Siri nzito nyuma ya vita na uchafu mwingi unao endelea Duniani,Ifahamu Marekani zaidi ya uijuavyo,
Пікірлер: 298
@dominicksurusi46287 ай бұрын
Tunataka watu wanaokuja na facts kama huyu profesa. Sio kuja kulialia bila uhakika❤
@nadirmahfoudh18127 ай бұрын
Prof, umeelezea vizuri sana na kwa ufasaha.
@husseinmbaya4855Ай бұрын
Mungu akulinde akupe afya
@harounalubbaid85857 ай бұрын
PROFESSOR HAMZA NJOZI ALLAH SUBHANA WATAALA AKUBARIKI.
@msamgunda76846 ай бұрын
Aminarabil aalamina.
@saidiyusufumuhode31597 ай бұрын
Wao wanapanga Allah nae anapanga
@joshuasamson30237 ай бұрын
Nmepata kitu tofautisan sheeh asante sana izisiri wanafichasana
@FridayMwassa21 күн бұрын
Nani anaficha,mwambie shehe aeleze uislam ulivyo sambaa duniani
@joshuasamson30237 ай бұрын
Mungu akuzishie my aka mingisana mzee wetu
@sonnyr18997 ай бұрын
Huyu Mze Allah amzidishiye umri mrefu.
@theloyaltz16597 ай бұрын
MashaAllah! Allah amzidishie ilm na ufaham
@maryamm37387 ай бұрын
Shekhe uko vizur kisiasa❤
@abubakarmohammed26132 ай бұрын
Kabsaa Allah amhifadhi
@raymondjohn37987 ай бұрын
Well said Mzee,Asante Sana, nikweli kabisa Ile sio nchi ya ahadi nimaneno tu,Wale niwaongo sana,nampaka hivi walikua kila wakati wanapanua mpaka wa nchi kwenda pembeni Zaidi kuelekea Kwa wapalestina!!!!,
@godfreyobadiah78926 ай бұрын
Km vitabu mashuhuri Biblia na Quraan tunavyoviamini duniani vina history moja ya kabila hili la uzao wa Ibrahim basi changamoto ni dini tofauti ya kuabudu.
@ellymaz21876 ай бұрын
Isingekuwa nchi ya ahadi wasingeitaka ile, jangwa tupu lile wangekuja Africa wajichukulie kiulaini tu. Halafu jiulize asili ya Wayahudi ni wapi sasa? Halafu Musa alivyowatoa Misri aliwapeleka wapi?
@sharomdguda6 ай бұрын
Soma qurani yako 17 : 104 tuone km Quran nayo ni uwongo😅
@willykomba70487 ай бұрын
This analysis is excellent; well researched, argued and presented. This is superior to the old introductory course PS 202 at UD!
@josepheriah59776 ай бұрын
Us strong
@josepheriah59776 ай бұрын
Marekan babalao
@maqwaybaran99056 ай бұрын
14:12
@KassimSalumu-fk6yk6 ай бұрын
@@josepheriah5977Acha ulofa ingia You tube andika lisu awatolea uvivu Israel na marekani ina 1:40 Kisha utanipa mrejesho nakufungua akili. Maana lisu no mwanasheria pia kasoma mataifa ya magharibi kwa maana Masters kachukua Uingereza Ila sikia majibu yake Kisha tafakari kwa mwenye akili ondoa umbumbumbu.
@BIGBOSS-hl3bu6 ай бұрын
Hii ndio tofauti kati ya mkiristo wa Africa na waulaya ,ulaya wanajua KWAMBA mayahudi ndio watesi wa yesu na afrika wanajua mayahudi ni watakatifu,Mimi namshukuru allah Kwa kuniongoza kupitia mafunzo sahihi ya dini ya kiislamu yenye kumtambua yesu kama nabii MUHIMU sana KATIKA maisha yangu
@makambatimbertraderscompan3112 ай бұрын
Nawaona Vijana wa Kigalatia wanavyopiga Kelele humu kama mbwa niwaambie tu kuwa Nyie hamna Udugu wowote na Waisrael wala wale mayahud hawawatambui Nyie Kabisa.Wao Mtume wao ni Musa na kitabu chao ni Taurati.
@shyfettymtunda46197 ай бұрын
Napenda sana hizi documentaries.Kuna mengi naanza kuyafahamu.
@FridayMwassa7 ай бұрын
Unapenda kwasababu wanaongelea unachokitaka ila wakisema kinyume na ukipendacho utakuja na matusi hapa
@shyfettymtunda46197 ай бұрын
Mbona kama wewe ndo unataka waongelee unachokitaka??? Halafu hata kama wataongelea vitu sitaafikiana navyo sitafikia hatua ya kutukana,sikulelewa hivyo. Pinga hoja kwa hoja,usipinge hoja kwa matusi.Itatuonyesha akili yako ni fupi kiasi gani.Asante.
@jumahozza-dg6ec7 ай бұрын
Kalamu mashaallah mnajitahd san Allah awe nanyi
@kalamuMedia7 ай бұрын
Ahsante,aamin
@user-bs2ix5wf2k6 ай бұрын
Vizuri SANA prof itafsiriwe kwa kingereza 25:31
@user-bs2ix5wf2k6 ай бұрын
Nzuri SANA prof udadavuaji mzuri
@user-dk8lm3tf1j7 ай бұрын
Mashaallah Elmu Bahar hapa! ❤❤
@agreykombe53967 ай бұрын
Huyu mzee anatakiwa alindwe na awekwe kwenyekitengo cha intelenjisia ya tanzania katika kutoa maamuzi ya kimataifa
@alijuma80097 ай бұрын
Mashalah
@yassinhamza19697 ай бұрын
Point sana
@mussaomary66267 ай бұрын
Jembe huyo my tutor
@ramygichero10167 ай бұрын
Very Professionally
@jamalissa38777 ай бұрын
asante
@issakhamis95817 ай бұрын
Asant sana kwakutupa elimu
@Kulindwa7 ай бұрын
Uyahudi ni dini ya waumini walioteseka sana duniani, hivyo isichanganywe na uisrael ambayo ni jamii ya wana wa nabii yacub
@user-lt1bi5nr1x7 ай бұрын
Kichwa imetulia mzee
@user-lt1bi5nr1x7 ай бұрын
Ni kweli hamna vita pale gaza ni mauaji tu ya raia
@Brother4others7 ай бұрын
Zanzibar wapo sehemu Gani
@victaboy72737 ай бұрын
Mzee anajua
@user-lt1bi5nr1x7 ай бұрын
Alafu tunakalia maandiko watu wanafanya yao waafrika pumbavu sana
@yusuphrashidi-dr1kb7 ай бұрын
Sheikh alisahau iraqi itagawanywa mara 3 qurdish,sunni,shia mashaallah yupo vzr
@ezekieljacob57956 ай бұрын
Ndiyo maana wanasema,elimu haina mwisho
@akimzeli50307 ай бұрын
Sub'hanallah!
@marthakimia40755 ай бұрын
Ameanza kueleza kuwa wayahudi walitapaa dunia nzima kutoka wapi? Nchi yao hasa ilikuwa wapi?
@ShemsaKiobya27 күн бұрын
Ukitaka kumuamisha mtu mtafutie sehemu, ngorongoro wametafutiwa sehemu
@godfreydavid68477 ай бұрын
Walumuua Yesu wakiwa katika nchi gani?
@user-lb1nb2ls9g6 ай бұрын
Mngemwamini Mungu msingehangaika, imeandikwa ktk biblia neno la Mungu, kuwa waislaeli wataondoka israeli, baadaya miaka mingi wangerudi tena israeli, ndicho kilichotokea, mnacho jadili ni namna njia iliyotumika kutekelezwa agizo la Mungu, mfano Mungu alisema, hakika mtakufa, hili lazima litokee kwanjia yoyote, iwe maradhi, ajali, njaa, vyovyote, niutekelezwaji wa matakwa ya Mungu.
@libaal10717 ай бұрын
Mashallah hao nchi 3 ni Kurdish
@allykisuda14587 ай бұрын
Why so
@user-lt1bi5nr1x7 ай бұрын
Marekani hawatafaulu abadani. Watashindwa mapema mno. Rusia na china wasitupane na korea kaskazini
@godfreydavid68477 ай бұрын
Duh
@rwekazamugasha64486 ай бұрын
Low intensity conflict ni kutoĵumusha utu wa binadamu umepungua. Vita ni biashara ya siraha ya wa amerikani. Hawana dini
@adammaro78366 ай бұрын
Shida ni kwamba kila mmoja anapotosha kwa maslahi ya dini yake, lakini rejea historia hasa pale General Titus baada ya kuzima maasi ya wayahudi na wengine kukimbilia nchi za mbali, Warumi waliofanya mambo makubwa mawili la kwanza kubomoa hekalu la Yerusalem ambalo ilikuwa ni ishara ya uwepo kwa taifa la Israel ambalo ilikuwa katika eneo ambalo Warumi waliwahi kuliita JUDEA, jambo la pili kubadilisha eneo kuwa PALESTINE, ili kupoteza ule utambulisho, lakini Umar Ibn Khatab akapigilia msumari wa Mwisho baada ya kuitwaa Yerusalem. Hapa Mimi naona kwa kuwa waisrael amerejea baada ya muda mrefu, wajitahidi kuweka mpango wa kukaa pamoja au Palestina iwe na mamlaka yake na Israel iwe na mamlaka yake.
@Kwelihukuwekahuru6 ай бұрын
Swali ninalojiuliza kwani Israel asili ya taifa lao ni wapii maana tunaambiwa walitapakaa duniani
@King_Of_Everything6 ай бұрын
👊✌👍.
@gracekagoma32316 ай бұрын
Vita ni biashara nzuri saana kwa baadhi😢
@saidseleman29736 ай бұрын
Solomon Ni mparestina kasome
@user-lt1bi5nr1x7 ай бұрын
Yahudi ni gaidi hakuna gaidi duniani wa kabila ingine
@johnnyoni75716 ай бұрын
Asa nte sana kwa historian kubwa,maana tunadanganywa tuu na madhehebu
@halfanijuma76466 ай бұрын
At least i get the lights
@abubakarmohammed26132 ай бұрын
Imagine masheikhe wetu wa "social media" wangekuwa na ufahamu huu wa kisiasa kwa kiasi waislamu wengi hawangehadaika na democracy na uovu wake!
@kalamuMedia2 ай бұрын
Sana
@ellymaz21876 ай бұрын
Prof naomba kujua asili ya Wayahudi ni wapi kabla hawajasambaa kwenye mataifa mengine??
@FridayMwassa21 күн бұрын
Ebu twambie wayahudi kama David, Suleiman na Yesu kwao ilikuwa wapi na wapalestina waliingiaje pale
@TM-zs3rm7 ай бұрын
Nakışa hongera ya kujielimisha kwa hili.
@w40587 ай бұрын
Hawa mayahudi ni babaric monstrous killer
@methodrweyendera68146 ай бұрын
Na wale wa ua kila asiyeamini Je
@ummahmed33546 ай бұрын
Daula ya kiislam sio hujuma ya wamarekani...Bali ni waislamu wa ukweli wanaopigania kuurudusha doll ya kiislam kama alivyotabiri Rasuurullah
@seifabdul71536 ай бұрын
Waingereza ndiyo waliowaingiza hapo Israel kama wakimbizi na vitambulisho vyao mayahud viliandikwa ni wakimbizi picha tunazo
@alikamberis6 ай бұрын
Mzee lakini salomon alikuwa king wa israel ao wa wa palestina??
@josephmasanja85846 ай бұрын
Kwann waislam wengi wana maneno mengi saana juu juu ya Israeli, Palestine, Marekani, na kujitia kujuajua sana juu ya migogoro ya kidunia wakati daima hawana mipango ya kujielimisha juu ya elimu na maisha ya duniani??
@franklyn74397 ай бұрын
Aiseee haya madini ni hatari
@user-lt1bi5nr1x7 ай бұрын
Waje waigawe na tz wizi mwingi
@djalasaleh5 ай бұрын
SHIHA, SUNNI, NA kurdish
@hajikhamis66087 ай бұрын
Hio hoteli ya wayahudi Zanzibar inaitwaje?
@simonnembomadola75127 ай бұрын
Acha chuki dini tumeletewa tu. Toka uislam uanzishwe kumekuwa na Aya nyingi za kuwalaani wayahudi na kutoa maagizo ya kuwaua na kuwaita majina mabaya. Kipindi Cha mtume wayahudi walipata Kila aina ya madhara na wengine kuchinjwa kwa madai ya kutaka kumuua mtume.Tuwaachie mapambano yao
@godfreyhiza10756 ай бұрын
Naomba mnisaidie HAMAS wamemua Mtanzania Mweusi kwa makusudi .....hivi naye kosa lake nini?
@sharomdguda6 ай бұрын
Hawezi kukujibu hata ukimuuliza Hamas na Israel nani kaanzisha vita
@ShemsaKiobya27 күн бұрын
Heri wawatafutie sehemu kuliko kuwauwa watu
@godfreyobadiah78927 ай бұрын
Km America anaweza kuwagawa na mkagawanyika ni vizuri sana !
@w40587 ай бұрын
Watu kama wewe mnatakiwa muombewe dua sana sana ya kutanabahishwa mnaifurahia maovu yakiwafika wenzene what goes around comes around iko siku yatawafika mlio vilio vya mbwa midomo juu chunga sana upuuzi wenu wa kikatili huo kumbumuka adhabu ya muuwaji na mshangiriaji ni sawa sawa
@w40587 ай бұрын
Nyie wenyewe mmegawanywa huko Africa kwenu mnauwana wenyewe kwa wenyewe mkiporwa madini yenu pumbavu kubwa wewe
@hassankilengah47867 ай бұрын
Usisahau na sisi tumegawanya bado kupoteana njia tu.
@sammarley14137 ай бұрын
Ulivo mjinga unaona naww ume coment😊. Ok kawagawa wamegawanyika ebu tuambie Nani anawagawa wa africa wenzetu Congo nakuwauwa kwa umati? Unayajua mauwaji ya kimbari dhidi yakabila la himba Namibia ? Rwanda? Ethiophia? Unakijua kinacokaribia kutokea cameroune? VP South Sudan baada yawajinga kama ww kusherehekea Uhuru wa south soudan nini kinacoendelea? Aceni upumbavu sio lazima muwe watumwa wawazungu mungu anamkubali yeyote yule muhim roho safi
@godfreyobadiah78926 ай бұрын
@@w4058 kwa hiyo amerika ana kosa gani km sio wenye makosa waarabu na waafrika !
@user-sd5hj2im4q7 ай бұрын
Dah kumbe bongo vichwa vipo
@clarencehilary55887 ай бұрын
Acha kuchanganya uchokozi wa hamas na udini
@hidayahidaya-vd3ze6 ай бұрын
Wazanzibar watabakiaunafik munaunga mkono izraili raisi wenu hata pole hakuwapa palesteina Kazi siyasa znz
@noelnjementi85117 ай бұрын
Warikubari kwakuwa nikwao mliwafukuza nyunyi
@broumaiyyah80187 ай бұрын
Nan aliwafukuza?
@dannyngaiza70655 ай бұрын
Kwani Hamas walivyoingia Israel walifanya sherehe au?
@victoreleonardmdee91586 ай бұрын
Hivi Israel Kwao ni wapi
@mfirimassawe90236 ай бұрын
Wamelaaniwa hao mayahud mazayun
@hemedjackson22615 ай бұрын
Takwimu za artificial hizi kwamb marekani yuk juu kiuchumu lakini in reality China ndio namb moja kiuchumu saiv ila nchi na vyombo vy habar za magharibi hazitoi takwimu za kweli
@DarleneNsengiyumva7 ай бұрын
Skukran mze wetu kwa ufafanuzi wako.hao raia wanao patikana katika nchi nne ambazo ni uturuki, irani, irake na siriya.niwa kurde.
@ezekieljacob57956 ай бұрын
Duuuu weeee unamfundisha professor ???
@paschalmartin95986 ай бұрын
Tatizo mnageuza ni vita vya kidini kumbe ni ardhi
@rasammudmar54556 ай бұрын
Prof hata mm naungana na wewe
@LastdayJesu41536 ай бұрын
Wangepima DNA wangeshanga kwa ujinga wanaoendelea nao😊
@athumanmapunda6 ай бұрын
Okay
@fabianmainchanyangachika50176 ай бұрын
Wayahudi Sio wazungu kama mnavyo tuaminiaha, Hao Ni wayahudi Wa mchango
@tozzowilliams3086 ай бұрын
Unaongea vizuri professor ila nadhani kuna mambo unayakosa kuhusu mashariki ya kati na geo politics.....
@AliSalim-yu4mo6 ай бұрын
Hakuna popote ilipoandikwa kama kuna nchi inayoitwa Izraeil au itakuja kuwa Izraeil! Izraeil ni jina la Nabii Yakoob nae ndie aliyezaa watoto kumi na wawili kupitia wake zake wawili (2) mmoja alimzaalia watoto kumi (10) na mwengine watoto wawili(2) Hawa ndio Wana wa Izraeil!na ndiyo waliozaa MAKABILA kumi na Mawili kutoka Kwa hao watoto kumi na wawili Kati ya hao wawili ni Nabii Yusouf na mdogo wake Bin Amin au (Benjamin)
@victoreleonardmdee91586 ай бұрын
Je Israel kwao ni wapi Hasa
@vincentcharles43857 ай бұрын
Huo u professor umepewa au umejivika
@1961nungwi6 ай бұрын
U Professor hupewi Wala hujipi; unakuja automatically kutokana na knowledge unayo zalisha
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp6 ай бұрын
Majua wabongo akili na ufahamu hatuna hatujaji nchi yetu bali tunajaji yawengine tunaendeswe kama kuku tuangalie kwanza taifa letu sio tunajaji ya inchi za wenzetu tubadilike wabongo
@user-lt1bi5nr1x7 ай бұрын
Rusia akili mingi
@mwakatundujr16746 ай бұрын
Ni nchi ya ahadi hilo halina ubishi😅😅😅
@shukranechimale27226 ай бұрын
Israel ni taifa la michongo michongo🤣🤣 kifup hawana akili
@josepheriah59776 ай бұрын
Us mbabe
@ShemsaKiobya27 күн бұрын
.unafikiri wakati lbrahim anatoka kurdi anaambiwa aende nchi aliyooaidiwa ilikuwa aina watu?
@user-sl1ko9me7u7 ай бұрын
MAREKANI, UINGEREZA NA WAZAYUNI WOTE WANAPANGA MIPANGO YAO....LAKINI MWENYEZI MUNGU MTUKUFU ANAWAAIBISHA!
@johnsinyinza74507 ай бұрын
Mahandaki ya hamas yanini. Si nimagaidi.
@user-sb6gy6dx1m6 ай бұрын
Hamas ndo magaidi,je hao waisraeli..?ubongo wa ndege ww.
@user-wr6tg8xf6z7 ай бұрын
Kabla ya kutawanyika kwa mataifa mengine Wayahudi walitokea Wapi?
@broumaiyyah80187 ай бұрын
Muulize hitler
@user-lt1bi5nr1x7 ай бұрын
Ngara
@guidoliusmichaelhulilo38867 ай бұрын
Butiama😝🤣
@salminisaleh92497 ай бұрын
Baba Wa Uyahudi Alizaliwa Wapi?
@mombasa00766 ай бұрын
WAFANYE LAKINI NA WAO WATALIPWA TU.
@gracekagoma32316 ай бұрын
Sasa kwanini hamas wakaanzisha hiyo vita tarehe 7.10.2023?
@user-ij9te1ck9p27 күн бұрын
ISRAIL Ina satilait na enterligencia ya kutosha unahisi hawakufaham kilichotaka kutokezea na kukizuzia kwani hamus yenyewe ilianzishwa na nani na kusapotiwa kiuchumi km sio Israel kwa lengo la kuleta vuguvugu la kisiasa na kupata sababu ya malengo yake kutimia ata ISIS yenyewe ilianzishwa na Muisraili na marekani Ili kuiaminisha Dunia kuwa uislaam ndio Ugaidi Ili kuleta chuki na waweze kutimiza lengo lao la new world orders nchi za kiislam ndio kikwazo Chao kutokana misimamo ya Imani Yao nje ya nchi na jamii za kiislam tayari Dunia mngekwisha pokea Sheria zao za Kimagharibi ushoga na mengine endeleeni kuamini ivoivo kuwa ISRAIL ni taifa la Teule na kulishwa matango pori msipofaham watakunya kuelewa wajukuu wenu picha litakavyokamilika
@maqwaybaran99056 ай бұрын
14:45 uongo mwingine wayahudi wengi walikuwa ulaya Mashariki na Urusi na sio ulaya magharibi. Sheikh ni muongo
@AbdulrahmanMahanje6 ай бұрын
mpuuzi wew
@makambatimbertraderscompan3112 ай бұрын
Ujerumani ni Ulaya Mashariki au magharibi Wewe Mgalatia
@yambazykaratta37936 ай бұрын
Kwa hakika Prof. umefanya uchambuzi yakinifu, nami nimejifunza mengi. Lakini kuna jambo hili kuwa Israel ni nchi ya ahadi kwa wayahudi, jambo hilo ni la kiunabii, unabii huo umetia kwa exactly. Soma Ezekiel 36 yote, lakini haswa mistari ya 19-24, 28-30, 33-36. Unabii huo ni wa miaka takriban 2700, yaani kama miaka 700 kabla ya Yesu, na umekuja kutimia mwaka 1948 Israel waliporudi, baada yakukataa kupewa nchi yoyote nyingine, wakataka nchi yao wenyewe kama walivyoahidiwa na Mungu ktk hiyo Ezekiel 36:24. Someni Bible muone mambo haya.
@khalidmnganah99016 ай бұрын
Napenda nikiri baada ya kusikia uchambuzi huu, niseme nimepanda ngazi ya ufahamu jinsi gani maslahi yanavyotangulizwa kuliko ubinadamu. Siasa za dunia ni unafiki na ukandamizwaji wa kisayansi na ghilba tupu. Hakuna ukweli ni ulaghai tu. Shukran Prof.
@djalasaleh6 ай бұрын
1948 MAJAMBAZI WA KISIONISTE( KHAZARS, ASHKINAZIS)
@maqwaybaran99056 ай бұрын
Professor muongo sana anaongelea upande wa dini yake ya suruali fupi na kuficha baada ya mambo muhimu
@maqwaybaran99056 ай бұрын
@@djalasalehgaidi mwenye suruali fupi mjukuu wa Mudi katika ubora wako
@rumdeesonsoa18116 ай бұрын
Biblia imeandikwa hivo na wazungu ili iendane na kile wazungu wanataka. Wazungu wamekuwa wakibadilisha mistari ya biblia ili iendelee na kile wao wanataka
@godfreyobadiah78927 ай бұрын
Baba asante kwa elimu lkn ungeanza kutuelezea hawa watu walitapakaa kote duniani wakitokea asili kwao wapi ?
@georgenyasudi40606 ай бұрын
Hilo swali wote wanalikwepa, na la ajabu ni kuwa jawabu wanalo. Very hypocritical people.
@georgenyasudi40606 ай бұрын
All Muslims in their analogy they explain very well how Jews were spread all over the world. Ironically, none of them want to explain where were the Jews before they found themselves spread all over.
@godfreyobadiah78926 ай бұрын
@@georgenyasudi4060 kweli ndugu yangu hawa watu ni tatizo na imani yao imekuwa changamoto kwa amani duniani.
@zenahussein22426 ай бұрын
Hata Palestine wayahudi wapo na waliishi na Palestine Bila shida yeyote. Ila hao wayahudi wageni ndio tatizo.
@godfreyobadiah78926 ай бұрын
@@zenahussein2242 Wayahudi wenyeji wawakaribishe na kuwakubali wanaorudi nyumbani.
@user-lt1bi5nr1x7 ай бұрын
Waislamu tuna akili mingi sana hapa duniani na akhera allah atutunze
@mathewbicco66567 ай бұрын
😂😂😂...acha ufala. Binadamu wote ni sawa na wana akili
@simonnembomadola75127 ай бұрын
Mnalishwa ujinga sana na hadithi zenu.Ufala heti mna akili nyingi 😂😂
@vincentcharles43857 ай бұрын
Akili za kula kitimoto au?
@ramadhanchenga46067 ай бұрын
Akili za kutengeneza tende nchi gani ya kiislamu Ina technologia
Osama alienda kujifunza america kupigania uhuru wa taifa gani ? nimekunukuu hapo mwl.
@samwelmatemu88736 ай бұрын
Mbona nyinyi hamzungunzi kuhusu mauwaji ya waizirael .hamasi wameuwa watu 1400 hao sio watu?na wapalestina walifanya sherehe .ningekuwa Mimi ni iziraeli ningekuwa nauwa kila nitakae kutana nae awe mdogo awe mtu mzima