Рет қаралды 45,390
Magoli mawili kutoka kwa Opah Clement na moja la kujifunga kupitia kwa Yawa Konou yameipa timu ya taifa ya wanawake #TwigaStars ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Togo, katika mchezo wa mkondo wa kwanza kuwania kufuzu AFCON kwa wanawake #WAFCON2024 .
Mechi imepigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.