Namna ya kuvuna rozella(karkadee)maana napata tabu sana kuichambua rozella moja moja nishauri kama kuna njia nyengine ya kutumia
@ndizundizu31512 жыл бұрын
Nimefuatilia maelekezo nashukuru nimkulima wa vitunguu mapatikana Nzega
@AbdihakimMohamedy3 ай бұрын
@@ndizundizu3151 vp kilimo cha vitungu kinalipa na vp changamoto zake mm naishi marekani ila nyumbani ni tabora mjini
@MbarakasadikiZegega-d5x19 күн бұрын
Naitaji namba za whatsApp
@nicodemshello1634 ай бұрын
Unasema kweli kabisa
@paulinacherement25342 жыл бұрын
Congratulations br
@JamesLaizerMoko-l8t7 ай бұрын
Biashara gani ya kilimo unaweza kuanza ukiwa na mtaji mdogo? Tafadhali nahitaji majibu ili nielewe
@RubabaTv7 ай бұрын
Wasiliana nasi 0764 148 221
@JEFF-jr1tc3 жыл бұрын
Rubaba bhana ......yaan hii sawa na stories za vijiweni maana saivi washauri wengi vitendo chenga tu..,😎
@RubabaTv3 жыл бұрын
Kama unaamini hivyo ni sawa pia 🤝
@shijamalale11 ай бұрын
Hivi kilimo ni utajiri
@WahabuKombo3 ай бұрын
Je bamia ni matunda?
@adoumpmoussah9393 ай бұрын
Bamia ni Okra kwa english ,angalia kwa you tube,utaiona
@tedymsengezi41762 жыл бұрын
Mbona mnatuwekea picha ya Ginimbi
@athanaskitime14843 жыл бұрын
Lubaba TV una tukosa baadhi ya views kwa sababu unaleta story Ambazo ni maneno tu, tunataka fact, kama ni ufugaji fanya interview na wafugaji live, kama ni wakulima fanya interview na wakulima sio story Ambazo kila siku hata tuki ingia kwenye magrup ya WhatsApp tunapata
@RubabaTv3 жыл бұрын
Sawa tutalifanyia kazi 🤝
@RubabaTv3 жыл бұрын
Lakini pia jitahidi kusikiliza kunakitu utajifunza, sio story tu kwasababi imesaidia watu wengi sana
@hafsahajiabeid57682 жыл бұрын
wanaleta habari wala sio kweli kuhusu muhogo ekari moja kupata zaidi milioni 10 mimi kuna nambawaliitowa nikamuuulia sikupata majibu sahihi mana walisema morogoro kuna soko la muhogo nilipogatilia alanambia soko liko iringa.
@gilbercarlo3252 жыл бұрын
Mimi naona agenda kubwa hapo ni Ku Sabsikalab ndiyo Shamba lenyewe
@davidchristian99702 жыл бұрын
Nikianza na tikiti eka mbili gharama yake ni sh ngapi na production yake ikoje
@RubabaTv2 жыл бұрын
Wasiliana nasi kwa usaidizi zaidi 0764148221
@jumamussa68129 ай бұрын
Unajua sometimes tuseme ukweli channel nyingi za bongo zimejaa ujinga na hii ni Moja wapo. Hivi unawezaje kuweka content kama hii Kwa maneno ya kufikirika? ingependeza sana kama ungefanya direct interview na mkulima tukaona live shambani, lakini unaongea ukiwa kwenye kijiwe Cha kahawa. Hii sio content bali ni umbea kama umbea mwingine wa vijiwe vya kahawa. Badilikeni KZbinrs wa Tanzania. Wengine tupo serious kufatilia hizi channel za kilimo lakini unakuta ni pumba tu, kama content za kilimo hauwezi Bora uache tu bro. Najua utaumia lakini ukweli lazima usemwe.
@RubabaTv9 ай бұрын
Fungua yako mwenyewe upost ambavyo sio ujinga.
@RubabaTv9 ай бұрын
Usiwe wakwanza kutoa maoni bila kujia unachokiongea. Kwenye channel hii kua wakulima wengi sana tumefanya mahojianl. Unakuja na bandle lako la buku unalalamika kama hata nauli ya kuwafata wakulima umetupa