Historia: Hivi Ndivyo Ilivyo - Makala ya Kwanza.

  Рет қаралды 13,956

Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir

Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir

Жыл бұрын

All my videos are meant to inform and educate the viewers in general on very relevant issues.
#mombasa #kenya #eastafrica #europe #usa #news #history #global #information #education

Пікірлер: 62
@OmarOmar-sx7kn
@OmarOmar-sx7kn Жыл бұрын
Masha allah mola akujaaliye moyo uwo uwo kutujuza haki zenu sisi wapwani
@alilalila5035
@alilalila5035 Жыл бұрын
Allah akupe Afya na uzima hupenda kukusikiza nakufuwata professor Istambuli
@dulasleyum7804
@dulasleyum7804 23 күн бұрын
Mashaallah alhamdullillah Allah akujalie afya njema ufaham zaidi na moyo wakujitolea na urirefu ili tufaidike zaidi na zaidi
@MuhammadRashid-jq7eq
@MuhammadRashid-jq7eq Жыл бұрын
Kazi nzuri stambuli wa sheikh abdillahi nassir napenda sana kusikiza historian kutoka kwako
@africa-renaissance
@africa-renaissance Жыл бұрын
Kazi nzuri kuhifadhi historia kwa vizazi vijao
@mwinyiramadhani2029
@mwinyiramadhani2029 Жыл бұрын
Masha Allah Mwenyezi Mungu akuwezeshe bro
@amirhemed2483
@amirhemed2483 Жыл бұрын
MashaAllah,Shukran
@HusseinKagesho
@HusseinKagesho Ай бұрын
Asalaam Aleikum hapa ndipo sasaumegusa ndipo ....Tujuze na uzidi kutujuze huu ndio wakati muafaka shukran shukran wako Hussein mbona raha ipo....❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🌹❤❤
@medswamedswa5747
@medswamedswa5747 Жыл бұрын
Its worth watching and listening to hivi ndivyo ilivyo.
@mbarakali1873
@mbarakali1873 Жыл бұрын
Wacha Stambuli aitwe Stambuli MashaAllah Allah akupe umri mrefu
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
AlhamduliLlah, nashukuru.
@umarmataka1857
@umarmataka1857 Жыл бұрын
Bravo mzee naku fuatilia kutoka nchini Malawi na amini utatupatia pia historia ya Cabo del Gado,Kisiwa cha msumbiji (Mocambique Island),Musa bin Bique na Makanjila na jami ya sheikh Mataka
@omaraliiddi1424
@omaraliiddi1424 Жыл бұрын
MashaAllah
@mwanakupona
@mwanakupona Жыл бұрын
Asante sana. Nasi twaisambaza kwenye magroup yetu
@ahmedrashid7638
@ahmedrashid7638 Жыл бұрын
Mngu akupe afya njema na umri mrefu, iliutujuze mengi
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Allahumma amiin. Inshaa'Allah sote ndugu yangu.
@mahmudkombo9961
@mahmudkombo9961 Жыл бұрын
Naomba pia uendelee kujuza kuhusu Je Mwambao Uliuzwa
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Bila shaka ndugu.
@ShedadyBinRai
@ShedadyBinRai Жыл бұрын
Allah akuhifadh mwamba
@omadal1
@omadal1 Жыл бұрын
Shukran Bro twasubiri kuelimishwa
@hustlernaturalrocks292
@hustlernaturalrocks292 Жыл бұрын
Enyi waja wangu Tafadhali Tusiwe na Ubahili SUBSCRIPTION kwa Mpigo. Vasco Da gama Alitubaka hata kihistoria
@walidamani353
@walidamani353 Жыл бұрын
"Ukitaka kutawala mtu yeyote basi mnyime historia yake.." They killed our history na wakutajaza fikraa kuwa hatukuweza fika mahali kama si wao..! Shukran kwa kazi nzuri Babuu Stambuli.. Tuko pamoja!!!!!!!!
@tofytisa6576
@tofytisa6576 Жыл бұрын
Wonderful content. Thank you for the work behind it. It's inspiring to write books for kids to introduce this history.
@faithfultoyeshua4576
@faithfultoyeshua4576 Жыл бұрын
Historia muhimu sana
@fatimasaid9469
@fatimasaid9469 Жыл бұрын
Alhamdulilah. Kipindi kizuri sana Allah akuhifadhi hapa dunian na kesho akhera ❤ . Tupe uhondo😊
@usamahabdullah1362
@usamahabdullah1362 Жыл бұрын
Very informative, shukran
@nassirsadi3525
@nassirsadi3525 Жыл бұрын
Kutoka swiss nakuskiza makini mzee,tufundishe maana tumelostishwa.asante sana mungu akulinde
@drjumadrjuma3324
@drjumadrjuma3324 Жыл бұрын
We need more history of our country
@drjumadrjuma3324
@drjumadrjuma3324 Жыл бұрын
Channel yako ni ipi
@RecapAI
@RecapAI Жыл бұрын
wanahistoria wanalinda asili ya sehemu na kuwafahamisha wenyenji kujua waliokotoka na wanachoweza kutimiza ili waishi kwa utengamano. Tulienda mpaka Oman kutafuta msaada kutokamana na wa Portuguese. Sai Tunakako kwa kwenda kuomba msaada tena. Walkah kenya haitatawala Pwani kwa miaka mia
@abumuhammad7802
@abumuhammad7802 Жыл бұрын
MashAllah Star. Kazi nzuri
@fatmaswalehsaid8850
@fatmaswalehsaid8850 Жыл бұрын
Assalmu alykm naomba kujua ofisi au sehemu ya kumpata kaka Istanbul
@anwarambar6141
@anwarambar6141 Жыл бұрын
Naam big Bro, Al Akh, Stambuli , Allah akuhifadhi uzidi kutujuza, hatuchoki Wala hatukinai kukusikiza
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Shukran.
@fatmaswalehsaid8850
@fatmaswalehsaid8850 Жыл бұрын
@@stambuliwash.abdillahinass8123 Assalamu alykm kaka Stanbuli Allah akulinde na kila shari akujaze kheir.
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
@@fatmaswalehsaid8850 Wa'alaykum salaam, wa RahmatuLlahi, wa Barakaatuh Dadangu. Allaahumma aamiin.
@fatmaswalehsaid8850
@fatmaswalehsaid8850 Жыл бұрын
Assalamu alykm tena kaka etu mpendwa Istanbul Allah akujaze kheir nilikuwa naomba kama labda una group la watsapp au naomba watsapp namba yako kidogo nataka ushauri wako kama huto jali.Shukraan
@zanimohaa017
@zanimohaa017 Жыл бұрын
Ahsante shekh kwa kutuelimisha
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh
@danielarapmoi3041
@danielarapmoi3041 Жыл бұрын
tunaomba kuendeleza makala haya mapema stambuli
@spodo1044
@spodo1044 Жыл бұрын
Wakati huo ilikuwa wajaluo na wakikuyu ambao wanasema Kenya ni Yao walikuwa hawajafika Kenya.
@ummuabdsheikh9581
@ummuabdsheikh9581 Жыл бұрын
Naam shukran kwa kutupa jawabu inayokera kwa nini coast ikawa haina maendeleo zaidi ya ushindani hasira ziso na maana baina yetu sisi kwa sisi kumbe mambo haya yametoka mbali
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Nami pia nakushukuru kwa kunielewa niyaelezayo kwenye hizi kanda zangu. Kwa hakika, nakuomba (kwa unyenyekevu) usikose kufuatilia kanda hizi kwa kuwa nitaendelea kufafanuwa zaidi mambo mengi yaliyofichwa na kuyatolea ushahidi wa kina ili kila mmoja aelewe ukweli ni upi. Shukran.
@abubakarrajab9566
@abubakarrajab9566 9 ай бұрын
Mola akuweke Mwalimu stambuli
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 9 ай бұрын
Inshaa'Allah, atuweke sote.
@issajuma4324
@issajuma4324 Жыл бұрын
Shukuran Allah akuweke , duuu tumepotosha xna kumbe
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Nawe pia shukran sana kwa kutanabahi. Inshaa'Allah, Mola atuweke sote na atujaaliye umri na afya njema.
@makamekhamis1501
@makamekhamis1501 Жыл бұрын
Na sisi wa Zanzibar, Tunaomba historia ya Zanzibar kipindi cha sultan na Uhuru wake
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Inshaa'Allah, mambo yanakuja polepole tu.
@rafaelmarquez9396
@rafaelmarquez9396 5 ай бұрын
Zanzibar tumetiwa sumu kuwa tulitawaliwa na sultan na alikua akitesa watu akiuwa watu
@ruu6592
@ruu6592 Жыл бұрын
Sad story
@hamudatahir843
@hamudatahir843 Жыл бұрын
nimefurahika sana na ufafanuzi wako.sasa tutajuwa ukweli maana tumechoka kuambiwa waarabu ndio waloleta utumwa walikuwa wakitesa watu.
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Ndiyo waona kuwa hakuna aelezaye kuhusu utumwa, madhila, mateso, na mauwaji aliyofanya Vasco da Gama na wenziwe dhidi ya Wazee wetu (wake kwa waume) hayafundishwi skuli, madrassa, wa miskitini hayazungumzwi kamwe! Lakini, tutayaeleza kwa ushahidi wao wenyewe! Kisha, nyinyi munaotizama na kusikiza kanda zangu mutakata shauri ni kwa nini mambo ya utumwa yaliyofanywa na Wazungu (Wareno na wengine) huku kwetu mbona hatuambiwi/hayaelezwi?!
@OmarOmar-sx7kn
@OmarOmar-sx7kn Жыл бұрын
Zetu sisi wapwani
@NaomiKombo-bv1bi
@NaomiKombo-bv1bi 11 ай бұрын
Do you have history's by reading,?
@hamdiabdi1420
@hamdiabdi1420 Жыл бұрын
Assalam alykum warahmtullahi wabarakatuhu shkh Istanbul je Una kitabu nakuomba nikipate kama unacho
@idrismatari5003
@idrismatari5003 Жыл бұрын
Akikupatia naomba nami hicho kitabu juu ya kadhi wa lamu alieenda kuhiji
@saidhiribae8331
@saidhiribae8331 6 ай бұрын
Lini utakua katika maelezo siku nyongone
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 6 ай бұрын
Nimepumzika kwa muda ili kujitayarisha kufanya video ya maelezo mengine hizi siku zijazo. Naomba Du'a zenu ili Mola aniwezeshe kutimiza ahadi yangu hii.
@majidkulekule9906
@majidkulekule9906 Жыл бұрын
Ya pili ipo tayari?
@marcoshepardson2663
@marcoshepardson2663 Жыл бұрын
Samahani mtawala WA msa sijam skia Nika imeruka Jina lake tafadhali...
@stambuliwash.abdillahinass8123
@stambuliwash.abdillahinass8123 Жыл бұрын
Ahmad bin Msham (Sh. Mvita).
Historia: Hivi Ndivyo Ilivyo - Sehemu ya Pili.
15:20
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 8 М.
FOOLED THE GUARD🤢
00:54
INO
Рет қаралды 62 МЛН
Haha😂 Power💪 #trending #funny #viral #shorts
00:18
Reaction Station TV
Рет қаралды 14 МЛН
Je, Mwambao Uliuzwa?! - Makala ya Pili.
15:45
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 10 М.
Waswahili ni Wapwani Halisi - Makala ya Kwanza.
34:52
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 2,2 М.
Je, Mwambao Uliuzwa?! Makala (kamili) ya Sita.
25:52
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 3,3 М.
Historia Fupi ya Kisiwa cha Pate, Lamu.
19:42
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 55 М.
Je, Mwambao Uliuzwa?! - Makala ya Tano.
21:48
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 5 М.
DEMOKRASIA (DEMOCRACY) | SHEIKH ABDILAHI  NASSIR
1:14:24
Ahlul Bayt Centre (Kenya)
Рет қаралды 2,3 М.
HISTORIA YA MARHUM SHEIKH ABDILLAH NASSIR
25:10
Asadiqmedia
Рет қаралды 4,3 М.