HII HAPA || KAULI NZITO YA MANSOUR YUSSUF HIMID KASKAZINI UNGUJA

  Рет қаралды 13,179

ACT Wazalendo Digital

ACT Wazalendo Digital

Күн бұрын

Пікірлер: 93
@SalehMustafa-c7l
@SalehMustafa-c7l 2 ай бұрын
We believe on you mansour
@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar 2 ай бұрын
Omo 👍🏿
@abdallahmsham-eb7jz
@abdallahmsham-eb7jz 2 ай бұрын
hatuwezi kuuzaa nchi yetu kwasababu ya tonge hizi mbili haziwezi kuelekea moja aaaa
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 2 ай бұрын
Huyu jamaa hana mbaya ❤
@salummussa9871
@salummussa9871 2 ай бұрын
Wewe mwizi TU ulishaiba sana serikalini.
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 2 ай бұрын
ZANZIBAR NI KOLONI YA ✝️TANGANYIKA✝️ Hakuna DHULMA Kubwa kuliko Kutawaliwa. Kwani MTAWALIWA ni MTUMWA hana UHURU wala HAKI.
@ommymehmed8880
@ommymehmed8880 2 ай бұрын
Haya
@BakariHassan-b1k
@BakariHassan-b1k Ай бұрын
hata makafiri husilim kwa Kuona ukweli upo wapi Sasa hata kama kashiba ila kajuwa ukweli upo wapi
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 Ай бұрын
UMAR BIN KHATAAB (RA) ALIACHA UKAFIRI AKAWA KHALIFAH 0:52 ​@user-uc8ee8eq9m KWELI KABISA. Umar bin Khataab alikuwa Kafiri na kuchukia Uislam. Alitoka na panga kwenda kumuuwa Mtume Muhammad (pbuh) kusudi asitangaze Uislam. Alipojuwa ukweli Umar alisilim. Mtoto wake Hafsa (RA) aliolewa na Mtume Muhammad (pbuh) na baadae Hafsa (RA) Mlinzi wa Msahaf wa Kwanza. Umar bin Khataab (RA) akawa Khalifa wa Waislam Duniani wakati huo Uislam ulishafika Zanzibar.☪️ Mtume Muhammad (pbuh) ametuachia QUR'AN ya Allah kuwa Mwongozo wa Binadam wote Duniani. Bilal bin Rabbah (RA), Mwenye asili ya Afrika Mashariki ametuachia ADHAN na Umar bin Khataab (RA) ametuachia KALENDA ya Kiislam☪️
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 Ай бұрын
Hupo ww anachokitafuta huyo ni kupata nafasi ya uwaziri arudie kupiga hela tu ​@@BakariHassan-b1k
@IssaJuma-rk5qb
@IssaJuma-rk5qb 2 ай бұрын
Tumekuelewa broo
@HemedYusuf
@HemedYusuf 2 ай бұрын
Asielewa haya maneno ni punguwani kweli
@issakhamis9581
@issakhamis9581 2 ай бұрын
Safi san tunakuelewa ccm basi tena maisha Magumu kweli
@SazafKiba
@SazafKiba 2 ай бұрын
Mashallah
@HemedYusuf
@HemedYusuf 2 ай бұрын
Yani tukiondoa ubinafsi act ni walim sahihi ukiwasikiliza kwa mwenye uelewa nzuri asielewa
@OmarKombo-h2j
@OmarKombo-h2j 2 ай бұрын
Natumemjua kweli kama yy si wakwetu na mbabaishaji wala hajui anakisimamia kitu gani
@Abs-tz8dl
@Abs-tz8dl Ай бұрын
Ccm = shetani
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 Ай бұрын
Mansour kwanza kachukue majanereta yako pale Mtoni. Mwizi mkubwa ww. Watakiskiliza mapunguani wenzako
@jaffaralimakame1533
@jaffaralimakame1533 2 ай бұрын
INATAKA BASHA HUNAJENGINE
@AhmedSalum-s9m
@AhmedSalum-s9m 2 ай бұрын
Nikweli anastahili sifa
@jaffaralimakame1533
@jaffaralimakame1533 2 ай бұрын
MABUNUWASI KWA MABUMBU WAZI
@zanzibarboyzanzibar509
@zanzibarboyzanzibar509 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@SalumRwambo
@SalumRwambo 2 ай бұрын
Unamaliza umeme tu hapo
@salumhassanallymkurdistan7006
@salumhassanallymkurdistan7006 2 ай бұрын
MNASOR WEWE NI MWANA MAPINDUZI YA MAGEUZIBYA ZANZIBAR NA WAZANZIBARI
@jaffaralimakame1533
@jaffaralimakame1533 2 ай бұрын
WEWE SEMAAA CCM MPAKA KIAMA
@ommarallyhamad7435
@ommarallyhamad7435 2 ай бұрын
Hakuna la milele
@kassim1262
@kassim1262 2 ай бұрын
😅😅😅😅Tatizo lenu nyinyi wtnganyika
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 2 ай бұрын
Kiama kwaio sifa ya ALLAH mushaichukuwa nynyi??
@Is-hakaRuweikh-k9s
@Is-hakaRuweikh-k9s 2 ай бұрын
Hashaichukuwa hao ni makafiri et ccm
@Is-hakaRuweikh-k9s
@Is-hakaRuweikh-k9s 2 ай бұрын
Ccm ni makafiri tuuu!!! na kinaongoza kikafiri
@MuhiddiniMuhidini
@MuhiddiniMuhidini 2 ай бұрын
Huyu at akili hana bor at chadema ,mamlaka kamili swa ila usiponde maendeleo ya Dr mwinyi ,la sivyo hakun mzalendo atawakubali
@jaffaralimakame1533
@jaffaralimakame1533 2 ай бұрын
MNAPOTEZA MUDA WENU TU HAO SISIEMU NA SERIKALI WAPUMBAVU?
@SaidHassan-ot3un
@SaidHassan-ot3un 2 ай бұрын
Hatuna mda wakukujibu
@kassidpandu866
@kassidpandu866 2 ай бұрын
wee Tunakujua sana ukikuwa CCM ulichokifanya Tunakijua tena bora unyamaze kimyaaaaa!
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 2 ай бұрын
Nyamaza ww
@jaffaralimakame1533
@jaffaralimakame1533 2 ай бұрын
KAA NYUMBANI USIFE
@ZAMANI-2n
@ZAMANI-2n 2 ай бұрын
Mboma hyu anamiliki mahoteli na viwanja alivyovichukua kwa wanyonge wazanzibar leo hii anasema nn hyuu
@SaidHassan-ot3un
@SaidHassan-ot3un 2 ай бұрын
Kwaiyo?
@SazafKiba
@SazafKiba 2 ай бұрын
Ccm munalana
@salummussa9871
@salummussa9871 2 ай бұрын
Issue ya muungano ndo inawamaliza ,,hakuna mtu anaye WEZA kushinda Kwa kuwagawa watu...uchu wa madaraka ,,kwani serikali Moja Kwa upande wa wananchi inawanyima Nini na kama si uchu wa madaraka?
@salummussa9871
@salummussa9871 2 ай бұрын
Hauna ushawishi wewe ,,
@issakhamis9581
@issakhamis9581 2 ай бұрын
Tuachiwe tupumue tena
@salummussa9871
@salummussa9871 2 ай бұрын
Marekani ni nchi yenye maendeleo makubwa DUNIA je Ina haki?
@zanzibarboyzanzibar509
@zanzibarboyzanzibar509 2 ай бұрын
Ndo wanaongo kwa Kuuwa watu na kuingilia Uhuru wa Nchi nyengine, wanawauwa Wa Palestine kwa Miaka na miaka plus Black American wanawapija Risasi kila siku
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 2 ай бұрын
😂YES
@Abs-tz8dl
@Abs-tz8dl Ай бұрын
Marekani inajukipana kwa uhuru wake, sio kama ccm
@jaffaralimakame1533
@jaffaralimakame1533 2 ай бұрын
CCM NI MANDONGA UKIPIGWA UMEPIGWA UKIPIGWA UMEPIGWA.
@jaffaralimakame1533
@jaffaralimakame1533 2 ай бұрын
KAUFYATA MAMAAKO UKAWA HUNA RAZI.
@Ahmarhassan-lk3ms
@Ahmarhassan-lk3ms 2 ай бұрын
Kileja
@Is-hakaRuweikh-k9s
@Is-hakaRuweikh-k9s 2 ай бұрын
Acha zarau ww!!
@BimkubwaJuma-ew5dg
@BimkubwaJuma-ew5dg 2 ай бұрын
Unasema nini mansour wewe mwanzo ulituibia pesa kibao ulivyo Kuwa waziri nyamaza ustiriwe
@harithwhite589
@harithwhite589 2 ай бұрын
Bwana wewe huna hoja madhubuti,unasema barabara ya airport imevunjwa hali ingeweza kuwepo hadi miaka ishirini ijayo,sikukatalii maana hata soko lililovunjwa pale mwanakwerekwe lingelikuwepo hata miaka ishirini mengine ijayo lakini lilivunjiliwa mbali. Lakini jee tujiulize,soko la leo pale kwerekwe ndo sawa na soko lile lililovunjwa,mwenye akili zake atasema hapana hili la leo ni bora mara 20 kuliko lile la awali, Hivyo hivyo basi na barabara hii ya leo ya airport ni bora zaidi mara 40 kuliko kile kichochoro cha awali,mamsour acha unafiki usitufanye wajinga tusiojua ubora wa mambo.
@huyu1993
@huyu1993 2 ай бұрын
Hawa wazushi wasidanganye watu, yeye kahudumu miaka mingapi jee alileta maendeleo gani? Katika miongoni anayoyasema mfano mkubwa ni yeye baada ya kukosa cheo ndio akatimkia upinzani,chama chenu kina wafuasi wa pande mbili bara na Zanzibar ila wewe ndio wakwanza kufanya ubaguzi na mfano mdogo ni katika hotel yako iliyopo Bwejuu ,nyinyi nyote mnatafuta vyeo
@fahmysaid-zw4np
@fahmysaid-zw4np 2 ай бұрын
hhhhhhhhh rudii tena kasema upewe story mana kusoma hujasoma
@Grataaaaa
@Grataaaaa 2 ай бұрын
Watu wanaongelea asaiv ww shoga la ccm
@SuleimanMussa-x5i
@SuleimanMussa-x5i 2 ай бұрын
Huyu 1993 we huna akili una ambiwa nchii haina mamlaka ata endelea vp na maendeleo ndio watu wanataka mamlaka kamili bwa shoga ww
@zanzibarboyzanzibar509
@zanzibarboyzanzibar509 2 ай бұрын
Hajaama CCM walimfukuza kuhusu Ubaguzi me naona upo kotekote kina Lisu Majuzi tu hapo walimtukana Mama Samia Matusi ya Nguoni sababu ya Kibandari chao
@fahmysaid-zw4np
@fahmysaid-zw4np 2 ай бұрын
@@zanzibarboyzanzibar509 hichoo ndo kinacho tuuma wazanzibar wengi samia kila leo anatukanwa na watanganganyika sisi tukimsema mwinyi kidog tuh bas kelel
@AhmedSeif-il1xx
@AhmedSeif-il1xx 2 ай бұрын
CCM kma punda tu
@MuzneOthman-l7i
@MuzneOthman-l7i 2 ай бұрын
KUANZIA KUPIGA DISCO HADI KUWA WAZIRI HALAFU UNASEMA NCHI HAINA HESHIMA NA HAIJALI WATU. AMAKWELI FADHILA MFADHILI MBUZI...........
@mangofish9079
@mangofish9079 2 ай бұрын
Sio hoja hio kuwa mpiga disco au kuvuta bangi kwani mansour huyu huyu akina Jussa walimsema sana tu ktk majukwaa ya kisiasa wakati wa utawala wa shemegi yake lakini jee hayo anayoyasema kuhusu hii nchi yetu kwani uwongo nyie munataka watu wabakie ktk utumwa wa mawazo ya mwenyekiti ambae kashakufa miaka 25 iliopita watu na mambo yanabadilika nyie mumebaki na fikra za kitumwa na chuki basi msifieni huyu aliekuwepo kama hao waliopita na akija mwengine muje kumsifia kuliko huyu wa sasa.
@haroubhbm5728
@haroubhbm5728 2 ай бұрын
Ukweli unauma😂
@fahmysaid-zw4np
@fahmysaid-zw4np 2 ай бұрын
heeee nahisi unamzungumzia Baah ilaa kwa mansuri umeshemshaa huyo msomi kuliko uko wako wotee wauza magenge nyau wee
@MussaMussa-v4x
@MussaMussa-v4x 2 ай бұрын
Ww ukiona inaheshima.Emu angalia wabongo wanavyoachiwa huru wajekujiuza ndio silka na utamaduni wetu.Nahaijali watu.mbna wanapigwa kwenye uchaguzi nakubaguliwa kwenye ajira
@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar 2 ай бұрын
Mansour hajawai kupija Disco alikua anashuulikia Guest ya Marehemu Mama yake ipo Malindi inaitwa Malindi Guests House badae Shemeji yake Amani Karume kupata Uraisi ndio akampa Uwaziri wa Nishati mbaka badae CCM wenzie wakamfukuza Uwanachama
@MuzneOthman-l7i
@MuzneOthman-l7i 2 ай бұрын
WAKATI WEWE WAZIRI WA NISHATI ULIOHONGWA NA SHEMEJI YAKO YALE MAJENERATOR YAKO MBONA YALITUMIKA SIKU MOJA TU.SI NDIO BANDUKA BANDUA ILE?
@fahmysaid-zw4np
@fahmysaid-zw4np 2 ай бұрын
huna hojaaa unaongea ujingaaa na upuuzi unajifanya umekunyaa maji ya bendera eehh
@MaryamSalim-g4c
@MaryamSalim-g4c 2 ай бұрын
​@@fahmysaid-zw4npety
@zanzibarboyzanzibar509
@zanzibarboyzanzibar509 2 ай бұрын
Majenereta sio kama aliongwa na Shemeji yake alienda kuyanunua Norway yalikua Mabovu, Serikali za Ki Africa Viongozi wake asilimia kubwa wanakua Wizi hiyo wala tusitetee sema kinachatakiwa wawaletee Maendeleo Wananchi wao na walinde Nchi na Nchi zao ziwe Uhuru kujiamulia wenyewe sasa Zanzibar haipo Uhuru kuamua Mambo yake
@harithwhite589
@harithwhite589 2 ай бұрын
Safi ndugu,umetukumbusha
@MuzneOthman-l7i
@MuzneOthman-l7i 2 ай бұрын
MASHEIKH WANATUAMBIA IBILISI ANAITWA ABAASIJIDA. ALIFANYA NINI MBELE YA MWENYEZI MUNGU?. BINAADAMU YEYOTE MUAMINI KIBINAADAM HUYO UNAYOMSIFIA YEYE ANAUTAKATIFU GANI
@fahmysaid-zw4np
@fahmysaid-zw4np 2 ай бұрын
na huyoo mwinyi wako ana utakatifu gani au wakuuwa watu 21 wa kubaka wake za watuu wa kupiga watu mpaka wakawa vilema maisha ndo utakatifu eehh
@MuzneOthman-l7i
@MuzneOthman-l7i 2 ай бұрын
JUKUMU LA MHE.RAIS DKT. HUSSEIN ALI HASSAN MWINYI LINAANZIA SIKU ALIPOSHIKA MSAHAFU NA KUAPA MBELE YA MWENYEZI MUNGU ATAITUMIKIA ZANZIBAR . TUANZIE HAPO NA SEIF SHARIF ALIZINGATIA HILO NDIO AKASAFIRI NAE KWENDA CHATO KUUNGA MA.​@@fahmysaid-zw4np
@R10_Rajab
@R10_Rajab 2 ай бұрын
Hivi una akili wewe MANSOUR au ndio chuki tu na roho mbaya !!!!Sasa ile ya Airport ndio ilikuwa barabara kweli barabara umo kwenye gari unadundadunda mpaka unafika kweli hiyo ndio barabara ya kufika miaka 20 dah
@fahmysaid-zw4np
@fahmysaid-zw4np 2 ай бұрын
acha unafiki weee bara bara ya uwacha wa ndege serikal ya sheni awamu ya mwisho imefanyiwa maboresho makubwa usiseme bara bara ina mashino labda mashimo unayo weyee
@AbdulhaamidSoud
@AbdulhaamidSoud 2 ай бұрын
Jibuni hoja sio mtowe matope tu kama volcano basi
@R10_Rajab
@R10_Rajab 2 ай бұрын
@@AbdulhaamidSoud Barabara haikuwa nzima ile hoja gani unataka Balahau
@R10_Rajab
@R10_Rajab 2 ай бұрын
@@fahmysaid-zw4np Sijasema mashimo kijana , soma ili uwelewe na sio kusoma ili kutaka kujibu ,,zipo barabara ambazo hazina mashimo ila huwa hazina ubora ikiwemo ile Airport, Utawala wa shein kapigwa sana yule mzee na wasaidizi wake na ndio maana hana alichokifanya,,,Ila kwa huyu Daktari ni balaaa kabisa weka mbali na watoto.
@R10_Rajab
@R10_Rajab 2 ай бұрын
@@fahmysaid-zw4np Ile barabara kwa sasa ndio imetengenezwa maana barabara zenye ubora ni lazima zichimbwe ile ilichimbwa? Na ndio ukiwa kwenye chombo cha moto unadunda dunda Why isivunjwe ,Mwache aseme pia basi kuwa Mapinduzi ilikuwa meli mpya na ameamua kuiuza na ikashindikana akaiuza kama chuma chakavu si unaona maigizo ,Huyu ni Daktari Shehe anautofauti wake.
MFAHAMU MSANII WA PEMBA MWINYI MPEKU NA SAFARI YAKE YA CHINA
44:38
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 17 М.
SIMANZI NA MAJOZNI KHUTBA YA BABU DUNI
15:30
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 50 М.
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 125 МЛН
Sigma baby, you've conquered soap! 😲😮‍💨 LeoNata family #shorts
00:37
Это было очень близко...
00:10
Аришнев
Рет қаралды 6 МЛН
UST:SHAFI AMGEUZIA KIBANO MCHUNGAJI NDACHA//ELIMU YAKO BADO SANA
20:10
ISLAAH ISLAMIC TV
Рет қаралды 46 М.
HII HAPA HUTUBA NZITO ZAIDI YA OTHMAN MASOUD KWA VIJANA WA Z'BAR
53:41
ACT Wazalendo Digital
Рет қаралды 7 М.
MAZRUI ATANGAZA KUSTAAFU SIASA ASEMA AMECHOSHWA NA MAGUMU ANAYOPITIA
11:57
MCH. NDACHA AWAKABA KOO WAHADHIRI WA KIISLAMU, UST SHAFII, BAKOZI, KINYOGORI
20:44
SIMULIZI ZONE (SZ BONGO)
Рет қаралды 59 М.
MASWALI YA BANDAUA NI UPI UMUHIMU YA YESU KWA M/MUNGU
38:06
ISLAAH ISLAMIC TV
Рет қаралды 23 М.
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 125 МЛН