HISTORIA YA KUSISIMUA YA MZEE PASCHAL MWARABU/MTUNZI NGULI WA NYIMBO ZA KANISA,ALIYEFANYA KAZI IKULU
Пікірлер: 114
@djnickymosh78672 жыл бұрын
Mimi kibinafsi najivunia kulelewa katika kanisa katoliki, nyimbo za huyu gwiji zilinifugulia maisha,ubatizo, mafunzo , confrimasio, na maisha ya ukristo,mamangu akinishika mikono kunipeleka kanisani, nahisi nikama niko na furaha tele, na sijui kama mzee MWARABU mwenywee anajua yakuamba nyimbo zake ziliguza kila pembe la nchi yetu ya kenya,... mnamo mawaka wa 1998 nikapata ubatizo katika kanisa katoliki, ARCH DIOCES OF KISUMU, KENYA, mungu akubarika baba wetu,uisha maisha marefu duniani....... #tunakushukuru mama mariaaa....#kwa neeema unazo tujaliaa, asante mama wa yesu uliye na hurumaaa, #uzidi kutuombea mpaka saa yakufaa...... #GOD BLESSS YOU
@leahmhalule97562 жыл бұрын
Baba yuko vizuri kweli roho mtakatifu anamtumia
@mutukumutulili92565 ай бұрын
Hongera sana mtunzi Mwarabu kwa nyimbo zote ulizotunga. Barikiwa sana mzee 🙏❤
@barasamuia78365 ай бұрын
Mzee Mpole na Mtulivu kweli kama nyimbo zake alizoandika.Wimbo wa Ee Mama Yetu Maria naupenda mno
@magrethmallya77283 жыл бұрын
Mungu akutunze Mzee wetu. Mama Maria hajawai Muacha Muitaji. Mama Maria Tutunzie Babu yetu.
@anuaritemlashy63193 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amekubariki sana, na kupitia ww tumepata na tunapata faraja, tunaabudu, tunashukuru na kumsifu Mungu❤
@josephmwangingure32592 ай бұрын
Kenya nyimbo zako zapendwa sana sana
@allyabdul75695 ай бұрын
Kwa nyimbo zako nzr sana, hakika utafika minguni
@lucelightlight94772 жыл бұрын
Mimi ningependa kumfikia huyu Mzee hata nimzawadie Kwa maana nyimbo zake zimenisaidia Sana katika maisha ya ukristu hasa nyimbo za Bikira Mama Maria. Sijui naweza aje kupata contact zake
@paulmwarabu66854 жыл бұрын
mzee wangu, sisi kama familia tunajivunia wewe kuwa sehemu ya familia yetu, tumefahamika ndani ya kanisa kwasababu ya utume wako ndani ya kanisa katoliki, Mungu akubarikia sana
@jeremiaholiech11712 жыл бұрын
Mungu amewabariki na mzee. God bless you mwalimu PFMwarabu
@libetztanzania-kiswahilina2845 Жыл бұрын
MUNGU awabariki sana
@agnesndetaramo7209 Жыл бұрын
Mungu amewabariki sana kwa Kara ma hii kuu🙏🙏🙏
@josephmwangingure32592 ай бұрын
You father have a deep theological and love for our blessed mother Mary.
@matthieumugisho6930 Жыл бұрын
From kamina/RDC, nami nashukuru Mungu sana kwa ajili ya mtumishi wake Mwarabu.
@yesunimwema44974 жыл бұрын
Nimefulahi kweli mmenikumbusha kipindi nilikiwa kambindi nduta mkowa wa kigoma mimi ni murundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮 tena mi nimuimbaji,asante baba mwarabu mungu akuzidishie 🙏kwakazi yakenzuli uliifanya,nasisi huku America tunaziimba😍😍❤👏🇧🇮🇹🇿🇹🇿
@januarius-js2xl Жыл бұрын
Hongera sana Babu...muziki mtakatifu ni 🔥
@frankmalimi58633 ай бұрын
Asante sana Mwarabu, ubarikiwe sana.
@MonicaLumambo5 ай бұрын
Nampenda saaana Mzee mwarabu hata yeye anajua Hilo asantae Sana kaka yangu pascal 8:10
@festusnyamhanga13152 жыл бұрын
Hongera Mzee Mwarabu. Wewe Ni kioo kwangu na wengine, kwani kwa utundu tu nilitunga wimbo watu wakaufananisha na nyimbo zako.
@raphaeljulo38267 ай бұрын
Mungu akulinde na akubariki. Wewe ni mkatoliki wa nguvu sana
@monicasengamarwa6 ай бұрын
Ee mwamba huyu Mwarabu nimemtafuta,! ee Asante Mungu nimemuona, Asali kutoka moyoni siku zote, Mungu amutunze
@raphaelomwenga54362 жыл бұрын
Kongole Mwarabu Kwa muziki wako mzuri
@kubaithuranira478 Жыл бұрын
I love his Marian songs,all the way from Catholic diocese of Meru Kenya.May God bless you baba Mwarabu
@CollinsTuikong8 ай бұрын
Mungu na akubariki Mzee P. Mwarabu. Nyimbo nzuri kabisa. Mapenzi tele kutoka Kenya 🇰🇪
@mihayobupamba46274 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mwalimu wa nyimbo Mzee Paschal Mwarabu. Unayo tunu maalumu kutoka kwa Mungu. Ni zaidi ya Kipaji. Ni NEEMA YA MUNGU!
@billgussy6099 Жыл бұрын
Tangu nikiwa mdogo mpaka sasa haipiti siku bila kusikia wimbo angalau mmoja wa mzee Mwarabu. Huyu mzee kwakweli ni kipaji cha Mungu ni watunzi wachache wa mziki wa kikatoliki wanao weza kumfikia. Mungu ambariki sana.
@severinolenamunyi812 Жыл бұрын
Kazi Mzuri sana Mzee Mwarabu Pascal.
@AndrewHaule-e6p Жыл бұрын
Mungu na akubariki sana
@wesleyrogito83268 ай бұрын
kweli huyu mzee hakika ni mkatholiki asili tena kwa uimbaji bia ako na kibaji mungu ambe nguvu na afya njema asidi kumtumikia mwenyezi mungu
@aloycedeogratias96514 жыл бұрын
This man is a music genius of all time.
@monicasengamarwa6 ай бұрын
Tumshukuru Mungu, asante saba Mzee Mwarabu kwa kazi nzuri, Mungu akubariki mno kwa utunzi na sala kwa njia ya kuimba
@agnesndetaramo7209 Жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki afya njema daima na njia njema ya mtoto kujua dini ni familia
@aloycebabene62397 ай бұрын
Mzee tumebarikiwa kupitia nyimbo zako.
@olgamawere67033 жыл бұрын
Mzee Mwarabu, wewe ulitunukiwa zawadi kubwa sana ya utunzi wa nyimbo na Mola ,nafurahia vile unavyoutumia kipaji chako .Nyimbo zako zinaniweka karibu na Mungu.Ahsante na ubarikiwe
@jumanneenos2481 Жыл бұрын
Mbarikiwa
@fridakikoti35174 жыл бұрын
Nishike mkono univushe Maria, Mungu akubariki Mzee Mwarabu Maneno yako yameniongezea vitu Vingi sana katika imani.Mungu akubariki sana sana.
@catherinemlughu46663 жыл бұрын
Wow...hongera Mwalimu Uko na kipawa cha Hali ya juu...Mungu akubariki sana
@reubenwilly44649 ай бұрын
His songs are inspired by the power of God. They are mightly anointed. Love from Kenya.
@josephlorri4312 жыл бұрын
Mzee alikuwa polisi, mtunzi mzuri wa nyimbo za dini. Ahsante baba
@mariej6962 Жыл бұрын
Neema sana
@karaumike3 жыл бұрын
Mzee umebarikiwa. Uendelee kubarikiwa. Kanisa hasa baraza la maaaskofu - TEC lapaswa kujitafakari sana na upewe tuzo ya heshima. Umesaidia sana teolojia ya kanisa la Tamzania kwa njia ya utunzi na uimbaji. Endelea kubarikiwa Mzee Mwarabu
@fredrickswai26142 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mzee mwarabu.mimi ni mlutheri umenibariki kwa nyimbo zako miaka mingi.
@deogratiaslukoo51634 жыл бұрын
Tumsifu Yesu Kristo, kaka Paschal binafsi nimepata faraja sana kumfahamu vizuri mzee wetu Paschal Mwarabu kwa jinsi Mungu alivyomzawadia karama ya uiimbaji, yeye makuu ameyafanya makubwa tayari mbele ya Mungu deni kwetu sisi vijana wa leo tunamtumikiaje Mungu kwa kuiinjilisha neno lake kwa wengine
@oscarbagambe11324 жыл бұрын
Baba umeendelea kunijenga kiimani, umejitengenezea njia ya kuuona ufalme wa Mungu. Ubarikiwe sana.
@catherinemlughu46663 жыл бұрын
Ninapenda Sana wimbo ule WA roho mtakatifu...inakuaje tunasikia maneno wanayosema Kwa lugha zetu
@lindaadhola45143 жыл бұрын
Imfikie tafadhali ......nyimbo zako zinatusaidia kuomba na zinatufariji ....kutoka kenya
@philonchimbi074 жыл бұрын
Nilikuwa nataka kumjua huyu mzee.hongera sana mzee Mwarabu.Mungu akujalie afya njema.hongera sana
@phelixokoth63523 жыл бұрын
Be blessed Mzee Paschal Mwarabu. God bless you. From Kenya.
@martinmwakanyamale49554 жыл бұрын
Hakika baba mzee Mwarabu umejiwekea hazina kubwa sana mbinguni. Wewe ni tajiri mno mbele ya Mwenyezi Mungu....
@gregoryshao13024 жыл бұрын
Hongera sana baba nimependa sana wimbo huo unaosema tupeleke sadaka tupeleke vipaji yote ni mali yake tumrudishie tupeleke sadaka umenikumbusha mbali sana na ni kama sala unaishi kila siku huu wimbo
@danielchacha29732 жыл бұрын
Safi Baba, sasa mtangazaji chukua majina hayo Baba ayatajayo pia uwatafute ktk vipindi vijavyo.
@dezdnerhenry99114 жыл бұрын
safi sana babu mwarabu
@arfxghsgxhfg22134 жыл бұрын
Mungu aliyekuchagua akujalie neema zake uwe kitabu hai ambapo yeyote anaweza kusoma mafundisho ya Injili Mungu akubariki baba Mwarabu
@ceciliansemiwe81884 жыл бұрын
Mwalimu Mwarabu Mungu akubariki sana.
@patrickmkambilwa99323 жыл бұрын
Ongera sana baba kwa kazi iyo ya utume ulio fanya muda murefu tunasikia sana nyimbo nzuri ambazo ulitunga tangu zamani , tunamuomba mwenyezi Mungu akubariki siku zote zamaisha yako pia akujalie nguvu za roho mtakatifu ili upate kumtumikia siku zote zamaisha yako amina
@Ballerina-i8p4 жыл бұрын
God bless you mzee pascal for the good work. I love love all the songs he has done.....
@marymuthoni15514 жыл бұрын
Asante ubarikiwe pia mtangazaji
@filbertkato9884 жыл бұрын
Ongera sn baba barikiwa mzee wetu tunda la kanisa hilo
@fadhilimhagama94024 жыл бұрын
Barikiwa Baba
@janethmmbaga16974 жыл бұрын
Nimefurahi kumwona,nilikuwa namsikia tu,barikiwa sana baba yetu.
@marymuthoni15514 жыл бұрын
Mzee Mwarabu, nimefurahia sana kwa yote umesema ubarikiwe sana,,muoyo wangu umefurahi sana
@priscaiman20814 жыл бұрын
Wawooo mwalimu unanikusha mbali
@chrisostomletisia14774 жыл бұрын
Hongera sana baba kwa kulitumikia kanisa bado tunazipenda na kuzitumia nyimbo zako ubarikiwe mno na upate Afya njema baba
@JustaNdibalema Жыл бұрын
Huyu mzee hana mpinzani katika nyimbo za Mama bikira maria!
@fabiankilato66493 жыл бұрын
Mzee alikuwa anapata inspiration moja kwa moja kutoka kwa Mungu ila halikuwa hajagundua hilo. Alikuwa anasikia sikia sauti kichwani za nyimbo. Hiyo ni sauti ya Mungu. Mungu ni mwema sana. Hongera sana Baba.
@kakamdogokamdogo96472 жыл бұрын
Kweli kabisa
@lawrenceJ3864 жыл бұрын
From Kenya be blessed Sir P. Mwarabu
@deokessy62884 жыл бұрын
Baba mwarabu bikira Maria Msaada wako....kweli wewe Ni mtakatifu
@glorymtenga86044 жыл бұрын
Hongera sana Baba yetu hakika umekuwa tunu ndani ya Kanisa Mungu akutunze.
@patrickmkambilwa99323 жыл бұрын
Utume mwema katika Bwana wetu yesu christu
@samwelkadeghe25224 жыл бұрын
Pamoja na malaika,hongera Sana
@josephbizzy18134 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukupa afya njema ya roho na mwili uzidi kuwa chombo cha sifa yake.
@mikelazaro44794 жыл бұрын
Mzee Mwarabu Babu Mungu akutunze Mzee wetu hakika Kuna la kujifunza kutoka kwako wewe Mzee wetu.
@wilfredndyuki92934 жыл бұрын
Hongera baba kwa uimbaji na utunzi
@mumbua0044 жыл бұрын
Live long mwarabu... Tunapenda nyimbo zako sana
@johnlugoma38234 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu
@martinjoelr2774 жыл бұрын
nimekoshwa sana na nyimbozake nauliza kunasidi zake za nyimbo je mtu ataipataje
@mushanteteyo13854 жыл бұрын
Mungu Baba akubariki nyimbo zako zinaguza sana
@leonardmatoro91953 жыл бұрын
Nashukuru kukuona laivu mzee wetu mwarabu, barikiwa sana
@martinmwakanyamale49554 жыл бұрын
Ubarikiwe sana....
@emmanueljoseph40524 жыл бұрын
Mungu akuabriki sana mzee Mwarabu
@ceciliamhumba73494 жыл бұрын
Nimefurahi kumwona mzee wetu. Nimefurahi kumbe wimbo wa sadaka ni wake..! Mungu azidi kumuimarishe daima.
@damianakamwenzwa41102 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki
@damasmaleo48454 жыл бұрын
Hongera baba nmekumbuka mwaka 88 nkiwa kanisani mm na mamagu nababangu wimbo wa tupeleke zawadi
@mashakamathias68744 жыл бұрын
mzee ubarikiwe sana kwauinjirishaji wako ..kupitia nyimbo..
@josephnarsis65254 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@onesmokihongo35454 жыл бұрын
Sawa mzee
@reginamzanje88154 жыл бұрын
Safi mzee wetu mungu akubariki sana
@roseeugen87284 жыл бұрын
Amina Sana ubarikiwe Sana Babu Mwarabu
@jamhurilibawa65054 жыл бұрын
kongole kwako mzee Mwarabu kwa nyimbo nzuri.
@patrickmulei38123 ай бұрын
Je, naweza pia kupata historia ya: J.S.Mgandu, Fr. Kayetta na F.A. Nyundo??
@ibrahimwerejuma48164 жыл бұрын
Huo wimbo wa Ee mama yetu Maria mama wa Mungu nimejaribu kutafuta huo wimbo.
@tasiananicholaus94234 жыл бұрын
Barikiwa sana Mzer. Mwarabu Mungu akutunze uendelee na Utunzi Wa muziki mtakatifu.
@williamjonh81144 жыл бұрын
Mungu akushike mkono uinue wengine
@bedamgonja94844 жыл бұрын
Nimependa historia ya mzee wetu hakika amenigusa
@gerionmdage5354 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Pascal Frolian Mwarabu, hakika tunaburudika na nyimbo zako na tunatafakari vyema neno la Mungu
@Expedito25124 жыл бұрын
Mungu ambariki sana mzee Mwarabu
@filbetkalembe28064 жыл бұрын
Hakika mzee mwarabu Mungu akupe afya
@thomasbutingo173 жыл бұрын
Tumsifu yesu kristo
@tadeosaleje92404 жыл бұрын
mzee paschal Hongera sana
@yesunimwema44974 жыл бұрын
Niongozevema maria mwemaa bondeni hukuniko,nifike kwa usalama,mbinguni kwayesu mwanao
@mandelawillye24414 жыл бұрын
Ubarikiwe
@baltasartemu21534 жыл бұрын
Hongera mzee Mwarabu...tunda la kanisa
@josephmwangingure32592 ай бұрын
Nyimbo zake za mama Maria hufanya nilie wakati nikiomba rozari 😢
@christianjulius25824 жыл бұрын
milele Amina, wow
@samweldamian80984 жыл бұрын
Roho wa Mungu anafanya kazi ambayo kwa akili ya kawaida tunasema ni "miujiza" au "maajabu" Tumwombe Mwenyezi Mungu atuongoze kwani IMANI yetu imesongwa na mambo mengi.
@gm7mathiasmichael9515 ай бұрын
Kanisa limtunuku kwa kuthamini utunzi wake kwa mchango wowote ule hata malipo ya hizo nyimbo
@pondapapa83712 жыл бұрын
Naomba Namba ya Simu ya Mkono ya Mzee P.F. Mwarabu, kama inawezekana.
@patrickmulei38123 ай бұрын
Ala! Mtunzi P.F.Mwarabu hakusomea mziki? Hii yake basi ni kipaji halisi kutoka juu.Yakobo 1:17