HISTORIA KAMILI YA PROFESA ANNA TIBAIJUKA,DUNIA IMENITAMBUA, SINA CHA KUJUTIA

  Рет қаралды 42,030

Gangana Info Channel

Gangana Info Channel

2 жыл бұрын

Пікірлер: 81
@lilygracexx1975
@lilygracexx1975 2 жыл бұрын
Miaka sabini kama miaka 50.Hongera sana mama Tibaijuka
@kaisikimajid9529
@kaisikimajid9529 2 жыл бұрын
Nampenda sana, alikuwa smart sana nadhani tume mtumia vibaya bado ana kitu cha kufanyia Taifa CC; Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu.
@boscomalangalila
@boscomalangalila 11 ай бұрын
Mama ni kati ya wasomi wanaojitambua.ila watanzania tumeshindwa kumtumia kwa sababu wengi mambo yeti ni shortcut na umangimeza mwingi
@HappyJohn-rj8co
@HappyJohn-rj8co Ай бұрын
Sana kwanza anawez kutunga kitabu kikatumiwa kwa mitihani au mashuleni na kusaidia kizazi kijacho forever
@rosemaryikamba5288
@rosemaryikamba5288 2 жыл бұрын
Nimependa Sana interview Yako mama Tibaijuka Inani inspire Sana! I miss u Mama am in France now!!
@antarsangali4456
@antarsangali4456 Жыл бұрын
Kumwacha Prof Tibaijuka bila kupewa kazi yyt ya kujenga taifa letu ni kama aina fulani ya "kujisahau "kwa maoni yangu
@khamisshee5131
@khamisshee5131 2 жыл бұрын
Mama nampenda aana ni.Mama mwenye akili sana MashaAllah 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@evansm8802
@evansm8802 2 жыл бұрын
This old lady must be pride for Tanzania 🇹🇿 can we learn to take pride of our own.look at issues at a broader level and not hela ya mboga, blur blur blur
@edwardmwingira7096
@edwardmwingira7096 Жыл бұрын
A very brilliant woman I ever known!
@madattarcharles1114
@madattarcharles1114 Жыл бұрын
Hai Sana mama Anna tibaijuka nakupenda Sana...
@jeanmusamba3253
@jeanmusamba3253 Жыл бұрын
she is very smart aisee hajisifu kabisa safi sana prof,Tanzania hatuna utamaduni wa kuthamini na kutukuza vyeti,mtu kama huyu inatakiwa kumpelekea vijana 200 ahamishie chote alicho nacho kichwani mwao.Niliona watu watu waliotufundusha muhimbili wenye akili sana kama prof hapa,wamekufa hawajaandika hata vitabu,nikikumbuka prof Raphael Lema alikuwa bingwa na gwiji wa magonjwa ya damu daa hajaacha hata kitabu alikuwa na kichwa kikali sana kama mama hapa.
@kadaskarim5081
@kadaskarim5081 2 жыл бұрын
Hongera sana mama wewe ni nyota nzri umefnya kaz kubwa dunia mungu akupe maisha maref
@sophiakatondo2016
@sophiakatondo2016 2 жыл бұрын
Mtani wangu unatisha. Ninaendelea kukukubali..Nakutakia afya njema na Mungu akubariki.
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 Жыл бұрын
Mama Samia kamfungia vioo kabisa huyu mama yetu 🤔 Angempa sehemu ya ushauri sehemu fulani
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 2 жыл бұрын
Mama ni haki yako kuwepo katika nafasi hiyo kutokana na jitihada zako
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 2 жыл бұрын
Dah mama ana dongo zuri sana utafikiri ana miaka 50
@denismugisha2
@denismugisha2 2 жыл бұрын
Asante mama yetu mpendwa
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 2 жыл бұрын
Mama mungu akubariki sana.
@annamosha968
@annamosha968 Жыл бұрын
Love you Mama❤️🥰
@karyori69
@karyori69 2 жыл бұрын
safi sanaa!
@EmmanuelChija-vx2wm
@EmmanuelChija-vx2wm Ай бұрын
kaka gangana nakukubali Sana nataman kuwa kama ww unajua kutangaza by Emmanuel chija
@ganganainfochannel
@ganganainfochannel Ай бұрын
One day ndoto yako itakua🙏
@EmmanuelChija-vx2wm
@EmmanuelChija-vx2wm Ай бұрын
@@ganganainfochannel sawa broo mm nasoma journalism hapa teofilo kisanji mbeya nipo certificate broo nilikua naomba kaka nije kufanya field hapo tbc kaka nilikua naomba unipe muongozo
@ganganainfochannel
@ganganainfochannel Ай бұрын
Upo njia sahihi ya kufikia ndoto yako. Ishu ya field ni masuala ya kiofisi na ninachofahamu huwa mnatakiwa kuandika barua. Kwakua upo mbeya nakushauri fika ofisi za tbc mbeya watakuelekeza zaidi.
@profesaorthogonal6095
@profesaorthogonal6095 2 жыл бұрын
Ndio maana ukawa prof. Vyote ulivosema ni point
@farhiaaassan6334
@farhiaaassan6334 2 жыл бұрын
Yes yes yes yes
@rosemaryikamba5288
@rosemaryikamba5288 2 жыл бұрын
Tunajivunia kuwa na mwanamke shupavu na makini /jasiri na asiyekata tamaa kama wewe 🏆!!
@ganganainfochannel
@ganganainfochannel 2 жыл бұрын
👍
@maginasabah-mb9od
@maginasabah-mb9od 11 ай бұрын
Mtangazaji hajatulia lakini anahoji mtu aliyetulia. Muwe mnakuwa serious mnapohoji watu wenye cv kubwa!
@morrisokinda694
@morrisokinda694 Жыл бұрын
IPO SIKU
@kelvinpeter3372
@kelvinpeter3372 2 жыл бұрын
Nilikuwa nakingoja kwa hamu sanaa
@mpunguhelbalclinic6061
@mpunguhelbalclinic6061 2 жыл бұрын
Mh gangana ww ninoma
@danielpatrickrobert125
@danielpatrickrobert125 2 жыл бұрын
Kipindi chako kinahoji vizuri bila fujo....big up
@loner_wolf
@loner_wolf 2 жыл бұрын
Asharose Migiro please....
@xyz-tv4om
@xyz-tv4om 2 жыл бұрын
My role model
@clintonchris-rx9iz
@clintonchris-rx9iz 4 ай бұрын
We jamaa hausubir mama akjibu unaingilia kati
@ganganainfochannel
@ganganainfochannel 4 ай бұрын
Yes ndio dhumuni la hicho kipindi ni bandika bandua
@festochristopher7293
@festochristopher7293 2 жыл бұрын
Nice story
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
History ameiweka huyu Mama! Did she write her biography? Ikiwa kitabu hiki cha wasifu kipo, kinapatakinaje?
@remigiusmwageni6274
@remigiusmwageni6274 2 жыл бұрын
Nakubali Sana mahojiano yako ndugu Khalid Ali Gangana
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 2 жыл бұрын
Dunia inakutambua kwa kupora rasilimali za wananchi Pesa za (mboga) ...
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
Jisemee peke yako, ndugu!Dunia si wewe tu! Tuko wengi wanaomtambua Professa kwa thamani yake! Ungesikiliza vizuri interview hii, usingesema hivyo !
@reymasenya6450
@reymasenya6450 2 жыл бұрын
Kuku Babali Sana
@lazarodaudi1689
@lazarodaudi1689 2 жыл бұрын
Huyu mama n kweli kafanya makubwa Duniani lakini jamii yake hasa Jimboni kwake hakuna kitu cha maana alichokifanya cha kujivunia
@eyabdimaha3698
@eyabdimaha3698 Жыл бұрын
Itabidi ukagombee jimbo lake sasa
@lazarodaudi1689
@lazarodaudi1689 Жыл бұрын
@@eyabdimaha3698 kwa akili yako Kila anaekosoa anataka ubunge? Stupidity
@eyabdimaha3698
@eyabdimaha3698 Жыл бұрын
@@lazarodaudi1689 no kwani yeye alikua na tamaa ?? Nimekwambia uende wewe sababu yeye jana alichokifanya sasa nenda wewe
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 11 ай бұрын
Ndugu mbunge anaiyambia serikali matatizo ya jimboni kwake serikali ndo inatekeleza
@ulludots
@ulludots Жыл бұрын
Sababu za kuleta picha ya huzuni ya kaburi la mme wake ulikua unataka kuachieve nini, pili tone unayotumia ni ya kuonge na wahuni.
@ganganainfochannel
@ganganainfochannel Жыл бұрын
Umechelewa sana kujua hili la uhuni. Hiki ni kipindi cha kihuni sasa tufanye nini ndugu mstaarabu?
@davidboniphace8159
@davidboniphace8159 2 жыл бұрын
Huyu mama ndo alisemaga bilioni 2 alizopewa kipind cha sakata la esco ni hela ya mboga eeh.pesa za wananchi Ila mungu anawaona
@josephk90
@josephk90 2 жыл бұрын
Ilikuwa bilion 10.
@davidboniphace8159
@davidboniphace8159 2 жыл бұрын
@@josephk90 duuh ndo pesa ya mboga
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
Milioni 10 kwenye account yake binafsi... Ndio Mhaya anasema hela ya mboga! 😂😂😂
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
Professa CV yake kubwa sana ! Heshima kwako Tibaijuka! Asante Gangana, endelea kutuletea Powerful Tanzanian women... maana ndio fahari ya Nchi yetu... and they are our role model:-)
@jacobmsigwa383
@jacobmsigwa383 2 жыл бұрын
Tuletee mama Makinda sasa
@frolianjohanes2505
@frolianjohanes2505 2 жыл бұрын
Wahaya sio poa
@eshyndibalema1529
@eshyndibalema1529 2 жыл бұрын
Wamekufanyia nini?
@shayobeatusbeatus7357
@shayobeatusbeatus7357 2 жыл бұрын
Hongera sana mama, mpiganaji wa watanzani.
@theonestinamutole8549
@theonestinamutole8549 Жыл бұрын
Kwa nini😊
@joyceKingu
@joyceKingu 6 ай бұрын
Wahaya ni Wana akili, msimamo ns hawana Woga. Hawajipendrkezi.
@paulinesengasu5779
@paulinesengasu5779 2 жыл бұрын
Mama yupo vizuri sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aronmtui597
@aronmtui597 2 жыл бұрын
Mmeibia serikali ila mtaziacha tu
@eshyndibalema1529
@eshyndibalema1529 2 жыл бұрын
Acha wivi kakuibia nini?
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
@@eshyndibalema1529 kaiba ela akasema pesa ya mboga bilion 1.6
@agnesayub1065
@agnesayub1065 2 жыл бұрын
Sio kweli
@loner_wolf
@loner_wolf 2 жыл бұрын
You cant live through the past. ILA HIYO CARD NADHANI KINGEREZA KILICHOANDIKWA SIO SAHIHI ILA MOTHER KAKAUSHA ASIJETIA NAZI KWENYE SUPU
@enickosanga4921
@enickosanga4921 2 жыл бұрын
Kati ya mafisadi waliowaumiza watanzania bila huruma mama huyo yupo
@evansm8802
@evansm8802 2 жыл бұрын
Kkkkkkkkkk that's all you can remember
@renatusmatungwa6506
@renatusmatungwa6506 2 жыл бұрын
Una ushahidi?
@agnesayub1065
@agnesayub1065 2 жыл бұрын
Sio kweli
@sylvesterjose3286
@sylvesterjose3286 2 жыл бұрын
Unaongea Kwa akili yako au njozi za mchana zinakuguguna!
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 2 жыл бұрын
Mama wa Pesa ileeeee ya Mboga
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 Жыл бұрын
Mama anasema zile propaganda tuu hajawahi kusema hivyo na kama kuna clip tumpeleke ili aamini kama ni yeye kweli au ni wahuni walimchafua
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 2 жыл бұрын
Mwanamke akifanya kitu kidogo maneno yanakua meengi sawa, lkn Mama wa sasa kafanya jambo kubwa baya litakalomnyima mapenzi ya Watanzania wengi, kukaa kimya Kiongozi wa Kitaifa kuitwa gaidi!! We hate this so much!
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,4 МЛН
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 32 МЛН
FOOLED THE GUARD🤢
00:54
INO
Рет қаралды 64 МЛН
HUSSEIN JUMBE ALIKUFA KABLA HAJAFA/HISTORIA KAMILI #NIPE5 TBC
39:03
Gangana Info Channel
Рет қаралды 15 М.
PROFESA TIBAIJUKA : SIMCHUKII KIKWETE /NIMEWEKA HESHIMA/RAIS SAMIA TUMUOMBEE
12:10
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,4 МЛН