HISTORIA YA KUSISIMUA YA MZEE PASCHAL MWARABU/MTUNZI NGULI WA NYIMBO ZA KANISA,ALIYEFANYA KAZI IKULU

  Рет қаралды 27,301

Radio Maria Tanzania

Radio Maria Tanzania

Күн бұрын

HISTORIA YA KUSISIMUA YA MZEE PASCHAL MWARABU/MTUNZI NGULI WA NYIMBO ZA KANISA,ALIYEFANYA KAZI IKULU

Пікірлер: 114
@djnickymosh7867
@djnickymosh7867 2 жыл бұрын
Mimi kibinafsi najivunia kulelewa katika kanisa katoliki, nyimbo za huyu gwiji zilinifugulia maisha,ubatizo, mafunzo , confrimasio, na maisha ya ukristo,mamangu akinishika mikono kunipeleka kanisani, nahisi nikama niko na furaha tele, na sijui kama mzee MWARABU mwenywee anajua yakuamba nyimbo zake ziliguza kila pembe la nchi yetu ya kenya,... mnamo mawaka wa 1998 nikapata ubatizo katika kanisa katoliki, ARCH DIOCES OF KISUMU, KENYA, mungu akubarika baba wetu,uisha maisha marefu duniani....... #tunakushukuru mama mariaaa....#kwa neeema unazo tujaliaa, asante mama wa yesu uliye na hurumaaa, #uzidi kutuombea mpaka saa yakufaa...... #GOD BLESSS YOU
@leahmhalule9756
@leahmhalule9756 2 жыл бұрын
Baba yuko vizuri kweli roho mtakatifu anamtumia
@mutukumutulili9256
@mutukumutulili9256 5 ай бұрын
Hongera sana mtunzi Mwarabu kwa nyimbo zote ulizotunga. Barikiwa sana mzee 🙏❤
@barasamuia7836
@barasamuia7836 5 ай бұрын
Mzee Mpole na Mtulivu kweli kama nyimbo zake alizoandika.Wimbo wa Ee Mama Yetu Maria naupenda mno
@magrethmallya7728
@magrethmallya7728 3 жыл бұрын
Mungu akutunze Mzee wetu. Mama Maria hajawai Muacha Muitaji. Mama Maria Tutunzie Babu yetu.
@anuaritemlashy6319
@anuaritemlashy6319 3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amekubariki sana, na kupitia ww tumepata na tunapata faraja, tunaabudu, tunashukuru na kumsifu Mungu❤
@josephmwangingure3259
@josephmwangingure3259 2 ай бұрын
Kenya nyimbo zako zapendwa sana sana
@allyabdul7569
@allyabdul7569 5 ай бұрын
Kwa nyimbo zako nzr sana, hakika utafika minguni
@lucelightlight9477
@lucelightlight9477 2 жыл бұрын
Mimi ningependa kumfikia huyu Mzee hata nimzawadie Kwa maana nyimbo zake zimenisaidia Sana katika maisha ya ukristu hasa nyimbo za Bikira Mama Maria. Sijui naweza aje kupata contact zake
@paulmwarabu6685
@paulmwarabu6685 4 жыл бұрын
mzee wangu, sisi kama familia tunajivunia wewe kuwa sehemu ya familia yetu, tumefahamika ndani ya kanisa kwasababu ya utume wako ndani ya kanisa katoliki, Mungu akubarikia sana
@jeremiaholiech1171
@jeremiaholiech1171 2 жыл бұрын
Mungu amewabariki na mzee. God bless you mwalimu PFMwarabu
@libetztanzania-kiswahilina2845
@libetztanzania-kiswahilina2845 Жыл бұрын
MUNGU awabariki sana
@agnesndetaramo7209
@agnesndetaramo7209 Жыл бұрын
Mungu amewabariki sana kwa Kara ma hii kuu🙏🙏🙏
@josephmwangingure3259
@josephmwangingure3259 2 ай бұрын
You father have a deep theological and love for our blessed mother Mary.
@matthieumugisho6930
@matthieumugisho6930 Жыл бұрын
From kamina/RDC, nami nashukuru Mungu sana kwa ajili ya mtumishi wake Mwarabu.
@yesunimwema4497
@yesunimwema4497 4 жыл бұрын
Nimefulahi kweli mmenikumbusha kipindi nilikiwa kambindi nduta mkowa wa kigoma mimi ni murundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮 tena mi nimuimbaji,asante baba mwarabu mungu akuzidishie 🙏kwakazi yakenzuli uliifanya,nasisi huku America tunaziimba😍😍❤👏🇧🇮🇹🇿🇹🇿
@januarius-js2xl
@januarius-js2xl Жыл бұрын
Hongera sana Babu...muziki mtakatifu ni 🔥
@frankmalimi5863
@frankmalimi5863 3 ай бұрын
Asante sana Mwarabu, ubarikiwe sana.
@MonicaLumambo
@MonicaLumambo 5 ай бұрын
Nampenda saaana Mzee mwarabu hata yeye anajua Hilo asantae Sana kaka yangu pascal 8:10
@festusnyamhanga1315
@festusnyamhanga1315 2 жыл бұрын
Hongera Mzee Mwarabu. Wewe Ni kioo kwangu na wengine, kwani kwa utundu tu nilitunga wimbo watu wakaufananisha na nyimbo zako.
@raphaeljulo3826
@raphaeljulo3826 7 ай бұрын
Mungu akulinde na akubariki. Wewe ni mkatoliki wa nguvu sana
@monicasengamarwa
@monicasengamarwa 6 ай бұрын
Ee mwamba huyu Mwarabu nimemtafuta,! ee Asante Mungu nimemuona, Asali kutoka moyoni siku zote, Mungu amutunze
@raphaelomwenga5436
@raphaelomwenga5436 2 жыл бұрын
Kongole Mwarabu Kwa muziki wako mzuri
@kubaithuranira478
@kubaithuranira478 Жыл бұрын
I love his Marian songs,all the way from Catholic diocese of Meru Kenya.May God bless you baba Mwarabu
@CollinsTuikong
@CollinsTuikong 8 ай бұрын
Mungu na akubariki Mzee P. Mwarabu. Nyimbo nzuri kabisa. Mapenzi tele kutoka Kenya 🇰🇪
@mihayobupamba4627
@mihayobupamba4627 4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mwalimu wa nyimbo Mzee Paschal Mwarabu. Unayo tunu maalumu kutoka kwa Mungu. Ni zaidi ya Kipaji. Ni NEEMA YA MUNGU!
@billgussy6099
@billgussy6099 Жыл бұрын
Tangu nikiwa mdogo mpaka sasa haipiti siku bila kusikia wimbo angalau mmoja wa mzee Mwarabu. Huyu mzee kwakweli ni kipaji cha Mungu ni watunzi wachache wa mziki wa kikatoliki wanao weza kumfikia. Mungu ambariki sana.
@severinolenamunyi812
@severinolenamunyi812 Жыл бұрын
Kazi Mzuri sana Mzee Mwarabu Pascal.
@AndrewHaule-e6p
@AndrewHaule-e6p Жыл бұрын
Mungu na akubariki sana
@wesleyrogito8326
@wesleyrogito8326 8 ай бұрын
kweli huyu mzee hakika ni mkatholiki asili tena kwa uimbaji bia ako na kibaji mungu ambe nguvu na afya njema asidi kumtumikia mwenyezi mungu
@aloycedeogratias9651
@aloycedeogratias9651 4 жыл бұрын
This man is a music genius of all time.
@monicasengamarwa
@monicasengamarwa 6 ай бұрын
Tumshukuru Mungu, asante saba Mzee Mwarabu kwa kazi nzuri, Mungu akubariki mno kwa utunzi na sala kwa njia ya kuimba
@agnesndetaramo7209
@agnesndetaramo7209 Жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki afya njema daima na njia njema ya mtoto kujua dini ni familia
@aloycebabene6239
@aloycebabene6239 7 ай бұрын
Mzee tumebarikiwa kupitia nyimbo zako.
@olgamawere6703
@olgamawere6703 3 жыл бұрын
Mzee Mwarabu, wewe ulitunukiwa zawadi kubwa sana ya utunzi wa nyimbo na Mola ,nafurahia vile unavyoutumia kipaji chako .Nyimbo zako zinaniweka karibu na Mungu.Ahsante na ubarikiwe
@jumanneenos2481
@jumanneenos2481 Жыл бұрын
Mbarikiwa
@fridakikoti3517
@fridakikoti3517 4 жыл бұрын
Nishike mkono univushe Maria, Mungu akubariki Mzee Mwarabu Maneno yako yameniongezea vitu Vingi sana katika imani.Mungu akubariki sana sana.
@catherinemlughu4666
@catherinemlughu4666 3 жыл бұрын
Wow...hongera Mwalimu Uko na kipawa cha Hali ya juu...Mungu akubariki sana
@reubenwilly4464
@reubenwilly4464 9 ай бұрын
His songs are inspired by the power of God. They are mightly anointed. Love from Kenya.
@josephlorri431
@josephlorri431 2 жыл бұрын
Mzee alikuwa polisi, mtunzi mzuri wa nyimbo za dini. Ahsante baba
@mariej6962
@mariej6962 Жыл бұрын
Neema sana
@karaumike
@karaumike 3 жыл бұрын
Mzee umebarikiwa. Uendelee kubarikiwa. Kanisa hasa baraza la maaaskofu - TEC lapaswa kujitafakari sana na upewe tuzo ya heshima. Umesaidia sana teolojia ya kanisa la Tamzania kwa njia ya utunzi na uimbaji. Endelea kubarikiwa Mzee Mwarabu
@fredrickswai2614
@fredrickswai2614 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mzee mwarabu.mimi ni mlutheri umenibariki kwa nyimbo zako miaka mingi.
@deogratiaslukoo5163
@deogratiaslukoo5163 4 жыл бұрын
Tumsifu Yesu Kristo, kaka Paschal binafsi nimepata faraja sana kumfahamu vizuri mzee wetu Paschal Mwarabu kwa jinsi Mungu alivyomzawadia karama ya uiimbaji, yeye makuu ameyafanya makubwa tayari mbele ya Mungu deni kwetu sisi vijana wa leo tunamtumikiaje Mungu kwa kuiinjilisha neno lake kwa wengine
@oscarbagambe1132
@oscarbagambe1132 4 жыл бұрын
Baba umeendelea kunijenga kiimani, umejitengenezea njia ya kuuona ufalme wa Mungu. Ubarikiwe sana.
@catherinemlughu4666
@catherinemlughu4666 3 жыл бұрын
Ninapenda Sana wimbo ule WA roho mtakatifu...inakuaje tunasikia maneno wanayosema Kwa lugha zetu
@lindaadhola4514
@lindaadhola4514 3 жыл бұрын
Imfikie tafadhali ......nyimbo zako zinatusaidia kuomba na zinatufariji ....kutoka kenya
@philonchimbi07
@philonchimbi07 4 жыл бұрын
Nilikuwa nataka kumjua huyu mzee.hongera sana mzee Mwarabu.Mungu akujalie afya njema.hongera sana
@phelixokoth6352
@phelixokoth6352 3 жыл бұрын
Be blessed Mzee Paschal Mwarabu. God bless you. From Kenya.
@martinmwakanyamale4955
@martinmwakanyamale4955 4 жыл бұрын
Hakika baba mzee Mwarabu umejiwekea hazina kubwa sana mbinguni. Wewe ni tajiri mno mbele ya Mwenyezi Mungu....
@gregoryshao1302
@gregoryshao1302 4 жыл бұрын
Hongera sana baba nimependa sana wimbo huo unaosema tupeleke sadaka tupeleke vipaji yote ni mali yake tumrudishie tupeleke sadaka umenikumbusha mbali sana na ni kama sala unaishi kila siku huu wimbo
@danielchacha2973
@danielchacha2973 2 жыл бұрын
Safi Baba, sasa mtangazaji chukua majina hayo Baba ayatajayo pia uwatafute ktk vipindi vijavyo.
@dezdnerhenry9911
@dezdnerhenry9911 4 жыл бұрын
safi sana babu mwarabu
@arfxghsgxhfg2213
@arfxghsgxhfg2213 4 жыл бұрын
Mungu aliyekuchagua akujalie neema zake uwe kitabu hai ambapo yeyote anaweza kusoma mafundisho ya Injili Mungu akubariki baba Mwarabu
@ceciliansemiwe8188
@ceciliansemiwe8188 4 жыл бұрын
Mwalimu Mwarabu Mungu akubariki sana.
@patrickmkambilwa9932
@patrickmkambilwa9932 3 жыл бұрын
Ongera sana baba kwa kazi iyo ya utume ulio fanya muda murefu tunasikia sana nyimbo nzuri ambazo ulitunga tangu zamani , tunamuomba mwenyezi Mungu akubariki siku zote zamaisha yako pia akujalie nguvu za roho mtakatifu ili upate kumtumikia siku zote zamaisha yako amina
@Ballerina-i8p
@Ballerina-i8p 4 жыл бұрын
God bless you mzee pascal for the good work. I love love all the songs he has done.....
@marymuthoni1551
@marymuthoni1551 4 жыл бұрын
Asante ubarikiwe pia mtangazaji
@filbertkato988
@filbertkato988 4 жыл бұрын
Ongera sn baba barikiwa mzee wetu tunda la kanisa hilo
@fadhilimhagama9402
@fadhilimhagama9402 4 жыл бұрын
Barikiwa Baba
@janethmmbaga1697
@janethmmbaga1697 4 жыл бұрын
Nimefurahi kumwona,nilikuwa namsikia tu,barikiwa sana baba yetu.
@marymuthoni1551
@marymuthoni1551 4 жыл бұрын
Mzee Mwarabu, nimefurahia sana kwa yote umesema ubarikiwe sana,,muoyo wangu umefurahi sana
@priscaiman2081
@priscaiman2081 4 жыл бұрын
Wawooo mwalimu unanikusha mbali
@chrisostomletisia1477
@chrisostomletisia1477 4 жыл бұрын
Hongera sana baba kwa kulitumikia kanisa bado tunazipenda na kuzitumia nyimbo zako ubarikiwe mno na upate Afya njema baba
@JustaNdibalema
@JustaNdibalema Жыл бұрын
Huyu mzee hana mpinzani katika nyimbo za Mama bikira maria!
@fabiankilato6649
@fabiankilato6649 3 жыл бұрын
Mzee alikuwa anapata inspiration moja kwa moja kutoka kwa Mungu ila halikuwa hajagundua hilo. Alikuwa anasikia sikia sauti kichwani za nyimbo. Hiyo ni sauti ya Mungu. Mungu ni mwema sana. Hongera sana Baba.
@kakamdogokamdogo9647
@kakamdogokamdogo9647 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@lawrenceJ386
@lawrenceJ386 4 жыл бұрын
From Kenya be blessed Sir P. Mwarabu
@deokessy6288
@deokessy6288 4 жыл бұрын
Baba mwarabu bikira Maria Msaada wako....kweli wewe Ni mtakatifu
@glorymtenga8604
@glorymtenga8604 4 жыл бұрын
Hongera sana Baba yetu hakika umekuwa tunu ndani ya Kanisa Mungu akutunze.
@patrickmkambilwa9932
@patrickmkambilwa9932 3 жыл бұрын
Utume mwema katika Bwana wetu yesu christu
@samwelkadeghe2522
@samwelkadeghe2522 4 жыл бұрын
Pamoja na malaika,hongera Sana
@josephbizzy1813
@josephbizzy1813 4 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukupa afya njema ya roho na mwili uzidi kuwa chombo cha sifa yake.
@mikelazaro4479
@mikelazaro4479 4 жыл бұрын
Mzee Mwarabu Babu Mungu akutunze Mzee wetu hakika Kuna la kujifunza kutoka kwako wewe Mzee wetu.
@wilfredndyuki9293
@wilfredndyuki9293 4 жыл бұрын
Hongera baba kwa uimbaji na utunzi
@mumbua004
@mumbua004 4 жыл бұрын
Live long mwarabu... Tunapenda nyimbo zako sana
@johnlugoma3823
@johnlugoma3823 4 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu
@martinjoelr277
@martinjoelr277 4 жыл бұрын
nimekoshwa sana na nyimbozake nauliza kunasidi zake za nyimbo je mtu ataipataje
@mushanteteyo1385
@mushanteteyo1385 4 жыл бұрын
Mungu Baba akubariki nyimbo zako zinaguza sana
@leonardmatoro9195
@leonardmatoro9195 3 жыл бұрын
Nashukuru kukuona laivu mzee wetu mwarabu, barikiwa sana
@martinmwakanyamale4955
@martinmwakanyamale4955 4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana....
@emmanueljoseph4052
@emmanueljoseph4052 4 жыл бұрын
Mungu akuabriki sana mzee Mwarabu
@ceciliamhumba7349
@ceciliamhumba7349 4 жыл бұрын
Nimefurahi kumwona mzee wetu. Nimefurahi kumbe wimbo wa sadaka ni wake..! Mungu azidi kumuimarishe daima.
@damianakamwenzwa4110
@damianakamwenzwa4110 2 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki
@damasmaleo4845
@damasmaleo4845 4 жыл бұрын
Hongera baba nmekumbuka mwaka 88 nkiwa kanisani mm na mamagu nababangu wimbo wa tupeleke zawadi
@mashakamathias6874
@mashakamathias6874 4 жыл бұрын
mzee ubarikiwe sana kwauinjirishaji wako ..kupitia nyimbo..
@josephnarsis6525
@josephnarsis6525 4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@onesmokihongo3545
@onesmokihongo3545 4 жыл бұрын
Sawa mzee
@reginamzanje8815
@reginamzanje8815 4 жыл бұрын
Safi mzee wetu mungu akubariki sana
@roseeugen8728
@roseeugen8728 4 жыл бұрын
Amina Sana ubarikiwe Sana Babu Mwarabu
@jamhurilibawa6505
@jamhurilibawa6505 4 жыл бұрын
kongole kwako mzee Mwarabu kwa nyimbo nzuri.
@patrickmulei3812
@patrickmulei3812 3 ай бұрын
Je, naweza pia kupata historia ya: J.S.Mgandu, Fr. Kayetta na F.A. Nyundo??
@ibrahimwerejuma4816
@ibrahimwerejuma4816 4 жыл бұрын
Huo wimbo wa Ee mama yetu Maria mama wa Mungu nimejaribu kutafuta huo wimbo.
@tasiananicholaus9423
@tasiananicholaus9423 4 жыл бұрын
Barikiwa sana Mzer. Mwarabu Mungu akutunze uendelee na Utunzi Wa muziki mtakatifu.
@williamjonh8114
@williamjonh8114 4 жыл бұрын
Mungu akushike mkono uinue wengine
@bedamgonja9484
@bedamgonja9484 4 жыл бұрын
Nimependa historia ya mzee wetu hakika amenigusa
@gerionmdage535
@gerionmdage535 4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Pascal Frolian Mwarabu, hakika tunaburudika na nyimbo zako na tunatafakari vyema neno la Mungu
@Expedito2512
@Expedito2512 4 жыл бұрын
Mungu ambariki sana mzee Mwarabu
@filbetkalembe2806
@filbetkalembe2806 4 жыл бұрын
Hakika mzee mwarabu Mungu akupe afya
@thomasbutingo17
@thomasbutingo17 3 жыл бұрын
Tumsifu yesu kristo
@tadeosaleje9240
@tadeosaleje9240 4 жыл бұрын
mzee paschal Hongera sana
@yesunimwema4497
@yesunimwema4497 4 жыл бұрын
Niongozevema maria mwemaa bondeni hukuniko,nifike kwa usalama,mbinguni kwayesu mwanao
@mandelawillye2441
@mandelawillye2441 4 жыл бұрын
Ubarikiwe
@baltasartemu2153
@baltasartemu2153 4 жыл бұрын
Hongera mzee Mwarabu...tunda la kanisa
@josephmwangingure3259
@josephmwangingure3259 2 ай бұрын
Nyimbo zake za mama Maria hufanya nilie wakati nikiomba rozari 😢
@christianjulius2582
@christianjulius2582 4 жыл бұрын
milele Amina, wow
@samweldamian8098
@samweldamian8098 4 жыл бұрын
Roho wa Mungu anafanya kazi ambayo kwa akili ya kawaida tunasema ni "miujiza" au "maajabu" Tumwombe Mwenyezi Mungu atuongoze kwani IMANI yetu imesongwa na mambo mengi.
@gm7mathiasmichael951
@gm7mathiasmichael951 5 ай бұрын
Kanisa limtunuku kwa kuthamini utunzi wake kwa mchango wowote ule hata malipo ya hizo nyimbo
@pondapapa8371
@pondapapa8371 2 жыл бұрын
Naomba Namba ya Simu ya Mkono ya Mzee P.F. Mwarabu, kama inawezekana.
@patrickmulei3812
@patrickmulei3812 3 ай бұрын
Ala! Mtunzi P.F.Mwarabu hakusomea mziki? Hii yake basi ni kipaji halisi kutoka juu.Yakobo 1:17
@michael_saleh
@michael_saleh 4 жыл бұрын
Heko
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
MUDA scam, Modi in USA, Trump vs Harris | Hafta 504 FULL EPISODE
2:06:21
Usia Wa Mama Maria
5:29
FLSA_ENTERTAINMENT - Topic
Рет қаралды 21 М.
Historia ya mtunzi wa wimbo Twamsifu Mungu
14:16
7T7 MINISTRY
Рет қаралды 5 М.