Waizi wakubwa nyinyi Madereva munaiba cmu za watu mbwa nyinyi nmeibiwa Cmu nilikuwa nmelewa siwapend nyinyi mbwa lakin office za Bolt nmeenda wamenipambania adi nmeipata Sasa pelekeni usenge wenu
Pole Sana hapa namkumbuka magu angekuwepo haya ingekua hayakutokeya from 🇧🇮 tulikosa kiongozi kweli kweli
@kasabukuanthony62082 жыл бұрын
Sasa lakini kwani ni lazima kufanya kazi na hao bolt na uber
@mrsalam10942 жыл бұрын
RAIS SAMIA HASIKILIZI VILIO VARAIA WAKE YY ANAWASAMINI WANGENi SaNa
@yusuphchankwa47592 жыл бұрын
Hii mtandao kama imeshindikana waifunge tuendelee kama tulivyokuwa tunafanya zamani
@namirihamisi38992 жыл бұрын
Huu ni unyonyaji kwa kweli.
@kamalissabig17952 жыл бұрын
Nyie Mikund nn Sasa Kama Bei haiwatoshi kilicho fanya mutumie hizo App ni nini c muache Kwan n lazma kutumia hizo App tulize nyeg maana musije fanya tuka ongezewa bei
@tuntufyemwasyete38345 ай бұрын
Pole kaka zangu msijiunge nao
@supermodelent2552 жыл бұрын
Dah safi sana pongezi kwenu
@saleheinnocent76362 жыл бұрын
Kila kitu Rais
@abubakarihamissi41782 жыл бұрын
Poleni sana aise
@abdallahsaid81572 жыл бұрын
Kwani mmelazimishwa kujiunga na hiyo mitandao?!? Fanyeni kutoa hiyo huduma wenyewe kama bodaboda wengine. Poleni sana ndg zangu!!!
@D-Man.B-Free2 жыл бұрын
Sio huko 2 hata huku Uber and Lyft sucks sema tu ukifanya Uber Black and Uber XL unaweza ukaweza kupiga pesa
@ramadhaniomarishauri99052 жыл бұрын
Mishkaki ni moja ya kusababisha Ajali, hatutaki bodaboda tanzania. Full stopp
@januaryyolamu40692 жыл бұрын
kama wewe utaki bodaboda Tanzania basi mamaako awe anawagea key one day
@barakaezekia338210 күн бұрын
Bolt wanazingua
@sanisani52662 жыл бұрын
Kabda ya mama simlienda mkakubari icho mnacholipwa badae mnalalamika inakuja yale ya harmonise
@AbuuMsongoro8 күн бұрын
Sikia ukianza nao wanakubembeleza kwa malipo mazuri kamisheni mzuri ila baada ya hapo kinachofuata maumivu tuu
@jumannerajabu63242 жыл бұрын
mbona nchi za wenzetu madereva wa hon line wanaheshimika sana kwann apa imekua iv
@abuuramadhan80932 жыл бұрын
C Kuna viongozi wenu wapo mnalialia Mana kuna njia nzur za kufikisha ujumbe
@namirihamisi38992 жыл бұрын
Ukiona mwanamme analia juwa kuna jambo hapa pana mushkila
@salomemchewa51872 жыл бұрын
Mpaka, taks wawekezaji, he. Siyo sawa, uwekezaji siyo , mbona ulaya hawatufanyii hivyo, haiwezekani siyo sawa, vijana wakafanye kazi wapi
@namirihamisi38992 жыл бұрын
Hii sio kazi ni utumwa kwa kweli tuangalie huko tunapokwenda unyonyaji na ukabaila.
@mwesblind89902 жыл бұрын
Wamelazimishwa kwani
@abdiathumani9192 жыл бұрын
@@mwesblind8990 mfumo umebadalika abilia wengi wapo mtandaoni ukikaa kijiweni hamna kazi ukiingia mtandaoni unabanwa
@erickmichaelmugele21072 жыл бұрын
Huyu uchebe anaenda anarudi..mbona haongei?
@dicksonwanyama16892 жыл бұрын
Mbona acheki
@fidelisvenance64312 жыл бұрын
Hakika nimewaelewa sana madereva
@erickmichaelmugele21072 жыл бұрын
Shida ni hamna application yenye kuzingatia maslahi yenu? Je abiria watakubali application zenye kuzingatia maslahi yenu? Je app zifutwe hizo?
@alphayokibangali3782 жыл бұрын
Broo nauli sio shida,shida makato ya app wanakata asilimia kubwa
@mpmrcctv92622 жыл бұрын
Kwani ni lazima
@mpmrcctv92622 жыл бұрын
Si ni hiari kujiunga na hizo kampuni kama mmiliki wa chombo chako ukiona haina maana una achana nao mi pia nilijitoa bila kulazimishwa
@erickdeus41772 жыл бұрын
Kwa kwel latr saiv kupata ina process ndefu San ndo maana tunaamua kufanya Kaz bila latra wakitukamata Ni kulipa fain maisha yanaenda lkn it's not good
@abdibilali41862 жыл бұрын
Anzisheni vijiwe achaneni na mitandao kama mnaonewa, kwenye nauli kama no ndogo achana na hio App, ila mm naona mngekua na bima ingekua Jambo la msingi ila kwenye nauli nooo
@jonasjimmy947810 күн бұрын
Rais atafika mbinguni amechoka sana
@mpmrcctv92622 жыл бұрын
Kwani si ni hiari ya mtu au mmiliki wa chombo
@FINGATanzania2 жыл бұрын
Lalamikieni serikali sio hayo makampuni,, mpo huru Kama aunufaik si mujitoe mpige kawaida,,, serikali ipungize Kodi jemen hii yote sababu ni iyo
@romyrae_tz5872 жыл бұрын
Kupiga kawaida aiwezekan kwa sabb washaalibu bishara kwa ajili ya competition zao
@imaamgharithauri10592 жыл бұрын
Suluhisho ni kwamba Serikali iunde app hapa nchini ambayo itaendana na mazingira ya nchi yetu
@tumlakimwaitumule2 жыл бұрын
Serikal haiwez kufanya biashara
@ezronmika8662 жыл бұрын
Izo App zitoke bhana mambo yasiwe mengi
@zuberikalenzi52622 жыл бұрын
Sasa Si Mjitoe Kwan Mmelazimishwa
@isaacjaphet13142 жыл бұрын
Hii mnajisumbua kama unaona huwez acha toka... huwez pangia soko la online...
@raphaelpatrick10162 жыл бұрын
Pole
@estermathias83542 жыл бұрын
Hakili hauna
@emmamatemu82252 жыл бұрын
Mmelazimishwa kufanya hiyo biashara? Mbona mnajitoa akili na kutaka kupangia watu na App zao? Fanyeni kazi nyingine.
@abuuramadhan80932 жыл бұрын
Magu alishindwa kuzima moto wa wamiliki wa magari ya abiria mpaka anakufa au unongelea magu farao
@isackmosha42832 жыл бұрын
Jitoeni kwenye hizo online transport
@estermathias83542 жыл бұрын
Hpn hio n biashara tena nchin kwao
@erickmlyuka87192 жыл бұрын
Poleni madereva ila niulize hivi vyombo vya usafiri ni vyenu hamkulazimishwa kujiunga huko, na kama mmeona hamna faida jitoe humo ubaki kawaida kuliko kulalamika hapa nakupoteza muda wa kufanya Kazi hapo
@erickmlyuka87192 жыл бұрын
Kwani kabla ya hizi kampuni KUINGIA nchini si walikuwa Wanafanya KAZI zao kawaida kama Hawa wenzao? Sasa huu usasa walioukimbilia wakiona unafaida Leo umeanza kuwaumiza wanaumi na kugoma NIOMBE ikiwezekana waache wawe huru Ili kupunguza majukumu kwa MHE RAISI MAANA KILA KITU HATA VYA KUJITAKIA NI MAMA TUSAIDIE JAMANI VINGINE TUJIONGEZE ILA PIA TUWE WAKWELI KAMA KUSINGEKUWA NA FAIDA MSINGEKUWEPO HUKO MADEREVA WOTE NYIE HILO MBONA HATULISEMI? NAJUA HII CHOKOCHOKO YOTE NI BAADA YA MAFUTA KUPANDA NDIO MAANA SO TUACHE KUONGEA SANA TUWE WAKWELI
@mwesblind89902 жыл бұрын
Amjaforce wa kujiunga na hizo app
@georgesamwelihuri75622 жыл бұрын
Kama biashala haikulipi Kwanini unga'ang'anie huko,Kwani usijitoe
@raphaelpatrick10162 жыл бұрын
Pole
@romyrae_tz5872 жыл бұрын
Sio biashara ya maandazi ii kwamba unajitoa tuu..
@raphaelpatrick10162 жыл бұрын
@@romyrae_tz587 Wengi wanaotoa majibu kama haya ni wale ambao hawafanyi hii kazi. Wanatoa comment kwa jambo wasilolijua
Hawa mabeberu hawafai kokote. Hata huku Marekani wako hivyo hivyo na madereva wanahoma kilasiku. Kuna baadhi ya majimbo madereva wa uber wamepeleka swala hili mahakamani ili waajiliwe kama wafanyakazi tena wenye benefits kama za wafanyakazi wengine maofisini. Ila unyonyaji wao upo kila mahali. Mbaya sana. Msichoke kupigania haki zenu.
@erickmlyuka87192 жыл бұрын
Hivi ndugu unataka kuniambia bila kuwepo kwa faida Hawa madereva wangejiunga huko? Na je walilazimishwa kujiunga ama ilikuwa hiari Yao wenyewe na kujaza FOMU wenyewe? Leo mafuta yamepanda wanaitisha mgomo please TUACHE Kila jambo kuibebesha serikali TUJIONGEZE watanzania jambo ambalo hujalazimishwa kulifanya kama unaona hunafaida NALO liache! Lakini pia WAKATI WA KUINGIA mikataba serikali ilihusishwa? Au Sasa Ndio tunataka iingilie?
@muonambali2 жыл бұрын
Unataka kuelimishwa ama ni mjuaji sadikika?
@philej2 жыл бұрын
Kwani lazima ujiunge uko bolt au uber
@estermathias83542 жыл бұрын
Shida
@bonifacebenedicto31382 жыл бұрын
Hapo kwenye kumpigia makofi saasa 🤣
@estermathias83542 жыл бұрын
😄😄😄
@walidsultan74862 жыл бұрын
Upumbafu kwani mmelazimishwa simfanye tax ya kawaida ama boda Boda kawaida
@raphaelpatrick10162 жыл бұрын
Pole
@abdullkarimmvungi22062 жыл бұрын
Df
@kelvinkinabo80012 жыл бұрын
Angalizo tu kama bei za hizi application zitakua kama za bodaboda wa kawaida au kukaribiana sana watu hawatotumia hizo application. Ndio maana ilikupenya lazima ziwechini kuliko bodaboda za kawaida.
@sirsebaonline91062 жыл бұрын
Unaongea upuuzi nauli ipande na maisha haya nendeni mkalime
@erickdeus41772 жыл бұрын
Huna akiri ww kaa kimya hujui chochote wenye vyombo tunaumia
@stephanolumato2 жыл бұрын
Nunua gari yako hujui hata bei ya mafuta wala commission tunazo walipa
@romyrae_tz5872 жыл бұрын
Usipende kitoga utaingizwa
@mwesblind89902 жыл бұрын
Tafuteni abiria
@elvisbahati2432 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@elvisbahati2432 жыл бұрын
Bei
@kipigapasilisungu25812 жыл бұрын
.
@yahyahamad18022 жыл бұрын
Acheni mambo ya kijinga kwani mmelazimishwa? Nyie mmeenda kuomba kazi mmekubaliana wenyewe sasa uyo mama samia inamuhusu nini? Yaani raisi awache kazi zske awafate nyie?
@angelusmbawala71992 жыл бұрын
Oya vipi ndungu unatembelewa mini wewe unakijua unachokiongea au limekutoka tu kama bao la shahawa goli la kwanza