Historia Fupi ya Kisiwa cha Pate, Lamu.

  Рет қаралды 54,976

Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir

Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir

Жыл бұрын

All my videos are meant to inform and educate the viewers in general on very relevant issues.
#mombasa #kenya #eastafrica #africa #lamu #bajuni #news #usa #europe #worldcupqatar #JustStambulin'

Пікірлер: 281
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du Жыл бұрын
Mimi ni mzawa wa Unguja, Zanzibar. Nilibahatika kutembelea Lamu na Pate. Nilifurahi sana kuwaona ndugu zangu wa huko, japo kuna tofauti ndogo ndogo baadhi ya maneno lakini tulifahamiana uzuri na nilijihisi kama niko kwetu Unguja. Asante kwa maalumati haya muhimu, kuna haja kubwa ya kuifahamu historia yetu kupitia kwa wazawa. Kuna haja pia ya kuuhuisha umoja wa watu wa mwambao wa afrika ya mashariki. Insha allah ipo siku ile golden age itarejea tena na itadumu zaidi ya mara iliyopita.
@jambo3751
@jambo3751 Жыл бұрын
Na Mimi pia natoka Zanzibar na niliwahi kuishi katika kisiwa cha Lamu na niliwahi pia kufika hapo PATE na kuzunguka kisiwa chote hicho cha Pate na nilifikia kwa wenyeji wangu sehemu inayoitwa CHUNDWA wakati nilipotembelea hapo Pate nawashukuru sana watu wote wa Visiwa vya Lamu na Pate Kiwayuu Ndau na kote kwa ukarimu wao Allah awalipe kila la kheri. Watu wa mwambao wa Africa mashariki sote ni ndugu .
@hashimseif1194
@hashimseif1194 7 ай бұрын
Assalamu alaikum. Hakika ninafaidika sana na darsa za Sheikh Stambuli wa Sheikh Abdillahi Nassir.Wakati wa miaka ya 1987 nilipata bahati ya kusoma Kisauni nikatembelea Lamu ,Shangarubu ,Siyu, Faza,Chundwa,Pate,Shela ,na baadhi ya visiwa vyengine majina yake nimevisahau.Pia kuna wanachuoni walinisomesha ninao wakumbuka Sheikh Ali Lodi ,Sheikh Hassan Husein,S heikh Dumila wa birikau, pia nilikuwa nikisikiliza darsa za Sharifu khitami masjid Mendhir Kibokoni.Hakika mila zao na desturi zao zinafanana sana nahapa kwetu Unguja.Watu wakarimu mno na wanaupenda uislamu na elimu yake. Na huyu Sheikh Stambuli wa Sheikh Abdillahi Nassir nilikuwa niimuon mitaa ya Ingilani ,na mara moja moja nilikuwa nikimsikia akizungumza historia ya Zanzibar ,na wakati ule wanasiasa wa zamani hapa Unguja walikuwa wahai mmoja nilimuuliza kwanini huu mwambao wa Mombasa ukawa Kenya ?alinambia waingereza walitaka wende huko na kulikuwa na watu wakiongozwa na yule Sheikh aliekuwa akitoa darsa Bilali mission siku za Ashuraa na wenziwe walipinga sana lakini muengereza aliwagawa mijikenda na waswahili, na wakafanywa mijikenda ni wenyeji na waswahili ni kizazi cha waarabu. Akafaulu muengereza kuifanya ni Kenya.Nipo Unguja Zanzibar nazi fuatilia darsa zako Sheikh Istambul .Allah akutengenezee mambo yako.
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 7 ай бұрын
@@hashimseif1194 Aameen
@nawazasiwazi8061
@nawazasiwazi8061 Жыл бұрын
Khalifa Bwanamaka Khalifa Very good narrator, Good job brother Allah Akuhifadhii na Akuzidishie Elimu zaidi. Amiin.
@swalehdiesel8340
@swalehdiesel8340 Жыл бұрын
Napenda kusikia historia za mahala tumetoka...mashallah baba yetu
@faizamohamed6993
@faizamohamed6993 Жыл бұрын
I salute you brother for the good work of educating us of our coastal history 👏👏👏
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
May the Almighty guide and bless us all abundantly. Shukran.
@HansChuma
@HansChuma Ай бұрын
Mimi niwapwan dar es salaam huaga nasemaga sisi wote watu wapwan kaka moja mama moja baba moja shangazi mmoja Alhamdullillah mashallah
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Ай бұрын
Nashukuru ndugu yangu kwa msimamo wako. Mwenyezi Mngu akujazi maishani.
@ummusalim1991
@ummusalim1991 Жыл бұрын
Ma shaa Allah TabarakaAllah, tungepata video nzury zaidi za pate tukanufaika sanaa nako,nimefahamu mingi Alhamdlh
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Ahsanta sana. Na, inshaa'Allah, Mwenyezi Mngu atatujaaliya tuweze kunufaishana zaidi kwa hiki kidogo cha fahamu alizotujaaliya.
@thebanadirfactor306
@thebanadirfactor306 Жыл бұрын
Well presented video
@maryndunge78
@maryndunge78 Жыл бұрын
Kazi nzuri sana angalau tupate kujua historia ya Pwani na Kenya
@jkizondoswahilibites434
@jkizondoswahilibites434 Жыл бұрын
MashaAllah babangu Allah akuweke Allahuma Ameen yaa rabb ❤
@nancywachira
@nancywachira Жыл бұрын
Good history 🔥🔥 nimenifunza mengi ... Asante sana Sheik... Kuna pia wale wasichana bikra Saba walistiriwa Na Mungu fanya hiyo Na Ile YA njia za underground zinazienda Rasini
@kingoriwanjau8575
@kingoriwanjau8575 Жыл бұрын
Kamum ur crazy mbna nmekuelewa na sjakuelewa
@rashochano6949
@rashochano6949 Жыл бұрын
Kazi nzuri bwana stambuli, tuelimishe.
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Safi sana kwa historia nzuri
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 Жыл бұрын
Kazi nzuri, lugha Safi....
@abulali9264
@abulali9264 Жыл бұрын
Mashaallah barakallah Allah akuhifadhi kwa ilmu nafiya
@idrisadalluc4498
@idrisadalluc4498 3 ай бұрын
Asante mzee wangu hua napenda sana kusikiliza stor na hasili yangu pwani na mzee asili ya kizaz changu
@Shamso697
@Shamso697 Жыл бұрын
MashaAllah ❤
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Shukran.
@mafiaonlinetv9833
@mafiaonlinetv9833 Жыл бұрын
Mashaallah,asli ya wazee wangu huko ukoo wa Nabahani.
@user-lh8nb1gf1y
@user-lh8nb1gf1y 9 ай бұрын
Nabhani masha alaah
@lacroquetalacroqueta6813
@lacroquetalacroqueta6813 Жыл бұрын
Allah akupe afya njema na kila mtu💚
@baqirhemraj7639
@baqirhemraj7639 Жыл бұрын
Very informative, we need more of such youtube videos.
@abubakarbakedumila5006
@abubakarbakedumila5006 Жыл бұрын
Home sweet home Lamu pate island siyu 💪👌
@husseinali5535
@husseinali5535 Жыл бұрын
Shukran sana brother for let us know
@mbarakali1873
@mbarakali1873 Жыл бұрын
Sheikh stambuli tupee vituu , MashaAllah
@mohammedbadi6757
@mohammedbadi6757 Жыл бұрын
Baraka ALLAHU FIIK Shukraan sana.
@abdallahmasare3116
@abdallahmasare3116 Жыл бұрын
Shukran mzee wetu kwa historia hii.
@aliyissa9857
@aliyissa9857 Жыл бұрын
Very informative
@maragolihistory2118
@maragolihistory2118 Жыл бұрын
Best channel Ever.
@osamashakeeb7194
@osamashakeeb7194 Жыл бұрын
Shukraan ❤❤❤❤❤
@mohamedlalimahazi9932
@mohamedlalimahazi9932 Жыл бұрын
Kali mzuri sana asanta
@idrismohamed2691
@idrismohamed2691 Жыл бұрын
Asc stambul mashaallah kazi kwako
@areyoureal2723
@areyoureal2723 Жыл бұрын
Mashallah kazi nzuri sana inshallah twawaombea muzidi kuendelea inshaallah, ila kidogo kunao khitilafu katika part ya shanga ,shanga kulingana na historia zile ruins sio zao wale n watu wakuja n wasiu wakawapokea lkn kulingana na historia pale ni siu sio shanga shukraan.
@javedabdulrahman7080
@javedabdulrahman7080 Жыл бұрын
Makala mazuri,Masha Allah Stanbuli.
@MuhammadRashid-jq7eq
@MuhammadRashid-jq7eq Жыл бұрын
Mzee stambuli abillahi nassir twafaidikia na historia unayoitoa ya mwambo WA pwani
@salimmbwana6926
@salimmbwana6926 Жыл бұрын
Mpaka matamshi ya lugha ya kiswahili ni sawa sawa Wazanzibari na Wapate.
@Mbarak1
@Mbarak1 Жыл бұрын
Asalaam aleykum Tunaomba nasi watu wa tanga kutaka kujua historia ya mji wetu kwa tusiyoyajua
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Inshaa'Allah, tutashughulikia hill.
@Mbarak1
@Mbarak1 Жыл бұрын
@@stambuliwash.abdillahinass8123 afuan sheikh langu
@simoncrompton2951
@simoncrompton2951 Жыл бұрын
Kazi nzuri
@muhammadmahsen3754
@muhammadmahsen3754 Жыл бұрын
Shukran kwa maelezo muhimu ya historia ya Patte
@hamisikalama1286
@hamisikalama1286 Жыл бұрын
Kumbe pwani tuna wanahistoria wazuri nahuyu anakiswahili murua matamko yake namfananisha na Sheikh Stambuli,Mimi nimpenda hadithi zidi kutujuza usisite.
@muhammadsheekh7993
@muhammadsheekh7993 Жыл бұрын
Hyo ni shekh stabul hujamfananisha
@muktaermohammed2377
@muktaermohammed2377 Жыл бұрын
We will continue fighting until Independents of oromo Land Including our port city of Lamu and the red sea Port of zalila soon back to oromo muktaer W.B.O
@Shamso697
@Shamso697 Жыл бұрын
Fool this is not Ethiopia 😂
@salahabass7605
@salahabass7605 Жыл бұрын
اللهم إحفظ أهل الساحل
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Allahumma aamiin. Ahsanta.
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du Жыл бұрын
Aamiin
@mwinyiramadhani2029
@mwinyiramadhani2029 Жыл бұрын
Masha Allah , makala mazuri
@doza1031
@doza1031 Жыл бұрын
Wallai history nzuri sana ila ni fupi sana
@innocentman5954
@innocentman5954 Жыл бұрын
Sheikh Istambul shukran jazilan kwa jitihada zako na elim ii yenye manufaa. Nina swali.. niliwah kuskia kua kuna mskiti kibla chake kimeelekea yabtul maqdas hapa pate. Je ni kwel? Ahsantum
@leekulaten3676
@leekulaten3676 Жыл бұрын
Mashallah
@brayo001
@brayo001 Жыл бұрын
Hao watu waliokuwa wakiishi huko Pate lakini hawakustaarabika ndio wenyeji haswa...
@abudyhahan7376
@abudyhahan7376 Жыл бұрын
Allaah amrehemu babu yangu hii ni true story alinielezeea WALLAHI tena .alinipa hii story
@star-husaynaveiro2852
@star-husaynaveiro2852 Жыл бұрын
mashaAllah, home sweet home...
@Issa_negro
@Issa_negro Жыл бұрын
Naipenda historia kama hii Ila sio historia za kikoloni😂
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
😁😁
@abdallahselemani6423
@abdallahselemani6423 Жыл бұрын
Hawa ndugu zetu kabisa wa pemba
@ba_yu72
@ba_yu72 Жыл бұрын
Naomba ufike kisiwani Tumbatu na Paje kusoma historia ya hapo,naona hujasibu historia hiyo kwa usahihi hasa.
@user-lh8nb1gf1y
@user-lh8nb1gf1y 9 ай бұрын
Masha alah
@ZuenaSharifu
@ZuenaSharifu 15 күн бұрын
Wallah nataman niende lamu nipo Zanzibar
@user-lh8nb1gf1y
@user-lh8nb1gf1y 9 ай бұрын
King nabhani
@AbuuYaseen
@AbuuYaseen Жыл бұрын
Shukran
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 Жыл бұрын
Tungependa kuona zaidi...
@faithfultoyeshua4576
@faithfultoyeshua4576 Жыл бұрын
Interesting
@maryamhamad3485
@maryamhamad3485 Жыл бұрын
Mashaallah, lamu ni kwetu,sante sana
@saidothman2521
@saidothman2521 Жыл бұрын
Sheikh naomba kujua historia ya kabila la Albatawy lilivyoingia katika mwambao wa Afrika mashariki
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 8 ай бұрын
Watu wa pate kiswahili chao kama cha zanzibar tofauti na watu wa mombasa
@hemedsaidi9388
@hemedsaidi9388 Жыл бұрын
Anaitwa bwana maka niliwahi kusikia historia ya majina ya "Bwanamaka"😭😭😭😭😭😭
@feisal6592
@feisal6592 Жыл бұрын
Yess
@shoobare460
@shoobare460 Жыл бұрын
lamu somaalia🇸🇴🇸🇴
@adamsalim6863
@adamsalim6863 Жыл бұрын
Tupe histori ya wachangamwe
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Inshaa'Allah, nitafanya hivyo ndugu yangu.
@righttoknowwiththomas9178
@righttoknowwiththomas9178 Ай бұрын
Are you related to stambuli who used to be an adult education officer
@hemedsaidi9388
@hemedsaidi9388 Жыл бұрын
Huyo kijana ana nasaba ya maka
@AbuuYaseen
@AbuuYaseen Жыл бұрын
Somalia kisimaiyu tupe story
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Inshaa'Allah, coming soon!
@hemedsaidi9388
@hemedsaidi9388 Жыл бұрын
Ni mashia
@Pmooli
@Pmooli 4 ай бұрын
Wameru ndio walitoroka kutoka manda island.
@2kayyo340
@2kayyo340 Жыл бұрын
Popa star this. Is great.khaleed.
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Shukran sana Popa. Allah baarik.
@2kayyo340
@2kayyo340 Жыл бұрын
@@stambuliwash.abdillahinass8123 Ameen
@hemedsaidi9388
@hemedsaidi9388 Жыл бұрын
Huyo ni Ahl Bayt Rasulillah
@mkenyamzalendo4130
@mkenyamzalendo4130 Жыл бұрын
Kazi nzuri mzee
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 Жыл бұрын
Ulipotea wapi ? Ulihama Huston Texas ? Hiyo kwewe yako IPO wapi ? Mimi Ni mwanachama wa MRC na kukumbusha
@mkenyamzalendo4130
@mkenyamzalendo4130 Жыл бұрын
@@hassanalhussein3982 safi MRC ,jaribu Ruto sahii
@mkenyamzalendo4130
@mkenyamzalendo4130 Жыл бұрын
@@hassanalhussein3982 niko Kwale sahii na sihami
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 Жыл бұрын
@@mkenyamzalendo4130 Wewe upo Huston Texas.
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 Жыл бұрын
@@mkenyamzalendo4130 Kwani Ruto Ni nani ? Wewe mkalenjini hutishi mtu Hapa Pwani.
@nassimjamal1606
@nassimjamal1606 11 ай бұрын
Who are the natives whom youve described running and hidding themselves??? Who are they ?
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 11 ай бұрын
Pate Island is wide and its natives vary depending on where the war was taking place. There is Pate, Rasini (Faza), Siu, Shanga, Kizingitini etc.
@Pmooli
@Pmooli 4 ай бұрын
Meru people I believe. They actually say they came from Manda island! They followed Tana river up to Maua and adopted farming.
@user-lh8nb1gf1y
@user-lh8nb1gf1y 9 ай бұрын
Minge Somali nabhani
@salma0000
@salma0000 Жыл бұрын
Mkoloni kawaida yake ni kufuta historia, mila na desturi za anaowatawala kwa hiyo msichoke kufundisha watoto wenu historia yao.
@Blowcurlyhead
@Blowcurlyhead Жыл бұрын
Kweli Kabisa
@dhakomodherooherokoko6037
@dhakomodherooherokoko6037 Жыл бұрын
Na mkoloni alileta dini ya uislamu na ukristo. Usikasirike 😂😂
@salma0000
@salma0000 Жыл бұрын
@@dhakomodherooherokoko6037 hao wakoloni wa kiarabu walileta dini ya haki ndio maana mpaka leo wao wanaendelea kuifuata lakini hao waliokuletea wewe dini ya mchngo wao wenyewe hawaifuati tena sasa, wanaabudu pombe na kufirana tu
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 Жыл бұрын
@@dhakomodherooherokoko6037 Wazungu waliwafunza kuvaa nguo lakini muarabu hakutufunza kuvaa nguo. Walikuta wapwani wamestaarabika. Nyinyi mulikua mukitembea uchi huko kwenu Kenya.
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 Жыл бұрын
@@salma0000 daah, mbona ukorofi hivi
@mundhirdunia
@mundhirdunia Жыл бұрын
MAMA uko is For okk0 Is one that has the.
@nyanjechengokarisa1540
@nyanjechengokarisa1540 Жыл бұрын
Ndio niwavamizi nyinyi sikwenu huku hii coast niyamijikenda siyawarabu
@lenniefei6710
@lenniefei6710 Жыл бұрын
Mavigo....wamajikenda kwa upuuzi huo ndio maana wabara wamewatawala na ardhi zote kuibiwa!!!!
@tahiraabdul1701
@tahiraabdul1701 Жыл бұрын
Nani mvamizi?Mijikenda si wapwani halisi walikuja kutoka Shungwaya
@lenniefei6710
@lenniefei6710 Жыл бұрын
@@tahiraabdul1701 Nao wafukuzwe ama maana yake nini ?!
@tahiraabdul1701
@tahiraabdul1701 Жыл бұрын
@@lenniefei6710 waateni
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Kwani Mijikenda walikuja lini kwenye ufuo huu kutoka huko Singwaya/Shungwaya?!
@JK-um6op
@JK-um6op Жыл бұрын
Kenya ni yetu wote .. Wacha kugawanya wakenya kwa kabila.. Sasa sisi tulizaliwa mpeketoni kwetu ni wapi? Hii ni kasumba ya kugawa Kenya kikabila aki.. tafadali shek hapana gawa wa Kenya.. asante sana.
@maryndunge78
@maryndunge78 Жыл бұрын
Ukweli wauma na utabaki kuwa kweli! history will be thire whether you like it or not ! Wengi wenyu hamtaki ukweli juu mtafichuliwa uozo wenyu kwa tamaduni za kipwani. mumebadilisha hadi mila zilizoko Pwani si mavazi si uchumi. .wacha Shek aweke mambo paruwanja
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Kwa hakika, kila mtu ana namna anavyoelewa jambo lolote linapoelezwa na mtu mwengine, na wewe huna makosa kuelewa hivyo ulivyoelewa. Lakini, haya tunayoeleza hapa ndiyo kweli ilivyo na inavyopaswa kuelezwa! Inshaa'Allah, ukiendelea kufuata makala haya kwa makini utaelewa kuwa lengo letu hata si hivyo unavyofikiria wewe kabisa! Mwenyezi Mngu atatuongoza sote.
@salimmachila5736
@salimmachila5736 Жыл бұрын
Kasumba walizifanya akina uhuru... bring your point with facts sio drama
@JK-um6op
@JK-um6op Жыл бұрын
@@salimmachila5736 watch what you say my friend.. hii Kenya ni yetu wote..hakuna sehemu itatengwa kwa watu or kabila Fulani.. we have freedom of movement and leaving any where you wish..
@salimmachila5736
@salimmachila5736 Жыл бұрын
@@JK-um6op ukweli wauma
Kisiwa cha Wasini eneo la pwani ni chenye historia kongwea
9:05
Historia: Hivi Ndivyo Ilivyo - Makala ya Kwanza.
23:08
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 13 М.
The Noodle Picture Secret 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 30 МЛН
Получилось у Вики?😂 #хабибка
00:14
ХАБИБ
Рет қаралды 3,9 МЛН
Final muy inesperado 🥹
00:48
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 18 МЛН
Mali ya Waqf Kenya ni ya Waislamu wa Pwani - Makala ya Kwanza.
29:08
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 1,2 М.
Kenya's Oldest Town With The Most Beautiful Island Lamu Tamu
36:36
Afrikan Traveller
Рет қаралды 71 М.
lost in Lamu
21:07
By Nishan
Рет қаралды 287 М.
Historia Fupi ya Kisiwa cha Pate - Makala ya Pili.
14:57
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 6 М.
TAZAMA MELI YA TAITANIC ILIVYOZAMA NA KUUA MAELFU YA WATU
19:08
Wasafi Media
Рет қаралды 9 МЛН
Je, Wajuwa?! - Historiya Fupi ya Leven House, Mombasa.
25:49
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 6 М.
Je, Mwambao Uliuzwa?! - Makala ya Nne.
29:15
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 4,8 М.
The Story Book:Ukweli Wote Kuhusu PEPONI.
48:39
Wasafi Media
Рет қаралды 625 М.
Je, Mwambao Uliuzwa?! - Makala ya Tano.
21:48
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 5 М.