!!!wellcome to my official youtube channel HEMEDY CHANNEL....HERE YOU WILL SEE ALL MY MOVIES,BONGO MOVIE TANZANIAN MOVIES....THANK YOU
Пікірлер: 563
@hemedychande795611 күн бұрын
ahsanteni kwa upendo mashabiki zangu ila musisahau kusabscribe ili munipe nguvu ya kuendelea kufanya zaidi😢
@SamuelKashindi11 күн бұрын
Tupo na wewe brother
@Kentianmanirakiza11 күн бұрын
I really love u ❤️ @Hemedychande7956
@Leah-zd6xc11 күн бұрын
Gud san
@HusnaOmarry11 күн бұрын
Pamoko brother,,
@MalisaDaniel-pw7mg11 күн бұрын
Hemedi Zaman tulikua unaishi mtaa mmoja wa ndengeleko mtonganii yule kaka yako chande yuko wapii skuizi
@emilyKay813 күн бұрын
Hello guys kumekucha like zangu mniwekee na maua ya my brother weeeee mbona hamjaniita mapema jamaniiii mkoje 😊😊😊😊lakini kama ulimumis hemedy kama mimi hapa nipongeze hata like moja🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
@MATENDOKING-wz2zu13 күн бұрын
habari yako murembo
@emilyKay813 күн бұрын
Nzuri dear🎉@@MATENDOKING-wz2zu
@ELIZABETH-kp1kw13 күн бұрын
❤❤❤ Nilimiss San move yako hemedy yani haaaaah Ata sijuhi niseme nini Maan am very very happy 🌹🌹
@habi7812112 күн бұрын
✨✨✨✨
@emilyKay812 күн бұрын
@@ELIZABETH-kp1kw akovizuri walahi 💯💯💝
@AhmedAhmedkhalfan-vl8ci13 күн бұрын
Kam unamkuba hemed chande gonga like
@user-hg8cl4wr3t9 күн бұрын
Akuna anae mkuba wote tunamkubali 😁😁😁
@histepbusinesscollege6 күн бұрын
Poa kbs❤❤
@user-od2ek7cn6p13 күн бұрын
Mimi wa kwanza kutoka Congo 🇨🇩,
@emilyKay813 күн бұрын
@@user-od2ek7cn6p Asante sana
@user-wu7vz8ot5i13 күн бұрын
Mnaomkubali Ahmed Chande Like zenu hapa🎉🎉🎉❤❤
@DeboraConstantine-op1nt13 күн бұрын
Chande ,chande chande nimekuita mara tatu aseeeh nakupenda Sana movie zako nzuri na zinafundisha ❤️❤️
@fatimaidresa128312 күн бұрын
Mpende mumeo wewe
@marybusungu58511 күн бұрын
@@fatimaidresa1283😂😂nimecheka wallahy
@MATENDOKING-wz2zu13 күн бұрын
nawa penda sana mafans wa hemed chander 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😄
@IddiKalii13 күн бұрын
Hemed nakubalii sana movie zako kutak 🇰🇪
@KmbalphaniMoradj13 күн бұрын
Leo niko tano likes zangu basi ata kumi tuh from 🇨🇩 🇨🇩
@user-se1qc5mx4o13 күн бұрын
Waaooh. Nice Chande nakukubali sana aseeh c unajua vile nakupenda kinoumar yah. Aaaaaaaiiiiih ❤❤❤❤❤❤❤
@vsurprisekevin13 күн бұрын
Love from kenya for real mie shabiki wako
@JullianaEmmanuel-tm5xg13 күн бұрын
Wazaz wa hv hata hawafai kuigwa na jamii ,, kwnz kamdada kwenyewe hvyo ooh
@user-fq6vh5ks9z13 күн бұрын
Kazi nzuli san tunaapenda san kutoka Burundi 🇧🇮 ♥️ ❤
@KizengaRhandavanaMonusb13 күн бұрын
Mimi wa kwanza jameni 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 likes nazitaka
@user-do9xe1dc8i13 күн бұрын
Mtu wa kuzagazaga😂😂 npewe like from Kenya 🎉
@Winie-ht3zq13 күн бұрын
Movie nzur Cy poa chukua maua yak hemed chande 🎉🎉🎉🎉❤❤
@SUNNY-ij9to13 күн бұрын
Jmn naombeni like zangu nimekua wa kwanza
@modestajamada349613 күн бұрын
😅una taka ufanyie nn😊
@AgnesMasoud13 күн бұрын
Akikujibu niambie na mimi😅😅
@user-op9ip8om6t12 күн бұрын
😂😂😂😂😂na me
@marybusungu58511 күн бұрын
@@AgnesMasoud😂😂daah
@modestajamada34969 күн бұрын
@@AgnesMasoud 😁😁
@CharlesHelege13 күн бұрын
Chombo nimeipenda iko kwenye ubora wake
@HamidaOmar-ub4kb13 күн бұрын
Tunakupenda wote ❤❤❤
@user-wl6xx8od2m13 күн бұрын
Chande unachelewa bro ila kazi nzr Mariam Niko oman team strong tujuane
@user-pk8bp7th9e12 күн бұрын
Woyooooo
@user-ls8rn4tz5m8 күн бұрын
Tumejaa
@user-vt2bz4is7n13 күн бұрын
Nawakubali sana mungu awa tangulie 😂😂❤
@DorcasMuomba-gd3sw11 күн бұрын
Wow ahsante tunashukuru congratulations we appreciate kwa kweli nimejifunza mengi❤❤❤❤
@user-gu2yu2wp1z12 күн бұрын
Mashaallah movie iko sahihi wallah but part zengine waaaa yani tha n bc,haziitaji mtu mmoja jaman maupendo kibao snaa❤❤❤❤❤
@user-le4fj3wt4y13 күн бұрын
Waaaaoh jmn tunaomb nyingn please❤❤❤🎉
@Jonas-qg7fh13 күн бұрын
Uko vizuli Sana KK hongela san.tunakupendasanda ❤❤
@WizzBanzuli8 күн бұрын
Daah chande mii nishabiki wako kufa na kuzikana kk❤❤
@user-bc8so6tt8i12 күн бұрын
Nyie jamani nampenda sana uyu kaka🎉
@user-bm1oe9lh1m13 күн бұрын
M nimekuwa w mwisho jmni naomben like n mm😢😢...anyway more ❤from 🇰🇪
@modestajamada349613 күн бұрын
😊
@MishiMuhammadJuma-we3xt13 күн бұрын
Wapi kelele kwa hemedy chande🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤weeeeèee
@user-eq7ve8py5n12 күн бұрын
Dah mpaka naliya kweli , from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@DesireNamugenda11 күн бұрын
Frère, je suis fatigué et je te vois comme 🎉😂😂😂😂😂😂
@TumainSeleman13 күн бұрын
Dah ma kiss jamn had me naona wivu lakin hemedy why😂😂me nakupenda sio kukupend bure🥰
@user-ue8rz3om4h13 күн бұрын
Hemedy nimekukubali sana .. movie ni Kali sana
@eldajohn991813 күн бұрын
Nazielewaga sana hizi movie za jamaaa ❤❤
@AnithaIrankunda7 күн бұрын
Jamani Hemedy movie zako zoote nasipenda saana ❤Mana unatubururdisha sana
@lameckathanas751410 күн бұрын
❤daa@aaaaaaaaah huyu mtu ga store yuko vzr sana aiseeeee shabiki wa kwanza hapa 🤷
@justinendayisenga718012 күн бұрын
Chande kwa kwelii big up sana wa kwanza from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@aviboy644013 күн бұрын
Mwamba unajua sana kazi nzuri sana
@user-pr3ov3zd7q13 күн бұрын
Kazi nzur Ahmed pamoja sana 🎉🎉
@user-lt4db8df6e13 күн бұрын
Nmependa hiyo my Dad
@Ahmedbukhatir-fz2jm13 күн бұрын
Jamaa anajuw cna hanaga kazi chafu
@user-jl6xy9bm5x13 күн бұрын
Huyu mzee waovyo 🎉🎉
@VictoriaMazyai-ce4xq12 күн бұрын
😂😂😂 sanaaa
@MomadeMomade-bs2jl10 күн бұрын
Mimi ninavyo kukubali sijuwi kama kuna mwengine I like you Hemedy chande
@veroEdson8 күн бұрын
Your movies are always the bestttttt❤️❤️
@shaabanmakame916213 күн бұрын
Nakubali sana kazi ze hemedi chande
@user-rk7gx3sg1j13 күн бұрын
This is so much better. More love from kenya nakubali kazi yako bro.
@user-ix5uo6ks7j13 күн бұрын
Kazi nzuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@mejumaabaraza398913 күн бұрын
Hemed siku hizi hutupi vitu kila siku wakaa mpaka nakusahau 😂😂❤🎉
@aishaomar2287Күн бұрын
Ilibidi baba na shemeji waondoke mana walijua kutapita kivumbi 😂😂😂😂 sio makiss hayo 😊🎉🎉🎉
@user-jt3ry1ju3x13 күн бұрын
Love you guys from Burundi 🇧🇮
@sylviaomwenga874013 күн бұрын
Hemedy nilikuwa nimekumiss sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 pokea zawadi yako
@AdamuCreatif12 күн бұрын
Nakufata nikiwa Congo wewe ni Noma🇨🇩🇨🇩💪💪
@Patrickjoseph-r4r2 күн бұрын
Nakubal kaka umetisha Mungu azidi kukupa upeo mkubwa zaid na zaid,,,,aiseh utafika mbali sana kikubwa zaid endelea kutoa mafundisho haya kaka...
@SarahMuyoka-jx7ff14 сағат бұрын
Wow 👌 I like it chande pokea maua yako na aisha 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@RajabMwarabu5 күн бұрын
Unyama ni mwingi Hemedy💪
@AyshaAbeid-o1g9 күн бұрын
Anafanya vzr san hemedy mungu akupe nguvu na uendlee kufanya Kaz vzr Zaid bro
@Jacintah68113 күн бұрын
Eeeeh hii movie imefanya nkalia aki iko part 2 ikam aki❤❤
@suzyGerald13 күн бұрын
Baada ya kunitajia tu nikakimbia moja kwa moja kuiangalia namkubari sana hemedy 🥰
@FrankLuhaha-dt5sh13 күн бұрын
Congratulations for you hemedy chandeee ❤❤❤❤❤ big up sanaaa
@EsterAidanmadati13 күн бұрын
Jaman huyu dada wa kaz sasa😅😅😅😅
@PreciousAntimi13 күн бұрын
Kafanyaje bby😂
@FredyKitundu15 сағат бұрын
Kaka hemed nakukubali Sana hii move imegusa maisha yangu mpaka nimelia
@user-kz9dh6rb2p3 күн бұрын
Nakupenda sana chande napenda gisi unacheza movies mtu wangu mungu akulinde
@JamesEvarist-pz8ik4 күн бұрын
Unymaa sanaa❤❤, tumepata funzoo
@sampesa319113 күн бұрын
hii kiss ya mwisho noma sana🤣🤣
@IteritekakellyKelly12 күн бұрын
Khai 😂😂😂
@JullyanaMathiasy-nt8op13 күн бұрын
Cijawahii kukosaaa movies za chandeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@fatimaidresa128312 күн бұрын
Ujaulizwa😂
@CREEDKIDD13 күн бұрын
Aaaaaah mwenetu kl w noti yani kabla ata sija tizama movie lenyewe tayani nishanogea ❤daaaaah aiseeeeh kl w nomaaaaash❤❤❤❤❤❤❤❤
@munaali771813 күн бұрын
Hemed like the way you act I'm from Europe
@judithnyenga73277 күн бұрын
Usijali tupo pamoja sana❤
@KasriStefanoyahay-qt9ri13 күн бұрын
Upo vizuri broo Uwe natowa cinéma kwa muda maana tuna Ku miss saaaana
@user-pv5xn6vc1w12 күн бұрын
Kwa kweli chande movie zako MashaAllah 👌tule teeni nyingine InshaAllah
@dianeniyomukunzi-rr4jgКүн бұрын
Movie nzuri hemedy nik nyuma Yako tena napend kaz Yako unacheza vuzili nanusapoti sana mimi hapa kutoka Burundi 🌹🌹
@Sayd-pi5lq11 күн бұрын
Kaz mzr kaka lkn baba asha hakutenda haki mana ata yy anatarajia kusameewa kwa Allah 😢😢
@user-oj1dv7ci1v4 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤japo imenitoa machozi 🎉🎉🎉🎉🎉
@user-ot1ym4fy5o13 күн бұрын
Mashaallah hemedy FURAHA BABA❤❤❤😂
@purityrehema54311 күн бұрын
Congratulations 🎉🎉🎉bro much love from 🇰🇪 ❤
@ImaniIbrahim-rt2js13 күн бұрын
Oya mwanangu hemedy umetisha kinyama nyama yani ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@phinaNdunguru-yz7sc13 күн бұрын
Nakukubali brother chande huna baya❤❤❤❤
@aishaabdirahman538413 күн бұрын
Me nilijikuta na cheka kama kichaa nimeipend hii baraaa❤😊
@ZalhaMustapha-yj4os9 күн бұрын
Ctak kuongea k2 Zaid ya kusema hujawah kukosea kwenye mov zako❤️❤️❤️❤️❤️
@EmmanuelMulenga-bc7bj10 күн бұрын
wimbo mukali nani kalielewa ilo gonga like kama umekasikia vizuli guys🎉🎉
@user-kc5cl6hs9f13 күн бұрын
Nakkubali bro chande mm ni shabiki wko kutoka kenya naangali muvie zko nikiwa gulf am team strong ❤❤❤lady z,k.
@JullianaEmmanuel-tm5xg13 күн бұрын
Movie nzr sanaaaah, imetulia
@user-sb7pe9gk2f13 күн бұрын
Pamoja sana chande kazi nzuri usichele kuleta nyingine😊❤
@ZalhatyMariale11 күн бұрын
Always uko poaa Actor c fans tupoo Tunazid kukuombea na Kaz zako piaa
@EdsonManuelRafael13 күн бұрын
Nawakubali sana wanangu 👍 Beleza meus tropas 🫡
@user-ii1sk2cn4q13 күн бұрын
❤
@CalmPoppyFlowers-qo6of8 күн бұрын
Congrats kwa movie zko...keep glowing boy..
@ManaiNdembi7 күн бұрын
❤❤❤ww ni mwamba kwa sasa hamna anaekufikia kwenye movie au ndo umepewa mikoba ya Steven kanumba wazee tumsapotini mshikaji sabuscrab na kusheir Ili aendelee kutupa vizur zaidi
@aminakatana872113 күн бұрын
Walah mtoto wa kiume nakupenda tu bure chande from kenyan
@Victoriambalangu6 күн бұрын
Chande unamovie nzuri mnoo ❤❤ na zinafundisha San San an
@sadikijustin-bf4rc11 күн бұрын
Big up bro god bless you 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@Kavulajuma55 күн бұрын
Uko vizur sana hemedy
@Elossbproflash11 күн бұрын
Iyi nikali sana m paka lipenitowa chozi bro
@majabiali97310 күн бұрын
😂😂😂😂😂chawa tena nimechekaa kwa. Sauti😂😂😂🎉🎉🎉
@MwanamisiHassan-xh5fn13 күн бұрын
Pole sana dada kwekweli umeumia❤❤😂😂😂
@PreciousAntimi13 күн бұрын
Sana🥹
@annabahati494013 күн бұрын
Hemedy nimependa sn haki ww ndio kwanaume mkamilifu❤
@5googleuuu72712 күн бұрын
Congratulations my brother. Bonge la filam. Nainjoiy. Najifunza vitu vingi mno. Ubarikiwe sana
@AishaMajala12 күн бұрын
Team strong 💪 tujuane kwa chooni😂
@user-sz7fj6ll5y12 күн бұрын
Chooni veepe nakaa apo namwarab ananiona natizama😂😂😂
@mvinyo998 күн бұрын
Hemed anatoaga hits movie znamafunzo sana aseee big up sana Sasa inabid uwe unatoa kama episode itakuwa poa sana
@Hassansadick-pv7tb12 күн бұрын
unajuwa sana naunawatu wanaojuwa brooo tuko pa1
@ashamwanganzi640012 күн бұрын
Wow yaan hunaga mbambamba aisei much love you guys wallah❤❤❤❤❤
@AdeltrudaKimizye12 күн бұрын
Dah haki ya Mungu Hemedy we nouma sanaa napenda vitu vyako unavyotupa & I like u ❤️❤️❤️❤️