Hayakua maisha ya dunia ila ni pumbao na starehe za kupita, sasa mtu ishi unavoweza ila kumbuka kuna kifo na nyinyi munaowaona watu wanahuzunika kwa mavazi ya huyo Mke wake basi mujue alie weka muongozo wa maisha Mungu mwenyewe faida na hasara ya hilo mtu utaliona roho ikianza kutoka, tuachane viburi enyi wanadamu.
@salimmohd8368Ай бұрын
Hiii
@winifridarugayana7312Ай бұрын
Mavazi ni utamaduni wetu wanadamu, amri kumi za Mungu haziongelei mavazi, hiyo ni mitazamo ya watu, Mungu hakuna na dini alichotuletea ni IMANI.
@ismailmasoud60012 ай бұрын
Wachezaji wa MPIRA asilimia kubwa wameoa.....Wachezaji NGUMI asilimia kubwa wameoa....WASANII wa MUZIKI na FILAMU asilimia kubwa ni MANUNGA EMBE....hivi mna matatizo Gani..?
@errydeo88652 ай бұрын
GOD BLESS THIS GUY ;HIS WIFE N THEIR BEAUTIFUL BABY GIRL
@AllyMwinyi-rx8gr2 ай бұрын
subhanallah hata muda mke kichwa wazi mavazi sio pia laailaha illa llah astaghfirullah yaarabbi tustiri waja wako jaman mke kama mke siku ya qiama ataenda kutushtaki kwa allah hutokua na ujanja duh nduguyangu muda hii ni dunia2
@hassanmwallimu57672 ай бұрын
Muongo mkubwa wewe kwani ni lazima kujifunika kichwa wacha kujifanya wajua dini sana wewe una yako mangapi wayafanya
@zanzibar.Ай бұрын
@@hassanmwallimu5767kwa iyo kma ana yke mangp ndio asiseme asumfundishe usiangalie ana yke mangap fuata maneno ya kitabu
@SamiraseifAlfan-ph4ke2 ай бұрын
Mashaallah 🙏 baby girl cute
@omarmatata-dc3mv2 ай бұрын
Jamani me nmesoma koment nimecheka sana😅😂😂
@bahatinassorali52222 ай бұрын
Kichwa wazi
@darasahuruinfo40022 ай бұрын
oyaaaaaaaaaaaaa mwenzen muda boy mm mkwe Wang Bhan man ana mtoto mkal xana oya bamkwe muda boy yang oeeeeeeee
Hayakuhusu hii sherehe na yupo na mahabuba wake fyuuu😚😚
@fatmafatu11282 ай бұрын
Wasio tambua dini yetu ndio wajibu utumbo wanadhani watu wote makafiri
@neemaneykisanga2 ай бұрын
Ukijisitiri wewe inatosha
@user-fb8ju1nv2j2 ай бұрын
Unayesema hajajixitili nani Mbn xjamuona
@user-ox4ox9jm8jАй бұрын
Nakubali sana muda
@SudyAmiri13 күн бұрын
Uyu mzee kila mtu anamkumbatiya
@salmamakweta11982 ай бұрын
Mbona amevaa vzr sana
@veronicabwamukuru1265Ай бұрын
Ukiona mtu amekosea mfuate inbox umuelimishe sio kuanza kumuhukumu pengine hajui tukumbushane kwa utaratibu itapendeza zaidi
@khatibmako35002 ай бұрын
Hiii mitihani
@remidusmwanandenje-yy5gs2 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@winifridarugayana7312Ай бұрын
Kabla ya kuangalia kibanzi kwenye jicho la mwenzako angalia boriti kwenye jicho lako, umeona hicho kwa mwwnzio ukaona ni dhambi ila nawewe una yako hatujaona,mie sijaona kama ni dhambi ,
@zuleikhamohamed56692 ай бұрын
🎉
@MvuviJumaАй бұрын
Ndo mke wa mzanzibar huyo anatembea kujstiri kwake kugumu vipi na huyo wabara wamemuharibu au mumewe hana mcmamo nae
@jumakivumbi-xs1ofАй бұрын
Best Mudathiri hongera unajuakuchagua yr wife material ni pic karii
@GracieTynoАй бұрын
❤
@khatibmako35002 ай бұрын
Jamani kujistiri heee hiii mitihani
@FatumaShabani-mp9vt2 ай бұрын
Masini dini yetu iyoo inazama 😭😭😭🙏🙏🙏
@user-vi7ly9zh1q2 ай бұрын
Haswaa
@malietamaliet2 ай бұрын
😂😂😂😂yanga bingwa bhn mbona wakina zuchu wanavaa vimin amsemi kisa mke wa muda kaonesha nywele tz mbn mnapendaga kujifanya mnajua Kila kitu na mmekamilika nyie kuliko wenzenu lkn??
@firdawsrammy99922 ай бұрын
Tunazama sisi binadamu, Dini yetu ipo tu haizami
@hk_ballers2 ай бұрын
Tulia ww
@zuenampandeni33472 ай бұрын
Simu ya muda hadi nje
@TomaTee-hu7doАй бұрын
Wanawake.wa wachezaji wanakuwa.wakubwa sana kuliko.wenyewe
@AminaTanzania2 ай бұрын
Ajisitiri nini wew urie jisitiri unamzidi nini kazi kuka macho kwa wezenutuu fanyeni yenu wake zawatu achaneni nao hao aiwahusu wivutuu inawasumbua
@jumayahaya3001Ай бұрын
Kila sehemu kuna mavaz yake
@zulfahaji91Ай бұрын
Ila mke umetutia. Nishai hukutaka kuongea na mwandishi
@neemadaniel62332 ай бұрын
Waja tunashida sie
@makamezahoro8194Ай бұрын
Sasa iyo ipo sku utakufa imekujaje apo
@Leonardherman-ng1qt2 ай бұрын
Mbona kama umpendi
@abudalaabdumalik9362Ай бұрын
Mke wa haji uyo
@SaidOmar-sd2yo2 ай бұрын
lakin msiangalie kujistiri tuu hata mume mwenywe kakata sjui mkatogan je km muislam mwnye imani yakweli anakata hivyo
@zaidumohd3125Ай бұрын
Muda mbona mkeo kavaaa kiahudi
@AminaTanzania2 ай бұрын
Kwenye sherehe ajisitiri nini pereka huko uisiramu wako
@IsmailJuma-zb5ni2 ай бұрын
Eti uisiramu duh
@user-cy4ll5fk8r2 ай бұрын
😂😂😂
@suleimanabdallah9823Ай бұрын
Fala tu ww
@suleimanabdallah9823Ай бұрын
Halafu unajiita Amina pimbi ww
@user-xc7qj7ze7m2 ай бұрын
Ww uliye jistili subili pepo tukuone
@IsmailJuma-zb5ni2 ай бұрын
Wacha kiburi boya wewe
@fredyjunior69612 ай бұрын
Achan4ni la life za watu
@kolosii43512 ай бұрын
Muda una kabinti kazuri.
@salimharrasy70472 ай бұрын
Unaanza. Tafuta wako.
@KhalfanSaid-mo9jh2 ай бұрын
Uyo mkewako Muda nimzanzibari au nimtwana...ata kujistiri nivazi la uchamungu..... nyinyi kwakweli nimtihani.....mke gani huyo anaekaa uchi Hivyo...ilatazama hiariyako hii nidunia tu.....Kuna day of judgement.....Mungu hajaribiwi....
@fortunatafelician56252 ай бұрын
Mungu mtu cyo
@MumewanguАй бұрын
Kwa mujibu mila tamaduni za kizanzibari mke wake yupo uchi na wazanzibari walio wengi wamechukia. Sasa ukiingia kwenye Dini ndio kabisa inampinga. Na mudathiri hawezi kwenda Zanzibar kwa jamaa zake na mke wake akiwa amevaa nguo ya ndani kama ile. Ujinga tu wa nafsi unampelekesha .
@zuweinaalhabsya8773Ай бұрын
Jamani mbona waislam wengi tu wanatembea uchi hamsemi kwani kwa huyu nini cha ajabu.
@kolosii43512 ай бұрын
Waacheni dini zipo moyoni. Angalia moyo sio nje.
@user-zc9ly7qc5v2 ай бұрын
Nje ndokunakuoonyesha ndugu ndomana tukapewa macho yakutizamia wanatudhalilisha kweli hawa watoto
@user-fs7bs6gy4z2 ай бұрын
Hayo ni maneno ya waliokata kamba kw ajli ya kuhalalisha tu utashi wao, lkn Mungu,manabii na vitabu havijasema kua mtu avae na afny apendavyo tu maana dini imo moyoni ispokua ni utashi wa shetani tu ndio hua yuko moyoni