Nakupendaga sana mama angu tibaijuka ,unaongeaga so straight and u think more
@robertuscharles2744 жыл бұрын
Thankful my mother For your Spoken Is good
@robertuscharles2744 жыл бұрын
I give whole Respect my Fighter........
@salminasalim56305 жыл бұрын
Professor Tibaijuka. MMungu akubariki sana, umefanya kazi mzuri sana na umewanufaisha sana jamii, mtetezi sana wa wanyonge jamani usingefanya maamuzi ya kustaaf, ila ungechaguliwa ukawa spika Wa bunge ungesaidia maana binge letu mmmm. MMungu akubariki sana
@mrholela79065 жыл бұрын
Hela Mboga mboga...Mungu atupe nguvu kiukweli
@evansbuberwa12354 жыл бұрын
Asante mama
@edwigaupendo5 жыл бұрын
Nimecheka kwa sauti....kungatuka....haki nimecheka kweli....huyu mama ananipa raha sana anavoongea...2020 ANANGATUKA
@fitinaelias4215 жыл бұрын
Ni kweli japo ni jambo la kawaida sana...hiyo ni athari ya lugha mama kuna baadhi ya maneno ni mtihani kutamkwa kwa usahihi na baadhi ya makabila.
@salminasalim56305 жыл бұрын
Nakupenda sana Prof we ni mfano Wa kuigwa hata Rweikiza angeiga mfano wako ingependeza sana ameongiza BK vijijini kata ya Mikoni maji shida sana na maji ni mhimu sana kwa matumizi ya bin Adam lakini kwa sasa huko mpaka watu wana share na ng'ombe .anakunywa na anatia kinyesi chake watu wanachota. Alivyoacha amefanya Karamagi ndio hivyohivyo MMungu ambariki Mh Nazir Karamagi pamoja na wewe Prof wetu
@hoseakaponya50705 жыл бұрын
Mama shikamoo! Nakupenda Sana'a kwa msimsimamo wako wa kibusara
@anatorydesdery46545 жыл бұрын
Mama Tibaijuka anangatuka tu hang'atuki ,Hahahahahahahah
@mishaelmisana19735 жыл бұрын
Hko vizuri mama
@josephlugome38385 жыл бұрын
Umeongeaaa point sana mamangu
@beberulambegu6605 жыл бұрын
Mzee wa HATIA safi sana
@abdulrahimbanury16205 жыл бұрын
Safi sana profesa pekee ninaemkubali TANZANIA najua huwezi kupendwa na wote ila wachache wanoelewa👍👍👍 jitahidi unapostaaf tuekee mtu sahihi wakutuletea maendeleo Muleba nakama hayupo basi endelea miaka 10 bado michache
@freddymello32275 жыл бұрын
Hawezi sahau Escrow huyoo!! hayo mengine anatuzuga tuu...."vile vipesa vya mboga!!". Tunaomba uturudishie pesa zetu we mama!zitakuchoma moto jehanamu.
@baltzrluus32875 жыл бұрын
nachokumbuka kwake ni ile kauli " unavyozidi kupanua ndivyo watu wanazidi kutamani"
@ummyomary34235 жыл бұрын
baltzr luus 😂😂
@mremagitero56685 жыл бұрын
Kwl mama
@josephnjeno25825 жыл бұрын
Nawaamini sana ayo tv na nawafatilia mnayumbishwa na nini tena au mna wasi wasi gani au mna kiugani mnataka nn hii interview mbona mliitoa mda tu vipi tena leo sisi ni wafuasi wenu chochote kipya kikitoka kwenu tunacho leo hii imekaaje tena jmn mbn mmenisikitisha
Kafara wapatikane basi tuu. Tabaijuka alikuwa kafara ya Escrow
@m.mmarckus62985 жыл бұрын
Nenda tu mali ulizonazo zinakutosha,kapumnzike
@lucasmugoma28705 жыл бұрын
Alizoiba sio alizonazo
@renatusmatungwa68004 жыл бұрын
Pamoja na kashifa zake lakini huwa anaongea na kushauri vitu vizuri km mawazo yake yakifanyiwa kazi yatazaa matunda
@stevenalbert17775 жыл бұрын
Nimekuelewa na Nina uhakika mwenye kukusikiliza bila muhemuko amekuelewa kabisa mama
@user-nk5nq2ox2n5 жыл бұрын
Nimerudi T3NA play.google.com/store/apps/details?id=com.utamuwakubwatu.app pakua/download app hii ya UTAMU WAKUBWA TU18+ kupitia link hii uweze KUpata 1.VIDEO za kikubwa ZA KIBONGO & MBELE @MALAYA WAPO FREE 2.AFYA KUHUSU MAPENZI 3.DARASA ZA MAPENZI 4.STYLE konki ZA KITANDANI 5.SMS ZA KUMVUTA KARIBU MPENZI WAKO 6.DAWA ZA KUONGEZA MAUMBILE KE&ME free 7.JIFUNZE STYLE ZA KUPATA MIMBA HARAKA 8.JINSI YA KUSUGUA KINEMBE VIZURI 9.mtambue mpenzi wako kama anakusaliti 10.DAKTARI BINGWA WA MAPENZI N.k UPDATE NEW VERSION KMA TAYARI ULISHADOWNLOAD KUNA VINGI VIMEONGEZEKA ILI KUBORESHA APP YETU Pakua sasa playstore search (Utamu wakubwa tu) au download kupitia link hii watu 100+ WA mwanzo zawadi nono zitawahusu DM for more info..😍 APPS IPO TRENDING#1 DUNIANI Unasubili nini download Leo PIA UKISHARE zawadi itakuhusu
@njombenyumbani20305 жыл бұрын
Mama umri umeenda kalee wajukuu
@MWEGOHA5 жыл бұрын
Bora usepe na vichenji vyako vya mboga, umejimilikisha maelfu ya ardhi yanatosha nenda salama bibi, wasalimie Bukoba
@messiasulley39445 жыл бұрын
Yuko mbali San financially,
@m.mmarckus62985 жыл бұрын
Kweli kala pesa nyingi sana za ardhi huyu mm akapumnzike tu
@paulinamon90875 жыл бұрын
Mbona mama ulirudisha fedha za escrow? Ulizipokea kwasbb gani? NENO " Hela za mboga " hazikuwa ni baki ambayo ulishindwa kui-account for? Ilikuwa ni 10m/-. Hatujasahau. We nenda tu umeshiba!
@kudukaemmanuel31745 жыл бұрын
Sio milini 10 ni bilioni 5
@lucasmugoma28705 жыл бұрын
Ndio hawahawa ccm/ chadema acha akale hela ya mboga si anayo bado tena imejaa jikoni
@michaelkessy57405 жыл бұрын
Hela ya mboga anazo hadi kufa hana shida tena na ubunge.......alichokitafuta amekipata. Ni muda wa kukaa kivulini na kula mboga
@safaritvhome53745 жыл бұрын
Hahahahaha....Anasema kungatuka badala ya kung'atuka...wahaya bhnaa
@samwelieliasy96535 жыл бұрын
Ushazeeka ww
@samwelieliasy96535 жыл бұрын
Nakuheshimu 2 kapumzike
@ahmadsimba21435 жыл бұрын
Ki,jizi" hik Kimama yan Kifisad kinoma, Yan President JOHN, ana Kaz Kuongoz Wez yan,, Aendelee2 Miak1OO
@NonoNono-qp3zu5 жыл бұрын
Hiki kibibi kimeshachuma sana pesa,,, na kweli upumzike
@tonyelshabbaz5 жыл бұрын
Unang'atuka ama muda kikatiba unaisha??
@hajihassan54335 жыл бұрын
Tony hakuna muda maalum kikatiba. Akipenda anaweza kuendelea.
@nemohos48855 жыл бұрын
hahaha kwaiyo anaongea na mungu? muulize basi kwanini mungu aliuwa watu millioni 1.25 wakati shetani aliuwa watu 12.
@freeforec48525 жыл бұрын
hahaaaa akili za kupewa bhana😅😅😅 ni shida tupu. tangu historia ya dunia kuwepo wamekufa wa2 wangap? Mungu alileta uhai, Mungu huchukua uhai. na mm nikuulize Mungu kaumba wangap na shetan kaumba wangap?