Well done Mh TIBAIJUKA YOU HAVE DONE IT ✔ STAY BLESSED. I AM TAKING YOU ON BOARD. HAPPINESS IS THE BACK BONE OF MIND SET. HAPPINESS IS THE BRIGHT FUTURE. 🙏
@shamirahkantengwa92453 жыл бұрын
Kazi zako nzuri sana @Gangana 💪💪💪💞💞💗🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
@edgarmbehikya81503 жыл бұрын
Mama Ana Tibaijuka jamani! Ati bwana alitoa na akatwaa. Nimecheka sana 😆😆😅
@frankkaijage97263 жыл бұрын
Mama Anna. Nakusalimia sana.Mwanagu alifauli vizuri kwenye Shule yako ya Bukoba Khagus
@deboraruhinda67262 жыл бұрын
Nampenda sana Profesa TIBAIJUKA
@jumangoda74143 жыл бұрын
I wish nikutane na huyu mama, huyu kweli ni Professor, anazungumza vizuri sana
@machaggechacha34223 жыл бұрын
Tibaijuka na Kikwete wote wezi matapeli na mafisadi. Kenge weusi hao.
@amonchalah30923 жыл бұрын
Good
@joycekingu15303 жыл бұрын
Una hekima Prof. Ninakubali kuwa mipango miji na ramani thabiti pamoja na elimu ya ardhi kwa wananchi ndio ufumbuzi mzima wa migogoro ya ardhi.
@annamwakibinga5273 жыл бұрын
Hongera sana dada Anna Mungu akulinde.
@briansancedo93363 жыл бұрын
Hongera sana mama upo sawa sana, Hela za mbogamboga🙏🙏🏻🙏🏻😅😅😅😅
@TheLovejoyz3 жыл бұрын
Fantastic
@nicodemussicilima833 жыл бұрын
Huyu Mama hazeeki. Akili yake kali kama alivyokuwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Shahada ya Kwanza Kitivo cha Kilimo Morogoro
@hamasikatv77133 жыл бұрын
Saana aisee kila analo tamka ni madini tupu dah hatunae bungeni tena inauma ila basi Tena.
@simeonmutashobya39222 жыл бұрын
Mungu wa ajabu, kwenye tatu bora uteuzi wa mgombea urais awamu ya tano fisiem alishinda mwanamke, kapigwa kando kapewa ubarozi hasirud. But mwisho kawa rais mwanamke. Tuwatumie wanawake waTz wanamaana.
@mashakankonoki25453 жыл бұрын
Hela za nyanyaaa..,...
@kelvinpeter33723 жыл бұрын
Ila huyu professor nampenda bure😂😂
@geofreysenka70913 жыл бұрын
Maprofesa wetu wezi tu wenzao huko magharibi maprofesa wabunifu was kutengeneza vitu vya kudumu engine za ndege na vinginevyo
@musauyepaulo8023 жыл бұрын
uyu mtu sikumfaham nikamchukulia poa ila amenifundisha u-smart na matumizi halisi ya elimu.
@nelibaba3 жыл бұрын
"This is not the end of the world"
@geofreysenka70913 жыл бұрын
Hera za mbonga wapi vijicent
@petersimon21153 жыл бұрын
Anatema nondo sana mama
@yohanakihumi13563 жыл бұрын
Una akili sana
@msonjosicario50043 жыл бұрын
YAANI kuna BINADAMU WASIO NA hata chembe ya AIBU.....
@gracemima52343 жыл бұрын
Ulifukuzwa Nairobi kwasababu gani? Kula fedha za kujenga nyumba za Wanyonge. Ukafukuzwe Nairobi. Tanzania ukala fedha. Mabilioni ukaziita pesa za mboga wakati Watanzania wengine hawana hata chakula.
@kazikazini10423 жыл бұрын
Mbona hii kali tena
@j.c.maxima8163 жыл бұрын
Siasa za kuchafuana zimezidi Tz,,,
@timothmwakakusyu45633 жыл бұрын
@@kazikazini1042 😂😂😂😂😂
@eshyndibalema15293 жыл бұрын
Acha wivu aliyekuzidi kakuzidi
@Chemba673 жыл бұрын
Hazina kubwa hii Tanzania
@lucaschisamalo28523 жыл бұрын
Mama mjanja huyu
@cosmasmpwage25763 жыл бұрын
Mama wa hela ya mboga 😄
@laprincevonkingpin77933 жыл бұрын
Siyo Kafara, kwann uliita fedha za wananchi hela ya mboga,,ungesema huhusiki na fedha siyo kuzarau pesa,wakati wengine wanaugulia umaskini mkuu...hahaha,,,mama wa "kadiri unavyopanua ndo wenzako wanatamaniii"
@onesmomassawe62303 жыл бұрын
Mtangazaji unajichkeshaa nn ww
@petermtey55083 жыл бұрын
Professor but -
@yangaebiasal32373 жыл бұрын
uyo ndo muhaya wa mreba ndg zangu
@mdimimdimi42823 жыл бұрын
Waandishi ninyi ni wajinga xn na wapuuz xn,kwanin mnapenda xn kuwahoji watu wapumbavu xn na matapeli?
@ganganainfochannel3 жыл бұрын
Wacha wee! Na kwanini unafuatilia mambo ya kipumbavu na utapeli?
@mdimimdimi42823 жыл бұрын
@@ganganainfochannel pumbav xn Kwan macho Yana mpaka? Mwehu xn
@ganganainfochannel3 жыл бұрын
Mpaka ukaclik kucoment nani pumbavu hapo?
@mdimimdimi42823 жыл бұрын
@@ganganainfochannel wew
@cidewashington6703 жыл бұрын
Mama wa vihela vya mboga
@rosemarysulle92883 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@rosemarysulle92883 жыл бұрын
Vijisenti
@uhurunyereremusa85923 жыл бұрын
MAMA TIBAIJUKA please stop re writing history ulipokea pesa za escrow shs 1 billion kwy acount yako ya shule halafu ukazitoa zilipokwenda unajua wewe offcourse ni mfukoni kwako that is the reason why you were fired. acha kudanganya watu kuwa ulitolewa kafara wakati ulichukua pesa
@j.c.maxima8163 жыл бұрын
Una uhakika, ndugu ? Daah ! Siasa hizi za kuchafuana...!