PROFESA TIBAIJUKA : SIMCHUKII KIKWETE /NIMEWEKA HESHIMA/RAIS SAMIA TUMUOMBEE

  Рет қаралды 39,630

Gangana Info Channel

Gangana Info Channel

3 жыл бұрын

Пікірлер: 46
@ndeshukurwakaaya4385
@ndeshukurwakaaya4385 3 жыл бұрын
Well done Mh TIBAIJUKA YOU HAVE DONE IT ✔ STAY BLESSED. I AM TAKING YOU ON BOARD. HAPPINESS IS THE BACK BONE OF MIND SET. HAPPINESS IS THE BRIGHT FUTURE. 🙏
@shamirahkantengwa9245
@shamirahkantengwa9245 3 жыл бұрын
Kazi zako nzuri sana @Gangana 💪💪💪💞💞💗🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
@edgarmbehikya8150
@edgarmbehikya8150 3 жыл бұрын
Mama Ana Tibaijuka jamani! Ati bwana alitoa na akatwaa. Nimecheka sana 😆😆😅
@frankkaijage9726
@frankkaijage9726 3 жыл бұрын
Mama Anna. Nakusalimia sana.Mwanagu alifauli vizuri kwenye Shule yako ya Bukoba Khagus
@deboraruhinda6726
@deboraruhinda6726 2 жыл бұрын
Nampenda sana Profesa TIBAIJUKA
@jumangoda7414
@jumangoda7414 3 жыл бұрын
I wish nikutane na huyu mama, huyu kweli ni Professor, anazungumza vizuri sana
@machaggechacha3422
@machaggechacha3422 3 жыл бұрын
Tibaijuka na Kikwete wote wezi matapeli na mafisadi. Kenge weusi hao.
@amonchalah3092
@amonchalah3092 3 жыл бұрын
Good
@joycekingu1530
@joycekingu1530 3 жыл бұрын
Una hekima Prof. Ninakubali kuwa mipango miji na ramani thabiti pamoja na elimu ya ardhi kwa wananchi ndio ufumbuzi mzima wa migogoro ya ardhi.
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 3 жыл бұрын
Hongera sana dada Anna Mungu akulinde.
@briansancedo9336
@briansancedo9336 3 жыл бұрын
Hongera sana mama upo sawa sana, Hela za mbogamboga🙏🙏🏻🙏🏻😅😅😅😅
@TheLovejoyz
@TheLovejoyz 3 жыл бұрын
Fantastic
@nicodemussicilima83
@nicodemussicilima83 3 жыл бұрын
Huyu Mama hazeeki. Akili yake kali kama alivyokuwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Shahada ya Kwanza Kitivo cha Kilimo Morogoro
@hamasikatv7713
@hamasikatv7713 3 жыл бұрын
Saana aisee kila analo tamka ni madini tupu dah hatunae bungeni tena inauma ila basi Tena.
@simeonmutashobya3922
@simeonmutashobya3922 2 жыл бұрын
Mungu wa ajabu, kwenye tatu bora uteuzi wa mgombea urais awamu ya tano fisiem alishinda mwanamke, kapigwa kando kapewa ubarozi hasirud. But mwisho kawa rais mwanamke. Tuwatumie wanawake waTz wanamaana.
@mashakankonoki2545
@mashakankonoki2545 3 жыл бұрын
Hela za nyanyaaa..,...
@kelvinpeter3372
@kelvinpeter3372 3 жыл бұрын
Ila huyu professor nampenda bure😂😂
@geofreysenka7091
@geofreysenka7091 3 жыл бұрын
Maprofesa wetu wezi tu wenzao huko magharibi maprofesa wabunifu was kutengeneza vitu vya kudumu engine za ndege na vinginevyo
@musauyepaulo802
@musauyepaulo802 3 жыл бұрын
uyu mtu sikumfaham nikamchukulia poa ila amenifundisha u-smart na matumizi halisi ya elimu.
@nelibaba
@nelibaba 3 жыл бұрын
"This is not the end of the world"
@geofreysenka7091
@geofreysenka7091 3 жыл бұрын
Hera za mbonga wapi vijicent
@petersimon2115
@petersimon2115 3 жыл бұрын
Anatema nondo sana mama
@yohanakihumi1356
@yohanakihumi1356 3 жыл бұрын
Una akili sana
@msonjosicario5004
@msonjosicario5004 3 жыл бұрын
YAANI kuna BINADAMU WASIO NA hata chembe ya AIBU.....
@gracemima5234
@gracemima5234 3 жыл бұрын
Ulifukuzwa Nairobi kwasababu gani? Kula fedha za kujenga nyumba za Wanyonge. Ukafukuzwe Nairobi. Tanzania ukala fedha. Mabilioni ukaziita pesa za mboga wakati Watanzania wengine hawana hata chakula.
@kazikazini1042
@kazikazini1042 3 жыл бұрын
Mbona hii kali tena
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Siasa za kuchafuana zimezidi Tz,,,
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 3 жыл бұрын
@@kazikazini1042 😂😂😂😂😂
@eshyndibalema1529
@eshyndibalema1529 3 жыл бұрын
Acha wivu aliyekuzidi kakuzidi
@Chemba67
@Chemba67 3 жыл бұрын
Hazina kubwa hii Tanzania
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 3 жыл бұрын
Mama mjanja huyu
@cosmasmpwage2576
@cosmasmpwage2576 3 жыл бұрын
Mama wa hela ya mboga 😄
@laprincevonkingpin7793
@laprincevonkingpin7793 3 жыл бұрын
Siyo Kafara, kwann uliita fedha za wananchi hela ya mboga,,ungesema huhusiki na fedha siyo kuzarau pesa,wakati wengine wanaugulia umaskini mkuu...hahaha,,,mama wa "kadiri unavyopanua ndo wenzako wanatamaniii"
@onesmomassawe6230
@onesmomassawe6230 3 жыл бұрын
Mtangazaji unajichkeshaa nn ww
@petermtey5508
@petermtey5508 3 жыл бұрын
Professor but -
@yangaebiasal3237
@yangaebiasal3237 3 жыл бұрын
uyo ndo muhaya wa mreba ndg zangu
@mdimimdimi4282
@mdimimdimi4282 3 жыл бұрын
Waandishi ninyi ni wajinga xn na wapuuz xn,kwanin mnapenda xn kuwahoji watu wapumbavu xn na matapeli?
@ganganainfochannel
@ganganainfochannel 3 жыл бұрын
Wacha wee! Na kwanini unafuatilia mambo ya kipumbavu na utapeli?
@mdimimdimi4282
@mdimimdimi4282 3 жыл бұрын
@@ganganainfochannel pumbav xn Kwan macho Yana mpaka? Mwehu xn
@ganganainfochannel
@ganganainfochannel 3 жыл бұрын
Mpaka ukaclik kucoment nani pumbavu hapo?
@mdimimdimi4282
@mdimimdimi4282 3 жыл бұрын
@@ganganainfochannel wew
@cidewashington670
@cidewashington670 3 жыл бұрын
Mama wa vihela vya mboga
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 3 жыл бұрын
Vijisenti
@uhurunyereremusa8592
@uhurunyereremusa8592 3 жыл бұрын
MAMA TIBAIJUKA please stop re writing history ulipokea pesa za escrow shs 1 billion kwy acount yako ya shule halafu ukazitoa zilipokwenda unajua wewe offcourse ni mfukoni kwako that is the reason why you were fired. acha kudanganya watu kuwa ulitolewa kafara wakati ulichukua pesa
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Una uhakika, ndugu ? Daah ! Siasa hizi za kuchafuana...!
'Wanaosema mimi mwizi wataisoma namba'-Prof Tibaijuka
7:27
Millard Ayo
Рет қаралды 222 М.
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 110 МЛН
🔴LIVE: NASAI MUDA HUU MHE:FREEMAN MBOWE, LEMA.
Chadema Media TV
Рет қаралды 128
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27