Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300

  Рет қаралды 293,655

Changamkia Fursa

Changamkia Fursa

3 жыл бұрын

Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300 ‪@changamkiafursa‬
Katika mfululizo wa vipindi vyetu vya ufugaji wa kuku hapa changamkiafursa, tunahitaji kumuinua mfugaji wa kuku wa kienyeji aache kufuga kuku kwa mazoea na aanze kufuga kuku wa kienyeji kibiashara.
Ili ufuge kuku wa kienyeji kibiashara unatakiwa kuwa na makoo yasiyopungua 250 na sio rahisi kwa Wafugaji wa kuku wa kienyeji kuwa na mtaji mkubwa kiasi hicho.
Sehemu 1: • NJIA RAHISI YA KUPATA ...
Sasa ili kulikamilisha hilo mfugaji anapaswa kuwa na uwezo wa kuzalisha vifaranga wengi wa kienyeji kwa pamoja, ambavyo vitampa mfugaji hamasa ya kuweka nguvu kubwa kwenye uleaji vifaranga kitu ambacho kitachangia ongezeko kubwa la idadi ya kuku wa kienyeji na kuleta tija kibiashara.
Kufanikisha zoezi hili mfugaji anapaswa kuandaa vitu vifuatavyo:-
1. Banda bora na litakalo endana na idadi ya kuku anaohitaji kufuga.
2. Makoo na jogoo (Makoo ni kuku ambao wametaga angalau mara moja). Makoo watasaidia kupunguza muda wa kusubiri ili kuliona yai la kwanza.
3. Vifaa vya maji, chakula na Chumba maalumu cha kulelea vifaranga
4. Makasha au box la kutunzia mayai
5. Elimu ya ufugaji bora wa kuku, itasaidia kutatua changamoto mbalimbali za mradi wako
Baada ya kukamilisha maandalizi hayo, sasa twende tukaanze kuzihesabu hatua za awali za kufata ili kukusanya vifaranga wengi kwa pamoja na baadae uleaji wa hao vifaranga watakaokuwa kuku wa baadae.

Пікірлер: 182
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
*OFA OFA OFA KWA WANACHANGAMKIA FURSA* TUFUGE KUKU WA KIENYEJI ni kitabu (Pdf) cha Muongozo wa ufugaji wa kuku wa kienyeji utakao kupa mwanga wa kufuga kuku wa kienyeji kwa mafanikio kwa kukupa mbinu za namna gani ya kuzuia Magonjwa na kupunguza gharama za uendeshaji wa mradi wako. Sasa pdf inapatikana kwa punguzo la 20%, jipatie nakala yako hiyo kwa kubonyeza link na fata maelekezo. wa.me/message/XOAG2ZZZDYA6J1
@prettyh7509
@prettyh7509 3 жыл бұрын
Na je nikiamua kununua vifaranga wa kienyej 500 sitofika huko kweli
@sikujuwabackari3554
@sikujuwabackari3554 Жыл бұрын
nashukuru kuwapata kuajili ya ufugaji kuku wa kienyeji , mimi naishi Burundi itakuwaje kuusu iyo pesa
@hildaayoo6853
@hildaayoo6853 3 жыл бұрын
Nashukuru. Swali langu ni, vifaranga vinavyo zaliwa na majogoo hao, watadonwa tena na hao majogoo au itabidi kununua majogoo wengine?
@sherallysherally1203
@sherallysherally1203 3 жыл бұрын
Big up BROTHER. Nimeathiriwa na juhudi zako. Keep it up👍💪👍💪
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante sana kiongozi
@jamesmwinyi2200
@jamesmwinyi2200 2 жыл бұрын
Nakuku wangu Wana mafia xana hatahivyo nimeumia dawa nyingi lakini xijaona hali haibadiriki nifanyaje
@monikamonika4156
@monikamonika4156 3 жыл бұрын
Alafu tena akiinuliwa na Mungu asimame urausi aitwe mwinzi keep up bro
@davidmaina518
@davidmaina518 3 жыл бұрын
Nimependa sana Somo hili nitajaribu nianze na kuku kumi kike 8 kiume 2
@davidmaina518
@davidmaina518 3 жыл бұрын
Shukran solo tayari
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Vizuri sana, ukiwa na nia thabiti utaweza
@ahamadimbendela9520
@ahamadimbendela9520 Жыл бұрын
Mimi ninaomba vifaranga vya kuku vya kienyeji 100 ninaishi Nachingwes mkoani Lindi
@ibrahimkhamis6212
@ibrahimkhamis6212 Жыл бұрын
Habari nimekutumia pesa ktk tigo pesa karibu week lakini hakuna mrejesho
@KhalidKhan-ud9cz
@KhalidKhan-ud9cz 6 ай бұрын
Mzuri Sana kweli kuku
@user-jr2hs3hh5f
@user-jr2hs3hh5f 4 ай бұрын
Ni elimu nzuri ya ukombozi na ujenzi wa afya njema .
@user-fq6yh2ej4v
@user-fq6yh2ej4v Ай бұрын
Asante nitafatilia
@user-jn7pi4fl5m
@user-jn7pi4fl5m 2 жыл бұрын
Mashallah
@user-em7dw3li4d
@user-em7dw3li4d 3 ай бұрын
Safi sana
@paulmasele9878
@paulmasele9878 2 жыл бұрын
Nice for the good memory
@calebjuma1633
@calebjuma1633 2 жыл бұрын
Good work bro
@shantiMickel
@shantiMickel Ай бұрын
Congration ❤❤👏👏👏👏😮😮😂😂😂
@shidaneent2722
@shidaneent2722 2 жыл бұрын
Asante kwa elimu yako kaka na hongera kwa kazi nzuri unaofanya na mungu abariki kazi zetu.
@CheerfulDominoes-xy6gh
@CheerfulDominoes-xy6gh 24 күн бұрын
Chanjo hii inapatikana Zanzibar
@jairosgreyson3268
@jairosgreyson3268 2 жыл бұрын
Asante sana
@asiachale2296
@asiachale2296 2 жыл бұрын
,Asante sana
@roselusenaka7548
@roselusenaka7548 3 жыл бұрын
Ahsante sana kwa kutuelimisha.
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Tuko pamoja
@user-ni4ji5kp4e
@user-ni4ji5kp4e 2 жыл бұрын
Masha allah
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
🤲
@benjaminmashimba8471
@benjaminmashimba8471 2 жыл бұрын
Napenda kufuga npo mwanza kwimba napataje vifaranga
@postemvullah7140
@postemvullah7140 3 жыл бұрын
elimu nzuri sana...Hongereni🙌🙌🙌
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante sana
@mudriqtv8120
@mudriqtv8120 3 жыл бұрын
hivi nauliza nikinunua kuku wakubwa kipi cha kwanza kuwafanyia bro
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Wape antibiotics kwa siku 7 kisha wape chanjo ya kideri
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 3 жыл бұрын
@@changamkiafursa napenda sana kufuga ila nko mbali asante kwa mafunzo yako nikirud hii kaz lazma nifanye
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Karibu Tanzania, Karibu Nyumbani 🇹🇿
@daniellalashe623
@daniellalashe623 2 жыл бұрын
Son oak zur San ks being ya kifrng mwenyew miez mitatu
@domcityfarmingcenter7754
@domcityfarmingcenter7754 3 жыл бұрын
Somo zuri sana shukrani
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Unakarishwa
@mariakimiti4069
@mariakimiti4069 9 ай бұрын
Jogoo na tetea wanapaswa kua umri mmoja?
@redempterangayia9910
@redempterangayia9910 2 жыл бұрын
Nikitaka vifaranga kama hamusini na weza kupata.
@bahatinadzua-jn2if
@bahatinadzua-jn2if Жыл бұрын
Nipeee maarifa n mm nko n hamu ya kuanz
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 3 жыл бұрын
Ungefuga kanga ndo ungeona ubora wake kwasbb wanataga sana
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante kwa ushauri
@farajaandrew7081
@farajaandrew7081 2 жыл бұрын
Mimi nataka kujiunga kwenye darasa na video ndo naiona Leo kwani ndo nataka kuanza ufugaji. Utanisaidiaje?
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 3 жыл бұрын
Hongera sana' najifunza kitu
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Endelea kujifunza
@MKULIMASMART
@MKULIMASMART 3 жыл бұрын
Safi Sana.Tulimiss vipindi
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Tuko pamoja kwa mara nyingine
@maryamsalim3233
@maryamsalim3233 3 жыл бұрын
Hujambo kuku wangu wanasinzia tu hawataki kula sijuia nifanye nn
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Hao wanaumwa ila maelezo hayaonyeshi ni ugonjwa gani
@neemapeter4572
@neemapeter4572 2 жыл бұрын
Jamani nilianza kufuga, tatizo Ni wizi, wameniibia.... Nifanyaje....wamevunja mlango.
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Pole sana
@AnethEdward-nf6sc
@AnethEdward-nf6sc Ай бұрын
Fuga mbwa
@LeticiaShoka-me2wq
@LeticiaShoka-me2wq Ай бұрын
Uko wapi nahitaji makoo
@eunicepeter6249
@eunicepeter6249 3 жыл бұрын
Kwa usafi unafagiaga kila siku? Na dawa ya viroboto unamwaga after how many days?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Huwa inachukua takriban mwezi 1-2
@kanijosauli5879
@kanijosauli5879 3 жыл бұрын
piga kazi kijaaaaaan♥️❣️❣️♥️💘❣️❣️💟💯💗💗💖💜🤎🤎💞
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Hakuna kukata tamaa
@jackurio9848
@jackurio9848 Жыл бұрын
Umenitia moyo sana ni chakula gani unawalisha?
@shilungumoshi3732
@shilungumoshi3732 3 жыл бұрын
Nahitaji kufahamu vifaranga na Kuku ni vyema kulala pamoja?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Wakiwa chini ya miezi 2, watenge na kuku wakubwa
@mikaayo336
@mikaayo336 3 жыл бұрын
Darasa zuri sana
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Tuko pamoja
@mamakesharlyne956
@mamakesharlyne956 3 жыл бұрын
Kazi nzur kaka
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante
@albertpatrick7213
@albertpatrick7213 3 жыл бұрын
Good
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Thanks
@saidimgawe6548
@saidimgawe6548 9 ай бұрын
habar
@salhamtongole5015
@salhamtongole5015 2 жыл бұрын
Wanapendeza wenyewe
@tukaeamani7090
@tukaeamani7090 3 жыл бұрын
Mimi nilijiunga tayari kwako, kwasasa sina smartphone, naomba kupata elimu je nikifuga kuku bloiler 200 wanatumia chakula mifuko mingapi hadi wanapofikia kupelekwa sokoni
@salmaally1601
@salmaally1601 3 жыл бұрын
Nimependa
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Pamoja sana
@mlandagodfrey121
@mlandagodfrey121 2 жыл бұрын
Hivi KUTUMIA Maker pen kuandikia tarehe kwenye mayai hakuna MADHARA???
@geraldpallangyo7726
@geraldpallangyo7726 3 жыл бұрын
Kweli ni kazi mzuri
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Karibu, uichangamkie fursa ya ufugaji
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Karibu, uichangamkie fursa ya ufugaji
@silaschengo4863
@silaschengo4863 3 жыл бұрын
Fresh
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Pamoja
@mlandagodfrey121
@mlandagodfrey121 3 жыл бұрын
Na je baada ya kutolewa vifaranga Kama watakuwa wamepishana may siku 5 vipi unaweza kuwapa chanjo kwa siku moja?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Ndio
@JofreyJofreymtulo
@JofreyJofreymtulo Жыл бұрын
Ok ss naomba niulze
@mamyomar1241
@mamyomar1241 3 жыл бұрын
Mh ni vizuri Sana , lakini huko kwetu ni mtihani labda ulale nao. Unaweza kufa pressure ukiamka asubuhi kuku hawapo
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Poleni sana
@mamyomar1241
@mamyomar1241 3 жыл бұрын
Shukran, natamani Sana hiyo kazi. Lakini nilifikiria wanaiba ng'ombe ni mkubwa he kuku watakaa salama. Na kila siku ukisikiliA mawio . Mbuzi, kuku na ng'ombe wameibiwa . Kweli utaweza kufanya hiyo biashara.
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Inakuwa ngumu
@brightmshomi1544
@brightmshomi1544 3 жыл бұрын
Mbona ujaelezea njanjo au dawa we ujawapa dawa yoyote
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Chanjo inafata
@sources5462
@sources5462 2 жыл бұрын
Unamjuaje kuku anaetaka kuatamia?
@salumumngawa8641
@salumumngawa8641 3 жыл бұрын
Je kuku wakienyeje joogoo akiwa bandan uwezo wa kupanda mdogo nikweli?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Imewahi kunitokea kipindi flani
@ramayasly4584
@ramayasly4584 3 жыл бұрын
Tuko pamoja bro
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante sana
@jameskabalega6003
@jameskabalega6003 3 жыл бұрын
Nahitaji vifaranga Wa kuloiler 250
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Tuwasiliane: 0620440863
@prettyh7509
@prettyh7509 3 жыл бұрын
Mi natamani kufika huko lakini eneo langu ni dogo
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Pambana ulikidhi eneo lako
@estherkenya686
@estherkenya686 3 жыл бұрын
Am in Kenya...how do i join the class?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
What's app 0752209073
@remenallan2223
@remenallan2223 3 жыл бұрын
@asante itakuwa sangap muda wa Tanzania
@guershommwanao
@guershommwanao 8 ай бұрын
Nini ina itwa makoo
@PaulinaFayu-tc2uu
@PaulinaFayu-tc2uu 8 ай бұрын
No
@catholicvibemusic3151
@catholicvibemusic3151 3 жыл бұрын
Jamani hivyo vifaranga vinaishije pamoja na Wakubwa wa kwangu wanapigana sana wana wapiga wadogo
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Wangu wanaishi kama familia. Huwa naacha pamoja vifaranga wakifikisha wiki 6-8
@JACKOB724
@JACKOB724 3 жыл бұрын
Unawapa chakula gani mkuu
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Nachanganya concentrate na pumba
@saidimgawe6548
@saidimgawe6548 9 ай бұрын
naomba number yak
@haseanatnsanya2079
@haseanatnsanya2079 2 жыл бұрын
KAKA HONGERA SANA KWA KAZ ZAKO NIME-FUHI SANA KAZ NINZUR
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Asante sana
@filbertnolasco2277
@filbertnolasco2277 3 ай бұрын
Mm naomba mnisaidie hatua za kufuata ili kutotoresha vifaranga kwa njia ya kienyeji (bila mashine) na bila kuku wa kulalia
@lulumutayoba2063
@lulumutayoba2063 3 ай бұрын
Angalia youtube channels zipo nyingi wanatotolesha kwa mwanga wa jua na bulb but si kazi rahisi lazima uwepo muda wote.Kama unaanza ni heri utotoleshe au uache walalie
@badraboaz7702
@badraboaz7702 2 жыл бұрын
Habar nahitaji kuwa mwanafunzi wako khs ufugaji wa kuku kaka
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Karibu sana
@alikiba9960
@alikiba9960 3 жыл бұрын
Naulizaje vipi chakula una walisha wishwa pekee. Unanunia wishwa mtamboni ama una nunia chakula Cha dukani?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Nachanganya concentrate na pumba
@azardboniphace2205
@azardboniphace2205 3 жыл бұрын
Kuku wa kianyeji anakua miezi mingapii
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Kufikia kutaga miezi 7
@hhhghyghgg8640
@hhhghyghgg8640 3 жыл бұрын
Uko pande gn ntaka kuku 20
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Kisarawe Pwani
@nasibuuisso7139
@nasibuuisso7139 3 жыл бұрын
Nita wapataje wasapu
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
0752209073
@aloysfussi3900
@aloysfussi3900 3 жыл бұрын
Elimu nzuriiiiiiiii
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante sana
@saidabdallah3737
@saidabdallah3737 3 жыл бұрын
🐔🐔🐔👍👍
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante kiongozi 💪
@evarlynekarani5202
@evarlynekarani5202 2 жыл бұрын
Unatumia nini
@japhetkatulebe9729
@japhetkatulebe9729 2 жыл бұрын
Kuku Wa mayai, ukiwachanganya na majogoo, wanaweza kupandwa?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Ndio
@isdorchuvu6280
@isdorchuvu6280 3 жыл бұрын
Mimi ni mfugaji pia nilikua sijui kuwa yai likizidi siku 14 halifai kuatamiwa ,kuku wangu walikua wanataga mayai 15 na zaidi wanaatamia lakini walikua wanatotoa nusu ya hayo mayai mengine yanakuwa yameharibika ,lakini namshukuru Mungu wazo lilinijia kwamba niwe nayapunguza mayai ya mwanzo ,sasa hivi wanatotoa yote au wanaacha moja au mawili .kwa hiyo sasa ndo nafahamu kuwa yai halitakiwi kuzidi siku 14 ,thank you.
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Pamoja sana
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 3 жыл бұрын
Mimi najua 7 dys..yote yanatotolewa
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Kama unatotolesha kwenye mashine
@zainabushabani7309
@zainabushabani7309 2 жыл бұрын
@@changamkiafursa kwa dar es salam mashine za kulipia ntotoeshe mayai zko wap
@azardboniphace2205
@azardboniphace2205 3 жыл бұрын
Kuku wa kianyeji anakua miezi mingapii, naomba namba ya simu ya group
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Nicheki 0656528455
@albertpatrick7213
@albertpatrick7213 3 жыл бұрын
7
@malifedhaluponya5995
@malifedhaluponya5995 Жыл бұрын
@@changamkiafursa hodi mkuu
@Mswanotv
@Mswanotv 3 жыл бұрын
Je Kama Nina incubator Kuna shida? Ili nisitumie kuku kutotoa
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Hakuna shida
@samuelmwangi4878
@samuelmwangi4878 Жыл бұрын
Makoo ni nini?
@erneuskawanila6506
@erneuskawanila6506 3 ай бұрын
Ni matetea au kuku majike
@deolemale2749
@deolemale2749 2 жыл бұрын
.pp
@jacobdeogratius7673
@jacobdeogratius7673 3 жыл бұрын
Hapo nitamjuaje kuku anaetaka kuatamia au nawachukua mtetea alieanza kutaga kitambo ndo namwekea mayai?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Kuku ambaye anataka kuatamia huwa anang'ang'ania kiotani, hata akikaa siku nzima haupati yai
@hadlightabisai6533
@hadlightabisai6533 3 жыл бұрын
Nilifuga kuku lakini baadaye zilikufa zote na sikujua shida ilikua gani.tafadhali naomba niambie siri ni gani na dawa ya kupea vifaranga ni gani nimefurahia kutazama video yako
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Karibu darasani kiongozi, utajifunza mengi. What's app 0752209073
@malifedhaluponya5995
@malifedhaluponya5995 Жыл бұрын
@@changamkiafursa nakubali kazi yako natamani kufikia malengo ila nafeli katika kulea vifalanga
@HappyFarmUrbanPermaculture
@HappyFarmUrbanPermaculture 2 жыл бұрын
Are these improved or real kienyeji ?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Real kienyeji
@HappyFarmUrbanPermaculture
@HappyFarmUrbanPermaculture 2 жыл бұрын
@@changamkiafursa mmh. Do you deliver in Kenya. Am sourcing for one high quality huge kienyeji jogoo for meat birds. With good weight and taste
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
No delivery in Kenya
@mathiasjohn193
@mathiasjohn193 3 жыл бұрын
Na mm pia nafuga kuku wangu WA kienyeji
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Hongera, vipi unaonaje ufugaji wa kuku wa kienyeji
@mathiasjohn193
@mathiasjohn193 3 жыл бұрын
@@changamkiafursa Nina kuku WA nne weme totoa Je dawa Ya vifaranga ni ipi
@mathiasjohn193
@mathiasjohn193 3 жыл бұрын
Na nipo Katoro mkoa WA Geita
@rukiamohamed2691
@rukiamohamed2691 2 жыл бұрын
Nipo kenya nataka kujiunga na group lenu nifnyeje?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Karibu sana
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Tuwasiliane kupitia what's app 0752209073 nitakupa maelekezo
@mimimoop2617
@mimimoop2617 3 жыл бұрын
Nahitaji Namie nifuge
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Karibu kwenye ufugaji
@vedastamalekela8711
@vedastamalekela8711 Жыл бұрын
@@changamkiafursa naomba niwe mwagrop
@eden191
@eden191 Жыл бұрын
Upo wapi ndugu
@ahamadimbendela9520
@ahamadimbendela9520 2 жыл бұрын
Mimi ninashida ya mayai ya kuku wa kienyeji kuanzia mayai 50 na zaidi nayapataje tafadhali
@japhetkatulebe9729
@japhetkatulebe9729 2 жыл бұрын
Kuku Wa kienyeji yanaweza kutaga mayai 2 kwa siku?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Haiwezekani kwa kuku yeyote yule
@japhetkatulebe9729
@japhetkatulebe9729 2 жыл бұрын
Leo nimeshangazwa na kuku wangu, ametaga mayai mawili kwa Mara moja
@mbaroukmuhamed2156
@mbaroukmuhamed2156 2 жыл бұрын
Dah mimi nna changa moto ya wizi wananiibia kuku wangu😭😭
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Pole sana kiongozi
@karamashariffal-baar9424
@karamashariffal-baar9424 2 жыл бұрын
nimeanza ufugaji lkn wanakula sana jee kuna chakula mbadala ili kupunguza gharama maana hao nilonao wanakula kiroba cha kilo hamsini kwa siku nne?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Unawapa mwenyewe wao hawawezi kuingia stoo kuchukua chakua. Kuku wanatakiwa kupiwa, usipo wapimia watakufilisi
@karamashariffal-baar9424
@karamashariffal-baar9424 2 жыл бұрын
@@changamkiafursa kwani kwa siku nzima wanatakiwa wale mara ngapi? samahani kwa usumbufu
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Marambili na inategemea wako wa ngapi
@karamashariffal-baar9424
@karamashariffal-baar9424 2 жыл бұрын
kama 70
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Wana umri gani?
@PaulinaFayu-tc2uu
@PaulinaFayu-tc2uu 8 ай бұрын
No
Jinsi ya Kutunza Vifaranga vya Kuku wa Kienyeji
8:19
Changamkia Fursa
Рет қаралды 234 М.
How to make incubator at home
11:58
Pets Life TV
Рет қаралды 10 МЛН
Cat Corn?! 🙀 #cat #cute #catlover
00:54
Stocat
Рет қаралды 16 МЛН
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
00:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 7 МЛН
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 39 МЛН
Kuroiler Wanataga Mapema, Mayai 260 na Uzito wa Kilo 5
8:14
Changamkia Fursa
Рет қаралды 35 М.
JINSI YA KUANZA UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI (HISTORIA YANGU)
12:54
Changamkia Fursa
Рет қаралды 37 М.
TENGENEZA FAIDA ZAIDI YA TSH 450,000/= KWAKUFUGA KUKU 75 TUU.
12:22
NJIA  RAHISI YA KUPATA VIFARANGA WENGI WA KIENYEJI UKIANZA NA KUKU WA 5
10:53
NILIANZA NA KUKU 50 WA KIENYEJI  SASA NINAUZA VIFARANGA 2500 KILA WIKI
12:12
Cat Corn?! 🙀 #cat #cute #catlover
00:54
Stocat
Рет қаралды 16 МЛН