Historia Fupi ya Kisiwa cha Pate, Lamu.

  Рет қаралды 56,362

Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir

Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir

Күн бұрын

All my videos are meant to inform and educate the viewers in general on very relevant issues.
#mombasa #kenya #eastafrica #africa #lamu #bajuni #news #usa #europe #worldcupqatar #JustStambulin'

Пікірлер: 282
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du Жыл бұрын
Mimi ni mzawa wa Unguja, Zanzibar. Nilibahatika kutembelea Lamu na Pate. Nilifurahi sana kuwaona ndugu zangu wa huko, japo kuna tofauti ndogo ndogo baadhi ya maneno lakini tulifahamiana uzuri na nilijihisi kama niko kwetu Unguja. Asante kwa maalumati haya muhimu, kuna haja kubwa ya kuifahamu historia yetu kupitia kwa wazawa. Kuna haja pia ya kuuhuisha umoja wa watu wa mwambao wa afrika ya mashariki. Insha allah ipo siku ile golden age itarejea tena na itadumu zaidi ya mara iliyopita.
@jambo3751
@jambo3751 Жыл бұрын
Na Mimi pia natoka Zanzibar na niliwahi kuishi katika kisiwa cha Lamu na niliwahi pia kufika hapo PATE na kuzunguka kisiwa chote hicho cha Pate na nilifikia kwa wenyeji wangu sehemu inayoitwa CHUNDWA wakati nilipotembelea hapo Pate nawashukuru sana watu wote wa Visiwa vya Lamu na Pate Kiwayuu Ndau na kote kwa ukarimu wao Allah awalipe kila la kheri. Watu wa mwambao wa Africa mashariki sote ni ndugu .
@hashimseif1194
@hashimseif1194 10 ай бұрын
Assalamu alaikum. Hakika ninafaidika sana na darsa za Sheikh Stambuli wa Sheikh Abdillahi Nassir.Wakati wa miaka ya 1987 nilipata bahati ya kusoma Kisauni nikatembelea Lamu ,Shangarubu ,Siyu, Faza,Chundwa,Pate,Shela ,na baadhi ya visiwa vyengine majina yake nimevisahau.Pia kuna wanachuoni walinisomesha ninao wakumbuka Sheikh Ali Lodi ,Sheikh Hassan Husein,S heikh Dumila wa birikau, pia nilikuwa nikisikiliza darsa za Sharifu khitami masjid Mendhir Kibokoni.Hakika mila zao na desturi zao zinafanana sana nahapa kwetu Unguja.Watu wakarimu mno na wanaupenda uislamu na elimu yake. Na huyu Sheikh Stambuli wa Sheikh Abdillahi Nassir nilikuwa niimuon mitaa ya Ingilani ,na mara moja moja nilikuwa nikimsikia akizungumza historia ya Zanzibar ,na wakati ule wanasiasa wa zamani hapa Unguja walikuwa wahai mmoja nilimuuliza kwanini huu mwambao wa Mombasa ukawa Kenya ?alinambia waingereza walitaka wende huko na kulikuwa na watu wakiongozwa na yule Sheikh aliekuwa akitoa darsa Bilali mission siku za Ashuraa na wenziwe walipinga sana lakini muengereza aliwagawa mijikenda na waswahili, na wakafanywa mijikenda ni wenyeji na waswahili ni kizazi cha waarabu. Akafaulu muengereza kuifanya ni Kenya.Nipo Unguja Zanzibar nazi fuatilia darsa zako Sheikh Istambul .Allah akutengenezee mambo yako.
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 10 ай бұрын
@@hashimseif1194 Aameen
@swalehdiesel8340
@swalehdiesel8340 Жыл бұрын
Napenda kusikia historia za mahala tumetoka...mashallah baba yetu
@nawazasiwazi8061
@nawazasiwazi8061 Жыл бұрын
Khalifa Bwanamaka Khalifa Very good narrator, Good job brother Allah Akuhifadhii na Akuzidishie Elimu zaidi. Amiin.
@ummusalim1991
@ummusalim1991 Жыл бұрын
Ma shaa Allah TabarakaAllah, tungepata video nzury zaidi za pate tukanufaika sanaa nako,nimefahamu mingi Alhamdlh
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Ahsanta sana. Na, inshaa'Allah, Mwenyezi Mngu atatujaaliya tuweze kunufaishana zaidi kwa hiki kidogo cha fahamu alizotujaaliya.
@HansChuma
@HansChuma 4 ай бұрын
Mimi niwapwan dar es salaam huaga nasemaga sisi wote watu wapwan kaka moja mama moja baba moja shangazi mmoja Alhamdullillah mashallah
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 4 ай бұрын
Nashukuru ndugu yangu kwa msimamo wako. Mwenyezi Mngu akujazi maishani.
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Safi sana kwa historia nzuri
@thebanadirfactor306
@thebanadirfactor306 Жыл бұрын
Well presented video
@faizamohamed6993
@faizamohamed6993 Жыл бұрын
I salute you brother for the good work of educating us of our coastal history 👏👏👏
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
May the Almighty guide and bless us all abundantly. Shukran.
@salimbunu8717
@salimbunu8717 Ай бұрын
Historia Mzuri shukran,ingekuwa vizuri utaje vijiji vote vilioko kisiwa cha pate(Pate Island ) katika utangulizi ,Kwa faida ya mskilizaji,Kisha ndio ndio ufanye Tahasus ya pate Kama Kijiji kimoja Katika Pate Island .katika Pate Island,Kuna vijiji vengine Kama ,Shanga,Siyu,Rasini, Tchundwa, kizingitini, na kadhakika.
@jkizondoswahilibites434
@jkizondoswahilibites434 Жыл бұрын
MashaAllah babangu Allah akuweke Allahuma Ameen yaa rabb ❤
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 Жыл бұрын
Kazi nzuri, lugha Safi....
@obbah3873
@obbah3873 6 күн бұрын
Keep going with the excellent work. I'm one of the very few remaining descendants of the Portuguese merchants that once lived in Pate. Patê in Portuguese means 'head' or 'chief' or 'leader' not to be confused with the sea food (salmon patê).The leader of the islands used to reside there when my ancestors sailed to those shores.
@Mbarak1
@Mbarak1 Жыл бұрын
Asalaam aleykum Tunaomba nasi watu wa tanga kutaka kujua historia ya mji wetu kwa tusiyoyajua
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Inshaa'Allah, tutashughulikia hill.
@Mbarak1
@Mbarak1 Жыл бұрын
@@stambuliwash.abdillahinass8123 afuan sheikh langu
@Shamso697
@Shamso697 Жыл бұрын
MashaAllah ❤
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Shukran.
@MKuli-x6o
@MKuli-x6o Жыл бұрын
Nabhani masha alaah
@rashochano6949
@rashochano6949 Жыл бұрын
Kazi nzuri bwana stambuli, tuelimishe.
@idrisadalluc4498
@idrisadalluc4498 6 ай бұрын
Asante mzee wangu hua napenda sana kusikiliza stor na hasili yangu pwani na mzee asili ya kizaz changu
@nancywachira
@nancywachira Жыл бұрын
Good history 🔥🔥 nimenifunza mengi ... Asante sana Sheik... Kuna pia wale wasichana bikra Saba walistiriwa Na Mungu fanya hiyo Na Ile YA njia za underground zinazienda Rasini
@kingoriwanjau8575
@kingoriwanjau8575 Жыл бұрын
Kamum ur crazy mbna nmekuelewa na sjakuelewa
@aliyissa9857
@aliyissa9857 Жыл бұрын
Very informative
@mafiaonlinetv9833
@mafiaonlinetv9833 Жыл бұрын
Mashaallah,asli ya wazee wangu huko ukoo wa Nabahani.
@baqirhemraj7639
@baqirhemraj7639 Жыл бұрын
Very informative, we need more of such youtube videos.
@mbarakali1873
@mbarakali1873 Жыл бұрын
Sheikh stambuli tupee vituu , MashaAllah
@osamashakeeb7194
@osamashakeeb7194 Жыл бұрын
Shukraan ❤❤❤❤❤
@mohamedlalimahazi9932
@mohamedlalimahazi9932 Жыл бұрын
Kali mzuri sana asanta
@lacroquetalacroqueta6813
@lacroquetalacroqueta6813 Жыл бұрын
Allah akupe afya njema na kila mtu💚
@husseinali5535
@husseinali5535 Жыл бұрын
Shukran sana brother for let us know
@mohammedbadi6757
@mohammedbadi6757 Жыл бұрын
Baraka ALLAHU FIIK Shukraan sana.
@abulali9264
@abulali9264 Жыл бұрын
Mashaallah barakallah Allah akuhifadhi kwa ilmu nafiya
@abubakarbakedumila5006
@abubakarbakedumila5006 Жыл бұрын
Home sweet home Lamu pate island siyu 💪👌
@abdallahmasare3116
@abdallahmasare3116 Жыл бұрын
Shukran mzee wetu kwa historia hii.
@idrismohamed2691
@idrismohamed2691 Жыл бұрын
Asc stambul mashaallah kazi kwako
@salimmbwana6926
@salimmbwana6926 Жыл бұрын
Mpaka matamshi ya lugha ya kiswahili ni sawa sawa Wazanzibari na Wapate.
@maragolihistory2118
@maragolihistory2118 Жыл бұрын
Best channel Ever.
@innocentman5954
@innocentman5954 Жыл бұрын
Sheikh Istambul shukran jazilan kwa jitihada zako na elim ii yenye manufaa. Nina swali.. niliwah kuskia kua kuna mskiti kibla chake kimeelekea yabtul maqdas hapa pate. Je ni kwel? Ahsantum
@javedabdulrahman7080
@javedabdulrahman7080 Жыл бұрын
Makala mazuri,Masha Allah Stanbuli.
@salahabass7605
@salahabass7605 Жыл бұрын
اللهم إحفظ أهل الساحل
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Allahumma aamiin. Ahsanta.
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du Жыл бұрын
Aamiin
@simoncrompton2951
@simoncrompton2951 Жыл бұрын
Kazi nzuri
@leekulaten3676
@leekulaten3676 Жыл бұрын
Mashallah
@hamisikalama1286
@hamisikalama1286 Жыл бұрын
Kumbe pwani tuna wanahistoria wazuri nahuyu anakiswahili murua matamko yake namfananisha na Sheikh Stambuli,Mimi nimpenda hadithi zidi kutujuza usisite.
@muhammadsheekh7993
@muhammadsheekh7993 Жыл бұрын
Hyo ni shekh stabul hujamfananisha
@muhammadmahsen3754
@muhammadmahsen3754 Жыл бұрын
Shukran kwa maelezo muhimu ya historia ya Patte
@muktaermohammed2377
@muktaermohammed2377 Жыл бұрын
We will continue fighting until Independents of oromo Land Including our port city of Lamu and the red sea Port of zalila soon back to oromo muktaer W.B.O
@Shamso697
@Shamso697 Жыл бұрын
Fool this is not Ethiopia 😂
@Stanbul.Y
@Stanbul.Y Жыл бұрын
Shukran
@saidothman2521
@saidothman2521 Жыл бұрын
Sheikh naomba kujua historia ya kabila la Albatawy lilivyoingia katika mwambao wa Afrika mashariki
@doza1031
@doza1031 Жыл бұрын
Wallai history nzuri sana ila ni fupi sana
@abdallahselemani6423
@abdallahselemani6423 Жыл бұрын
Hawa ndugu zetu kabisa wa pemba
@abudyhahan7376
@abudyhahan7376 Жыл бұрын
Allaah amrehemu babu yangu hii ni true story alinielezeea WALLAHI tena .alinipa hii story
@brayo001
@brayo001 Жыл бұрын
Hao watu waliokuwa wakiishi huko Pate lakini hawakustaarabika ndio wenyeji haswa...
@star-husaynaveiro2852
@star-husaynaveiro2852 Жыл бұрын
mashaAllah, home sweet home...
@ba_yu72
@ba_yu72 Жыл бұрын
Naomba ufike kisiwani Tumbatu na Paje kusoma historia ya hapo,naona hujasibu historia hiyo kwa usahihi hasa.
@righttoknowwiththomas9178
@righttoknowwiththomas9178 4 ай бұрын
Are you related to stambuli who used to be an adult education officer
@feisal6592
@feisal6592 Жыл бұрын
Yess
@nassimjamal1606
@nassimjamal1606 Жыл бұрын
Who are the natives whom youve described running and hidding themselves??? Who are they ?
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Pate Island is wide and its natives vary depending on where the war was taking place. There is Pate, Rasini (Faza), Siu, Shanga, Kizingitini etc.
@Heegooat
@Heegooat 7 ай бұрын
Meru people I believe. They actually say they came from Manda island! They followed Tana river up to Maua and adopted farming.
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 Жыл бұрын
Tungependa kuona zaidi...
@adamsalim6863
@adamsalim6863 Жыл бұрын
Tupe histori ya wachangamwe
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Inshaa'Allah, nitafanya hivyo ndugu yangu.
@MuhammadRashid-jq7eq
@MuhammadRashid-jq7eq Жыл бұрын
Mzee stambuli abillahi nassir twafaidikia na historia unayoitoa ya mwambo WA pwani
@ZuenaSharifu
@ZuenaSharifu 3 ай бұрын
Wallah nataman niende lamu nipo Zanzibar
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 11 ай бұрын
Watu wa pate kiswahili chao kama cha zanzibar tofauti na watu wa mombasa
@MKuli-x6o
@MKuli-x6o Жыл бұрын
Masha alah
@maryamhamad3485
@maryamhamad3485 Жыл бұрын
Mashaallah, lamu ni kwetu,sante sana
@faithfultoyeshua4576
@faithfultoyeshua4576 Жыл бұрын
Interesting
@hemedsaidi9388
@hemedsaidi9388 Жыл бұрын
Anaitwa bwana maka niliwahi kusikia historia ya majina ya "Bwanamaka"😭😭😭😭😭😭
@mkenyamzalendo4130
@mkenyamzalendo4130 Жыл бұрын
Kazi nzuri mzee
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 Жыл бұрын
Ulipotea wapi ? Ulihama Huston Texas ? Hiyo kwewe yako IPO wapi ? Mimi Ni mwanachama wa MRC na kukumbusha
@mkenyamzalendo4130
@mkenyamzalendo4130 Жыл бұрын
@@hassanalhussein3982 safi MRC ,jaribu Ruto sahii
@mkenyamzalendo4130
@mkenyamzalendo4130 Жыл бұрын
@@hassanalhussein3982 niko Kwale sahii na sihami
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 Жыл бұрын
@@mkenyamzalendo4130 Wewe upo Huston Texas.
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 Жыл бұрын
@@mkenyamzalendo4130 Kwani Ruto Ni nani ? Wewe mkalenjini hutishi mtu Hapa Pwani.
@hemedsaidi9388
@hemedsaidi9388 Жыл бұрын
Huyo kijana ana nasaba ya maka
@MKuli-x6o
@MKuli-x6o Жыл бұрын
King nabhani
@hemedsaidi9388
@hemedsaidi9388 Жыл бұрын
Ni mashia
@hemedsaidi9388
@hemedsaidi9388 Жыл бұрын
Huyo ni Ahl Bayt Rasulillah
@2kayyo340
@2kayyo340 Жыл бұрын
Popa star this. Is great.khaleed.
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Shukran sana Popa. Allah baarik.
@2kayyo340
@2kayyo340 Жыл бұрын
@@stambuliwash.abdillahinass8123 Ameen
@Stanbul.Y
@Stanbul.Y Жыл бұрын
Somalia kisimaiyu tupe story
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Inshaa'Allah, coming soon!
@salma0000
@salma0000 Жыл бұрын
Mkoloni kawaida yake ni kufuta historia, mila na desturi za anaowatawala kwa hiyo msichoke kufundisha watoto wenu historia yao.
@Blowcurlyhead
@Blowcurlyhead Жыл бұрын
Kweli Kabisa
@dhakomodherooherokoko6037
@dhakomodherooherokoko6037 Жыл бұрын
Na mkoloni alileta dini ya uislamu na ukristo. Usikasirike 😂😂
@salma0000
@salma0000 Жыл бұрын
@@dhakomodherooherokoko6037 hao wakoloni wa kiarabu walileta dini ya haki ndio maana mpaka leo wao wanaendelea kuifuata lakini hao waliokuletea wewe dini ya mchngo wao wenyewe hawaifuati tena sasa, wanaabudu pombe na kufirana tu
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 Жыл бұрын
@@dhakomodherooherokoko6037 Wazungu waliwafunza kuvaa nguo lakini muarabu hakutufunza kuvaa nguo. Walikuta wapwani wamestaarabika. Nyinyi mulikua mukitembea uchi huko kwenu Kenya.
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 Жыл бұрын
@@salma0000 daah, mbona ukorofi hivi
@nyanjechengokarisa1540
@nyanjechengokarisa1540 Жыл бұрын
Ndio niwavamizi nyinyi sikwenu huku hii coast niyamijikenda siyawarabu
@lenniefei6710
@lenniefei6710 Жыл бұрын
Mavigo....wamajikenda kwa upuuzi huo ndio maana wabara wamewatawala na ardhi zote kuibiwa!!!!
@tahiraabdul1701
@tahiraabdul1701 Жыл бұрын
Nani mvamizi?Mijikenda si wapwani halisi walikuja kutoka Shungwaya
@lenniefei6710
@lenniefei6710 Жыл бұрын
@@tahiraabdul1701 Nao wafukuzwe ama maana yake nini ?!
@tahiraabdul1701
@tahiraabdul1701 Жыл бұрын
@@lenniefei6710 waateni
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Kwani Mijikenda walikuja lini kwenye ufuo huu kutoka huko Singwaya/Shungwaya?!
@mundhirdunia
@mundhirdunia Жыл бұрын
MAMA uko is For okk0 Is one that has the.
@shoobare460
@shoobare460 Жыл бұрын
lamu somaalia🇸🇴🇸🇴
@MKuli-x6o
@MKuli-x6o Жыл бұрын
Minge Somali nabhani
@JK-um6op
@JK-um6op Жыл бұрын
Kenya ni yetu wote .. Wacha kugawanya wakenya kwa kabila.. Sasa sisi tulizaliwa mpeketoni kwetu ni wapi? Hii ni kasumba ya kugawa Kenya kikabila aki.. tafadali shek hapana gawa wa Kenya.. asante sana.
@maryndunge78
@maryndunge78 Жыл бұрын
Ukweli wauma na utabaki kuwa kweli! history will be thire whether you like it or not ! Wengi wenyu hamtaki ukweli juu mtafichuliwa uozo wenyu kwa tamaduni za kipwani. mumebadilisha hadi mila zilizoko Pwani si mavazi si uchumi. .wacha Shek aweke mambo paruwanja
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Kwa hakika, kila mtu ana namna anavyoelewa jambo lolote linapoelezwa na mtu mwengine, na wewe huna makosa kuelewa hivyo ulivyoelewa. Lakini, haya tunayoeleza hapa ndiyo kweli ilivyo na inavyopaswa kuelezwa! Inshaa'Allah, ukiendelea kufuata makala haya kwa makini utaelewa kuwa lengo letu hata si hivyo unavyofikiria wewe kabisa! Mwenyezi Mngu atatuongoza sote.
@salimmachila5736
@salimmachila5736 Жыл бұрын
Kasumba walizifanya akina uhuru... bring your point with facts sio drama
@JK-um6op
@JK-um6op Жыл бұрын
@@salimmachila5736 watch what you say my friend.. hii Kenya ni yetu wote..hakuna sehemu itatengwa kwa watu or kabila Fulani.. we have freedom of movement and leaving any where you wish..
@salimmachila5736
@salimmachila5736 Жыл бұрын
@@JK-um6op ukweli wauma
@maryndunge78
@maryndunge78 Жыл бұрын
Kazi nzuri sana angalau tupate kujua historia ya Pwani na Kenya
@areyoureal2723
@areyoureal2723 Жыл бұрын
Mashallah kazi nzuri sana inshallah twawaombea muzidi kuendelea inshaallah, ila kidogo kunao khitilafu katika part ya shanga ,shanga kulingana na historia zile ruins sio zao wale n watu wakuja n wasiu wakawapokea lkn kulingana na historia pale ni siu sio shanga shukraan.
@mwinyiramadhani2029
@mwinyiramadhani2029 Жыл бұрын
Masha Allah , makala mazuri
@Issa_negro
@Issa_negro Жыл бұрын
Naipenda historia kama hii Ila sio historia za kikoloni😂
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
😁😁
Kisiwa cha Wasini eneo la pwani ni chenye historia kongwea
9:05
KENYATTA FARMERS - SOUND
10:49
British Movietone
Рет қаралды 98 М.
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 16 МЛН
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 3,3 МЛН
Amazing Parenting Hacks! 👶✨ #ParentingTips #LifeHacks
00:18
Snack Chat
Рет қаралды 22 МЛН
Historia: Hivi Ndivyo Ilivyo - Makala ya Kwanza.
23:08
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 14 М.
Historia Fupi ya Kisiwa cha Pate - Makala ya Pili.
14:57
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 6 М.
Vioja Mahakamani I Watu Kuuza Shamba Kuenda Kuona Mpira Qatar
24:57
KBC Channel 1 TV Shows
Рет қаралды 261 М.
Je, Wapwani Tukidai Haki Zetu Mutatupatia?!
18:17
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 6 М.
Je, Mwambao Uliuzwa?! - Makala ya Pili.
15:45
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 10 М.
Unyama wa Vasco da Gama na Kanisa Katholiki dhidi ya Waswahili.
19:40
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 3,5 М.
Kweli kuhusu Uwanja wa Makadara-Makala ya Pili.
17:17
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 1,7 М.
Waswahili ni Wapwani Halisi - Makala ya Kwanza.
34:52
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 3,1 М.
Kweli kuhusu Uwanja wa Makadara-Makala ya Tatu.
19:51
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 1,2 М.
Marufuku ya Muguka Pwani (Utangulizi).
23:38
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 3,2 М.