BOT wametolea ufafanuzi kuhusu Picha ya Nyoka iliyokuwa inaoneka kwenye Noti ya Shilingi Mia Tano. ya Tanzania, Kupitia kwa Mèneja msaidizi wa Idara ya Sarafu AMEELEZA SABABU HIZO
Пікірлер: 73
@linkreuben31082 жыл бұрын
Huyo nyoka mnakigugumizi sana kumuelezea! Si lucifa huyo?! Mungu anawaona!
@mwitachacha44672 жыл бұрын
Dah bola ungesema utalii Sasa ukisema afya kwaiyo nyoka Ana udakitari au hapo mm umeniacha hoi
@farajangwema46632 жыл бұрын
Mwanzo 3:1 Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwitu aliowafanya BWANA Mungu. Akamwambia mwanamke, Ati! Hivi ndivyo alivyosema Mungu, Msile matunda ya miti yote ya bustani? Mwanzo 3:2 Mwanamke akamwambia nyoka, Matunda ya miti ya bustanini twaweza kula; Mwanzo 3:3 lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema, Msiyale wala msiyaguse, msije mkafa. Mwanzo 3:4 Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa, Mwanzo 3:5 kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya. Mwanzo 3:6 Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alitwaa katika matunda yake akala, akampa na mumewe, naye akala. Mwanzo 3:7 Wakafumbuliwa macho wote wawili wakajijua kuwa wa uchi, wakashona majani ya mtini, wakajifanyia nguo. Mwanzo 3:8 Kisha wakasikia sauti ya BWANA Mungu, akitembea bustanini wakati wa jua kupunga; Adamu na mkewe wakajificha kati ya miti ya bustani, BWANA Mungu asiwaone. Mwanzo 3:9 BWANA Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi? Mwanzo 3:10 Akasema, Nalisikia sauti yako bustanini, nikaogopa kwa kuwa mimi ni uchi; nikajificha. Mwanzo 3:11 Akasema, Ni nani aliyekuambia ya kuwa u uchi? Je! Umekula wewe matunda ya mti niliyokuagiza usiyale? Mwanzo 3:12 Adamu akasema, Huyo mwanamke uliyenipa awe pamoja nami ndiye aliyenipa matunda ya mti huo, nikala. Mwanzo 3:13 BWANA Mungu akamwambia mwanamke, Nini hili ulilolifanya? Mwanamke akasema, Nyoka alinidanganya, nikala. Mwanzo 3:14 BWANA Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umelaaniwa wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako; Mwanzo 3:15 nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino. Mwanzo 3:16 Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala. Mwanzo 3:17 Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako; Mwanzo 3:18 michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni; Mwanzo 3:19 kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi. 👆👆👆 Kiufupi hata hii laana tunayotembea mayo ilisababishwa na nyoka nyoka ni shetani na ni adui mkubwa Sana wa MUNGU wetu muumbaji.
@felixdavid1326 жыл бұрын
Nipo uingereza toto langu limekataa shule sasa si nunui tena madaftari ngoja nikalinunulie manyoka ili liwe genius
@stephanomoses76942 жыл бұрын
Alama ya huyo nyoka . Ki biblia ni alama ya uponyaji
@farajangwema46632 жыл бұрын
Rafiki soma vizuri biblia, kipindi Cha Musa kweli iliponya, lakini huyo nyoka ametafsiriwa katika biblia kama Lucifer au shetani aliyemdanganya Eva soma mwazo 3 sura nzima, na soma ufunuo 12:7-11 utapata jibu la Nini maana ya nyoka
@tumainituma7691 Жыл бұрын
HUELEWI KITU HUNA LOLOTE KAA KIMYA
@jafarahmad44084 жыл бұрын
uoooongoooooo mtuupu afya siuweke picha ya MOI mbona BOT hujaweka nembo ya kasuku au nyani
@kibabemuhidini87496 жыл бұрын
Hujaeleza ukweli, ivi kunauhusiano gn kati ya alama ya nyoka na huduma za afya. Hapa watz hawajakuelewa, vyenginevyo utakuwa una hidden issue.
@yusuphsimon46566 жыл бұрын
Mmmh nyoka ni afya!!! Ni uchawi tu hakuna lolote
@mnzavachris54236 жыл бұрын
yusuph Simon kwa mantiki ip hasa?!
@aloycemabula86496 жыл бұрын
Nyoka ni kiumbe ajuaye dawa nyingi duniani, ndio maana ni alama yake inatumika duniani, pharmacy, ambulance zina alama ya nyoka
@aloycemabula86496 жыл бұрын
Kumbuka nyoka aliumbwa na mungu, kama nyoka ni uchawi basi hata mungu ni mchawi si ndiye aliyemuumba nyoka na akampa akili ya uasi
@lukasessau74576 жыл бұрын
saw a bwana nyoka ni afya kwenye hospitality hiyo arama mbona haipo may be nao in wanadam wana kosea (nyoka ni shetan wakubali wakatae)
@venancebasil46566 жыл бұрын
hospital ipo hiyo alama ni vile tu hujashtukia. google neno caduceus usome vizuri maelezo yake
@lukasessau74576 жыл бұрын
bora umemsaidia kwa maelezo uyo wabank asant
@MiziziMti5 ай бұрын
Bwana akamwambia Musa jifanyie nyoka wa shaba(hesabu21:8) na (Yohana 3:14)
@Mamatonny20656 жыл бұрын
Mmmh! Huyo nyoka hatari ! Anangojea kumng'ata nani?
@anastaziusfranzes6702 Жыл бұрын
Hekima ipokwabwana mungu
@chidiboy58156 жыл бұрын
Mashallah
@hamadshein9356 жыл бұрын
Pesa zina nyoka,simba,chui,faru,tembo.kwanini mcweke pcha hta za matunda.
@farajangwema46632 жыл бұрын
Ufunuo wa Yohana 12:7 Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake; Ufunuo wa Yohana 12:8 nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. Ufunuo wa Yohana 12:9 Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye. 👆👆👆Hiyo ndio tafsiri ya nyoka wasitudanganye hata sisi tunajitambua
@user-ch4hj1cu8l9 ай бұрын
2:52 yaani muheshimiwa sura yako tu inaonyesha unachokisema sio cha kweli hila nafasi imekulazimu useme hivyo, hila ukweli huko wazi naunaujua ndio maana unazungumza kwa taabu sana
@sarahjohn56876 жыл бұрын
Ni mnyoo Anaitwa GUINEA WORM au LITTLE DRAGON OF MEDINA ni huyo mnyoo kumtoa mwilini ilikua lazima uchomeke stick na kuizungusha ndio umtoe.... sasa baada ya jaribio hilo kufaulu ni alama ya ushindi kwenye sekta ya afya ulimwenguni. ila wataalamu wa udakitari na afya wanajuza vizuri kuliko mimi
@jumajasjas29256 жыл бұрын
huyo n nyoka na izo alama zpo mbili... pitia apa utaelewa www.google.com/amp/s/amp.livescience.com/33104-why-is-the-medical-symbol-a-snake-on-a-stick.html
@thomaslandwhale6 жыл бұрын
Okay but am still thinking
@asiazuberi97226 жыл бұрын
Subhanallah
@danielfaustine61246 жыл бұрын
Watu mnaelekezwa mnapinga inamaana hamjawahi kuona kwenye mafamasi kunaalama ya nyoka
@godymakundi6 жыл бұрын
Daniel Faustine this is the truth
@emapanga-x9z9 ай бұрын
Saw saw mbona watu wanaitafuta sana
@elfacechongera75726 жыл бұрын
ubishi kweli kweli kwa waiojitambua ni mzigo...kama hukubsliani naye just make a research on the same on your own. lugha tuzitumiazo si zetu hata na alama pia jifunze zaidi maana siku izi elim ziko mikonon mwetu.
@aloycemabula86496 жыл бұрын
Mi najua nyoka ndio anajua dawa zote duniani, ndio maana alama yake inatumika ktk afya
@Baby-ps3xk2 жыл бұрын
Luminat
@abdulrahmanhassan92542 жыл бұрын
Kwa tafsiri ambayo haina uwakika ni kwamba. Nyoka anawakilisha uponyaji ndiomana WHO wanaitumia
@bakarikayugwa32952 жыл бұрын
Kwani nini msinge weka picha ya nguruwe
@RichFeelingsForex6 жыл бұрын
Nawaza kwa sauti
@brunolwambano67523 жыл бұрын
Alama mojawapo ya freemason eleza ukweli,freemason wameusika apo
@JescaKaaya-up6cg4 ай бұрын
Je Sina tafutwa
@lukasessau74576 жыл бұрын
kama nyoka ni afya basi watu wasinge waua wage waheshi kama Yale mandege ya sokon koz ni bwanan afya
@nrwawanndeny73943 жыл бұрын
Ni Mashetani
@tanzaniayetu69736 жыл бұрын
hii ni mpya
@munnawwaryaqoob34146 жыл бұрын
Mbona afya mzee unaota mchana eti😁😁😁
@AffectionateBakedBread-og5ck7 ай бұрын
Lusifer the big 😈 in the world 😂
@abasmresa88616 жыл бұрын
kwani nyoka siyo mnyama?
@j4shikiboy4366 жыл бұрын
Hahahahaha Kuna uhusiano wowote kati ya nyoka na afya?... Mctuweke mazezeta cc
@tanzaniayetu69736 жыл бұрын
nyoka na afya???
@leonardoharold3496 жыл бұрын
Sasa afya kwenye mia tano kweli...? Sizan kama afya inastahili kuwakilishwa na 500! Na hyo nembo mbona sio asili yake tz kwann msingeweka hata nembo ya muhimbili ili tujue pesa yetu INA tangaza vilimo vya kwetu?.
@mnzavachris54236 жыл бұрын
leonardo' harold afya co kwa jero co?
@asanimakamba32186 жыл бұрын
q mamae uchawi uhuu
@mabaragwantaho6696 жыл бұрын
Mimi mwenyewe mtu afya lakini nyoka bado hujanishawishi ilatakiwa muweke hata stethoscope
@levinaernest43647 ай бұрын
Au microscope 🔬😀😀
@chrislikalagala4803 жыл бұрын
Jaman natafuta noti ya sh. Mia tano yenye nyati, ikuru, nyoka, na nyerere
@haikaherman3883 жыл бұрын
Mm ninayo
@winyelias28002 жыл бұрын
Namb
@ibrahimyassin45452 жыл бұрын
@@haikaherman388 vip kaka unayo noti ya mia tano?
@ibrahimyassin45452 жыл бұрын
kk vp
@lailathmohamed64432 жыл бұрын
@@ibrahimyassin4545 mmi ninayo
@wilsonwafulachebokati49333 жыл бұрын
Mh
@wilsonwafulachebokati49333 жыл бұрын
Devoli
@mwizalubimafwele82456 жыл бұрын
Anajikanyaga sana maana hajui hata anachokielezea
@mnzavachris54236 жыл бұрын
mwizalubi Mafwele umemsikiliza lakn
@sarahjohn56876 жыл бұрын
Wew tu ndo hujui kinachoongelewa
@mwizalubimafwele82456 жыл бұрын
Mzava na Sara@ nimemsikiliza vizuri sana, kweli pesa mara afya Muhimbili ...., haya anaeleweka kweli
@sarahjohn56876 жыл бұрын
mwizalubi Mafwele naomba nikusaidie kitu ukigoogle utajua kwamba io symbol ni ishara ya afya duniani kote hata sehem kama muhimbili ukienda utazikuta mahospitalini utaikuta soma google for more information
@mwizalubimafwele82456 жыл бұрын
Sarah @ sijakataa kwamba hiyo alama haitumiki kwenye mambo ya afya inatumika sana na ni kweli hata ukiangalia nembo ya Muhimbili Hosp utaikuta .... tatizo lipo kwenye muunganisho mambo ya Afya na Pesa🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️, Nkuruma sawa, wanyama sawa Utalii... ila nikasema nishaelewa hata nyoka kwenye kijiti ni utalii kama simba, tembo nk. Topic closed maana kila mtu na opinion yake
Shida ya watanzania hanfatiliagi vitu alafu wabishiiiiiii....yani Tz tuna safari ndefu...kwaio ata Alama ya Nyoka nayo kwenye Shirika la afya duniani WHO ni wapuuzi kuweka alama ya nyoka???