HIKI NDO KILICHOTOKEA IRAN SHAMBULIZI LA ISRAEL NA IRAN MWANZO MWISHO

  Рет қаралды 137,685

HABARI 24

HABARI 24

Күн бұрын

Afisa mkuu wa Iran ameliambia shirika la habari la Reuters "Iran haina mpango wa kulipiza kisasi mara moja dhidi ya Israel," saa chache baada ya shambulio dhidi ya mji wa Isfahan nchini Iran, ambalo linaripotiwa kufanywa na Israel.
Maafisa wawili wa Marekani waliambia vyombo vya habari kwamba shambulio hilo lilitoka Israel, lakini Israel haijadai kuhusika hadi sasa.
"Chanzo cha kigeni cha tukio hilo hakijathibitishwa. Hatujapokea shambulio lolote kutoka nje, na majadiliano yanaegemea zaidi katika kujipenyeza kuliko kushambuliwa," afisa huyo wa Iran alisema kwa sharti la kutotajwa jina.
If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.

Пікірлер: 128
@azizmiraji2610
@azizmiraji2610 Ай бұрын
Israel 🇮🇱 Israel hapo kwa Iran 🇮🇷 wameyatimba vibaya sana
@hassanomarmohamed4100
@hassanomarmohamed4100 6 күн бұрын
Safi sana
@fedinandnjeleka4102
@fedinandnjeleka4102 2 ай бұрын
Safi Sana wadunguaeni hao wanaojiita wayahudi lakini sio bali wasema uongo
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 5 ай бұрын
Oooh allah jaaalia kila la kheri irani na la sharii waepusie
@YohanaChubwa
@YohanaChubwa 5 ай бұрын
Wakati huu ni mda wa kujiweka tayari maana mambo haya yanamchukiza MUNGU tujitoe kwa YESU na kunyenyekea katika mkono wa Mungu.❤
@IdrisaMganga-ef4is
@IdrisaMganga-ef4is 6 ай бұрын
Haina haja ya kushangaa mwisho wa dunia ndo huu (Israel, marekani, uingereza,ufaransa, Olav shows,na NATO na nchi zote zenye kambi za kijeshi za hizo nchi) >>(Irani, Korea kaskazini, China,urusi, india , Pakistani, south Africa.) Hapa namanisha Kua hakuna atakaekua salama hata Tanzania. Baada ya hii vita hakuna Taifa litakalobaki na nguvu tena duniani watu wataishi mithiri ya wanyama pori na ukame mkubwa sana utaiandama dunia dunia itakua ni ya watu wachache Sana tena mmoja mmoja. Kiufupi Tu .
@GrantMwakalambile
@GrantMwakalambile 6 ай бұрын
Acha kamba ww nan kakuambia
@JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN
@JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN 5 ай бұрын
Asante mganga
@MussaAdamu-pb3eb
@MussaAdamu-pb3eb 5 ай бұрын
Hii Vita sio nzuri izraeli wa ubabi
@YusuphMakamba
@YusuphMakamba 3 күн бұрын
Iran isijibu shambulizi hili
@سليمانأسِّ-ش1ز
@سليمانأسِّ-ش1ز 5 ай бұрын
11:51 ❤
@kassimchande4806
@kassimchande4806 9 күн бұрын
Duuh why fighting? We are human all be under the god
@abdulhakhashim764
@abdulhakhashim764 5 ай бұрын
Hakuna...kusimama....Israel... Watandikwe kwa kutosha... Wanaroho Mbaya...wanawatesa palestin... , /Allah Akbar atalipa Inshaaallah😭😭😭😭🙏
@jeromejosia-zp7gr
@jeromejosia-zp7gr 5 ай бұрын
I wait Iran
@kodakblack3836
@kodakblack3836 5 ай бұрын
Hatari sana 🔥💀💀💀💀
@MchungajiNzelani
@MchungajiNzelani 2 ай бұрын
Vinu vya nuclia vya iran vimeshapigwa subirini mtasikia
@mombasa0076
@mombasa0076 6 ай бұрын
Wewe mtangazaji wa DW acha kutudanganya. JUMUIYA ZA KIMATAIFA NDIO KITU GANI ? NI AMERIKA NA ISRAELI AMBAZO DUNIA NZIMA WANAZIOGOPPA. MATAIFA MENGINE YANADANGANYWA TU.....❤
@fedinandnjeleka4102
@fedinandnjeleka4102 13 күн бұрын
@@mombasa0076 hakuna israeli kwa sasa ila wapo wanaojiita wa israeli waliowekwa na marekani na uingereza kwa lengo maalum.wa israeli halisi waliondoshwa zamani sana.miaka 70 tu baada ya kufa na kufufuka kwa kristo na wapo dunia nzima Mungu tu ndie anawajua sasa tunawajua kupitia vitabu vya biblia
@AW-vt9pw
@AW-vt9pw 6 ай бұрын
Huyu Natanyahu kapewa kibali cha kufanya vyovyote atakavyo na Marekani pamoja na jumuia yao wanayoiita UN ni kwa masilahi yao tu. Lakini hicho kibali kimeshindikana kuipiga Iran 🇮🇷. Kwa mawazo yake alifikiri Mu Irani atawaogopa kina Amerika, Britain na washirika wao 5. Mu Irani kajitoa muhanga liwalo na liwe atapambana nao hata kama atazidiwa.
@mombasa0076
@mombasa0076 6 ай бұрын
❤ NI KWELI UNACHOSEMA. UN NI AMERIKA NA ISRAELI . WALIOBAKI NI BENDERA TU.
@abulaaliyah77amani91
@abulaaliyah77amani91 5 ай бұрын
Allah akbar
@nzungushikombesekei
@nzungushikombesekei 6 ай бұрын
Safi Sana Irani wako NGANGARI kinoma
@pastorzakariatv1786
@pastorzakariatv1786 6 ай бұрын
Wako ngangali sabubu wametungua drones tatu?😂😂😂😂
@FeisalDoctor-wr8ws
@FeisalDoctor-wr8ws 6 ай бұрын
​@@pastorzakariatv1786we mtumwa wa wayahudi fuatilia taarifa vizuri umeielew hii taarifa au unakurupuka
@RamlaMburi
@RamlaMburi 6 ай бұрын
​@@pastorzakariatv1786Ulitaka wadungue ngapi wakati zilitumwa hizo hizo tatu 😂😂
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 6 ай бұрын
Ndronse zilizotumwa ni tatu tu​@@pastorzakariatv1786
@gospalflavour7304
@gospalflavour7304 5 ай бұрын
Wajaribu kujibu tena ndo tutajua wapi panapovuja😂😂😂😂😂
@IzackKidenya
@IzackKidenya 5 ай бұрын
Mungu bariki Israel kila atakayewagusa apigwe Amen!
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 4 ай бұрын
Israel mashoga
@ramadhaniomary9241
@ramadhaniomary9241 2 ай бұрын
Kumbe na wewe ni shoga Duu
@AbdallahSalim-is3db
@AbdallahSalim-is3db 6 ай бұрын
Ushauri wangu kwa waarabu wote kua sasa ni wakati sahihi wakulifuta taifa la kigeni hapo ktk mataifa yenu ya majangwa.sababu A. Hawatambue uwepo wa Allah. B mashoga na ushoga hautambuliwi na dini zote. C wamewekwa hapo kwa ajili ya kifisidi kila kilicho cha waarabu.
@FridayMwassa
@FridayMwassa 5 ай бұрын
Allah ni Mungu wa waarabu wayahudi Mungu wao ni Yahweh
@zakariamalembela3974
@zakariamalembela3974 5 ай бұрын
Africans jamn duuu, kwanini msiombee mazuri Nchi zenu za kiafrika mnakuwa kama mifugo yaani. Mm yakiuana haya meupe nafurahi sanaa, yameuaga, kunyanyasa, kudharirisha waafrika wengi sanaa, lkn utamkuta Mwafrika komwe lake Eti pray for Iran, mara pray for Israel yaani kama matahira hayajielewi, mnaowaombea hawawapendi hata kdg.
@Kachelo96
@Kachelo96 20 күн бұрын
Hii chaneri imelosa habari Tena hahahahahaha
@PaulLikwawa
@PaulLikwawa 6 ай бұрын
Israel ni kibaraka wa Marekani na Magharibi mwisho wao umefika. Mungu tunakuomba wajaalie ushindi Iran.
@love_579
@love_579 6 ай бұрын
Mungu akipenda❤
@abubakarbonda653
@abubakarbonda653 12 күн бұрын
Israel anataka kuwa mbabe wa Dunia na pia marekani ndy anampa jeuri
@bobdirector
@bobdirector 5 ай бұрын
Mungu isaidie Israeli Baba isipatikane na atia
@jeromejosia-zp7gr
@jeromejosia-zp7gr 5 ай бұрын
Unaombea magaidi wahovyo sana ww
@zakariamalembela3974
@zakariamalembela3974 5 ай бұрын
Badala uombee Familia yako😂😂, Africans jamn duu 🙌🏻
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 4 ай бұрын
Israel mashoga
@allykassim1120
@allykassim1120 6 ай бұрын
hapo inajulikana kuwa mchokozi ni islael asubili Tena majibu ya pili
@floraflora5717
@floraflora5717 6 ай бұрын
😅 Aki nimecheka kidogo
@emmanuelletema8385
@emmanuelletema8385 5 ай бұрын
Kashaingia kwenye mfumo Iran ametafutwa amepatikana yale yale ya Iraq
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 4 ай бұрын
​@@emmanuelletema8385Israel mashoga tu
@MchungajiNzelani
@MchungajiNzelani 2 ай бұрын
Mwarabu haweza kwa israel subirini tu
@MjumbeAgano
@MjumbeAgano 5 ай бұрын
Ni Mjumbe wa agano pekee ndiye ALIYEPEWA ELIMU ya ufalme wa Mungu duniani na kuondolewa kwa roho zote za uchafu zitoke kwa watu na waingie kwenye ufalme wa Mungu kwa Neno la wakati angalia KZbin Mjumbe Agano upate semina ya mwisho wa Dunia na jinsi kanisa halisi linavyojengwa na kunyakuliwa barikiwa sana asante Malaki 3:1-3, 4:1-6. Kabla ya vita kuu ya dunia.
@ramadhaniomary9241
@ramadhaniomary9241 2 ай бұрын
Wewe umelishwa kasumba mungu haweki ahadi na mashoga abadan
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 6 ай бұрын
Hapa kuna wanafiki wana comment, wale wale walikua wakiponda EZRAEL ndio hao ao wako hapa wanaterea EZRAEL
@aaricdeking8280
@aaricdeking8280 5 ай бұрын
Vita havina mwenyewe lakini israel ipo palee anayedhani atafanikiwa kuwafuta ajitutumuee, , hahahahaa
@usaskauswege8023
@usaskauswege8023 6 ай бұрын
Toeni taarifa bila kulalia upande wowote. Kwa taarifa zenu mnaonekana kuibeba Iran.
@YassinRajabu
@YassinRajabu 6 ай бұрын
izo dini zenu zakuletewa zita wasumbua sana
@DaddySBuda-dp6nq
@DaddySBuda-dp6nq 6 ай бұрын
Dalili za mwisho ndio hizo
@NdebileMathias
@NdebileMathias 6 ай бұрын
Islaeli mchokozi sana
@rev.asanterabi7440
@rev.asanterabi7440 6 ай бұрын
Israel sio mchokozi bali Iran siku zote inasema itaifuta Israel kwenye ramani. Israeli inatambua kuwa inachukiwa na kwa hiyo mara nyingi lazima ilipize kisasi kuhakikisha kuwa maadui zake hawarudii kuwatishia. Iran na nchi za kiislamu zina chuki sana dhidi ya Israel. Huu mzozo sio wa kisiasa tu bali ni wa kiroho na tunakoelekea ni kutimizwa kwa maandiko Matakatifu kwamba siku za mwisho Iran ikishirikiana na Urusi na nchi nyingine nyingi wataivamia Israel na hapo ndipo Mungu atajitokeza na kuwaadhibu ikiwa ni ishara kwa ulimwengu kwamba Israel ni Taifa lake. Someni kitabu cha Ezekiel Sura ya 38 hadi 39.
@davidsaibu2930
@davidsaibu2930 6 ай бұрын
saana
@SwahiliSister-o5v
@SwahiliSister-o5v 5 ай бұрын
Tabla hawajaanza kupigana vita tuambieni tufunge virago vyetu
@gospalflavour7304
@gospalflavour7304 5 ай бұрын
Kiko wapi kilichotokea,mmatuletea story za abunwasi!?
@aminiyohana2129
@aminiyohana2129 6 ай бұрын
Walimuwuwa ghadafi wakaona powa acha Iran isimame kidede Kwa hao makafiri
@paulvimbamvula9508
@paulvimbamvula9508 5 ай бұрын
Tusiwombe mabaya ....lakini Iran kuwa vitani na Israel,Iran itapata tabu sana....Israel ipo vizuri sana juu ya Irani
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 5 ай бұрын
Makafiri wana washughuliki vizuri wenye dini unaita mtu kafiri unafikiri hilo ni kitu ya maana apa muhimu nikuagamiza magaidi wawe wenye dini au makafiri Israel 🇮🇱 itanyoosha kbs
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 4 ай бұрын
​@@festokivuyo7121Israel mashoga makafiri
@HajiMkomwa
@HajiMkomwa 2 ай бұрын
​@@festokivuyo7121magaidi nihao wAnaofadhili vita kutoa silaha nakwendakushambulia raia
@HajiMkomwa
@HajiMkomwa 2 ай бұрын
Hao magaidi wAnaofadhili vita kwa manufaa ya uchumi wao huwaoni au kwann kama wao si magaidi kwann hawatoi suluhisho la matakwa ya wapalestina ilikusiwe na vita magaidi nihao hao marekani na Israel kwasababu wamesema wanataka wawe wanajitawala wenyewe wao hawataki Kuna nn hapo
@usaskauswege8023
@usaskauswege8023 6 ай бұрын
Waandishi toeni taarifa kwa usahihi. Mnajishushia hadhi kwa taarifa zisizo na ukweli.
@AbdalahMtambuka-rh1dp
@AbdalahMtambuka-rh1dp 5 ай бұрын
watufulani wanatuombea Dua sisi tuuwawe na ban islaile illa inshaallah Iran itam.bomoa uyo islaili akileta nwoko
@FarajiAli-u2k
@FarajiAli-u2k 6 ай бұрын
Iran anujua vizuri njama za Hawa jamaa.iran anajua anchofanya.mm nauliza tuu.huyu sadam . Na gadafi kosa lao nn?
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 6 ай бұрын
Waliokataa kumtii huyu mungu mtu mmagaribi ndio kosa lao mmarekani ni ibilisi la dunia
@abdulbakari1220
@abdulbakari1220 6 ай бұрын
Acheni uwongo
@RajabJr-r6y
@RajabJr-r6y 6 ай бұрын
Uongo gani wanaosema hawa wachambuz wamebobea kwny kaz zao na wanachokichambua ndio uhalisia ulivyo ,,,Acha ufala na mihemuko ya kisenge
@ibrahimallyweunaijuahiyoco8608
@ibrahimallyweunaijuahiyoco8608 6 ай бұрын
toa habari zako za ukweli choko kweli
@MarokeMaroke-e3n
@MarokeMaroke-e3n 5 ай бұрын
Israël kupigwa nihaki kabisa sababu najisi lazima iondolewe kandokando ya maeneo twahara.
@iddyramathan4507
@iddyramathan4507 5 ай бұрын
Iran mpigie huyo shetan
@catherinecostantino2034
@catherinecostantino2034 6 ай бұрын
Kwanin Israel ilishambulia ubaroz wa iran
@boniphace.mark.2033
@boniphace.mark.2033 6 ай бұрын
KUWENI MAKINI KATIKA UANDISHI DW MSIWE WAONGO, HIVYO TU.
@MichaelMuhoja
@MichaelMuhoja 5 ай бұрын
sure, they lie dw
@naomikrause1762
@naomikrause1762 6 ай бұрын
ANAYE HILAHANI ESIRAELI MUNGU HAMULAHANI 🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🙏🙏🙏🙏
@ibrahimallyweunaijuahiyoco8608
@ibrahimallyweunaijuahiyoco8608 6 ай бұрын
hao si wasenge wenzenu kuna mashoga na wasagaji wenu
@SADICKITHOMAS
@SADICKITHOMAS 6 ай бұрын
Israel inayoua watoto na wanawake wasio na hatia na wazee Mungu hawez barik nchi yenye kutambua ushoga na usagaji
@ZailaiMlawa
@ZailaiMlawa 6 ай бұрын
Mungu amlaani anayeitetea Israel.
@umfahad2609
@umfahad2609 6 ай бұрын
@@ZailaiMlawaameeen🤲💕
@OS-pf6op
@OS-pf6op 6 ай бұрын
Waliodunguliwa ni Iran, sasa unaandikaje Israeli? Bogus!
@jeromejosia-zp7gr
@jeromejosia-zp7gr 5 ай бұрын
Israel mwisho wenu unaonekana ngoja mpigike
@iddyramathan4507
@iddyramathan4507 7 күн бұрын
Piga shetan wakiyahud
@FarajiAli-u2k
@FarajiAli-u2k 6 ай бұрын
Sasa zimetumbuka kwaio nikama zinapigwa kilazima .wamenoa
@HappySilvano
@HappySilvano 6 ай бұрын
Hakuna umoja wa mataifa hapo
@KilimbikeHaji-iy2fm
@KilimbikeHaji-iy2fm 5 ай бұрын
Yaaahha yakuduss yaaahha yaajjabar tunakuomba tuangamiziee hao waiziraili na washilika waoo Popote walipo duniani nakila anayo muunga mkono izirali wanagamize amiiiiiiiiin yarrabana takabali duwaaa zetu
@MohammedPakia
@MohammedPakia 6 ай бұрын
Pande zotembili achani Vita kwa masilah yalahia wenu
@gospalflavour7304
@gospalflavour7304 5 ай бұрын
Good
@florenceLema-ou4my
@florenceLema-ou4my 5 ай бұрын
naiombea amani lsrael
@listerwami6825
@listerwami6825 6 ай бұрын
Kwa hiyo walilala wakaamuka kuwasha mitambo
@catherinecostantino2034
@catherinecostantino2034 6 ай бұрын
Huo ni udhaifu Sana Sana kwenye mfumo wa ulinz
@Fahadsaid-q6i
@Fahadsaid-q6i 5 ай бұрын
Kumbe irani wanaongea kiswahili
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 6 ай бұрын
Iran wangekuwa na uwezo wange piga kilakitu
@danielmusyoki3786
@danielmusyoki3786 6 ай бұрын
Uta wasaidia??
@ThomasKeya-z1p
@ThomasKeya-z1p 6 ай бұрын
Hii ni igizo
@rashidkitundu2550
@rashidkitundu2550 5 ай бұрын
😅
@Kagineemmanuel
@Kagineemmanuel 6 ай бұрын
🇮🇱 ❤
@dominicksangu8934
@dominicksangu8934 6 ай бұрын
Tukopamoja iran
@boscomwangosi1042
@boscomwangosi1042 5 ай бұрын
Wewe chukua shahada acha unafifiki
@listerwami6825
@listerwami6825 6 ай бұрын
Mara Miripuko mara tumedungua acheni umbea
@RamlaMburi
@RamlaMburi 6 ай бұрын
Milipuko ilitokana na vile mifumo ya ulinzi ilivyo react baada ya kujua inashambuliwa, mbona walishasema?
@binseif2216
@binseif2216 6 ай бұрын
Piga hao masheitwan wa kiyahudi
@naomikrause1762
@naomikrause1762 6 ай бұрын
🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱I WAESIRAELI NI TAIFA TEULE LA MWENYEEZI MUNGU MUNGU IBARIKI🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱
@HappySilvano
@HappySilvano 6 ай бұрын
Taifa teule sio la kinyama ivyo nifigisu hakuna taifa teule hapo
@davidsaibu2930
@davidsaibu2930 6 ай бұрын
usilo lijua nisawa na usku wagiza
@AbdallahSalim-is3db
@AbdallahSalim-is3db 6 ай бұрын
Akili za bangi zinanuka moshi tuu
@allymangosongo5570
@allymangosongo5570 6 ай бұрын
Izi media za magharibi propaganda
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 5 ай бұрын
Danganya mtoto wako
@pastorzakariatv1786
@pastorzakariatv1786 6 ай бұрын
Hawaoni aibu makombola zaid ya mia tatu kujibiwa na droes tatu
@hassanmlawa-o6s
@hassanmlawa-o6s 6 ай бұрын
Drone zimerushwa Ili wasionekane wajinga lakin lsrael wanaogopa moto was Iran
@yohanamwamkili4397
@yohanamwamkili4397 6 ай бұрын
@@hassanmlawa-o6smi nnachowapendea nyie jamaa ni kitu kimoja, mkijifunguaga wenyewe na huko mnakosalia mnadanganyana weeee mnapeana vichwaa moto ukiwaka mnaanza kulia. Hv kwa akili yako jumlisha na za ukoo wako israel anaweza muogopa iran? Tangu lin myahudi akamuogopa mwarabu yyte yule? Shida ya nyie uwezo wa ku streach mind
@SalimuAmasi-x6b
@SalimuAmasi-x6b 6 ай бұрын
Na weeee yona jinga kumbe
@umfahad2609
@umfahad2609 6 ай бұрын
broo umesoma wapi ? Kakwambia nani km Iran ni mwarabu? Au chuki binafsi ndio zinakueleza hivyo…? Kuna tofayti kubwa kati ya muiran na mwarabu ht lugha ni tofauti kabisa.
@Abdoulyousouf
@Abdoulyousouf 6 ай бұрын
​@@yohanamwamkili4397kama nyie mnavojifungia kanisani na kudanganyana ISRAEL ni taifa la MUNGU kumbe ni taifa la mashoga
@ramadhanhassan5285
@ramadhanhassan5285 6 ай бұрын
Huyu nyeta nyau namuombea dua kwa mungu afe tena kwa kansa
@Ernestlaiza
@Ernestlaiza 6 ай бұрын
Kwanza weww ndo utakufa kifo kibaya mno
@wilfredmlaki822
@wilfredmlaki822 6 ай бұрын
Angalia utakufa wewe kwanza
@Fadhilimwamlima
@Fadhilimwamlima 6 ай бұрын
Tupeni taarifa sahii hii midea tunaiamini sana jaman
How Israel Eliminated Yahya Sinwar#israel #yahyasinwar
9:37
AiTelly
Рет қаралды 124 М.
黑的奸计得逞 #古风
00:24
Black and white double fury
Рет қаралды 16 МЛН
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
00:34
Mark Rober
Рет қаралды 59 МЛН
Hiki ndicho kinachomfanya Marekani na Israel wamuogope Iran
35:23
4th African School on Decentralisation
1:17:50
Dullah Omar Institute UWC
Рет қаралды 307