Mungu akubariki kaka Mungu aendelee kukutunza umeongea kitu ambacho wafugaji wengi huwa hawakiongei baadhi ya wafugaji wengi huwa hawasemi ukweli pindi mtu anapotaka Ushauri juu ya ufugaji wa kuku wa mayai huwa ni waoga kuona mtu mwingine anafanikiwa kama wao ni wabinafsi sanasana Mimi nitakutafuta nakuomba unishike mkono natamani kufuga kuku wa mayai ila sijapata mwongozo stahili nitakupigia sim tuongee zai mungu azidi kukuinuwa zaidi ya hapo ninaamini kuku ni utajiri mkubwa sana kama unaenda kwa misingi ya kuku wanavyotaka
@EnthusiasticJaguar-ej2du2 ай бұрын
Nataman kufuga kuku wa mayai ila muongozo sina
@TheresiaLulenga9 күн бұрын
Kazi njema
@zaudolutambi98954 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka kuna baaz ya wafugaj wanakatisha tamaa
@Hansi-x8f3 ай бұрын
Nakubali Sana good idea umetupa
@DOROTHEAHAROLD-gt7di Жыл бұрын
So interesting
@rahurselektor985027 күн бұрын
Assante sana Ata ivi Rwanda ndoo Hivo kbsa Kuku 500 kuzikuza mpaka zifike kwa kutaga ni million 4
kaka kuku 100 wa mayai wanahitaji banda lenye ukubwa gn?
@raphaelmtui8 ай бұрын
Weka namba yako hapa utapigiwa na mtaalamu
@joyceamos81366 ай бұрын
Si mtuambie hapa kila mtu ajue jaman?
@joyceamos81366 ай бұрын
Alafu mbona mmeanzia ela kubwa hivyo mpk mtu anaogopa kuanza kufuga? Mamilion yote hiyo mmmh
@raphaelmtui6 ай бұрын
0688129292 Anaitwa Mwl Harold
@leoninga-y8i2 ай бұрын
Naomba namba yako ya simu
@SaharaAbdi-m4f27 күн бұрын
Abari kaka naeza zipata kuku hizo Niko kitale
@lucyathumani81819 ай бұрын
Natamani kweli tatizo mtaji
@AnnajacksonJacksoni Жыл бұрын
Asanteni
@InnocentJoseph-j7d7 ай бұрын
Kaka kwenye hilo bado unafanyeje usafi
@raphaelmtui7 ай бұрын
Piga simu namba zipo hapo kwenye video utafundishwa bure. Somo muhimu sana hilo.
@ruwaydaversi98258 ай бұрын
Thanks
@raymondsambaa6687Ай бұрын
Wanaanza kutaga wakiwa na umri gani
@RoseMbwana6 ай бұрын
Mtaji wa 300000 unapata kuku wangap
@ShabaniSudi-d1x2 ай бұрын
Jibu swali acha kutoa maelezo
@stanastana3199Ай бұрын
😂😂😂
@AmaniJofrey-ok2qzАй бұрын
Naomba namba yako kaka please
@MaryKasaine-us6fo6 ай бұрын
Niko arusha nahitaji fundi wa kunijengea banda zuri nianze ufugaji wa kuku
@raphaelmtui6 ай бұрын
Pigia hiyo namba iliyooneshwa kwenye video
@bonifacemollel873 ай бұрын
Sio kweli kabisa eti kuku anataga mayai kilasiku ndani ya mwaka moja
@kananiomwamirwenyagira83743 ай бұрын
Endelea kujifunza ukisema kwa sauti utachekwa..kaa na mfugaji akufundishe
@HaroldUkason-cs3jk3 ай бұрын
Sikiliza vizuri maelezo na uyarudie tena. Amesema kuku WANATAGA kila siku kwa miaka miwili na sio ANATAGA maana yake hakuna siku utaingia bandani ukose mayai ndani ya miaka miwili. Kuku mmoja wa mayai aliyelelewa vizuri anaweza kuacha kutaga mara moja tu kwa wiki. Pia kuna sehemu amesema wanaweza KUKATA au KUACHA kutaga kwa sababu mbalimbali. Fanya utafiti vizuri mpendwa.
@bonifacemollel873 ай бұрын
Sawa kaka @@HaroldUkason-cs3jk
@NeemaBaletse2 ай бұрын
Naomba bajeti ya kuku 100 kuanzia tokea ninapoanza mpaka wnapoanza kutaga
@MadamOrida4 ай бұрын
Naomba namba zako kaka
@raphaelmtui4 ай бұрын
0688129292 namba za huyo mfugaji
@peterkalistopeter13962 ай бұрын
Kuku wa mayai hawalipi
@Amazing-xk3hj2 ай бұрын
Wanalipa ila faida utaiona baadae
@alexntahiraja29744 ай бұрын
Jamani neno uaminifu ni mtaji lisiwapite. Wapo matajiri wengi ambao wana pesa na hawapati watu wa kuwaamini.
@raphaelmtui4 ай бұрын
Tumelitaja kwa uzuri kabisa Bwana Alex.
@josephkiwale3743 ай бұрын
Upo sahihi kiongz
@Josephine-x9o4 ай бұрын
Million 7 za TZ ni pesa gapi kenya
@dicksonmutungi73674 ай бұрын
368,000 Kshs
@jifunzemengi16204 ай бұрын
Ingia google andika tsh to ksh
@barakamutabazi28242 ай бұрын
Kazi nzuri. m.kzbin.info/www/bejne/oYCraGCniJmerrc